Daaah nmekuwa wa mwisho jmn bas tuungane pamoj kuisikiliza hii simulizi ya mauza uza ila sis tunataka binti lisa kama na wew upo unay taka lisa bas usipite bila kulike😂😂😂❤❤🎉🎉🎉
Mbna binti lissah huleti😢 au imeisha nijue kila time nachungulia notification za anko j lakin wapi 😪😪😭we anko j mpka nikatamani Niku DM😂🤣ila sijaelewa nakupatia wapi hebu plz help us 😩🧐tunaweweseka kukosa binti lissah 🥲😌
Haki Toka Jana sikuon ata online nikawa naichungulia akaunt mpaka 😢nikawa kanyongee anko jay japo nilikua namuwazia LISA ila hata kusikia saut yako2 nimekua na aman❤🎉❤❤
Kwa kwel Hali hiyo imetukuta wengi mm mpk saa 6 usiku sijaamini kama haija postiwa 😢😢😢kwa kweli ni huzuni kubwa @ANKOJAY please skiya kilio 😭😭😭chetu please
Nimerudi tena jamani maana naona nitaumwa kwa kukosa kusikiliza lisa na sijui ank j unapanga nini na haya maisha yetu tunaumia tukikosa lisa jamani au wataka kutupq part tatu kwa siku moja nn nakuomba utuhurumie please hata usingizi hauji ni kuchungulia tu kila dakika na hakuna kitu
Wakwanzaaaa wangapi tumemiss lissa😢😢😢
Mbn unatufanyia kuxudi Lissa mbn utuletei😭😭😭
Hatuitaki twataka lisa au mwasaje wana anko j
😂😂😂😂😂tulio olewa na simulizi kuna mukutano tent ya blue ❤️❤️❤️❤️❤️
Haya MAUZAUZA tujuwe hayo MAUZAUZA wangapi WAMEBOEKA kumkosa LISA LIKE 10 KUBOEKA TU ✌️✌️✌️✌️
Atuleteye bana Binti Lisa part 50 tunaboeka sana kwa kweli!
Atufanyia kusudi jmn na lissa afu et analeta mauza uza, mauza uza ya zuchu au😂😂
Mimi stak hay mauzauza nahic kuumwa Kwa kumkosa Lisa jaman anko ustufanyie hivo 🙏🙏🙏
,😂😂😂😂@@LillyCyprian
@@josephineuwizeye8250kwa kweli tumeboeka kumkosa LISA wetu jamaniii 😢😢
Habari yk kk Anko Jey pole na kz.na Asante Kwa kz yk nzuri.ika kk tunaomba tuletee Lisa
Wakwanza jamani.pole Sana ankojay wetu Mungu ni mwema kipenzi❤
Tumetuacha na kimhemko Cha Lisa watu tunakesha kuchungulia ,mungu akupe uzima na afya siku zote uendelee kutuletea burudani
Hakuna kill, hatimay komba wajo kaleta kitu kipyaa ❤❤❤
Angetuletea Lissa tuhangaike nae tumalize, make najua hadi sehemu ya 210😂😂😂😂
Hongera Anko wetu mzuri kwa vitu vitamu . Haya tujue mauzauza yana nini🎉🎉🇰🇪🇰🇪
Anko Jay Asante sana kwa simulizi mpya ila tunaomba mwendelezo wa binti Lisa tafadhali tafadhali Anko Jay 🙏🙏
😂😂ankojay anataka mpaka tusahau utamu wa simulizi ya lisa duuh anko jay mwee lisaaaa😢
Jamani maombi nimuhimu sana tue watu wakusali sana dunia inambo yaajabu sana
Daaah nmekuwa wa mwisho jmn bas tuungane pamoj kuisikiliza hii simulizi ya mauza uza ila sis tunataka binti lisa kama na wew upo unay taka lisa bas usipite bila kulike😂😂😂❤❤🎉🎉🎉
Eeehhhh chezea kuwa wakwanza nipeni like zangu 🎉🎉🎉🎉
Unafanya mpaka tunarudia simulizi jmn tuletee Lisa Kila saa nakuja kuchungulia kama imetoka😂Ankojay wetu tunakupenda😘
🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅anatutia uchizi huyu nimeweka bando kwa ajili yake tuu naliheshimu situmii ovyo nasubiri lisa
Eeeee hii tushaiskiza sema to kabadilisha jina 😅😅😅😅 hataki kutuletea Lisa wetu 🥰🥰🥰🥰🥰
Ashukuriwe mungu kama unaendelea vizur ankojay wetu na asante kwakutujali🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Daaah!nilitamani ingekuwa Lisa lkn ndio Ivo
Anko upone n mungu akurinde😊😊
Sasa tutagomaa,natutaaandamanaaa,anko unazinguwaaaaaa😂😂😂,hatunahamuuu ya hiziiiii,saivii,mpaka,lisaaa,isheee,
Asante anko jey haya kunani Tena ndani ya mauza uza 🎉🎉🎉🎉mauwa yake 🌹🌹🌹 jomba wajo na familia ya anko jey ❤️❤️❤️❤️
Woo leo cjacherewa jamn❤❤❤❤❤
Lisaaaaaaaa kwanzaaaaa plzzzzzzzzzz hadi roho ina umaaa
Aaah Asante Mungu kwakumponya ANKOJAY wetu❤❤❤ endelea kutuburudisha mcheshi wetu❤❤❤❤❤❤
Asante.sana.kwa.simuli.hii.nzuri.acha.ni.injoy.tu.🥰🥰🥰🥰
Ninachojuwaga naenjoy na simulizi naskia raha sauti yako nzuri sana upo romantic sana ❤❤
❤️❤️❤️🎉🎉🎉 Tunaomba Lisa ep 50 tumeimic sanaaa
Ndiyoooooolisaaaaa
Jamani tumwelewe anko naye nibinadam anamwili kama sisi tena ana fanya kazi ngumu sana , Anko tunomba utuelewe tu, na pole sana kwa kuhunguwa.
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya Much love.🎉🎉🎉
Mbna binti lissah huleti😢 au imeisha nijue kila time nachungulia notification za anko j lakin wapi 😪😪😭we anko j mpka nikatamani Niku DM😂🤣ila sijaelewa nakupatia wapi hebu plz help us 😩🧐tunaweweseka kukosa binti lissah 🥲😌
Pole Sanaa ALLAH akujalie shiffa inshaAllah, Allah akulinde, c Siri ,tulikumiss sanaaa
Jomba wajo huku tena,hope ni moto kama alvilisa❤
Part 2 plzzzzzz ankojoy hii tamu kweli ukweli ni mauzauza tamu hii
Nilitalajia nitakutana na Lisa mtokeoyake mauzauza tokea ijumaa anko ukwel tuna❤❤❤❤lakin unatusaliti wazizi
Tunamtaka Lisa wetu jmniiiiiiiiii
Jmn huy sini Amaya ni macho yangu ama niuzee unanismbua you 😂😂 mm alfu pole ankooo wetu twakupnda bure❤❤❤❤❤
Hata mm nilikua najiuliz hivo
Ndo yeye dr
😂😂😂😂😂tena hiii simulizi alisimulianga nakumbuka 😂😂
😂😂😂😂😂😂 ni yy ilaa huyu amekunywa maji mengi😂😂😂😂😂 ilaa watu mnakalili sura daah
Amaya kabadili nguo tu apo😂
Ila anko sisi wakungojea viporo vipi bado hutufikirii kweli tuwahitaji Alvilisa kuwajulia hali
Duuuh 🔥🔥 huo ni mjengo umeingia mlango wa nyuma Jooo heee baba anataka damu mwana anataka mapenzi 😢😢😢
Naomba kesho ulete lisa😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ukowapi lisaa nakutafuta lisaa❤❤❤😂😂
Tulijuwa leo umetususa uncle J
Kweli anko jay umechoka tusimulia bint Lisa part 50mbona umeamza kutesa mashabiki wako
Mbona Anko unatuonea mashabiki zako😢😢😢😢 tunamtaka Lisa Anko😢😢
Ankojay tunaomba bint lisa episode 50 usitufanyie ivo jmn 😢😢😢 kwani ndo imeishia apo jmn VIP tupeni umbea huko imekuaje kuhusu lisa na Alvin
Daah sisikilizi mpaka mwana Sheria wangu aje Alvin kimaro na Lissa Jonas massawe najua hawajawahi kupoteza kesi😂😂 hiyo mauza uza hapana bana ank jay
Unasema mgomo baridi unahusu😂😂😂😂😂😂sio
Ugua pole Anko jay inshallah allah aziku kkupa shifaah❤
Jaman ank wetu anaumwa
Ankoo lisaa😂😂😂😂 ustufanyiye hivoo
Ankoo mbona wajua ku2tesa ivyo kuchungulia acaunt Yako Kila muda ni azabu tosha 2pe 2 iyo Binti Lisa 😢😢😢
Tunateka lisa jamani 😢😢Ankojay
Loooo!!!yaani ungejua ungeleta Lisa jamn hii nin tena sasa😢😢😢😢
😂😂😂 et hii nn tena
Ankojay please naomba Binti Lisa kama inawezekana❤❤😢😢
Anko wewe watutesa kiukweli na hatutaki hatutaki!!!leta binti lisa 😢😢
😭😭😭😢😢😢anko jay paka nimepugua kilo kwa kukosa lissa
😂😂😂😂
Ancojay wewe mtundu kweli ❤❤❤❤🎉🎉
Lisa jamani tumemmiss Sana 😢
Thanks anko jay for this👆👆👆👆🙏🙏🙏,binti lisa part 50 acha nisikilizehii😊
Nimewah leo like zenu tafadhal😊😊😊lakin Ankojay mbona unatufanyia hivyo kuhusu bint lisa tangu juz tunasubiria tuuu tafadhali tunaomba bint lisa 🙏🙏🙏🙏
Ndio tunaombaaa😢😢
Lisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tunataka 😮
Haki Toka Jana sikuon ata online nikawa naichungulia akaunt mpaka 😢nikawa kanyongee anko jay japo nilikua namuwazia LISA ila hata kusikia saut yako2 nimekua na aman❤🎉❤❤
Toka wengi jaman Lisa anatuchanganya
Weeeeeee
We hauko serious bhan Lisa bhna😂😂
Kwa kwel Hali hiyo imetukuta wengi mm mpk saa 6 usiku sijaamini kama haija postiwa 😢😢😢kwa kweli ni huzuni kubwa @ANKOJAY please skiya kilio 😭😭😭chetu please
Hhhhhhh
Jamani kwaiyo lisa ndio imeishia vile anko....... 😢😢😢😢
Jaman anko jay mbona hutuletei bint lisa😢
Kwani ankojay bint lissah ndio hutuletei jaman
Siku ya inne sasa lisa hajitoka ao watu wa v.i.p zowo hazija isha ila mi nakumbuka km part 50 tayari washaiyona hebu achiya iyo ngoma
🎉🎉🎉Wakwanza leo
Allwah akupe afya njema siha nauzima
Sawa ankoo jay ila sawa tu
kwan binti Lisa imeisha Anko 😊
Ila anko siyo vizur imagine siku mbili bila lisa daaah ni huzuni😢😢😢😮
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪❤😂😂😂
Mm naumwa mwezenu lissa 😢😢😢
Jaman maisha bila simulizi za anko j hayaendi kabisa
Tuletee Lisa tunamiss Sana 😮
Nimelia Sana nimesubir bint lisa mpaka bas
Ahasante sana anko jay na jomba wajo kwakuzidi kutuletea vitu vitamu mambo 🔥🔥🇴🇲🇴🇲
Jamn kwani jomba wajo hajui kama amempea anko j simlizi ya Binti Lissa 😂ebu watuache bhn 😢
Yan ank jamn Lisa tumemis❤❤
Anko usiwe hivyo bhana😂😂😂😂lissa
❤❤❤❤❤Anko nakuombea uponyaji wa haraka
Binti anafanana na Amaya kabisa
Hayaaaa Sasa our ankoooh 🙏🙏
Nimerudi tena jamani maana naona nitaumwa kwa kukosa kusikiliza lisa na sijui ank j unapanga nini na haya maisha yetu tunaumia tukikosa lisa jamani au wataka kutupq part tatu kwa siku moja nn nakuomba utuhurumie please hata usingizi hauji ni kuchungulia tu kila dakika na hakuna kitu
Anko jamani lisa tuonee huruma mawazo tushalewa kwa liza
❤❤❤ankojay mauwa yako jamani 🎉🎉
Naona anko humekausha kabisaa n alivlisa
Anko j umzima kweli umetutia wasiwasi ,alafu simulizi ya lisa ni ndefu na waikazia itashia leo kweli jamani ,tunataka tuimalize tuanze mpya
hivi anko lisa mbona hatusikiii au Sara kamuuua nn wadau sasa wanao mpenda lisa watqkavo paniki hahahahah
Yes ankojy npee Lisa nmeboeka.san
😁😁😁 Mungu ni mwema kila wakati ❤❤❤💐💐💐🥀🥀🥀🪴🪴🪴waoooo
Twataka bint lisaa
Thx Anko ila tunataka lisa
Ankol nn sasa watutoa kwa mood hivi😢😢
Anko jey nazipenda sana simuliz zako zinanifundish na kunielimisha py
Tuleteeni lisa anko jay mbna watuboesha 😅😅you
Anko j ,tunaomba alvilisa jaman
Pole kijana mauzauza😭
Umeona u2panguxe machozi 😢😢😢 na i xw ingawa 2xhaixikiliza wengine
Ank vp mauzauza ya nin tena jaman
Jaman tumemic Allvilissa 😢😢
Tumemiss Binti Lisa Ankojay plz? Alafu huyu msichana anafanana na Binti amaya
Venye nikilala naota lisaaa kumbe leo hakna pia nahisi ata kupagawaaa
Ankojay mweee jamani lisa duuuh😢😢😢
anko tunataka lisa jamani lisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa jamani wa binti lisa gather here tuandamane
Anko jay tunamtaka lisa wetu jamaniiii mbona unatufanyia hivyo jamaniii😢😢😢😢😢