Na wimbo wao wa SISI NI BARUA!!....MWENYE MAMLAKA AND MANY MORE Hii kwaya ilikuwa Moto wa kuotea mbali. Nawapenda bure.Hongera sana bwana Helphazi Habona na team yako. Ningependa sana kupata historia ya hii kwaya jameni.
Hipo tena sana ila kwa sasa Bwana aliwaasa kupitia mchungaji elphazi habona kwamba watulie kwani wamekwisha kuwa mfano mzuri hivyo sauti zao zitadumu milele kwani tupo kwenye nyakati za dhiaka na mchukizo ya kila namna
Na wimbo wao wa SISI NI BARUA!!....MWENYE MAMLAKA AND MANY MORE Hii kwaya ilikuwa Moto wa kuotea mbali. Nawapenda bure.Hongera sana bwana Helphazi Habona na team yako. Ningependa sana kupata historia ya hii kwaya jameni.
Huu wimbo umenikumbusha mbali sana😢
SAFI SANA WEKA NA ULE WA JINA LA YESU
Naam hivi karibuni
Nawaombea nanyi msibadilke mkaavutwa na uimbaji wa kisasa wa kucheza maana nyimbo na
Uimbaji huu Ndiyo unaogusa mioyo ya watu na Zina upako
Mmmh hizi ulikua wimbaji wamaana
Mbalikiwe saaana, tumebalikiwa pia
Shukran
Asifiwe Mungu aliyefunuwa huu ujuzi
Daima milele yeye ukaa ndani ya watu wote wanao mtafuta kwa bidii na uwapa maarifa na ujuzi kwa kadiri ya inavyompasa kutukuzwa
Kubarikiwa siku zote 🎉🎉🎉🎉
Baraka tele ndani ya kristo
Amina ❤❤❤❤
Barikiwa sana
Nafurahi natamani nitoe sadaka jamani😢
Niko siriaz
Mbarikiwe nyimbo zina upako na nguvu ya Mungu I juu yao hazichuji ,tunaomba mtutumie zingine wapendwa
hakika mulimwimbia Mungu wa mbinguni tunazidi kubarikiwa siku sote
Naam *ELPHAZI HABONA* na wale wadada waimbaji walikua Na Roho mtakatifu ambaye utusaidiya sisi jinsi ya kumpendeza Mungu kwa ibada na sifa ya kweli
Ni Kweli mutumishi
@@emmanuelpetertruegospelcha3331
Anaitwa ELIPHAZ HABONA.
Apana MAHOBA
Keyboard error ila ni sawasawa tu
@@emmanuelpetertruegospelcha3331
Sawa sawa Kaka hamna shida.
Ehhhhhh Mungu asifiwe ongeza engine ubarikiweee Mungu akujazie
Hongereni sana Bado kwaya hii ipo
Hipo tena sana ila kwa sasa Bwana aliwaasa kupitia mchungaji elphazi habona kwamba watulie kwani wamekwisha kuwa mfano mzuri hivyo sauti zao zitadumu milele kwani tupo kwenye nyakati za dhiaka na mchukizo ya kila namna
Inatupasa tukuwe kiroho embu mtuonyeshe ladha ya huu wimbo jamani
Angalia video *kwaya mbalimbali* upo mwishoni utasikia njoo nipe majibu