- 22
- 181 436
Valentine Oseso
เข้าร่วมเมื่อ 10 ก.ย. 2014
Simplified Kiswahili lessons for form 1- 4
TUMBO LISILOSHIBA. Zawadi kwa wanafunzi wote. KIDEGE
Hadithi hii imeaangaziwa kwa njia iliyo rahisi sana kwa mwanafunzo wa kiwango chochote...
มุมมอง: 1 061
วีดีโอ
Vitenzi na Nomino
มุมมอง 6K4 ปีที่แล้ว
Kipindi hiki kimeendelezwa kwa njia sahili na nyepesi zaidi ili kuwasaidia wanafunzi wote wenye uwezo mseto
Vivumishi na viwakilishi
มุมมอง 7K4 ปีที่แล้ว
Video hii imeagazia Vivumishi na na viwakilishi kwa kina pamoja na njia za utahini.
Shibe Inatumaliza Sifa za wahusika
มุมมอง 3.8K4 ปีที่แล้ว
Sifa na umuhiwa wa wahukia katika hadithi ya Shibe Inatumaliza
Maudhui katika hadithi ya Shibe Inatumaliza
มุมมอง 6K4 ปีที่แล้ว
Uchambuzi wa Hadithi ya Shiba Inatumaliza
Wahusika katika Chozi La Heri.
มุมมอง 7K4 ปีที่แล้ว
Wahusika na namna ambavyo wanahusiana katika jamii ya Chozi la Heri
Kazi nzuri walimu kwa kuwasaidia vijana katika somo hili la kiswahili.
Ulitaja 24 tu ongeza hayo mbili iwe 26
Pia /y/ haiko kwenye ubao mwalimu
Samahani /r/ haukutaja kwenye ubao
😢
Kazi nzuri mwalimu. Maelezo yako yamewasaidia wanafunzi wangu sana. Naomba unisaidie notes ulizotumia tafadhali
mwalimu si unitumie karatasi za kiswahili ya kwanza na ya pili na tatu
Nashukuru sana mwalimu 🎉
thanks for kiswahili
asante sana mwalimu
Nashukuru mwalimu
Shukran mwalimu tumeona matokeo ya kazi yako
Asante sana mwalimu
You are an amazing teacher. I appreciate your zeal in Kiswahili. Clear and precise. Kazi sheshe
Thanks for teaching us kiswahili,you make me understand it better
Na karibu jibu langu NI juu ,nyuma
Shukran mwalimu
Samahani majibu y maswali unayo Tupa yapo mwalimu
Hello Mwalimu akh mbona ulipotea hivi plz post new videos huwa unatusaidia xana
Kazi nzuri mwalimu @valentine oseso. Naomba tu kujua iwapo mzizi wa neno 'shangilia' ni 'shangili-' au ni 'shangil-'
Kazi nzuri sana
Akh Mwalimu mbona ulipotea
Mwalimu wangu. Oseso. Mfunze brother wangu. Kijana wa 4p
Great job 👍
Mwalimu asante kunifundisha sasa nazihelewa
Kazi mufti. Nitaainishaje neno 'Apendwaye'
a- nafsi ya tatu umoja pend- mzizi w- kauli ya kutendwa a- kiishio ye- kirejeshi 'o' tamati
Good Teachings !!keep it up!!
Helped a gamer
Habari mwalimu naomba unisaidie ili swal kila kiambishi ni mofu lakini si Kila mofu ni kiambishi.thibitisha kauli hiyo kwa hoja sita ,kila hoja iwe na mifano sita ya maneno ya kiswahili yenye asili ya lugha ya kiarabu
SAUT students 😊
@@bizzydecharles9621😂😂😂😂🎉😢
kazi ya ka katika a-ta-ka-ye-m-som-esh-a ni nini tafadhali?
Asante mwalimu
Nimepanda unavyofunza
Mwalimu 2naweza wasiliana
Nitumie nambari ya simu
nashkuru sana mwalimu
Kazi kuntu mwalimu mwenza 👏👏
Nashukuru sana
Asante mwalimu
Swadakta mwalimu
sauti /f/sifa zake ni gani
Asante sana
Asante sana mwalimu kwa somo
Samahani mwalimu naomba unisaidie hili swali sio kila kiambishi ni mofu lakini si kila mofu ni kiambishi thibitisha kauli hii kwa hoja tano
Mwalimu samahani naomba unisaidie hili swali. Kila kiambishi ni mofu lakini si kila mofu ni kiambishi thibitisha kauli hii kwa hoja tano
Mwalimu samahani naomba unisaidie hili swali. Kila kiambishi ni mofu lakini si kila mofu ni kiambishi thibitisha kauli hii kwa hoja tano
best teacher ever
Wow its shocking that apart from biology you can teach kiswahili
Mwalimu unafundisha vizuri.
Kazi nzur
Mwalimu unaweza kuchambua nguu za jadi kama riwaya ulioputa🙏🙏🙏
My kiswahili teacher is called khiemba I really love him and kiswahili become my best subject ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤