Kazi ya kilimo ngumu namkumbuka bosi wangu mmoja huy nilienda kufanya kazi za ndani kwake aisee baada ya kazi za ndani ananiambia tulime mboga mboga Kisha ukiiuza unajilipa mshahara wko😢😢 nikikaaa meiz yot akiuza mboga anipi mshahara wangu nikaon hp natumika mshahara kula mpak leo namdai yule mama pesa. Yangu sikia tu kitu kinaitwa kilimo ni kigumu
Mungu ni mwema Katika yote
Abwene mhhh bora utafute sehemu nyingine kazi utaweza?
Wa kwanza
Kufanyaje
Kazi ya kilimo ngumu namkumbuka bosi wangu mmoja huy nilienda kufanya kazi za ndani kwake aisee baada ya kazi za ndani ananiambia tulime mboga mboga Kisha ukiiuza unajilipa mshahara wko😢😢 nikikaaa meiz yot akiuza mboga anipi mshahara wangu nikaon hp natumika mshahara kula mpak leo namdai yule mama pesa. Yangu sikia tu kitu kinaitwa kilimo ni kigumu
Jmnii poleee😢
Da vero za kaz samaha musoma 2nakupata kwa namb ngap radio
Maisha magumu kweli Ambwene
Kumbe AMBWENE ndio anasura hii ya kazi
Hapana sio yeye ni pich tuu inaekw io
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣