Mch Moses Magembe - KAZI KUU 4 (NNE) ZA UPAKO | IBADA YA JUMAPILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 63

  • @ChristinaKembe
    @ChristinaKembe 13 วันที่ผ่านมา +42

    Watoto wa MUNGU tunaomuunga mkono MCHUNGAJI wetu Maghembe weka like yako hapa na MUNGU AKUBARIKI

    • @yusuphmbindo
      @yusuphmbindo 13 วันที่ผ่านมา +1

      Kanisa linapatikana wapi

    • @mhelezijoackim-kl9vb
      @mhelezijoackim-kl9vb 13 วันที่ผ่านมา

      ​@@yusuphmbindo, Kanisa lipo Kinyerezi kituo cha kushukia ni mwembeni jilani na kituo cha mafuta ATN

  • @edsonmsyani3540
    @edsonmsyani3540 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu matunda ya kazi ilioifanya miaka Mingi 🔥🔥🔥

  • @MichaelSichimata-ri2td
    @MichaelSichimata-ri2td 13 วันที่ผ่านมา +10

    Mbarikiwe wote mnao jitolea sadaka kwa mzee magembe

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 12 วันที่ผ่านมา +6

    Shalom,Bwana Yesu Asifiwe mafundi mitambo sauti imekuwa shida sana tunaomba shughulikieni hili inakuwa shida kusikiliza,Mungu awabariki

  • @florakwayu5646
    @florakwayu5646 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mawasiliano si mazuri,naomba Mungu awasaidie katika eneo hili is sisi wa mtandaoni tuweze kula kushiba neno kwa ukamilifu. PRAISE LORD❤🙏🙏

  • @Byishimo-k6u
    @Byishimo-k6u 13 วันที่ผ่านมา +6

    Asante baba naendereya kukufwatiriya natamani kirasiku nisikiye mahumbiri yako kama inawezekana tunaomba kira siku tupate mahumbiri kutoka kwako Asante

  • @MathiasKunnanga
    @MathiasKunnanga 12 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani hiyo nyimbo iliyoimbwa apo mwishoni inaitwaje nataka niitafute maana ina nguvu ya Mungu sana

    • @mlowegb4097
      @mlowegb4097 10 วันที่ผ่านมา

      Muimbaji ni Jonh Lisu.... So tafuta kwenye nyimbo za Jonh Lisu

  • @mhelezijoackim-kl9vb
    @mhelezijoackim-kl9vb 13 วันที่ผ่านมา +5

    Hakika ibada ya leo Bwana Yesu ametuhudumia kwa kipekee, roho wa Mungu yupo anatenda kazi

  • @faithe4063
    @faithe4063 13 วันที่ผ่านมา +5

    Hakika MUNGU wetu ni mwaminifu wa haki .
    Niliwambia YESU alisema mtu akikung'anya vitu nyako mwajie Mungu anafukufungulia njia zaidi adi madui washangae

  • @AliceMtili
    @AliceMtili 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutunze sana aendelee kukutumia kwa utukufu wake

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 13 วันที่ผ่านมา +4

    Ibarikiwe baba yangu mkono wa Bwana uko juu yako

  • @faithe4063
    @faithe4063 13 วันที่ผ่านมา +4

    Amen and Amen barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu

  • @IreneZablon-kq9wf
    @IreneZablon-kq9wf 8 วันที่ผ่านมา

    Ameni Mungu akuzidishe

  • @andrewmaziku4671
    @andrewmaziku4671 12 วันที่ผ่านมา +1

    Amen amen ,Bwana aendelee kukutanza baba ili tuvune mambo ya rohoni toka kwako

  • @AlexHalinga-m9e
    @AlexHalinga-m9e 12 วันที่ผ่านมา +2

    Balkiwa sana mtu wa Mungu Kwa huduma

  • @issujar.j.francis3220
    @issujar.j.francis3220 13 วันที่ผ่านมา +3

    Thank you, Jesus. Mbarikiwe kanisa la Bwana

  • @MathiasKunnanga
    @MathiasKunnanga 13 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu ni mkuuuuuuu saanaaaaaaaaaaa 😭

  • @devothawnchilaus9378
    @devothawnchilaus9378 13 วันที่ผ่านมา +2

    Amina baba tunabalikiwa na neno adimu duniani kote

  • @kalondakakela
    @kalondakakela 10 วันที่ผ่านมา

    Yesu ni Bwana wa wote❤😂

  • @DanielGodigo
    @DanielGodigo 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mtumishi wa BWANA sauti Iko chini sisi wakeleketwa wa injili tunaumia sana

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru9154 13 วันที่ผ่านมา +1

    Amen amen amen ubarikiwe baba amen 🇦🇺

  • @josiakashaija7742
    @josiakashaija7742 7 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa mtumishi

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 11 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kabisa hakuna swala la akili kupungua kwa wazee Mimi nilimwona Babu yangu myaka 97 Lakini Hadi akili yake ilikuwa sawa. Tusikaririshwe mambo ya watu na mapokeo kutoka ugenini. Wazee ni tunu kwetu sisi vijana, Mimi nimejifunza Hilo kwenye maisha yangu. Kwahiyo vijana msiseme wazee wamepitwa na wakati, maana hakuna jipya Chini ya jua. Mzee wetu tunakuombea maisha marefu na Yesu akupe neema ya kukaa na kutembea katika upendo wako wa kwanza na Yesu anaporudi aikute Imani kwako na kwetu pia. Mungu awabariki

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 11 วันที่ผ่านมา

    Amina baba

  • @peteroderobarasa5205
    @peteroderobarasa5205 11 วันที่ผ่านมา

    Amina.powerful teaching man of God

  • @KM-hx8zy
    @KM-hx8zy 13 วันที่ผ่านมา +4

    Baba Mchungaji, Sauti kwa Sisi wenyikufwatilia mtandaoni, Sauti iko Chini saana.
    Kwenye TV, sherti Volume ifike 100 njo funaweza kusikia kidogo.
    Fundi mitambo atusaidie kwa kukerebesha sound!
    Asante

  • @ChristinaMbowe-b3d
    @ChristinaMbowe-b3d 11 วันที่ผ่านมา

    Watumishi wa Mungu katika eneo la vyombo tunaomba mtusaidie Saudi inakatakata mno

  • @EcaelieAbambwa
    @EcaelieAbambwa 5 วันที่ผ่านมา

    Sauti imepotea alipoanza maelezo ju ya neno UPAKO
    Mitambo kesheni sana. Tunafuata wengine kw makini.

  • @MaishaNungwi
    @MaishaNungwi 8 วันที่ผ่านมา

    Aminaaaa baba napokea upako kwa Jina la yesu kristo

  • @judithmartin9442
    @judithmartin9442 12 วันที่ผ่านมา

    Jamaniiii sauti jamaniii

  • @dorcasdesignshegwando5813
    @dorcasdesignshegwando5813 13 วันที่ผ่านมา +3

    Fundi mitambo Mungu akusaidie

    • @mhelezijoackim-kl9vb
      @mhelezijoackim-kl9vb 12 วันที่ผ่านมา +2

      @@dorcasdesignshegwando5813 Amen tuwaombee, kazi wanayoifanya ni kubwa kwakweli

  • @VeronikaMaria-j5d
    @VeronikaMaria-j5d 12 วันที่ผ่านมา

    Mubari kiwe sana Mugu akupe guvu

  • @nestoryihano
    @nestoryihano 12 วันที่ผ่านมา

    Mafundisho ya muhimu sana haya. Ila Media crew iboreshe hasa upande wa audio. Kuna muda Sauti inatoka njia moja tu au inakatika Kabisa.

  • @safarijean-pierre4918
    @safarijean-pierre4918 13 วันที่ผ่านมา +1

    1samwel 10:6 Kazi kuu ya upako

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 11 วันที่ผ่านมา

    Jamani sauti

  • @krispinmalekela7848
    @krispinmalekela7848 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mafundi mitambo. Muwe na maandalizi kabla ya ibada. Mjiombee kabla ya kuingia kanisani

  • @Agnesmtumishi
    @Agnesmtumishi 7 วันที่ผ่านมา

    Ibada jumapili inaanza sangapi

  • @Mzitomatelephone
    @Mzitomatelephone 13 วันที่ผ่านมา +2

    Badilisha fundi mitambo anatuondoa kwenye uwepo

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 13 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @mirindiabeli3195
    @mirindiabeli3195 13 วันที่ผ่านมา +2

    Tuna Kufata baba

  • @lazarontandu8308
    @lazarontandu8308 11 วันที่ผ่านมา

    Watu wa mitambo sijui mnakwama wapi, kuna vitu tunavikosa, scratches nyingi sana

  • @EdwinMbwilo-fj6bf
    @EdwinMbwilo-fj6bf 12 วันที่ผ่านมา

    Wawooo bibi

  • @MangilwaPumziko-q2u
    @MangilwaPumziko-q2u 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ameen

  • @MangilwaPumziko-q2u
    @MangilwaPumziko-q2u 13 วันที่ผ่านมา +3

    Tuna kufata baba apa U S A

  • @safarijean-pierre4918
    @safarijean-pierre4918 13 วันที่ผ่านมา +2

    Dubu mbili (2 wafalme 2:24

  • @JasfaMage
    @JasfaMage 10 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa baba

  • @SARAKAMBARAGE
    @SARAKAMBARAGE 13 วันที่ผ่านมา

    Fundi mitambo afungiwe jiwe zito😅

  • @nestoryihano
    @nestoryihano 8 วันที่ผ่านมา

    Mzee wewe ni mojawapo ya lulu iliyobakia katika mwili wa Kristo. Naomba kujua, sisi watu wa Arusha tunapata je kitabu chako?

  • @jofreyulaya9842
    @jofreyulaya9842 10 วันที่ผ่านมา

    Nakipataje kitabu Cha DINI YA KWELI NI IPI?? Niko tanga

  • @neemamahinda6131
    @neemamahinda6131 13 วันที่ผ่านมา

    Sauti jaman

  • @KizaMaria
    @KizaMaria 12 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @MangilwaPumziko-q2u
    @MangilwaPumziko-q2u 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ameen

  • @michaeljaphet2778
    @michaeljaphet2778 12 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @VAILETHMEZA
    @VAILETHMEZA 11 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @VAILETHMEZA
    @VAILETHMEZA 11 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @ChristhopherDoto
    @ChristhopherDoto 11 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @amoss.tz1
    @amoss.tz1 10 วันที่ผ่านมา

    Amen