Me swal moja kwa sheikh kishki samahan me nilikuwa nauliza hivi je ikitokea safr yako imekutana na swala zaidi ya mbili unafanyaje ?? Kwa mfano alfajir upo safarini na ukafika safar yako magharibi unafanyaje?? Hapa kdg kuna khitilaf alaf pia umeenda safarini kimasomo let say dodoma na ikafikia siku mnafanya mtihni may be swala ya alasir ikakutana na magharibi upo kweny mtihan unafanyaje????? Msaada please
Km upo safarini ni ruksa pia kuswali kwenye gari. Kwahiyo km alfajir ulikuwa bado hujaswali ukawa umepanda gari basi utatayamamu km huna udhu kisha utaswali hapohapo katika siti yako. Kisha ikifika adhuhur utaswali km alivyoelekeza sheikh ima kwa kuunganisha na alasir(jamu'a takdimu) au utasubir alasir ifike kisha uswali adhuhur na alasir(jamu'a taakhir), vivyohivyo km magharib itakukuta kwa gari.
Asante shekh kishk kwa dar saa
Mashaallah tabarak Allah ❤
Shukran kwa mafundisho haya umetufunza kitu
Je unaweza kuwasha swala ya said ya siku
Mashallah ❤
Na wetr ujasema shekha
Mashallah Allah akubark zaid 🙏🙏
MASHA ALLAH
Kweli sheikh mashaallah
Na sisi tulikua nje ya nchi kwenye kazi mkataba wa miaka 2 inakuaje
Nimelipenda swali lako ni muhimu kujua
Ngoja tusubiri aweza kujibu hapa Shekh tukapata faida sote
Hata mm nataka kujua pia
Hata na mimi natamani kujua kuhusu sisi tuko inchi za kiarabu
Alla haitambuwi ibada ya mtu asiokua na elimunayo,hilo suali lako ulitakiwa ulijue kabla ya hiyo safari yako ili ujuwe unafanyaje,alla atusaidie
Umeenda inje ya inchi na unajua utakaa huko mda kadhaa unaswali rakaaa zote bila mapungufu
Shehe tuweke sawa na sisi tulio nchi za watu zaid ya miakoa 2. Ila mm kama mm ninaswari kawaida tuu sipunguz ebu tuweke sawa shehee
Assalaam alykum shekh, ukishafika huko safarini hauruhusiwi kukusanya swala??
Mashalllah
Wangine tuna myaka 5 warabuni na sisi tusali safar?
Kwani kabla ya sheikh kujibu muda wote huo munasali vipi?
Sijaelewa kabisa magharibi tatu ishaa mbili yaani unaswali mara mbili isha na magharibi mara tatu
@aminahamza5386 magharibi unasali rakaa mbili na insha una sal rakaa mbili
Me swal moja kwa sheikh kishki samahan me nilikuwa nauliza hivi je ikitokea safr yako imekutana na swala zaidi ya mbili unafanyaje ?? Kwa mfano alfajir upo safarini na ukafika safar yako magharibi unafanyaje?? Hapa kdg kuna khitilaf alaf pia umeenda safarini kimasomo let say dodoma na ikafikia siku mnafanya mtihni may be swala ya alasir ikakutana na magharibi upo kweny mtihan unafanyaje????? Msaada please
Km upo safarini ni ruksa pia kuswali kwenye gari. Kwahiyo km alfajir ulikuwa bado hujaswali ukawa umepanda gari basi utatayamamu km huna udhu kisha utaswali hapohapo katika siti yako. Kisha ikifika adhuhur utaswali km alivyoelekeza sheikh ima kwa kuunganisha na alasir(jamu'a takdimu) au utasubir alasir ifike kisha uswali adhuhur na alasir(jamu'a taakhir), vivyohivyo km magharib itakukuta kwa gari.
Sheikh hili limekaaje navyojua safar inaanzia km 13 mpka 15
Rudi usome shekh unakosea sana
Kosa lake lipi hebu ainishi.
Usionishi Chuki had apa.
Naombaa utuelekezee shekhee kakoseaa wapi tupate elimu na ss
Hiyo kusema safari ni kilometres ngapi wapi dalili
Asome hadithi za swala ya safari asitoe maelezo
Shekhe hapo cjapaelewa kwani siwezi kutayamamu nikiwa kwenye gar nikaswali
Unaweza. Pengine alisahau tu kuweka bayana hiyo nukta lakin hana maana kwamba kwenye gari hairuhusiwi kuswali ukiwa safarini
Twambiye wewe ulosoma inakuwaje