Soma kwanza usikurupuke. Mayahudi waliabududu ngombe pale Nabii Musa alipowaacha na yeye musa kwenda mlimani kupokea amri kumi ten commandment. ngombe huyo mpaka leo anaabudiwa katika nchi za ulaya anaitwa golden calf
Shehe umekosea kumjibu masuali yake kwasababu wao wanafurahia kua Quran inawatambua kama wakiristo kumbe sokweli ila tafsiri yawanao itafsiri Quran ndo wanao Weka hilo neno kristo Quran inaita ahlul kitabu sasa ninani ahlul kitabu ahlul kitabu ni wislamu enzi ya nabii Musa wislamu enzi ya nabii Daudi waislamu enzi ya nabii Issa nasisi ni waislamu katika enzi ya mtume Muhammad swalla llahu alayhi wasallam
@@hhlkll9160 endeleeni kudanganyana ila niwazi muhammad ndiyo mwislam wa kwanza MUHAMAD NDIYE MWISILAMU WA KWANZA. Quran 39:12 muhammad ndiye mwislam wa kwanza. Quran 6:14 Muhammad anasema yeye ndiye kaamrishwa kuwa mwislam wa kwanza.
Mdahalo safi sana unahamasisha kusoma zaidi ili kuwa na uhakika katika kujieleza
Maa Shaa Allah walio vaa uniform ni wanafunzi kama kawaida
Pilingu kajipilinguaaaa uuuuwi
MashaAllah 👍
MashaAllah
Uslamu kama jua shining everywhere
Hakuna mahali injili n y wakristo
Hawa Wakristo bhana wanapigana vikofi bila kuzingatia, ndio maana wana mioyo migumu
.
9
🈵🈯
Myahudi anaabudu ng'ombe? Kweli waislamu mbugilambugila
Soma kwanza usikurupuke. Mayahudi waliabududu ngombe pale Nabii Musa alipowaacha na yeye musa kwenda mlimani kupokea amri kumi ten commandment. ngombe huyo mpaka leo anaabudiwa katika nchi za ulaya anaitwa golden calf
Brother Ali hao wakristo kukurupika ndio sifa Yao hata kwenye huo mdahalo si umewaona ni kuwaombea wapo gizani alaf hawajijui inaskitisha sana
Shehe umekosea kumjibu masuali yake kwasababu wao wanafurahia kua Quran inawatambua kama wakiristo kumbe sokweli ila tafsiri yawanao itafsiri Quran ndo wanao Weka hilo neno kristo Quran inaita ahlul kitabu sasa ninani ahlul kitabu ahlul kitabu ni wislamu enzi ya nabii Musa wislamu enzi ya nabii Daudi waislamu enzi ya nabii Issa nasisi ni waislamu katika enzi ya mtume Muhammad swalla llahu alayhi wasallam
Acha uongo wewe Muhammad ndiye mwislam wa kwanza nasiyo manabii walio mtangulia au nikepe Aya 😂😂😂
Kutaja ukristo sio kutaja Dini kwani ATA shetwani alitajwa
@@georgekimasaofficial1629 Una laaanawewe
@@hhlkll9160 shetwan mwenyewe sini mwislam alisilimishwa na bwana mund au nikupen ushahidi 🤣🤣🤣🤣
@@hhlkll9160 endeleeni kudanganyana ila niwazi muhammad ndiyo mwislam wa kwanza MUHAMAD NDIYE MWISILAMU WA KWANZA.
Quran 39:12 muhammad ndiye mwislam wa kwanza.
Quran 6:14 Muhammad anasema yeye ndiye kaamrishwa kuwa mwislam wa kwanza.
Hili kongamano lini had lini
lina andaliwa tena itatajwa tareh