Mtoto wa Mama Ntilie alieuza Mihogo mpaka kumiliki Shule inayoongoza Tanzania
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- AyoTV imefanya mahojiano na Ndelle Mwaselela mmiliki wa Shule ya St. Patrick ambaye anatueleza historia yake alivyoanza mpaka kumiliki Shule mojawapo zinazoongoza Tanzania
Du nimeipenda sana hiyo shule, imenikumbusha mbali sana nikiwa Swilla secondary school.
Mungu akusaidie baba yangu
Mungu akupe nguvu na moyo wa kuendelea kusaidia watanzania # mdau wa maendeleo Ndele mwaselela.
Blessed sana Dad. Nina Mengi sana hayatoshi kusemwa. Ubarikiwe sana mie mwanao Rodrick Saimon Ghatty licha ya kutarajia kumaliza chuo mwaka huu mtoto wako mie na shusha viazi toka Geita mpaka T. A. Blessed sana kwa uliyo nifunza kabla ya kuwa kiongozi Wa wanafunzi, na wakati nikiwa kiongozi na baada ya kuwa kiongozi. Ubarikiwe.
Mr ndele mwaselela
Anakuamini this is Patrick mission
Maneno kuntuuuu brother, nimekupenda mnooo, kitu fursaaa
Hahahahahah Maisha bana aga yana furahisha sana, siku zote Baba angu alikuwa ana nambia kila mara na siku zote mtu anaefanikisha maisha hata kwa kusaidiwa aga akipewa nafasi ya kusema nini kimemfanya kufika hapo alipo, utamsikia akisema mimi nimeangaika sana ila kitu cha msingi ni kujibidisha na kufanya kazi kwa malengo hata kama alitumia njia mbadala au kutoka katika familia zenye kujiweza kidogo.
Pia hawa watu ujiona kama wao Mungu kawapa nafasi kubwa sana ya kufanikiwa na ujiona kama wamebarikiwa sana ila ukweli ni kwamba mshukuruni tuh Mungu kwa kila jambo msijione suprior sana kuliko watu ambao hawajafanikiwa kwan the trend of life is dynamic
Unafiki wa kipuuuz tu kaka hamna kitu
My teacher Ndele Mwaselela! St Patrick Mission High School!
Mungu akutangulie katika malengo yako
Point ziko mwishoni,umetisha
Hongera sana mkurugenzi
safi sana
Umenitia sana moyo kaka angu nimejifunza mengi kutoka kwako
Jonas Mwita umeona
Dah kweli
Your gorgeous brother
Good
Leo ndio nimekuekewa kwa mara ya kwanza ndele i see something big in your future keep this name in mind
Safi saana
I like man
safi sana kaka
jamani naomba nifahamishe hiyo shule iko wapi na yaitwaje na nitawapata vipi hawa wahusika?
good
Siku zote Ukiwa na msimamizi wa Elimu na Maadili na Majukumu ya walimu pia maadili lazima shule yako lazima itafanya vizuri na matokeo yake yatakuwa mazuri na hii ndio Fursa wanayoitumia wamiliki wa shule za binafsi ambapo walikaa na kugundua matatizo ya kimfumo ya shule ya serikali. Huko watu wanajengwa Kimaadili na Kielimu. Kila la Kheri katika hilo unalofanya kwa kugundua matatizo na mapungufu ya kimfumo katika shule zetu za Kayumba.....
nimekukubali kaka
Endeleeni eti mnatiwa mioyo jamani maisha ya utafutaji nisiri ya MTU mm ua naangalia nawaacha jinsi walivyo
Mie msikilizaji tuuuu
No FUCKING Role Model...
Namba zangu ni 971558463745
Shule enzi nzetu tulikua tunafundishwa viboko tu.
Millard Ayo unajitahidi sana kutuletea habari nzuri na za kutujenga vijana endelea kututafutia watu kama hawa Mungu akubariki
Hakuna kitu cha msigi km kua na maengo,
Mnasikia viongozi wetu anachofanya Ndele kwa walimu wake!!!!!
Very good interview, page yako inajitofautisha na wengine sana
th-cam.com/video/aMmGDC1jXHE/w-d-xo.html
Angalia video hii👆👆 nipeni support guys
Vema sana
Naombeni namba yenu
Wewe ni kichwa kaka hakuna kama wewe
Live long ndele
Kaka upo na Mungu
Naomba namba kaka