Wallahi cjaona kobelo akiwa kwenye hali ya kawaida bila ulevi😄😄hata interview yke cjawai hona kwa kwel ckui yuwakaaje bila kulewa🥰🤣🤣i wish nione japo ka interview
Hatr sana aiseeeee mpe hela yake , alafu mtu anakwambia mmmh ushindi wa hvyo siutaki mm, wacha niwape cha mashindano , Stan kwa mbali wanakwambie weeeee unatka kutuua au 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Tanzania yetu raha sana dah bado mashindano ya kuhara2 na ya kunya kitukimba , Yan mama Samia we ongoza2 ujuavo huku sisi hatuna shida yyt raia wako tukikaa tukijambia2 inatosha tunafrah na maisha yanatuendea hata km hatuna Ela tunaenjoy maisha 😂😂😂🚀🇷🇺💪🥂🤣
Nyie mmesha kosa sera movie zimesha kua za kifala yani matangazo dakika 5 alafu movie dakika kumi nyie hamna maana kabisa tengenezeni kitu ya kuelimisha jamii sio mambo ya kujamba
Nyinyi ni wazoefu wote Katika Sanaa Lakini mnashuti kizembe Sana haiwwzekani washiliki wote wanatkea sehemu moja
Kumbe nawe umeliona hilo...
Siyo rahis watu wote watokee upande mmoja na kila mmshrki akiingia anauliza swal lilelile
Mmmmmmm
Hafu wanajifungulia geti
😁😁😁😁daah aise
First from Kenya 🤣🤣
Wallahi cjaona kobelo akiwa kwenye hali ya kawaida bila ulevi😄😄hata interview yke cjawai hona kwa kwel ckui yuwakaaje bila kulewa🥰🤣🤣i wish nione japo ka interview
Zipo angalia utaziona anaongea kawaida
Am tz mbavu zang stan bakora🥰 ❤😅😅anakuweza NEY WA MITEGO TU😅😅😅🤣
Nyie wehu😄😄😄😄
Dahhh aise nimecheka balaaaaa stan jaman
Aaaa pow pow broo stan
Noma Sana Hiyo maana Tayari Kuna mashindano Ya Aina Mbili Kucheza Rede Na Kujamba Yaani Sio Poah
😁😁😁😁😁😁daar noma sana
Mbavu zangu mie aaaaah nacheka na bdo nko mwanzo 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣et cjui hajachamba mwezi mzima🤣🤣🤣🤣
Hatr sana aiseeeee mpe hela yake , alafu mtu anakwambia mmmh ushindi wa hvyo siutaki mm, wacha niwape cha mashindano , Stan kwa mbali wanakwambie weeeee unatka kutuua au 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
II noma sana 😂🤣Stan bana😂🤣🤣🇰🇪
Aaaha kumamake😃😃😃😀😀
Stan kijambo cha kichura chura🤣🤣🤣🤣💨💨💨💨nyie bn daaah
Mmmmmh stani bakola unazingua Sana hehehehe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu mm Uwiiii bakari kataka kuuwa watu
Nimekuja kwasababu ya kijamboo
Tanzania yetu raha sana dah bado mashindano ya kuhara2 na ya kunya kitukimba , Yan mama Samia we ongoza2 ujuavo huku sisi hatuna shida yyt raia wako tukikaa tukijambia2 inatosha tunafrah na maisha yanatuendea hata km hatuna Ela tunaenjoy maisha 😂😂😂🚀🇷🇺💪🥂🤣
Aswaah 👌 na atuna strees yoyote ile 😂😂😂😂🙌
huuuuuuuuwiiiiiii😁😁😁😁😁😁😁
th-cam.com/video/d-3kQOSW-NIh/w-d-xo.htmlttps://th-cam.com/video/d-3kQOSW-NI/w-d-xo.html
🤣🤣🤣
Wapizani wamekubari jamaa apewe hela🤣🤣🤣🤣🤣🙋
Vijan wap vizr san
Ngoja nitoe chenyew cha mashindano! Watu Aaaaaaaaaaah Utatuua! 😁 Ahahaha
Jamaa anataka kututoa uhaiii, sijui hajajamba mwez mzima🤣🤣🤣🤣🤣
TZ kunavijana wanajuwa ubunifu na burudani, big up sana
Rajabu
Kitale
Bakar hujaungua kweli
Wajinaa hatr
Hapo Kuna diseal, mafuta ya taa na petrol kilichoonekana petrol ni nomaaaa sana
Nimecheka kwa sauti😂😂😂😂
Hata mimi pia
Nyie ni nomaaaaaaa
❤❤❤❤❤
Nimecheka jaman kaah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
kwenye maisha usimdharau mtu.
Pastaresiekiel
Ila next time mbadilike, Stan katokea njia hiyo hiyo, kobelo pia hd bakari Anhaaaa jmn hp mmezinguwa...
Cjaona shida hapo kwa njia moja inahusisha watu wengi wanaopta kwa cku so c ajab ao kutokea njia moja chukulia
@@hopedigitalmedia34 ujui k2 mtt mdogo ww....
Mbavu zanguuuuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤
Ahaaaa hii kali
Kipaj kwer
Yukowap mogeraa jomon
Hahahaha jamaa jinga keli hili😂😂😂😂😂
He nami nahtaj kushiriki
Nimecheka sanaaa hasira zote zimeniisha
Ulikua unahasira jaman ndio mana wakawep kutup buldan
Nati hao nati zao zimefunguka wewe
Wewe ni mwajuma wa tanga nilipoteza namba yako
Yaan wa Tanzania shikamoo yenu from Rwanda 🤣😂😅 mtaniuwaaa
Hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nyie wehu kweli
😂😂😂nakufa nakucheka mie😂😂
Kwani Akili zipo kweli hapa
Nyie watzd mungu anawaona dah hicho kijambo bwana 😂😂😂
Hahahaha beka noma sana
😂😂😂😂 Dah
Oya nyi mmajuaaaaaaaaa
Majaji walikuwa wameshalewa na mashuz ya Stan, kobelo ko Bakar akaja kumaliza bendi ahahaha
Nimecheka mpaka nimetoa chozo kobelo kaona bora haulize unataka kututoa uhai ,,😂😂😂
Chozo ga
Na hapo hajala michembe
Hahaha 😂 tutafk mbngn tume choka saan
Hunampinzan babaa😂😂😂
Wazee mmetisha
Hahahaha daah shida
Aki hii group ni noma yani mtu huchoki lzma tu uishe vipaji wanavyo kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂ila nyie kaaah!😂😂😂
Kobelo msenge xan mashindano ya 😂😂😂
Bakarii ni nomaaaaaa mpen nafasi nyingineeee jamaniii🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂🇰🇪
Sina mbavuuuuuuuuuuuu😀
Hahahah stani anaona anastaili
Hahaaaa
Yaani mmetuchoka sasa kah
Wanagu ninoma mkovyema
😂😂😂😂😂🔥
Tz yetu🖐🖐🖐🖐
Jamani xax munako elekea jamani
Yaani hata cjamaliza kuangalia kobelo kanivunja mbavu😂😂😂
😂😂😂😂😂😂usipocheka hucheki ten
Nmecheka sanaa aaseee
nicheke tu
HahahHHHahAaaaaaaaaaa bakari umeua
Vijana wa hovyo sana sijui 2030 wazee watakuwaje
😂😂😂😂dahhh
Bakariii daaaaah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mim nilizan cha pombe atapata pesa maan daah kaazia getin🤣🤣🏃
Wajina usiniangushee twenzetu
@@aminaamiri7684 🤣🤣🤣namuogop Bakarii😅😅😅😅😅
Duuu bakari bhana, Hadi mm mtazamaji nmezimia nmezinduka shindano limeisha jaman
Mnashuti kizembe
Rajabu
Hahahahahahahahahahah
Kivumbi leo😂😂
Ushindi wa namna hii mimi siukubaliiii🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂😂
Hahahahaha mbavu zangu mutatuua kwa kutuchekesha janani maana nimecheka mpaka mbavu zinauma asanten🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie mpaka shetani kakimbia🏃🏃🏃🏃🏃
Wa3 c atakunya kwel 🤣🤣🤣🤣
hahaha et kipaji hakijaanza
Nimecheka mpaka machozi🙋🤣🤣🤣
Tz stress free wallah,,nimecheka kama boya
lakini zinakujaza ujinga ambao utakukuja kukupa stress mpaka unaingia kaburini
Nmecheka mpka mbavu znaniuma
mjinga kweli
U Guyz you gonna kill me 😂😂😂😂😂
Nomaa
Yan kwenye hayo Mashindano ya kujamba Mungeniweka mm mngefurah na shoo Zangu Yan najamba kufuru sio asubuh mchana Wala jion
🤣🤣
Pumbavu zenu mutanuwa mbavu zangu😅😅😅😅😅😅😅😅
Nammmm nimo hatari mmmm
Nyie mmesha kosa sera movie zimesha kua za kifala yani matangazo dakika 5 alafu movie dakika kumi nyie hamna maana kabisa tengenezeni kitu ya kuelimisha jamii sio mambo ya kujamba
Yaani ni laana na ujinga ila mungu atakupeni asa hio ndio nini wanakharaam nyinyi loop
A😅😅😅
Hatari sana
Kobelo chapombe ni hatar sana