ROMA ANAIMBA NGONJERA/ TUMEMFUNDISHA SISI HIP HOP/ NI MUONGO - NIKKI MBISHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 242

  • @ShaqueeBlackrapper
    @ShaqueeBlackrapper 2 ปีที่แล้ว +10

    Kwa tunaoijua HIPHOP vizuri tumeelewa alichokisema Nikki Kwa wasiojua hawawezi kuelewa Heshima sana Unju ✊

  • @elisantemsumanje1381
    @elisantemsumanje1381 3 ปีที่แล้ว +16

    Mtu ambaye sio smart hawezi kuelewa hi extremely important session

  • @djalminhagamari4642
    @djalminhagamari4642 3 ปีที่แล้ว +2

    Nikki mbishi watoto wengi wamekujua miaka ya 2019

  • @ayubdax3977
    @ayubdax3977 2 ปีที่แล้ว +1

    Nikk mbish, Aminia sana Unju, Kichwa Makini.

  • @yasirimavere7729
    @yasirimavere7729 3 ปีที่แล้ว +8

    Unju for ever

  • @Junilito
    @Junilito 3 ปีที่แล้ว +6

    Rhymes Of Magic Attraction yuko juu

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 3 ปีที่แล้ว +9

    Anaesema Nikki hana ngoma kali... Atafute kitu inaitwa jogoo atamjua Nikki ni nani?

  • @mklarazaa719
    @mklarazaa719 3 ปีที่แล้ว +15

    Tunamsikiliza roma sana kwa maana tuna mwelewe...na kuna kurap na kuna hip hop.Hip Hop ni maisha ya kila siku yenye kila aina ya changamoto hivyo

  • @OFFICIALMABY
    @OFFICIALMABY 3 ปีที่แล้ว +5

    Sema jamaa anaongeaga fact sana

  • @johnnabie5445
    @johnnabie5445 3 ปีที่แล้ว +7

    Mimi nilishamkubali Roma mkatoliki 🇰🇪🤜🤛🙏🔥

  • @footballclips1617
    @footballclips1617 3 ปีที่แล้ว +5

    Ukitaja marapa wanaoelimisha huwezi kumuacha roma

  • @alexmwalim9714
    @alexmwalim9714 3 ปีที่แล้ว +5

    Roma yupo juu kwenye hip hop so ili ufkie level alofika Roma jitaidi ju saii bado sana Roma yupo juu mzee

    • @impeccable6974
      @impeccable6974 3 ปีที่แล้ว

      Hivi unamjua Niki mbishi WEWE?

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 3 ปีที่แล้ว

      @@impeccable6974 kwwnda huko hajui ku paform jukwaani anashushwa aende uko 😏😏😏

    • @tonianosoprano117
      @tonianosoprano117 3 ปีที่แล้ว

      Utakuwa umjui nikki mbishi ki mziki

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 3 ปีที่แล้ว

      @@tonianosoprano117 nikki na roma ni wana hip hop wawili tofauti, roma rap style yake ni kama Eminem Nikk mbishi ni kama nas

    • @khojarobebebebebebebebe9329
      @khojarobebebebebebebebe9329 3 ปีที่แล้ว +1

      @@sifatiiman pamoja mwana mtell huyo twampenda natwamkubari saaaana Roma tangu natangu

  • @daviezaghalinho2480
    @daviezaghalinho2480 3 ปีที่แล้ว +7

    Roma kabla ajatekwa alikua na ngoma Kali nyingi kapata tuzo kibao Ngoma kama mathematics all the best

  • @pawizo5006
    @pawizo5006 3 ปีที่แล้ว +4

    Sema wasanii wa hip hop wanaaminigi wao miamba😂😂😂😂😂

  • @bizbiz5023
    @bizbiz5023 3 ปีที่แล้ว +1

    Niki maku wew tena siyo kidogo sanaaaaa yaan maku kwel kweliiii

  • @cosmoantonio5682
    @cosmoantonio5682 3 ปีที่แล้ว +1

    Unju!!!! 🔥🔥

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 3 ปีที่แล้ว +6

    #7
    Nikki Mbishi chuki inammaliza, watu mtaani hawajui ngoma yake hata moja anaishia kuchukia wenzake ambao wanasikilizwa na kila rika.

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 3 ปีที่แล้ว +3

      WEWE USIE JUA MZIKI WA RAP NDO UMJUI

    • @alfoncemalamsha455
      @alfoncemalamsha455 2 ปีที่แล้ว

      Nikki n zaman za freestyle now n wivu amezdsha

    • @davidmbwilo4954
      @davidmbwilo4954 ปีที่แล้ว

      Jamaa anaongea ukweli ndio maana anaonekana mkorofi

  • @saidymo8307
    @saidymo8307 3 ปีที่แล้ว +1

    Niki nakukubali lakin kumsema roma daah sijapenda 🥺

  • @chingychingy2066
    @chingychingy2066 3 ปีที่แล้ว +2

    ila we nikki unajikuta mgumu lkn mchumba tu huna lolote.....hiphop sio mziki kama unavofikiria ww kwa apa bongo hiphop ni maisha tu ambayo tunayaishi kitaa

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv3914 3 ปีที่แล้ว +1

    Kitu watu wanashindwa kuelewa ni kuwa KUNA SOFT HIP HOP NA HARDCORE HIP HOP.Nikki Mbishi anaimba Hardcore Hiphop Ndo maana hata audience inayomfuatilia ni chachee

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 2 ปีที่แล้ว

    I love yu nikki

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @denicemwitakabwere7726
    @denicemwitakabwere7726 3 ปีที่แล้ว +2

    Mm huyu ndo namskia leo.... Roma,,, Zimbabwe for life

  • @kessykadema180
    @kessykadema180 3 ปีที่แล้ว +3

    Nilichogundua kwa huyu jamaa hamna kitu kabisa.. huwezi shindana na roma bro acha chuki

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 3 ปีที่แล้ว

      Humjui Nikki wewe mjomba. Bora unyamaze.......kujimwambafai kwa wasanii ni kawaida ila Niki Mbishi ni level zingine. Sema umaarufu ishu nyingine.

  • @taizmigo2649
    @taizmigo2649 3 ปีที่แล้ว +8

    Wengi hawajui industry ya hip hop ndo maana hawaelew anachoongelea Unju , Nikk kazungumza fact sn

    • @kombobomayee1745
      @kombobomayee1745 3 ปีที่แล้ว

      Wengi mziki makelele ndomana

    • @arinestaanton9895
      @arinestaanton9895 3 ปีที่แล้ว

      Ata kama ila kwa roma anakaa angalia ata shoo za roma af ulinganishe na mbish ,,

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 3 ปีที่แล้ว

      @@arinestaanton9895 sisi atutaki show ambazo zinawatetea wapuuzi eti ndio dili ila sisi tunataka ujumbe wakutuelimisha kutoka studio tu inatosha sio lazima mpaka show, hiphop ni reality tunayoishi na sio Kiki na maigizo ya stage kuwa na akili

  • @emmympangala2411
    @emmympangala2411 3 ปีที่แล้ว +2

    Big up Dr. Unju ukweli unauma siku zte

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 3 ปีที่แล้ว +1

    maneno mengi kimziki hata ngambo hujavuka unatabia za wanawake wakizamani 80s

  • @jihadjiha1017
    @jihadjiha1017 3 ปีที่แล้ว +1

    Umesahau brand ya 26 life ndio iko juu than any brand

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 3 ปีที่แล้ว +1

    Umezingua

  • @erikimethod6246
    @erikimethod6246 3 ปีที่แล้ว +2

    # mbali na kutekwa

  • @ibrahimmsham1099
    @ibrahimmsham1099 3 ปีที่แล้ว +7

    Nikki mbishi kumuongelea Roma ni HIP HOP...ila kwa wasioelewa industry ya music wanaweza wakamchukulia doctor UNJU miyeyusho...kawaongelea CHIDY na Q-CHILA yani anawakumbusha watu wawasikilize vizuri hao watu i mean wawafatilie vizuri hao watu..sema kama IQ yako ndogo...uwezi kung'amua kitu huyu mtu ni wa pekee

    • @kombobomayee1745
      @kombobomayee1745 3 ปีที่แล้ว

      Sahh

    • @johnamos2050
      @johnamos2050 3 ปีที่แล้ว

      Saaaan bro hauko makin q na chid wamezungumziwa kwenye swala la kuji brand naamepitisha kama kautam kuwa qchila alipo sema nipo geto naj brand ,,ndo nik akasema huwez kujibrand ukiwa geto toka kitaaa,, ss ww unachangany bro

  • @stephanomosses3743
    @stephanomosses3743 3 ปีที่แล้ว +3

    Mkatoliki kitambonino ANA WATU.

  • @georgeludakulo6848
    @georgeludakulo6848 3 ปีที่แล้ว +4

    Kumbe unachuki bro

    • @alfoncemalamsha455
      @alfoncemalamsha455 2 ปีที่แล้ว +2

      Sasa hujui huyu n baba wa kinyongo.hamna msanii aliewah kumsifu labda kwa unafki..nikki fala tu

  • @SIMULIZIZONE
    @SIMULIZIZONE 3 ปีที่แล้ว +3

    Nikki taarabu nyingi sana, umezeeka Sasa, jitahidi uwe na busara

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy4357 3 ปีที่แล้ว +9

    Tunakubali nikki lakini ukiendelea kwa Roma tunakuacha kweli make roma ni fire

  • @arkamhamad5072
    @arkamhamad5072 3 ปีที่แล้ว +3

    Kwani we umeimba nyimbo gani mana za Roma tunazijuwa

    • @stephanomosses3743
      @stephanomosses3743 3 ปีที่แล้ว +1

      Hapo sasa

    • @omary3238
      @omary3238 3 ปีที่แล้ว

      Mfatirie then Utajua unjuu nani..

    • @khojarobebebebebebebebe9329
      @khojarobebebebebebebebe9329 3 ปีที่แล้ว +1

      HahHahahahahahah nimecheka sana mwana kumbe tuko wengi harijulikani hilooooooh si twamtambua ROMA natwamkubari saaaana

  • @benmbuya1814
    @benmbuya1814 3 ปีที่แล้ว +1

    Nikki acha wivu

  • @zainabmbarak1043
    @zainabmbarak1043 2 ปีที่แล้ว

    Lazima tuendeleze hippop tz

  • @emmympangala2411
    @emmympangala2411 3 ปีที่แล้ว +1

    😀😀😀😀😀😁😁😁😀😀😀😀 #acha #kiherehere #roma 😀😁😀😀😀

  • @lutusigaza2148
    @lutusigaza2148 3 ปีที่แล้ว +4

    Wasio jua music wa hip hop hawawezi kumuelewa Nikki mbishi, mimi nawasikiliza wote roma na nikki mbishi ila nikki mbishi ni TANZANIAN MASHINE

    • @arinestaanton9895
      @arinestaanton9895 3 ปีที่แล้ว

      Ni kweli ila kwa roma anakaa

    • @lutusigaza2148
      @lutusigaza2148 3 ปีที่แล้ว

      @@arinestaanton9895 sawa ila naheshimu sana mtazamo wako ila kila mtu anamtazamo wake

  • @Michael_Msanzya
    @Michael_Msanzya 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwani bro Nikki umeimba nyimbo gani
    Mana za roma tunazijua

    • @shaurimtanda8285
      @shaurimtanda8285 2 หลายเดือนก่อน

      huwezi kuzijua kama unakaa Banda la uani Kwa mama kimbo

  • @idrisahussein6654
    @idrisahussein6654 2 ปีที่แล้ว

    Unakomaa mwanangu
    Wewe kweli mbish

  • @ibrahimmakame5304
    @ibrahimmakame5304 3 ปีที่แล้ว +2

    Unjuu lile disi ulopigwa p mc ni ukweli mipasho sana m mshabik wko unjuu sana ila ushindane na roma .

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 3 ปีที่แล้ว

    Nikki mbishi jina la pili linamwarbu roma mkali zaidi yako roma alikuwa noma kabla ajatekwa

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 3 ปีที่แล้ว +7

    Kwa roma apo umezngua brother.. ata kabla ya tukio mbona mwamba ni mkali tuu..

  • @fredysanura5412
    @fredysanura5412 3 ปีที่แล้ว +2

    Ila mbona nikki kaongea ukweli tu
    Mimi sioni kama ni ubaya
    Unju yupo real sana
    I respect him

  • @zackypapla5511
    @zackypapla5511 3 ปีที่แล้ว +1

    Upupuuu

  • @kisabihamadi7555
    @kisabihamadi7555 3 ปีที่แล้ว

    true 100
    ujuaji unamponza

  • @richshayo4924
    @richshayo4924 3 ปีที่แล้ว +4

    Hate won't make you succeed bruh umezingua kinoma

  • @sidemiela3597
    @sidemiela3597 3 ปีที่แล้ว

    Sawa sawa nakubali nashkuru kusikia hiyo mchane tu muimba taarifa za habari

  • @samwelikimati5863
    @samwelikimati5863 2 ปีที่แล้ว

    we roma ni mkali tena mkali kwelikweli

  • @djumadjumbe6907
    @djumadjumbe6907 3 ปีที่แล้ว +1

    Acha kihere here ,roma kakushinda sana kaka

  • @daviezaghalinho2480
    @daviezaghalinho2480 3 ปีที่แล้ว +4

    Roma anakuzidi kila kitu broo so toa hit song hata moja af ndio uongee

  • @nacebamr4722
    @nacebamr4722 2 ปีที่แล้ว

    Wajanja ndo tunaelewa hii interview ya nikky ila maakanyaboya yatamsapoti Roma

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 3 ปีที่แล้ว +1

    Roma ni bora kuliko Nick kwa hip hop Roma ni namba moja

  • @mosesshelukindo6478
    @mosesshelukindo6478 3 ปีที่แล้ว

    Nikki mbishi ni msanii mzuri sana wa hiphop TZ na ni kati ya wasanii bora sana wa hiphop... Ila kumdiss roma amezingua tena sanaaa, yani nikki anadiss wasanii wengi mara kawa diss weusi, mara p the mc sasa hv roma.. hawezi fika mbali kwa hiyo attitude japo kuwa anajua.

    • @allykiukala3693
      @allykiukala3693 3 ปีที่แล้ว

      Aja mdisi kajibu alichoulizw na ukweli upo apoo

  • @kakakuonamprubenikakakuona1387
    @kakakuonamprubenikakakuona1387 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbishi hana hoja hana jipya

  • @pierlomakavel4169
    @pierlomakavel4169 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbinu hazifi

  • @frankchamba8894
    @frankchamba8894 3 ปีที่แล้ว

    hii list ya uongo

  • @antonychristian1369
    @antonychristian1369 3 ปีที่แล้ว +4

    Na wewe katekweee😂😂😂

  • @asantesangawe1366
    @asantesangawe1366 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwel roma ilikua nikiki yakutekwa

  • @simonmlisa4311
    @simonmlisa4311 3 ปีที่แล้ว +7

    Niki alikua yule wa Play boy na Friday feat Belle 9& Godzilla Kwa sasa kajaa chuki

    • @Dee_76
      @Dee_76 3 ปีที่แล้ว

      tatizo anaona yeye ndo anajua kila kitu

    • @makangeofficialmediatz6715
      @makangeofficialmediatz6715 3 ปีที่แล้ว

      Yes,,zile nyimbo me mwenyew nnazo...zile sasa ndo kaimba!ila hzi blaa blaa za siku hizi Nikki naona ni bangi tu ndo zinamchanganya

    • @nikodemuschacha
      @nikodemuschacha 3 ปีที่แล้ว +1

      Na izo alibahatisha tu ndio maana hawezi kufanya kama vile tena.we unafikiri hapendi kufanya kama vile arudi mtaani 😀😀😀😀😀.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa mbishi sana ndicho kitu kinachofanya hasikiki kimuziki

  • @freddylucas1132
    @freddylucas1132 3 ปีที่แล้ว +1

    Nikk Mbish ni GOAT,,don’t and never compare him with Roma...let we be serious

  • @krazywizzy4736
    @krazywizzy4736 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa yupo ndumu yupo stimu nomaaa

  • @makangeofficialmediatz6715
    @makangeofficialmediatz6715 3 ปีที่แล้ว

    Nikki anavuta sana bangi ndo mana,,bangi ni mbaya mno

  • @Balogetv
    @Balogetv 3 ปีที่แล้ว +3

    Nikki Watafta kiki Kwa Roma Eh Tatizo Bangi zakuchanganya Sana Kaka

  • @eliaminishembazi6804
    @eliaminishembazi6804 3 ปีที่แล้ว +2

    Achakumsema mwana kwa ubaya mzee .wewe jitahidi ili uweze kumfikia mzee.

    • @alfoncemalamsha455
      @alfoncemalamsha455 2 ปีที่แล้ว

      Nikki ndipo napomzaraugi anakuwa na kinyongo cha kijinga

  • @mabaazizitigermnyama5254
    @mabaazizitigermnyama5254 3 ปีที่แล้ว +2

    Unjuu....!!!!🙌

  • @mubaraqkhalid205
    @mubaraqkhalid205 3 ปีที่แล้ว +5

    Uyu jamaa smart sana mshamb aelew tunamtaka tena 😂😂😂

  • @allykiukala3693
    @allykiukala3693 3 ปีที่แล้ว

    Roma mshamba anazinguwa 2.

  • @d1w4n1dmoko9
    @d1w4n1dmoko9 3 ปีที่แล้ว

    1

  • @realnine..
    @realnine.. 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyuuu jamaaa n mnafiki sana......eti mashabiki wa watu wa Hip Hop hawana smartphone 😀😀😀😀😂😂😂

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 3 ปีที่แล้ว +1

      Mbaya sana.. ni fala wa WASAFI tunamwelewa!!

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 3 ปีที่แล้ว +3

    The Last Man Stand

  • @denismvula6713
    @denismvula6713 3 ปีที่แล้ว +3

    Was Kwanzaa😂😂😂

  • @petroladslaus563
    @petroladslaus563 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilijuaga huyu jamaa AMEKUFA kumbe bado yupo?, duh! ni kufulia tu😁😁😁😁😁😁achana na Roma

    • @alfoncemalamsha455
      @alfoncemalamsha455 2 ปีที่แล้ว

      Mshamba anaangaika na roma bdala awaze life yake

  • @jenifersamwel8990
    @jenifersamwel8990 3 ปีที่แล้ว

    Af tatzoo la nikii n wivu na roho mbayaa

  • @frankmichael1307
    @frankmichael1307 3 ปีที่แล้ว

    Bingo116

  • @salumuissa8501
    @salumuissa8501 3 ปีที่แล้ว +3

    Huwezi kua mkali kwa ku-strugle tu...eti kaptia BSS...ogopa sana mwanafunzi ambae hajaptia nursery na anafanya vizuri kuliko waliopitia...

  • @geofreyukason
    @geofreyukason 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa ni very genius... Salute kwako mbishi

  • @mhogomchungu7882
    @mhogomchungu7882 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu nikki mbishi ndo vitu gani??😂😂😂 embu atuachie bongo hiphop yetu ...ye bado sana

    • @anytime5685
      @anytime5685 3 ปีที่แล้ว

      Bado sema hujafatilia hip hop wakina roma wanaijua hip hop kweli au mazingila ya siasa yanawabeba

  • @captaindunga.5849
    @captaindunga.5849 3 ปีที่แล้ว +1

    Chuki inakutafuna broo wee pambana na muziki wako naamini utafanikiwa... ila ukumbuke roma ni mkali kuliko wewe na roma tunamjua kitambo usituambie alijulikana baada ya kutekwa acha wivu niga

    • @arinestaanton9895
      @arinestaanton9895 3 ปีที่แล้ว

      Kweli roma tunamjuatangia kitambo na yuko juu chuki na wivu sio ishu

  • @cassianclement34
    @cassianclement34 3 ปีที่แล้ว +2

    Uyu jamaa anafaa kuimba tarabu bwege sana

    • @alfoncemalamsha455
      @alfoncemalamsha455 2 ปีที่แล้ว

      Limekuwa la ajabu sana kaz majungu tu bdal liwaze yake

  • @calvinmaimu3366
    @calvinmaimu3366 3 ปีที่แล้ว

    Huna maajabu Nikki acha kumdis Roma aisee

  • @cathbertkilingo4472
    @cathbertkilingo4472 3 ปีที่แล้ว

    Nilimkubali Niki mbishi kwenye Playboy Fanya blayboy2 bro

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 3 ปีที่แล้ว +1

    Unaweza sema ana chuki. lkn ukweli hua haupendezi masikioni mwa watu. Good nikki

    • @arinestaanton9895
      @arinestaanton9895 3 ปีที่แล้ว

      Amna ukwel wowote apo roma yuko juu ww wivu tu umezid ndo maana anachukia wasanii wenzake kila siku bifu yaani ameachana na weusi anakuja kwa roma wakati roma sio levo yake,, anataka kujulikana kwa beef kama anaona kutekwa kwa roma ni kiki atekwe nayeye

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 3 ปีที่แล้ว

      @@arinestaanton9895 tupe mfano kamchukia nani sisi tu kujibu sasa maana naona kama wewe ndio hujitambui

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 3 ปีที่แล้ว +2

    Acha kuimba taarab ww Shoga ake Minaj

  • @aramamisamatime3183
    @aramamisamatime3183 3 ปีที่แล้ว +1

    Unju arakati kweli..achana nae uyo Mtoto Roma's.. habari zake tunazo... fanya hip hop unasomeka sana

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 ปีที่แล้ว

    Nikki Mbishi umenena kweli ..Roma ni kuhelehele sana yule.

  • @joebanda5475
    @joebanda5475 3 ปีที่แล้ว

    Akili nyingi

  • @emmanuelmasemba7612
    @emmanuelmasemba7612 3 ปีที่แล้ว

    Nataka bidhaa za unju napataje

  • @shingwahemed5290
    @shingwahemed5290 3 ปีที่แล้ว +3

    Yaani huyu jamaa n bogus sijapata kuona 😁😁

  • @shekhally5741
    @shekhally5741 3 ปีที่แล้ว

    Niki umezingua roma yupo juu na huwezi mshusha kwa maneno coz watu ndio washamuelewa

  • @izackbarnaba9510
    @izackbarnaba9510 3 ปีที่แล้ว

    Nick wwe mama tuu

  • @attainer-jr7494
    @attainer-jr7494 3 ปีที่แล้ว +1

    Nicas mzee unachanika tu 😁

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @zainabmbarak1043
    @zainabmbarak1043 2 ปีที่แล้ว

    Roma teacher wacha awesome she wenye chuki

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 ปีที่แล้ว +2

    Vifuata upepo 😁😁

  • @sefoo8084
    @sefoo8084 3 ปีที่แล้ว +10

    Niki ujuaji mwingi utabaki na ubishi wako km jina lako

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619 3 ปีที่แล้ว

    Wivu