La pili Empompo Deese alifariki siku sita tu baada ya kifo cha Mpongo January 21, 1990. Franco alifariki Oktoba 12 1989, hivyo mwaka mmoja baadae Oktoba 1990, Empompo asingeweza hudhuria onesho la OK Jazz alikuwa amekufa tayari. Sijui unatoa wapi historia hizi. Nakushauri nunua mtandaoni kitabu kinachoitwa Rhumba on The River cha Gary Stewart ambacho ni Encyclopedia ya Muziki wote wa Congo toka 1930s mpaka 2000. Kuna historia kamili aliyofanya na wadau na wanamuziki wote wa Congo. Kuna hatari tukawapotosha Vijana wanaokuja baadae tusipokuwa makini
Huyu mtu kava is fani empompo lowai anaita empopo na franco hakuwa anaitwa lukanga bali ni lokanga lwanjupene lwambo makiadi hata stori ana potosha baadhi ya sehemu
Empompo Deese alifariki siku sita tu baada ya Mpongo January 15 1990. Franco alikufa Oktoba 12 1990, mwaka mmoja baadae Oktoba 1990. Empompo Deese asingeweza hudhuria onesho la OK Jazz alikuwa amekufa tayari. Kuwa makini kuna hatari tukawapotosha Vijana wanaokuja baadae tusipokuwa makini
Legend never die. Love u mama
Wow nawapenda kwa ufanisi wenu malkia mpongo love bado tunamuenzi
jumapili ..kuanzia sangapi
🙏❤️🙏
Sir,you got it wrong, that song, “ ndaya “ was composed by Mayaula Mayoni,do a bit of research about it
Great work when I hear this song I remember a lot of things
May her soul continue to RIP, loved ones will never be forgotten, they remain in our hearts forever
Mpongo love una sauti nzuri sana na itabakia kuwa hai daima. kaka salama peponi. amina
Wimbo Ndaya pia hakutunga Mpongo na sio wake. Mtunzi ni Mayaula Mayoni
Dah nilikuwa mdogo Sana wimbo Mauri kama alivyo mwenyewe na Saudi nzuri
RIP
😭 RIP
Jimmy hujafanya utafiti wa kina. Mpongo alizaliwa Agosti 27,1956 na sio 1960 na kufariki January 15,1990
La pili Empompo Deese alifariki siku sita tu baada ya kifo cha Mpongo January 21, 1990. Franco alifariki Oktoba 12 1989, hivyo mwaka mmoja baadae Oktoba 1990, Empompo asingeweza hudhuria onesho la OK Jazz alikuwa amekufa tayari. Sijui unatoa wapi historia hizi. Nakushauri nunua mtandaoni kitabu kinachoitwa Rhumba on The River cha Gary Stewart ambacho ni Encyclopedia ya Muziki wote wa Congo toka 1930s mpaka 2000. Kuna historia kamili aliyofanya na wadau na wanamuziki wote wa Congo. Kuna hatari tukawapotosha Vijana wanaokuja baadae tusipokuwa makini
Alikuwa mgonjwa?
Naikubali sana hii nyimbo
I looooove this song very much
Beautiful soul 💖
For me Lata mpongo love still alife love u mama
Wimbo huu nausikiliza zaidi ya mara 8 kwa siku lkn bado hauishi utamu daah vipaji vilikuwapo zamani!
Inapendeza Sana !!
look alike na Angela chibalonza are they sisters continue resting in peace mama
Great work
Great work, bro
I admire the lady.
😭😭😭😭😭😭kumbe Alisha kufa jamani😥😥😥😥
Kaka maman mpongo love kazaliwa1956 sio 1960 no
Kado na uu wimbo uu, aliimba nyimbo igine gani
Words of wisdom
Here is not our home.
Waw, rip legend
RIP mpongo Love
Long live mpongo love
R. I. P MPONGO LOVE
I Love your show from Kenya, Do you have an online radio too?
Beautiful lady ❤️❤️💓💞❤️💕💋
Rest in peace 🕊️🕊️⛈️⛈️⛈️
Empompo alifariki January 21 1990
nyimbo hi nzuri asilimia zote
Continue resting in peace mamaaa
Huyu mtu kava is fani empompo lowai anaita empopo na franco hakuwa anaitwa lukanga bali ni lokanga lwanjupene lwambo makiadi hata stori ana potosha baadhi ya sehemu
Hay, don't address to Tanzanian only,include even us Kenyan ,Sisi ni Wana Africa mashariki
Maisha hakika ni muda
Empompo Deese alifariki siku sita tu baada ya Mpongo January 15 1990. Franco alikufa Oktoba 12 1990, mwaka mmoja baadae Oktoba 1990. Empompo Deese asingeweza hudhuria onesho la OK Jazz alikuwa amekufa tayari. Kuwa makini kuna hatari tukawapotosha Vijana wanaokuja baadae tusipokuwa makini
Luambo alifariki oktoba, 12,1989 sio 90
Kwani was she from Tanzania?
No DRC
Inapendeza Sana !!