Mama ni mama wa kila mtanzania yeye ndio raia namba moja maana yake yeye ndio kila kitu kwa nchi haitaji elimu kubwa kujua hii muombeni tu mungu atusaidie amani tu iwepo basi mengine yatajiseti
Sio busara kumuita RAIS wa inch zezeta matusi haya tatui matatzo, ya jumuia au binasf Bali uondoa utu na ustarabu wetu awe mpole au katili Bado utu wake una thamani kubwa kupita huo uraisi si vyema kutumia lugha kama hizo kijana badilika
Ni kweli Tundu Lissu hawezi kua mtoto wa mama ila Mama pia siyo Zezeta....tupunguze ukali wa maneno kidogo hata kama hatukubaliani na namna mama anavotupeleka
KAKA YETU TUNDU LISSU UMEPEWA HESHIMA KUBWA KUWA SIMBA SIO JAMBO DOGO.
Alitaka aitwe nyani ndio ashukuru
DUME AU JIKE😢
@@OmmyJames-xn7ji DUME NDUGU YANGU YAAN KAHESHIMIWA SANA LISSU
Mama ni mama wa kila mtanzania yeye ndio raia namba moja maana yake yeye ndio kila kitu kwa nchi haitaji elimu kubwa kujua hii muombeni tu mungu atusaidie amani tu iwepo basi mengine yatajiseti
Hahahahaha penda sana rais wangu kazi iendeleee
Tundu lissu. Next president, mpaka ccm wamekubali
Katika mtu akifanya kitu chochote nchni hapa rais hahofii ni tundulisu 😅😅😅 basi saw vipi yule kijan aliye tekwa
Tundu lissu simba wa nyika umempa jina zuri sana ngoja ss subiri majibu yake
Ngoja asikie umemwita mwanangu!! Ngoja tujiandae na majibu yake!!! Maana mwano ni mtataa sana!!! 😂😂😂
TUNDU LISU Simba wa Yuda!💪🏿
Umekosea,Simba wa Yuda ni Yesu.Siyo Tundu Lisu,anaweza kuwa Simba ila usimwite Simba wa Yuda.
Hahaaaa
Ivi tundu lisu ni mwanao kweli siyo kaka yako ? Mbona umri wa tundu lisu haulinganii na maneno yako ,basi mama yetu tunajia ni utani tu
Kwahivyo ww umempa utulivu gani ..? Umempa hela zake ..?
Alishakataa ww sio mama yake kujipendekeza
😂😂😂😂😂
Anataka kumnunua😂😂
Hawezi
Simba huyo ndio kiongozi
Hivi Tundu Lissu nasiyo Ivi tundu lisu.
Haya tumesikia
Sitaona ajabu lisu kwenda CCM hivi karibuni
Kumbe
😂😂😂
Tundu ni man and a half, huna uwezo wa kUMZaa wewe zezeta!!
Sio busara kumuita RAIS wa inch zezeta matusi haya tatui matatzo, ya jumuia au binasf Bali uondoa utu na ustarabu wetu awe mpole au katili Bado utu wake una thamani kubwa kupita huo uraisi si vyema kutumia lugha kama hizo kijana badilika
Ni kweli Tundu Lissu hawezi kua mtoto wa mama ila Mama pia siyo Zezeta....tupunguze ukali wa maneno kidogo hata kama hatukubaliani na namna mama anavotupeleka
ALIMAANISHA MWANANG KAMA JINSI UNAVYOMWITA MSHKAJI
Sizani kama wewe ulizaliwa na mwanamke kwa lugha zako hizo mbovu
@@pierinamduda3552 ni kuwekana sawa tu kuna wakati tuna-slip off