NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มี.ค. 2022
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE
    #Bonatv #Exclusive
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 482

  • @lindakibanga996
    @lindakibanga996 2 ปีที่แล้ว +116

    Japokuwa niko upande ule mwingine lakini siwezi kuacha kusikiliza nyimbo nzuri, your the Real king

  • @amanirazalo4338
    @amanirazalo4338 2 ปีที่แล้ว +5

    Aise jamaa anasauti nzuri karibu kwenye ufalme wa Mungu kwa ajili ya kumtukuza Mungu kwa njia ya gospel

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 ปีที่แล้ว +4

    Ukweli goma la utu linanikosha Sana hongera king kiba mung akutangulie Sana Kwa kazi zako nzuri

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi6146 2 ปีที่แล้ว +5

    King kiba nakupenda Sanaaaaa unajua balaaa. Na nimesoma comments hunaga comment mbaya jamani 🙌🙌🙌 ni nadra kukosa wanaokuchukia ila we umetisha

  • @abdulrazakmjape2259
    @abdulrazakmjape2259 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaah king ni king 2 natamani niwe ata msanii wake

  • @jumakessy4192
    @jumakessy4192 2 ปีที่แล้ว +7

    Huyu msenge anaimba daah 🙌🏽🙌🏽

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 2 ปีที่แล้ว +89

    Natural talent, hapa hakuna mafundo kabisa. Ukweli usemwa kabisa 👏👏👏❤️😍🙌

  • @suleimanrodriguez9484
    @suleimanrodriguez9484 2 ปีที่แล้ว +3

    Jamaa anajuwa imba huyu kabisa

  • @agripinagaudence7744
    @agripinagaudence7744 2 ปีที่แล้ว +3

    King unajua unajua afu unajua tena 💃💃💃💃

  • @princedracsal790
    @princedracsal790 2 ปีที่แล้ว +2

    saut ndio ipo saaaaaaaaaafi yan salutee

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 2 ปีที่แล้ว +20

    Aisee hapa ndio huwa naamin huyu jamaa ni mwamba, yaan anacho kiimba live nisawa sawa na nyimbo ilio kamilika, King km King

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 ปีที่แล้ว +13

    Huyu jamaa anajua kumamaae khaaaaa hii ndio nembo ya Tanzania 🇹🇿

  • @mourinembodze1513
    @mourinembodze1513 2 ปีที่แล้ว +2

    Alikiba nakukubali aslimia mia 💪💪💪

  • @mughishajohn3287
    @mughishajohn3287 ปีที่แล้ว +2

    Nakubal sana wendowangu King 🤴kiba

  • @bakarimgeni5424
    @bakarimgeni5424 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwamba fundi sana we mtu fundi sana kibaaa Yee baba

  • @justinaninga5628
    @justinaninga5628 2 ปีที่แล้ว +1

    Sina Shaka na kipaji chako nakupenda Sana king kiba

  • @ramadhankijana9442
    @ramadhankijana9442 ปีที่แล้ว +1

    Yaani Allykiba ni mstarabu sana siwaona wala awashobokei hao mabinti

  • @salimtaqdir1096
    @salimtaqdir1096 2 ปีที่แล้ว +2

    King forever

  • @hassansaid9925
    @hassansaid9925 ปีที่แล้ว +3

    Kiba mziki anaujua and I do love him

  • @mathayocharles5449
    @mathayocharles5449 2 ปีที่แล้ว +3

    Dah? Nature voice man.congraturate king

  • @rachelelias1251
    @rachelelias1251 2 ปีที่แล้ว +2

    I Love u kiba

  • @billylovebillybillylovebil580
    @billylovebillybillylovebil580 2 ปีที่แล้ว +2

    😘😘😘😘 kiba myaka miya wekiboko

  • @ashuramohamed241
    @ashuramohamed241 ปีที่แล้ว +3

    Loveeeee u king kibaaaa 😍😍😘

  • @chabushizo3972
    @chabushizo3972 2 ปีที่แล้ว +42

    Huyu mtoto ako na sauti hata kuliko ngoma yenyewe

  • @baetee8782
    @baetee8782 2 ปีที่แล้ว +7

    Kumamamake🤣🤣🤣🤣🤣 Ili jamaa limenyooosha salute to u King

  • @khalfanzanzibar4816
    @khalfanzanzibar4816 2 ปีที่แล้ว +4

    Ukitaka kumjua king mpe mic bhana hakuangushi siku zote

  • @yassinm69
    @yassinm69 2 ปีที่แล้ว +2

    The only king

  • @fatmakimbau3299
    @fatmakimbau3299 2 ปีที่แล้ว +1

    King 🤴 👑 ni mmoja tu,

  • @pamelahezron8326
    @pamelahezron8326 2 ปีที่แล้ว +17

    Ila kiba anajua jamani tuondoe uteam.

  • @valentinelwiza8363
    @valentinelwiza8363 2 ปีที่แล้ว +2

    Yaan hapo enyewe ushakuwa chawa

  • @neemaanthony3571
    @neemaanthony3571 2 ปีที่แล้ว +62

    King kam king 😍 anajiheshima san huyu kaka Tanzania inapenda sana

    • @Adeen.1
      @Adeen.1 2 ปีที่แล้ว +1

      Muheshimu mungu wako muheshimu kila mtu sali sana ila kamwe HUSIUSEMEE MOYO wa mtu tuache tunaomjua sio kumjulia insta au youtube

    • @godfreywilliam9673
      @godfreywilliam9673 2 ปีที่แล้ว

      @@Adeen.1 rudia kusoma
      Amesema tofauti na wewe ulivyoelewa

    • @Adeen.1
      @Adeen.1 2 ปีที่แล้ว +1

      @@godfreywilliam9673 rejea wewe kusoma yawezekana hujaelewa nilicho kiandika pia

    • @revocatusbukombe2551
      @revocatusbukombe2551 2 ปีที่แล้ว

      sana sanaa

  • @beatricemkassa9340
    @beatricemkassa9340 2 ปีที่แล้ว +35

    Nimejikuta vimachozi vinanitoka cjui kwa nini......King kiba😍

  • @sulleyalmass9814
    @sulleyalmass9814 2 ปีที่แล้ว +2

    Sema huyu jamaa anaimba sana mzee

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo6780 2 ปีที่แล้ว +56

    King kama king we love u forever!!!.Na utabaki kuwa king no one like u

  • @jojosstar8930
    @jojosstar8930 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweli king in king tu

  • @leylagadau3394
    @leylagadau3394 2 ปีที่แล้ว +19

    Yani unaimba wewe lkn nais Raha Mimi sauti nzuriiii Yani dah...king🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      New nasheed video 👇...
      th-cam.com/video/ZsJURMICYaA/w-d-xo.html

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 2 ปีที่แล้ว +4

    yaan mpk nmepiga kelele alovyoanA tu m nmpenda kiba jmn🤣🤣😍

  • @mariamuhamadi4966
    @mariamuhamadi4966 2 ปีที่แล้ว +26

    Sauti aichuji iko good sana 🥰🤩

  • @nassorally4002
    @nassorally4002 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe afya njema umri mrefu na akujaalie furaha hapa duniani na kesho akhera amin mm ndugu yako nasser ally niko shinyanga hii rasmi kwa Ali kiba

  • @vicluxuriousinvestments672
    @vicluxuriousinvestments672 2 ปีที่แล้ว +3

    I also feel the vibe for Alikiba

  • @nickykimambo4803
    @nickykimambo4803 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenye muziki wake King Kiba

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 2 ปีที่แล้ว +8

    Wallah kiba www ni King niko oman nainjoy voice

  • @bahanuzipaulin7785
    @bahanuzipaulin7785 2 ปีที่แล้ว +1

    King Kiba nakukubali.

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 2 ปีที่แล้ว +8

    King haitaji nguv ya chawa kizur chajiuza

  • @blondonsele9028
    @blondonsele9028 2 ปีที่แล้ว +2

    Maashaallah uyo mkaka nampenda adi bass

  • @lbmaasai929
    @lbmaasai929 2 ปีที่แล้ว +2

    Alikiba forever 😍🤩🤩🤩🤩

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 2 ปีที่แล้ว +2

    Imeshereheshwa mizigo

  • @addijmz5240
    @addijmz5240 2 ปีที่แล้ว +11

    Ali kiba is always on his own level... King🤴

  • @dearlatty5305
    @dearlatty5305 ปีที่แล้ว +2

    Kiba unajua unajua unajua tenaaa mungu akuweke utupe vituu vizuriii🔥❤

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 2 ปีที่แล้ว +2

    Alikiba anajiheshimu sana

  • @johnjacob1317
    @johnjacob1317 ปีที่แล้ว +1

    Hiii ndio maana halisi ya KING

  • @stevenoiro3815
    @stevenoiro3815 2 ปีที่แล้ว +3

    Tuendelee kujifukiza,UFALME UTABAKI KUWA KWAKO SIKU ZOTE 👑

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 2 ปีที่แล้ว +22

    Nampenda kiba mimi nibasituuu kabisa

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 2 ปีที่แล้ว +4

    Mpiga piano maandazi Kabisa, alitaka kuharibu mririko wa melody ya wimbo.

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 2 ปีที่แล้ว +4

    Atabaki kuwa king tu....sauti safi sana hamna mkwaruzo wala nn

  • @sharonojwang2353
    @sharonojwang2353 2 ปีที่แล้ว +3

    The best bongo artist ktka tz, so much from kenya

  • @rashidnajma350
    @rashidnajma350 2 ปีที่แล้ว +68

    Shemu wetu wanguvu tunakupenda sana from Kenya

  • @edwardnjile5621
    @edwardnjile5621 2 ปีที่แล้ว +11

    Talented musician from Tanzania,unajua sana king kiba yeeeee baba

  • @mamakeaisha4926
    @mamakeaisha4926 2 ปีที่แล้ว +38

    Nipigwe niuliwe namfagilia sanaaaa king 😍😍❤️

  • @mtoromwinyi4366
    @mtoromwinyi4366 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani Ally anajua sana huyu Jamaa hakuna wakufananae bongo hii kabisa

  • @swahibuqaswida2566
    @swahibuqaswida2566 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika namkubali sana ali kiba

  • @melaniamakeupartist6366
    @melaniamakeupartist6366 2 ปีที่แล้ว +3

    King❤️❤️❤️

  • @fatmaqhta8528
    @fatmaqhta8528 2 ปีที่แล้ว +22

    Uko vizuri kiba twawatakia ndoa njema yenye kheir na baraka💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @almercyproducts2601
    @almercyproducts2601 2 ปีที่แล้ว +2

    Salute sana Alchama napenda io effort

  • @domykimata5768
    @domykimata5768 2 ปีที่แล้ว +5

    Rkelly wa east africal king kiba

  • @festorelex4628
    @festorelex4628 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii ndio maana ya msanii wa music lazima ujue kuimba akapelela Yani bila bits

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 ปีที่แล้ว +40

    King kiba kila siku nakuangalia upo tofaut na wale majamaa tatuu huna macheni shingon,mikononi wala maurembo yeyote huna unavaa vizur nguo za kawaid tu huna nkupend sana.

    • @abdulaabdula2631
      @abdulaabdula2631 2 ปีที่แล้ว +7

      🔥🔥🔥😂👑💪👍👍Huy jama hanaga mapambano

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 2 ปีที่แล้ว +8

      @@abdulaabdula2631 hata saa hap nimeangalia hana angekuwa kina wale mbk choon eti anaingia na nazo vidole vyot machuma shingo lot macha mwili mzima umechorwa matatuu mbk kelo sas meno mbk yanabadilishwa ukiangalia wanajiita majina y kidini mala salamu zao wanajifny salama alekhum, sas kama mond siku hiz anavaa mbk msalaba ila watu ndo wanaona pes anazo kumbe upuuz tu.

    • @padorsmart6249
      @padorsmart6249 2 ปีที่แล้ว +2

      Hata nywere yake hainaga mambo

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 2 ปีที่แล้ว +2

      @@padorsmart6249 ndio nguo zak tu hana anaingiz pes kimy kimy nmpnd san mung amweke milele

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      New nasheed video 👇...
      th-cam.com/video/ZsJURMICYaA/w-d-xo.html

  • @severinbin8437
    @severinbin8437 2 ปีที่แล้ว +2

    Respect the king 👌😊😊✊

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 ปีที่แล้ว +5

    Hahaha eti baada ya kutoka listen part nimemkuta mkewangu amekalili verse ya kwanza

  • @naymahassan1052
    @naymahassan1052 2 ปีที่แล้ว +1

    Oyaa m n team mond ila kiba daaaah kipaji Cha kweli hiki aseee.. nimemvulia kofiaaa mamaaeeee... lijamaa Lina sauti aseee duuuu

  • @kibawakibapierre7303
    @kibawakibapierre7303 2 ปีที่แล้ว +1

    Uyu jama anakipaji cha namna gani mbona kali sana ivo sio kila mwana mziki anaweza ivo Ila hacha mungu amuhongoze

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 2 ปีที่แล้ว +1

    the king himself

  • @barakakimambo4528
    @barakakimambo4528 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa hanaga majivuno yupo tofauti sana

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 2 ปีที่แล้ว +2

    Nikisema live music Alikiba ndio anafaa kutuwakilisha mnaon huwa naongea kiushabiki hyo saut ni kama music wenyewe

  • @thebosslady4597
    @thebosslady4597 2 ปีที่แล้ว +1

    King atabaki kuwa king jaman

  • @lantaleonard4126
    @lantaleonard4126 2 ปีที่แล้ว +4

    Cc daima tunapendaga Ali anavyotubembeleza na nyimbo zake ukitaka za kuluka luka amia upande upendayo muache alikiba akitubembeleza nasauti yake

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri609 2 ปีที่แล้ว +3

    Wish I can get a Tanzanian man,napenda kiswahili ya tz sana for real

  • @athanasirand849
    @athanasirand849 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaah ,,kiba anaimba aseee

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 2 ปีที่แล้ว +4

    Duh sauti ile ile mweee kaka na kipaji uyu🙌🙌

  • @williamkavuta8066
    @williamkavuta8066 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kama unaendesha harrier cc3600 ila hekima kumbe huna....

  • @marymbatia7801
    @marymbatia7801 ปีที่แล้ว +9

    Wow very naturally Ali Kiba nice voice

  • @khanwizzytz4130
    @khanwizzytz4130 2 ปีที่แล้ว +5

    Siyo Vibaya Kusema Wewe Ndiye Baba Wa Mziki Wa Bongo Fleva Utaki Acha Kuimba Nyimbo Za Kutambia Ngoma🤣🤣🤣 King 👑 Ni Mmoja2 King KIBA

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu6822 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakupend san una saut nzur mnoo😘

  • @andrewirunde7459
    @andrewirunde7459 2 ปีที่แล้ว +1

    Ila huyu Braza anajua sana

  • @janehyera7188
    @janehyera7188 2 ปีที่แล้ว

    King ni mmoja tu

  • @boniphacerevocatus8721
    @boniphacerevocatus8721 2 ปีที่แล้ว +2

    Ila nyie alikibaaa anajuaaa💥💥

  • @lisamutheu4677
    @lisamutheu4677 2 ปีที่แล้ว +1

    Woooow nakupenda bure Ali

  • @bintybweta9604
    @bintybweta9604 2 ปีที่แล้ว +9

    Tunakupnda shemeji yetu king kiba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      New nasheed video 👇...
      th-cam.com/video/ZsJURMICYaA/w-d-xo.html

  • @fikirimloka7389
    @fikirimloka7389 2 ปีที่แล้ว +13

    Utabaki juu daima,,napenda mziki wako sanaaaa,,natamani kama Tanzania nzima ubaki ukiimba wewe tu.mziki mzuri,ujumbe mzuri pia video nzuri.

  • @lbmaasai929
    @lbmaasai929 2 ปีที่แล้ว +5

    One love Ali....Barikiwa zaidi ututulize na nyimbo nzuri

  • @franciscaaugustino4305
    @franciscaaugustino4305 2 ปีที่แล้ว

    Hata kapua hujakagusa kweli we noma. Asante

  • @scarmkadinalitopic7766
    @scarmkadinalitopic7766 2 ปีที่แล้ว +2

    KING OF

  • @neemamkola9590
    @neemamkola9590 2 ปีที่แล้ว +1

    Hatariiiii alikibaaaaa

  • @kefaluminas286
    @kefaluminas286 ปีที่แล้ว +3

    The best song, apart from mac muga and cinderrella, you av ever made..big up

  • @daudalex9313
    @daudalex9313 2 ปีที่แล้ว +1

    Utafauti wa king na chasifa unaonekan

  • @kamotasalumu7378
    @kamotasalumu7378 ปีที่แล้ว +1

    Ongela hashimu

  • @beckasalum2620
    @beckasalum2620 ปีที่แล้ว +1

    Ukomavu wa alikiba wasanii weng wanashindwa kuimba nyimbo zao liv

  • @realcomrade1556
    @realcomrade1556 2 ปีที่แล้ว +3

    Once a king always a king,,,!@king kiba band man kiba

  • @princedracsal790
    @princedracsal790 2 ปีที่แล้ว +1

    nakbaliiii san king kibaaaa

  • @qharolefrancie587
    @qharolefrancie587 2 ปีที่แล้ว +1

    From kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪