Spirit Gathering Ministry
Spirit Gathering Ministry
  • 10
  • 55 636
NILILALA NA MWANAMKE BAADA YA MFUNGO WA SIKU 7 BILA KULA WALA KUNYWA.
NILILALA NA MWANAMKE BAADA YA MFUNGO WA SIKU 7 BILA KULA WALA KUNYWA.
มุมมอง: 91

วีดีโอ

Chakuzingatia Unapopata Dada wa Kazi
มุมมอง 3952 ปีที่แล้ว
Chakuzingatia Unapopata Dada wa Kazi
Siri ya Ndoa - Part 2
มุมมอง 1.2K2 ปีที่แล้ว
Kusudi la Ndoa Ni Ili Mungu Atukuzwe kwa watu wawili Kuungana. Ndoa Inayo Umri Mkubwa Kuliko Kanisa... Ni Zoezi linalofanyika ROHONI. Kanisa liko Kuhakikisha hawa walioungana ROHONI wanakubaliana Mbele Ya Watu
Siri ya Ndoa - Part 1
มุมมอง 1.5K2 ปีที่แล้ว
Kusudi la Ndoa Ni Ili Mungu Atukuzwe kwa watu wawili Kuungana. Ndoa Inayo Umri Mkubwa Kuliko Kanisa... Ni Zoezi linalofanyika ROHONI. Kanisa liko Kuhakikisha hawa walioungana ROHONI wanakubaliana Mbele Ya Watu
Mkristo hatakiwi kutoa Fungu la Kumi - Sehemu ya Pili
มุมมอง 15K2 ปีที่แล้ว
Mkristo lazima Aelewe Kuwa Kutoa Kwako Mbele Za Mungu Hauzalishi IMANI bali IMANI ndiyo inayomzalisha Mtoaji. Utoaji Wetu Haupimwi Kwa Asilimia Bali kwa IMANI Fungu La Imani Ndio Maelekezo Ya Mungu... Na Lazima ujue Sadaka Hii mnayoita Fungu la Kumi Ni Ya Mungu Wala Sio Ya Mtumishi...
Mkristo Hatakiwi Kutoa Fungu La Kumi - Sehemu ya Kwanza
มุมมอง 20K2 ปีที่แล้ว
Mkristo lazima Aelewe Kuwa Kutoa Kwako Mbele Za Mungu Hauzalishi IMANI bali IMANI ndiyo inayomzalisha Mtoaji. Utoaji Wetu Haupimwi Kwa Asilimia Bali kwa IMANI Fungu La Imani Ndio Maelekezo Ya Mungu... Na Lazima ujue Sadaka Hii mnayoita Fungu la Kumi Ni Ya Mungu Wala Sio Ya Mtumishi...
Kinacho Wachelewesha waKristo
มุมมอง 1.2K2 ปีที่แล้ว
Kinacho Wachelewesha waKristo
Nguvu ya Kufunga na Kuomba
มุมมอง 7K2 ปีที่แล้ว
kuna mambo katika maisha ili yaweze kumuachia mtu haitoshi tu KUOMBA, bali, atahitaji KUFUNGA na KUOMBA ili hiyo hali imuachie. Na kuna mambo hayatatoka kwa kufunga na kuomba tu ila KUFUNGA na KUOMBA na KUTOA SADAKA.
Nguvu ya Neema
มุมมอง 4.3K2 ปีที่แล้ว
NEEMA YA KRISTO INAITAJIKA SANA KWA WALIOMPOKEA YESU KRISTO. SIO TU KWAAJILI YA KUTUPA UWEZO WA KUSAFISHA MAKOSA YETU ILA KATIKA KUTUSAIDIA KUPOKEA VITU KUTOKA KWENYE UFALME WA MUNGU. MWENYE HAKI ANAITAJI SANA NEEMA KULIKO ASIYE HAKI
NAMNA YA KUOMBA MUDA MREFU
มุมมอง 6K2 ปีที่แล้ว
Unaweza Kuchangia Huduma Hii Kwa MPESA 0755640454. TIGOPESA 071927409. AIRTELMONEY 0789186301 Jina ni GODLOVE CHARLES

ความคิดเห็น

  • @mchungajiegidiuskategile5773
    @mchungajiegidiuskategile5773 8 วันที่ผ่านมา

    Hapo shida ni hamanyutics.somo la kutafsiri maandiko

  • @AminaMgode
    @AminaMgode 13 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @bonifacebochela4717
    @bonifacebochela4717 21 วันที่ผ่านมา

    Ngoja awapeleke jehanam, sijui mtajutia wapi

  • @benjaminchuma5468
    @benjaminchuma5468 28 วันที่ผ่านมา

    Luke 12:32 “Do not be afraid, little flock, for your Father has been pleased to give you the kingdom. 33 Sell your possessions and give to the poor. Provide purses for yourselves that will not wear out, a treasure in heaven that will not be exhausted, where no thief comes near and no moth destroys. 34 For where your treasure is, there your heart will be also.

  • @benjaminchuma5468
    @benjaminchuma5468 28 วันที่ผ่านมา

    Mathew 19:21 Jesus answered, “If you want to be perfect, go, sell your possessions and give to the poor, and you will have treasure in heaven. Then come, follow me.”

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 หลายเดือนก่อน

    NYIE VIJANA MNAHITAJI KUFUNDISHWA BIBLIA. MNANIA NJEMA MNABIDII LAKINI KUNAVITU MNAENDA KWENYE EXTREMISM. ZAKA NI YA MUNGU NA MUNGU AMEMPA KUHANI ALE KWA HIYO USISUMBUKE KUMTAFUTA MUNGU ALE ZAKA YAKO WAKATI MUNGUNALISHAMWAMBIA MCHUNGAJI WAKO ALE AMEKUPANDIA VITU VYA SPIRITUAL SIO VIBAYA AKILA VITU VYAKO VYA KIDUNIA AU VYA MWILINI PAMOJA NA YOTE UNAKITU CHA KIMUNGU MDOGO WANGU

  • @EmmanuelMbilinyi-g4f
    @EmmanuelMbilinyi-g4f หลายเดือนก่อน

    Hakika hapo nimekuelewa

  • @mikealberth9921
    @mikealberth9921 หลายเดือนก่อน

    Ameeni, barikiwe sana.

  • @yohanamartin4897
    @yohanamartin4897 หลายเดือนก่อน

    Najifunza hii 2024 ...ni ajabu sana ..MUNGU anipe kuelewa ..MUNGU akubariki mtumishi

  • @user-tx6nz4up5h
    @user-tx6nz4up5h 2 หลายเดือนก่อน

    Kulingana na Waebrani 7 ni kweli kabisa zaka ni kwa sheria sio neema

  • @samwelmsigomba994
    @samwelmsigomba994 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe kaongo kweli, hivi haya mafundisho mnapopolewaga wapi?

  • @mamakendrick7538
    @mamakendrick7538 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona title ya hii mesej imekuwa twisted? What this man of God said is different from the tittle. The man is right! The tittle is wrong

  • @josephshiyo8356
    @josephshiyo8356 2 หลายเดือนก่อน

    mafundisho ya UONGO kabisa, upotoshaji wa makusudi kabisa

  • @florenceflorence1170
    @florenceflorence1170 2 หลายเดือนก่อน

    Malaki 3:10:11.iende kanisani 2corithians. 9::12 iende kwa watakatifu 2corithians 9:8:9 iende ended kwa maskini 1wafalme 17:10:14 kwa watumishi 1corithians 6:7:14 iende kwa wajane

  • @charlesmayellah7818
    @charlesmayellah7818 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu saidia kiumbe hicho hatari

  • @conyongo1922
    @conyongo1922 3 หลายเดือนก่อน

    Bwana atusaidie

  • @rehemafyumagwa8005
    @rehemafyumagwa8005 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu tupe nguvu maana kuna mengi siku za mwisho

  • @SusanaSimoni
    @SusanaSimoni 4 หลายเดือนก่อน

    Hajasoma kitabu cha waebrania 7:1-11,pia 1korinto.16:1-2

  • @SusanaSimoni
    @SusanaSimoni 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mpuuzi kama umeshindwa kufuata neno la mungu muumba omba ufe acha stori chafu wewe

  • @user-mw9ls6ic1q
    @user-mw9ls6ic1q 4 หลายเดือนก่อน

    Biblia ni kubwa sana kama unafikiri umefuzu utakuta kunamwingine anaibua kingine fanya unacho jua hakuna mkamilifu ktk Dunia hapa

    • @benjaminchuma5468
      @benjaminchuma5468 28 วันที่ผ่านมา

      Kumbuka maneno ya Musa katika Kumbukumbu la torati 18:15-19

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 4 หลายเดือนก่อน

    Hatuachi ngoooo acha wewe ili upigwe vizuri tena ushindwe na mafundisho yako potofu.Hizi ni siku za mwisho mshindwe na uongo wenu wa kuzimu

  • @dantez8775
    @dantez8775 4 หลายเดือนก่อน

    Tamu sana yes, nakubaliana 100%

  • @user-gj3ul7xd7w
    @user-gj3ul7xd7w 4 หลายเดือนก่อน

    Amiina sana mtumishi tunabalikiwa kwa ujumbe mzuri nimeupata Yesu kristo wanazaleti Alie hai atukuzwe

  • @apostlejamesuploads6786
    @apostlejamesuploads6786 5 หลายเดือนก่อน

    Read more brother Genesis 28:22 and remember that Melchizedek wasn't a priest don't go against our fathers of faith

  • @EliyaMwangobe
    @EliyaMwangobe 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu amefunuliwa kweli yote ! Maana hata kwa agano la kale zaka hawakupatiwa makuhani peke Yao Bali yatima, wajane , wageni na maskini kumbu 14:29, kumbu 26:12-14

    • @sophiajonas2090
      @sophiajonas2090 4 หลายเดือนก่อน

      Mimi kazi yangu Ni kutoa imetumikaje hayanihusu

  • @beatricechebon7511
    @beatricechebon7511 5 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @hirdahaule-qe8ot
    @hirdahaule-qe8ot 5 หลายเดือนก่อน

    Wew acha uongo soma malak 3 :10 atuachi kutoka Dhaka

  • @asheryruboze4930
    @asheryruboze4930 6 หลายเดือนก่อน

    ❤kutoa fungu la Imani iko vizuri.je matumizi yake ktk Imani yakoje?

  • @eustelachiwanga3470
    @eustelachiwanga3470 6 หลายเดือนก่อน

    Ikiwa fedha nimekopa kwa kusolve changamoto fulani na au nimepewa zawadi nayenyewe inatakiwa kutoa fungu la kumi?

  • @user-cq1rk4eo4o
    @user-cq1rk4eo4o 7 หลายเดือนก่อน

    MKONO WA BWANA YESU UKUTANE NA WEWE

  • @erasmobenardsangu-1854
    @erasmobenardsangu-1854 7 หลายเดือนก่อน

    iviwewe kijanauna takanini kwa mngu ahanimejuwa una bifunawa wachu ngaji waache ware mana niseemyao utako ndasanakijana sipcti mkowap

  • @erasmobenardsangu-1854
    @erasmobenardsangu-1854 7 หลายเดือนก่อน

    shidayako kaka aunaera utatoa nini wanaotowa wanavyo. wamepewa namngu

  • @mycowillyzwilliam8056
    @mycowillyzwilliam8056 8 หลายเดือนก่อน

    Nilikuwa nakukubal sana..kumbe tatzo wewe

  • @MarthaZabron-gg3uj
    @MarthaZabron-gg3uj 8 หลายเดือนก่อน

    Leo watu wanavunja misingi ili kujenga yao 😭

  • @JamesMtizi
    @JamesMtizi 8 หลายเดือนก่อน

    Be blessed servant of Living God

  • @RebecaMaloda-xx2qm
    @RebecaMaloda-xx2qm 8 หลายเดือนก่อน

    Fia mbali hatuachi kutoa

  • @BarackaSeleman
    @BarackaSeleman 8 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi umetumia utafiti upi wewe kijana mdogo uje na mafuno hayo kwamba tusitoe zaka mtumishi tafuta shamba ulime huduma imekushinda

  • @livinganselim8435
    @livinganselim8435 9 หลายเดือนก่อน

    These are the end days kweli, mafundisho ya uongo yataenea na wengi watapotoshwa. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @user-xq3xr9ui1w
    @user-xq3xr9ui1w 9 หลายเดือนก่อน

    Kuna makosa mengi sana kwenye Tafasiri za maandiko, mfano maana ya Kuhani, tafasiri ya mfalme na kuhani kwamba ni watu wawili tofauti...inatakiwa kuelewa pia hayo maandiko kwenye kitabu cha Waebrania Mungu alikuwa anazungumzia nini...all in all mpokeaji wa fungu la 10 sio kuhani peke yake. Hili fundisho Apostle jifunze kwa watumishi wengine. Ni kweli wewe ni mtumishi wa kweli wa Mungu sio kama watu wasemavyo kuwa wewe ni mtumishi wa uongo ila kwa fundisho hili kuja mapungufu mengi.

  • @NzeyimanaEric-e3x
    @NzeyimanaEric-e3x 9 หลายเดือนก่อน

    uko sahihi brother amli 10 zamungu fungu lakumi haimo 😂 sisi ni bone again so how come

  • @MariamMganga-ss9mm
    @MariamMganga-ss9mm 9 หลายเดือนก่อน

    Mbona mada yake,, haina mashiko?? Usituharibie imani

  • @williamntungilahe5598
    @williamntungilahe5598 9 หลายเดือนก่อน

    Wewe ndiyo mptoshaji. Usiyetoa ni wewe sisi tutatoa

  • @user-zu1in2yf1n
    @user-zu1in2yf1n 9 หลายเดือนก่อน

    Unaijua biblia au niuwakala wa shetani,okoka usipookoka utakuja kujuta.

  • @neemaisack340
    @neemaisack340 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 9 หลายเดือนก่อน

    Nimesikia upako.juu.ya haya maongeo

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimekuelwa

  • @diananaswa4842
    @diananaswa4842 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤nmekupata vemaa

  • @Josephinechaimwanzije-it6qu
    @Josephinechaimwanzije-it6qu 10 หลายเดือนก่อน

    Kweli mchungaji unanibariki

  • @johakimmarko5751
    @johakimmarko5751 10 หลายเดือนก่อน

    Ahha zaka lazima apewe mtu aliye juu yako. Mafundisho ya byakati za mwisho ndio haya kwaiyo siyashangai

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 10 หลายเดือนก่อน

    Haya mambo ya zaka anania na mkewe walifia madhabahuni mwangalie sana