ROMA ANAIMBA NGONJERA/ TUMEMFUNDISHA SISI HIP HOP/ NI MUONGO - NIKKI MBISHI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kwa tunaoijua HIPHOP vizuri tumeelewa alichokisema Nikki Kwa wasiojua hawawezi kuelewa Heshima sana Unju ✊
Mtu ambaye sio smart hawezi kuelewa hi extremely important session
Nikki mbishi watoto wengi wamekujua miaka ya 2019
Nikk mbish, Aminia sana Unju, Kichwa Makini.
Unju for ever
Rhymes Of Magic Attraction yuko juu
Anaesema Nikki hana ngoma kali... Atafute kitu inaitwa jogoo atamjua Nikki ni nani?
Tunamsikiliza roma sana kwa maana tuna mwelewe...na kuna kurap na kuna hip hop.Hip Hop ni maisha ya kila siku yenye kila aina ya changamoto hivyo
agiza pepsi popote nitalipaa
Umenena naaam umesema na ukaeleweka
Dah umewaza kk
Sema jamaa anaongeaga fact sana
Mimi nilishamkubali Roma mkatoliki 🇰🇪🤜🤛🙏🔥
Ukitaja marapa wanaoelimisha huwezi kumuacha roma
Roma yupo juu kwenye hip hop so ili ufkie level alofika Roma jitaidi ju saii bado sana Roma yupo juu mzee
Hivi unamjua Niki mbishi WEWE?
@@impeccable6974 kwwnda huko hajui ku paform jukwaani anashushwa aende uko 😏😏😏
Utakuwa umjui nikki mbishi ki mziki
@@tonianosoprano117 nikki na roma ni wana hip hop wawili tofauti, roma rap style yake ni kama Eminem Nikk mbishi ni kama nas
@@sifatiiman pamoja mwana mtell huyo twampenda natwamkubari saaaana Roma tangu natangu
Roma kabla ajatekwa alikua na ngoma Kali nyingi kapata tuzo kibao Ngoma kama mathematics all the best
Kwel bob
Huyu nikki saivi ana kinyongo sjui ana shda gan
Sema wasanii wa hip hop wanaaminigi wao miamba😂😂😂😂😂
Niki maku wew tena siyo kidogo sanaaaaa yaan maku kwel kweliiii
Unju!!!! 🔥🔥
#7
Nikki Mbishi chuki inammaliza, watu mtaani hawajui ngoma yake hata moja anaishia kuchukia wenzake ambao wanasikilizwa na kila rika.
WEWE USIE JUA MZIKI WA RAP NDO UMJUI
Nikki n zaman za freestyle now n wivu amezdsha
Jamaa anaongea ukweli ndio maana anaonekana mkorofi
Niki nakukubali lakin kumsema roma daah sijapenda 🥺
ila we nikki unajikuta mgumu lkn mchumba tu huna lolote.....hiphop sio mziki kama unavofikiria ww kwa apa bongo hiphop ni maisha tu ambayo tunayaishi kitaa
Uko sahihi
Kitu watu wanashindwa kuelewa ni kuwa KUNA SOFT HIP HOP NA HARDCORE HIP HOP.Nikki Mbishi anaimba Hardcore Hiphop Ndo maana hata audience inayomfuatilia ni chachee
Umeongea pumba
I love yu nikki
Mashallah
Mm huyu ndo namskia leo.... Roma,,, Zimbabwe for life
Utakua chizi we Kama humjui unju
Nilichogundua kwa huyu jamaa hamna kitu kabisa.. huwezi shindana na roma bro acha chuki
Humjui Nikki wewe mjomba. Bora unyamaze.......kujimwambafai kwa wasanii ni kawaida ila Niki Mbishi ni level zingine. Sema umaarufu ishu nyingine.
Wengi hawajui industry ya hip hop ndo maana hawaelew anachoongelea Unju , Nikk kazungumza fact sn
Wengi mziki makelele ndomana
Ata kama ila kwa roma anakaa angalia ata shoo za roma af ulinganishe na mbish ,,
@@arinestaanton9895 sisi atutaki show ambazo zinawatetea wapuuzi eti ndio dili ila sisi tunataka ujumbe wakutuelimisha kutoka studio tu inatosha sio lazima mpaka show, hiphop ni reality tunayoishi na sio Kiki na maigizo ya stage kuwa na akili
Big up Dr. Unju ukweli unauma siku zte
maneno mengi kimziki hata ngambo hujavuka unatabia za wanawake wakizamani 80s
Ana kinyongo sana
Umesahau brand ya 26 life ndio iko juu than any brand
Umezingua
# mbali na kutekwa
Nikki mbishi kumuongelea Roma ni HIP HOP...ila kwa wasioelewa industry ya music wanaweza wakamchukulia doctor UNJU miyeyusho...kawaongelea CHIDY na Q-CHILA yani anawakumbusha watu wawasikilize vizuri hao watu i mean wawafatilie vizuri hao watu..sema kama IQ yako ndogo...uwezi kung'amua kitu huyu mtu ni wa pekee
Sahh
Saaaan bro hauko makin q na chid wamezungumziwa kwenye swala la kuji brand naamepitisha kama kautam kuwa qchila alipo sema nipo geto naj brand ,,ndo nik akasema huwez kujibrand ukiwa geto toka kitaaa,, ss ww unachangany bro
Mkatoliki kitambonino ANA WATU.
Kumbe unachuki bro
Sasa hujui huyu n baba wa kinyongo.hamna msanii aliewah kumsifu labda kwa unafki..nikki fala tu
Nikki taarabu nyingi sana, umezeeka Sasa, jitahidi uwe na busara
Tunakubali nikki lakini ukiendelea kwa Roma tunakuacha kweli make roma ni fire
Kweli asee
Kwani we umeimba nyimbo gani mana za Roma tunazijuwa
Hapo sasa
Mfatirie then Utajua unjuu nani..
HahHahahahahahah nimecheka sana mwana kumbe tuko wengi harijulikani hilooooooh si twamtambua ROMA natwamkubari saaaana
Nikki acha wivu
Lazima tuendeleze hippop tz
😀😀😀😀😀😁😁😁😀😀😀😀 #acha #kiherehere #roma 😀😁😀😀😀
Wasio jua music wa hip hop hawawezi kumuelewa Nikki mbishi, mimi nawasikiliza wote roma na nikki mbishi ila nikki mbishi ni TANZANIAN MASHINE
Ni kweli ila kwa roma anakaa
@@arinestaanton9895 sawa ila naheshimu sana mtazamo wako ila kila mtu anamtazamo wake
Kwani bro Nikki umeimba nyimbo gani
Mana za roma tunazijua
huwezi kuzijua kama unakaa Banda la uani Kwa mama kimbo
Unakomaa mwanangu
Wewe kweli mbish
Unjuu lile disi ulopigwa p mc ni ukweli mipasho sana m mshabik wko unjuu sana ila ushindane na roma .
Nikki mbishi jina la pili linamwarbu roma mkali zaidi yako roma alikuwa noma kabla ajatekwa
Kwa roma apo umezngua brother.. ata kabla ya tukio mbona mwamba ni mkali tuu..
Ila mbona nikki kaongea ukweli tu
Mimi sioni kama ni ubaya
Unju yupo real sana
I respect him
Upupuuu
true 100
ujuaji unamponza
Hate won't make you succeed bruh umezingua kinoma
Sawa sawa nakubali nashkuru kusikia hiyo mchane tu muimba taarifa za habari
we roma ni mkali tena mkali kwelikweli
Acha kihere here ,roma kakushinda sana kaka
Roma anakuzidi kila kitu broo so toa hit song hata moja af ndio uongee
Wajanja ndo tunaelewa hii interview ya nikky ila maakanyaboya yatamsapoti Roma
Roma ni bora kuliko Nick kwa hip hop Roma ni namba moja
Hujuwi HIP HOP kaa pembeni
Hujui hip hop kaa kwa Kutulia
Ujui ki2 kuhsu Hip Hop bro
Nikki mbishi ni msanii mzuri sana wa hiphop TZ na ni kati ya wasanii bora sana wa hiphop... Ila kumdiss roma amezingua tena sanaaa, yani nikki anadiss wasanii wengi mara kawa diss weusi, mara p the mc sasa hv roma.. hawezi fika mbali kwa hiyo attitude japo kuwa anajua.
Aja mdisi kajibu alichoulizw na ukweli upo apoo
Mbishi hana hoja hana jipya
Mbinu hazifi
hii list ya uongo
Na wewe katekweee😂😂😂
Kweli kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwel roma ilikua nikiki yakutekwa
Niki alikua yule wa Play boy na Friday feat Belle 9& Godzilla Kwa sasa kajaa chuki
tatizo anaona yeye ndo anajua kila kitu
Yes,,zile nyimbo me mwenyew nnazo...zile sasa ndo kaimba!ila hzi blaa blaa za siku hizi Nikki naona ni bangi tu ndo zinamchanganya
Na izo alibahatisha tu ndio maana hawezi kufanya kama vile tena.we unafikiri hapendi kufanya kama vile arudi mtaani 😀😀😀😀😀.
Huyu jamaa mbishi sana ndicho kitu kinachofanya hasikiki kimuziki
Nikk Mbish ni GOAT,,don’t and never compare him with Roma...let we be serious
Jamaa yupo ndumu yupo stimu nomaaa
Ganja on fleek.
@@unclepwechnov1381 nomaaa
yuko Dawai
Nikki anavuta sana bangi ndo mana,,bangi ni mbaya mno
Nikki Watafta kiki Kwa Roma Eh Tatizo Bangi zakuchanganya Sana Kaka
Achakumsema mwana kwa ubaya mzee .wewe jitahidi ili uweze kumfikia mzee.
Nikki ndipo napomzaraugi anakuwa na kinyongo cha kijinga
Unjuu....!!!!🙌
Uyu jamaa smart sana mshamb aelew tunamtaka tena 😂😂😂
Roma mshamba anazinguwa 2.
1
Huyuuu jamaaa n mnafiki sana......eti mashabiki wa watu wa Hip Hop hawana smartphone 😀😀😀😀😂😂😂
Mbaya sana.. ni fala wa WASAFI tunamwelewa!!
The Last Man Stand
Was Kwanzaa😂😂😂
Nilijuaga huyu jamaa AMEKUFA kumbe bado yupo?, duh! ni kufulia tu😁😁😁😁😁😁achana na Roma
Mshamba anaangaika na roma bdala awaze life yake
Af tatzoo la nikii n wivu na roho mbayaa
Bingo116
Huwezi kua mkali kwa ku-strugle tu...eti kaptia BSS...ogopa sana mwanafunzi ambae hajaptia nursery na anafanya vizuri kuliko waliopitia...
Huyu jamaa ni very genius... Salute kwako mbishi
Huyu nikki mbishi ndo vitu gani??😂😂😂 embu atuachie bongo hiphop yetu ...ye bado sana
Bado sema hujafatilia hip hop wakina roma wanaijua hip hop kweli au mazingila ya siasa yanawabeba
Chuki inakutafuna broo wee pambana na muziki wako naamini utafanikiwa... ila ukumbuke roma ni mkali kuliko wewe na roma tunamjua kitambo usituambie alijulikana baada ya kutekwa acha wivu niga
Kweli roma tunamjuatangia kitambo na yuko juu chuki na wivu sio ishu
Uyu jamaa anafaa kuimba tarabu bwege sana
Limekuwa la ajabu sana kaz majungu tu bdal liwaze yake
Huna maajabu Nikki acha kumdis Roma aisee
Nilimkubali Niki mbishi kwenye Playboy Fanya blayboy2 bro
Unaweza sema ana chuki. lkn ukweli hua haupendezi masikioni mwa watu. Good nikki
Amna ukwel wowote apo roma yuko juu ww wivu tu umezid ndo maana anachukia wasanii wenzake kila siku bifu yaani ameachana na weusi anakuja kwa roma wakati roma sio levo yake,, anataka kujulikana kwa beef kama anaona kutekwa kwa roma ni kiki atekwe nayeye
@@arinestaanton9895 tupe mfano kamchukia nani sisi tu kujibu sasa maana naona kama wewe ndio hujitambui
Acha kuimba taarab ww Shoga ake Minaj
Unju arakati kweli..achana nae uyo Mtoto Roma's.. habari zake tunazo... fanya hip hop unasomeka sana
Nikki Mbishi umenena kweli ..Roma ni kuhelehele sana yule.
Boya ww
Akili nyingi
Nataka bidhaa za unju napataje
Yaani huyu jamaa n bogus sijapata kuona 😁😁
Niki umezingua roma yupo juu na huwezi mshusha kwa maneno coz watu ndio washamuelewa
Nick wwe mama tuu
Nicas mzee unachanika tu 😁
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
Roma teacher wacha awesome she wenye chuki
Vifuata upepo 😁😁
Niki ujuaji mwingi utabaki na ubishi wako km jina lako
Hhhhh
Wivu