AA huyu mtoto Yuko vizuri Sana mashalla Baba Joan KAZi nzuri Sana Ila Mimi kila Ninapo tizama natoka machozi ila epi sudi ya 10 ndo nimechoka Sana Baba kalobo anataka unyumba😂😂😂😂
kama kawa team chap chap team wifi huwa tunawahi from Kenya mama karobo jameni kiboko yao then ba karobo twakukubali huku kenya any Kenyan in the house after kula teargas 😂😂😂😂
Daa Uyu mwamba , namshauri akipata pesa Asje kujiskia na kujiona Ster atakuja kuharibu Bora Ajiona hivi hivi atafanya kazi mzuri na kuwa na kipato Zaid ya str
CHECK US ON WHATSAP THROUGH THIS NUMBER +255768861318
WE ARE HAPPY TO HAVE YOU OUR FAMILY GOD BLESS YOU
Hongeren kwa Kaz mzur mungu awatilie wepes
We are family now
😢😮😊
I personally appreciate what you're doing baba kalobo, but I think ile swag 50 minutes nadhan ulikuwa poa sana kuliko 30 minutes. Ni maoni 2
We too we appreciate your concept ❤
🎉🎉nakuku bari Kaká amakweri wee ni noma 100%kweri mi nipo msumbiji 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
kazi nzuri sana bba karobo nawapenda sana ❤
Kazi nzurii kaka anguu mungu awaongoze jamn pia na mm naomba kazi ya uigizajii jamn 😢😢
Wawooooo vizuli saana sim imepatikana kweli adi laha baba baba karobo anaenda kuona kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri kakangu🙏 wapi likes zangu kutoka kenya🇰🇪
ⁿᵈⁱᵒ ʰⁱʸᵒ❤
Like sio zako we mpe like Baba Kalobo
😮😮😮Yooh
@@numpefikimwaipopoh sai 3:38 want you mama I❤❤❤😅😅😅😅 3:59
@@numpefikimwaipopoon
Wow 😲😲 baba karobo anaenda kupona,hatimae ushahidi umepatikana,
Vjmnwe
Kazi nzuriii sana baba karobo kutoka dodoma Tanzania ❤
❤ Wueeeh😮. I can't wait for the next episode. The one and only Representing Mombasa Kenya 🎉❤❤
Ndo kufika xaaa hiii wapii mafsns wa zujati kutoka tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥💯
Wow kipindi hiki kitamu. Mwenye anaenjoy kama Mimi nipe like tafadhali
Mimi napeda zujeti aki❤❤❤❤❤❤ nigeoba awe wiifi yangu kwetu kenya wagapi munamupeda like hapa kwa wanaume wa kenya hii mali safi
Mm ❤❤😢😮
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa wa baba Karobo hebu nione nitafikisha 1000 leo
Mimi ap kutok oman
Congratulation Big man mister Jacob you are strong and god bless nini wote weko kwenye hii move nawasalimu
From Congo RDC
Nimefurai juu hiyo simu imepatikana natama sana baba karobo aone movie nzuri kabisa❤
Leo nimekuwa wa kwanza kutok Burundi mnipee like zangu wakuu
💞💯🎉🎉🎉💖💖💖💖💝💝
@@GraceOmar-nj5uv thx
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
AA huyu mtoto Yuko vizuri Sana mashalla Baba Joan KAZi nzuri Sana Ila Mimi kila Ninapo tizama natoka machozi ila epi sudi ya 10 ndo nimechoka Sana Baba kalobo anataka unyumba😂😂😂😂
nampenda Sana sojatiy ❤❤❤mtoto mrembo nitampata wapi aki🇰🇪naombeni laiki 100 kwaniaba ya sojatiy love my sweet❤❤❤
Kazi nzuri jamani Mungu awabariki🎉🎉❤❤❤❤
Baba karobo wewe ni Mwamba hakuna atakayekutingiza jameni likes Kwa wingi🎉🎉🎉❤❤❤❤
Awe ivyo mana picha yenyewe inaruhusu ivyo mana anateswa 🎉🎉 anaekubaliana Nami agonge like 👍 hapo
Aaaha leo mm wa pili naomba like zangu
Wow nice simu imepatikana finely 😂😂😂
Vidéos nzuri kuko zingine akuna sauti muzuri mimi Jackson toka DRCongo
Mie kutoka Burundi nimesha fika kwa coment ya153 namkubali baba kalobo una script nzuli sana
Gongeni likes tumuonyeshe upendo baba kalobo❤
Jaman hongera sana kazi nzuri na mnatuma kazi Kwa wakati mpo njema sana
❤
Aisee kaka unaweza mungu akufanyie wepesi kazi yako kaka 🎉❤❤❤❤❤❤❤
😀😀😀😀😀😀 mableach kszi unsyooo etii umfukuzeee huyuu jamaa vip kazi mnayoooo
Kazi nzuri sana kaka, Kenya we love you brother😍🙏
😮
Good dad j God bless your work and also May God protect you all nawapenda ❤❤❤
Kazi safi sana kaka, endeleeni hivo hivo
Wewe mama kalobo utatujua sana na huo mchipuko wako simu tumeipata jamani mdomo tutakata 😂😂😂😂 like kama 19 hivi team baba kalobo
From 🇺🇸 nimeway like 10 tu
❤ from 254 nawapenda sna naomba like wakenya wenzangu❤❤❤
@Josiah Mokenye from Kenya pokea likes zenu
Tuko pamoja ❤❤❤❤
Za nini sasa??
Napenda baba karobo tu me rends heureux quand je regarde votre films ❤
Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Watching from Kenya
Much love from Kenya 🇰🇪
Yan huyuu dadaa anafanisha zujat eti fashien hakutakiii. Zujat mzuri shap shape kweli mm hapo kanipita kidogoo
kama kawa team chap chap team wifi huwa tunawahi from Kenya mama karobo jameni kiboko yao then ba karobo twakukubali huku kenya any Kenyan in the house after kula teargas 😂😂😂😂
Kazi nzuri ila zaujati wah... Kituuu.
Watching @saudi Arabia
Daa!! Yaani mama karobo wee like zake❤❤🎉🇰🇪
Tunao tumia wifi zawa ruguru tujuane 😅😅😅😅😅kwa makopa ❤❤❤❤❤
tupooooo🤪
😂😂tupo
Eeeeewaaaaaah
Mmn kalobo feki anawez uwowujing wak wunamupendez🎉🎉🎉
Mimi kutoka burundi naomba like na nampenda sana baba karobo na karobo
Big up sana team baba kalombo pamoja sana mwanzo mwishooo
Kazi safi babake karobo nawapenda nyote hongereni team karobo drop maua yake hapa🎉🎉🎉🎉❤❤❤
😅
😢
Mi sitaki like Ila naipenda hi history baba kalobo hongel Sana mama kalobo utakoma simu imepatikana weeeeer❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza kutoka Bujumbura nahomba liké ❤😂
Good job baba kalobo❤❤
Waoo congratulations 👏 kakangu 🎉unatufuza Jambo am from Kenya
From Kenya love your movie Baba Joan ❤
Had kenya
Mm hapa wa kuchelewa kutoka kwa mtukufu William.likes kwa kazi nzuri as a team
Yangu hapo ya kwanza
Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 200
We unataka 200 za kwako!we huogopi?😂😂😂😂
Thanks you ni Alfred kutoka kenya nasemaje saa umeshika rada angalau tunaunganisha tamthilia ipasavyo kazi njema Baba Joan kila la heri
Warembo nao Bana karobo daaa umechagua wameshona😂😂
From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nataka like ❤❤❤❤
@@OdetteNITUNGA-qy3vk tushakupea
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮@@ismaeltumaini8171
❤
Wakwetu🎉🎉❤❤
kazi nzuri nimefuatilia tangu mwanzo,,, kenya locked
Kazi nzuri😊😅😅😅
Baba karobo big up Sana 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤oya series nzuri Sana 🎉❤🎉❤🎉
🎉
Vizuri sana kabisaaa nile i prend ivi n'a taka likes zangu Ku toka Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kazi safi kaka
Mr uhakika from tz 🇹🇿🇹🇿
Daa Uyu mwamba , namshauri akipata pesa Asje kujiskia na kujiona Ster atakuja kuharibu Bora Ajiona hivi hivi atafanya kazi mzuri na kuwa na kipato Zaid ya str
🎉🎉
Kama unampenda baba karobo nipe likes hapa
Wauu l like this from kenya
🎉
Mmw
Aki leo nimechelewa lakini kazi nzuri ❤❤❤
Mi leo wakwanza natamani sana nipate nafasi ya kuigiza nanyi
Usjali one day yes
Watching from🇰🇪🇰🇪🎉🎉🎉
Kalobo apewe tuzo ya chipukizi boro wa mwaka
Kazi nzur sana kaka,
Muongeze episodes.
Muwe mnaweka hata 2 Kwa pamoja.
Niombi langu.
Mi broo baba karobo kazi yako nzuri sanaaa chukka maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ naomba hata kalikes kamoja tu😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
@@user-tj6pl1lz5b 😅😅
Timu Baba karobo gonga like🎉
Kazi nzuri naomba like ata moja
Karobo akona sim kwamfuko 🙆🇰🇪🇰🇪🇰🇪
munafanya kazi nzuri sana hongereni
❤❤❤🎉🎉🎉ila huyu mama karobo dahh angekua dada angu vibaooooooo😢
Yani hongera sana movie hii
Kazi nzuri sana nimejifunza mwanamke siyo mtu nikitu zaifu
Kazi nzuri sana nilikuwa naisubr kwa hamu ila huyu mwanamke hana roho mbya sna
Angekua hana roho mbaya. Acngempa upofu Bb Karobo bana….
Jamani sioivo ye anarikisha ujumbe move ndoipangwa aweivo musimushutumu bure uwasiliya kunawatu wakoivo
Mama kalobu ni shetani
IKO wapi like ya Congo🇨🇩
baba joan badilisha hizo nguo,kama na wewe unasema abadilishe nguo gonga like hapa.
Anaigiza uhalicia hawez kubal nguo ata haribu nea2re ya mv
@@LilianeJoakim vipofu kibao huku mtaani wanabadilisha nguo,kwanini yeye asibadilishe,acha kuongea kitu ambacho hukijui,uhalisia gani kwahiyo vipofu hawabadilishagi nguo?
Hana wa kumshughulikia ndio habadili nguo
Yaani matunzo mke mwenyewe ndio hivyo ukali tu mda wote😂
Kutoka Congo 🇨🇩 nampenda nupty kusema kwelii
Nikupe namba akee au
mm wa kwanza kutoka kenya sitaki like lkn napenda hi story xna
From zambia nataka hâta likes tana❤😂
Jmn mov tamu San lkin mnachelewesha San mwendelezo jmn baba joan
Nimefurah San simu kuwa mikononi mwa Mr Lahasa
Kaz nzur saan baba joani
Zuliati nenda kwa mganga wa kihenyeji
Kazi nzuri mmejitaidi japokua Kuna vimakosa kidogo ila mmejitaidi pongezi kwenu
Nimechelewa lakini naomba likes zenu I'm from Kenya
Natamaana sana baba karobo apone, kumbe bado wapo watoto ambao wana mapenzi ya dhati? Dada zuu hongera saana kabisa
Yaani nilisubiriya muda nyingi sana inshallah 🙏🏿🙏🏿 naombeni like yangu jameni kwa Ku jiunga ku sapoti baba karobo
Good luck ❤❤❤❤
Kazi nzuri baba karobo na mama karobo
WA 16 Leo aiseee hii move inanihuzunisha
Wakwanza Leo kutoka Kenya ❤
Hata mimi nimewai 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yaani karobo atoi nguo za shule, ba karobo nae shati ni hilo hilo jamaani
😅😅
From kibahaa sitak like ila tumpongozee mama karoboo 🔥🔥
Kwa lipi??😯😯
@@umfahad2609 yupo serious kazini kwake kuna kazi
Watu hamtulii dah haya mmeniwahi