Dheikh alowachwa talaka 3 na mjamzito anafaa mume kumpigia sim kila Mara kuongea nae na kumtembelea na akijifungua ende akamtizame aongee na mtalaka kama kwamba hawakuachana eti sababu mjamzito na mtoto na anahitajia ampe matumizi yote nyumba namatumizi yake yote au mtoto tu anahitahi nafaka sheikh hili jambo sana lina tatizo naomba ufumbuzi ili tuelimike
Barakallahufiyka
Nafaka matumizi
Nafaka ni nini?
Matumizi
Dheikh alowachwa talaka 3 na mjamzito anafaa mume kumpigia sim kila Mara kuongea nae na kumtembelea na akijifungua ende akamtizame aongee na mtalaka kama kwamba hawakuachana eti sababu mjamzito na mtoto na anahitajia ampe matumizi yote nyumba namatumizi yake yote au mtoto tu anahitahi nafaka sheikh hili jambo sana lina tatizo naomba ufumbuzi ili tuelimike
@@fofoharthy6625 ai ruhusiwi mwanamke kupewa talaka na mimba