Join this channel to get access to perks: / @ikonini Support...M-PESA TILL No: 5928023 MPESA 0722524151 Makarios Ouma Subscribe To DJ ZaQ's Channel / @djzaq Subscribe To Mwafreeka's Channel / @mwafreeka BUY MERCH: www.ikoninipod...
Napenda Nonini lakini inakaa ni mtiaji kiplanni..... Ni ukweli ukiskia line ya huuyu bobby uko hooked.... Kwa ile ngoma ya CLD, Soldier, hio verse manze.. One of my most memorable..
Kitu najua na Nonini...ni mkora. Go watch Eric Musyoka on CTA talking about how P-Unit walikuwa na issues na Nonini because of rights za mziki yao pamoja. So listening to this story, I'm not surprised
I think we should have a walk of fame on our KNT for pioneer artists. With a room dedicated to house original CDs for their breakthrough albums and their posters..and stars.
@Iko Nini Bamboo and Cannibal need to come on the show and share their insight on Christianity and demons since wako very vocal about hizo story especially them being former hip hop artists.
Manzeeeeeee I was just talking throwback music with my G and I log on to this....... This podcast just keeps on getting better and better. Cheers to more life. Keep the surprises coming. God bless ya'll my Gz.
Bt bado nafeel pinyee alilet music industry down ,like people now had to sing to impress pinye , this guyz were legend ata mziki ya sai bado haifikii ya kitambo
Bobby I respect your views but I disagree with the Gospel part. Gospel wasnt really shoved in our ass but those guys kina Rufftone, Owen,Gospel Fathers, Jog C, Danco,Juliani, Late Kaberere...etc really put in work in their Music at that time. Secular musicians mlikua mmelala. You should probably go listen to some of their music journeys kwa CTA, ndio utaelewa. That era of Gospel Music was just the best,its simple as that. I agree Gospel songs were being played kwa the Beat but unasahau vile Gospel TV shows were huge on sundays that is Kubamba Tv, Crossover 101, Tukuza.Then Groove Awards ...that was simply a golden era of Gospel Music. Wacha excuses mingi na story ya Kanisa this Kanisa that.
Hii issue ya Zuchu ni simple sana, hajaiva bado ku headline shows outside East Africa and I hope management yake imeona. Mtoto amezaliwa juzi, ndio ameanza tu kutambaa alafu mnataka akimbie Marathon? aje sasa?
Kumbe Ona Take Bobby amepitia Upper nimenyc ju ya io riba. Nawaambia kila msanii wa Upper angechukua mziki serious industry ya KE ingekua Upperhill mzima
Mwaf you should know one thing, Performance is performance uwe unaimba ama una cheza with performance you are allowed to do anything as long as the crowd is enjoying❤
Kenya hatushobokeangi artists,but it's Kenya that has grown Tanzanian music, we appreciate good stuff,vile tu wazazi hawatuambiangi I love you but wanatupenda 😊
It's only right you check out and refresh your Mtoi a.k.a Maganji, playlist hadi kwa TH-cam as the talk proceeds. Last 4 minutes of part one, ndiyo any other magazine show kwa T.V wangeanza nayo.
nimefeel Bobby hapo akiuliza kama uko sure Diamond anaweza imba life... my answer ni kusema kweli siko sure🤣🤣🤣 almost sure hawezi... but the guy is a giant in what he does... anajua strength yake iko kwa hype na dancing so anapatia wasee just that..
Saa hii bamboo Ako mahali anahubiri vile take off ni illuminati ......na the 3 horsemen ni Migos......akiuza Ile book yake ya demons in entertainment industry 😂😂
toka enzi mwaf nimekuskiza, wodhess nini nini, kwa radio, haujawai angusha gadi, staff mob imekuwa watered down, but leo show imekuwa fiti, 24 min in nikicomment, ju shiet, kuwa na bobby hapo, moto, the respect for the game and authenticity in general ndio need ya show ka saa hii, kuna wengi wanawatch wengine wao, wasee wa hii era, na wanafaa kuskia hii stuff
Bobby is a legend.This generation would never understand how talented Mapesa was
is*
past tense...nothing else he talks about rather than beef with Nonini
@@Bonham23 It’s funny that that’s all you got from the interview SMH
Is
@@Bonham23 that's part of the music industry. Is it the first time you've heard about beef? Hata nonini alibonga about his beef with Juacali
Piga nduru ni kama stima zime kuom. That song is still in my playlist to this day
Mwaf, sababisha Prezzo pia akalie hii kiti ya ma legend. Nitafurahii sana
This show will be on fire with prezzo
Prezz is half man half amazing, he'll kill the show!!
Prezzo. that's what we are waiting for. Prezz
Prezzo 100
Prezzo lazima 🔥🔥🔥🔥
Wangapi wanatambua "Nani ndio nani" by Bobby Mapesa? This guy is dope
We ni legend
This guy made our days bana back in the day ....the song aliimba na Calvo Mistari I love it ngoma underrated sana.
Niseme nisiseme, niteme nisiteme...
Inaitwa tuzidi
Napenda Nonini lakini inakaa ni mtiaji kiplanni..... Ni ukweli ukiskia line ya huuyu bobby uko hooked.... Kwa ile ngoma ya CLD, Soldier, hio verse manze.. One of my most memorable..
Mejja,Mammito,Bobby Mapesa back to back it’s getting scary🥶🔥#ikonini😎🇰🇪
Kitu najua na Nonini...ni mkora. Go watch Eric Musyoka on CTA talking about how P-Unit walikuwa na issues na Nonini because of rights za mziki yao pamoja. So listening to this story, I'm not surprised
I think we should have a walk of fame on our KNT for pioneer artists. With a room dedicated to house original CDs for their breakthrough albums and their posters..and stars.
Mmeamua mniite P diddy na vile me hujiskia Suge Knight 😂 😂
It’s all love though 😂😂
Bobby mapema is a vibe....a funny dude as well.Anamwaga mtama vilivyo kwani iko nini😂😂😂😂
Nonini anafaa pia ajitetee hapa juu hii Story inanishangaza
Bobby Mapesa is so funny, I love his esteem man, he really rates himself
huyu msee niumpenda sana
@Iko Nini Bamboo and Cannibal need to come on the show and share their insight on Christianity and demons since wako very vocal about hizo story especially them being former hip hop artists.
Narem canibal alisema ulifika place ameambiwa a sacrifice mamake ikabidi ameokoka
Bamboo alikuwa anazima n worldly pleasures ikabidi ameokoka
Manzeeeeeee I was just talking throwback music with my G and I log on to this....... This podcast just keeps on getting better and better. Cheers to more life. Keep the surprises coming. God bless ya'll my Gz.
*Ka hajui Bobby Mapesa lazima utandikwe makofi kidogo iliuwe rada.*
Bobby ..tightest flow ever in Kenyan Industry
Bobby can tell a story. Damn, didn't know I could get hooked for a whole hour. Big up!
Mtotoo mzuri remix, naskia utam, kamoja tu, mawezere....legendary bobby mapesa..pigeni nduru nikama stima zimekam😂
Bt bado nafeel pinyee alilet music industry down ,like people now had to sing to impress pinye , this guyz were legend ata mziki ya sai bado haifikii ya kitambo
100% the game needs Bamboo back
By the way hiyo tracksuit niya Nike, drip ni kali from far it looks like pajama flani but drip ni💧
Bobby I respect your views but I disagree with the Gospel part. Gospel wasnt really shoved in our ass but those guys kina Rufftone, Owen,Gospel Fathers, Jog C, Danco,Juliani, Late Kaberere...etc really put in work in their Music at that time. Secular musicians mlikua mmelala. You should probably go listen to some of their music journeys kwa CTA, ndio utaelewa. That era of Gospel Music was just the best,its simple as that. I agree Gospel songs were being played kwa the Beat but unasahau vile Gospel TV shows were huge on sundays that is Kubamba Tv, Crossover 101, Tukuza.Then Groove Awards ...that was simply a golden era of Gospel Music. Wacha excuses mingi na story ya Kanisa this Kanisa that.
'Nonini alihepa na doo za studio bana'
😂😂😂
Bobby is a good story teller I was glued in this episode
boby ni story teller..nilikua napitia tu but one hour imeisha
I love how Bobi and Mwaf are swinging their legs in unison sometimes
Mejja,Mammito,Njugush,Bobby....we were not ready for this Mwaf!
Bobby Mapesa!!! loved his flow
Hapo kwa story ya kupractice kuna msanii mmehata kumention, Nikita Kering pia hujituma.
Nakumbuka back in the day ma barbie walikuwa wanabambika bobby akidai kama hauwezi dance weh enda ome
Big up to Mwaf kwa kuacha Bobby aongee...nimependa io background ya how they recorded NAskia utam...one of my fav Kenyan songs of all time
Nimeenjoy hii conversation sana, ahsanteni kwa kumleta Bobby. Nangoja hio part 2 sanaaa. #IkoNini
This episode is one of the best.Big up Mwaf an Zaq kwa kutuletea Bobby.Show imekua fresh shukran sana.Nangoja part 2 mbaya!!!
Bobby is a storyteller
Hii issue ya Zuchu ni simple sana, hajaiva bado ku headline shows outside East Africa and I hope management yake imeona. Mtoto amezaliwa juzi, ndio ameanza tu kutambaa alafu mnataka akimbie Marathon? aje sasa?
420 was involved in the making of this great interview.
Very good verses from Mapesa. I listen to his lyrics and I'm left laughing.
Kumbe Ona Take Bobby amepitia Upper nimenyc ju ya io riba. Nawaambia kila msanii wa Upper angechukua mziki serious industry ya KE ingekua Upperhill mzima
I remember this day like yesterday,,, Nilikua reception kwa Tabu Osusa...Tukiwa na Afro fusion artist 👉Olith Ratego na Makadem 🙏🔥🔥🔥
Waaah Bobby Mapesa and Mr Googz made my childhood
Big kuleta malegends, leteni ukoo flani mau mau artistes as well, akina zakah na kah
Bobby is low key funny asf
Bamboo ni legend but saa hii anaspit matohoho
Bobby Mapesa ni legend.
Boby Yuko juu sana I remember dem DayZ but pia he can be a story teller nimekaa 1hour nikiskiza
Mwaf you should know one thing,
Performance is performance uwe unaimba ama una cheza with performance you are allowed to do anything as long as the crowd is enjoying❤
Bobby mapesa to collabo with kaligraph Jones
hii conversation is one for the books,Bobby ni ule msee hii imeweza sana
Kenya hatushobokeangi artists,but it's Kenya that has grown Tanzanian music, we appreciate good stuff,vile tu wazazi hawatuambiangi I love you but wanatupenda 😊
This ninja needs to do something with khaligraph he was always on point
Mapesa ndio kabisa tangu Esir wengi wanakuja wakipotea ka C-zar.
Miaka mob kwa industry ka saunya nime tembea hadi nika stunya.. boby ni lit
Bobby ma dollar, Bobby ma Yen, Bobby ma Euro. One of the greatest artistes of my generation.
Kaaaali...🔥🔥😂😂
😂😂😂😂😂
Watching from the heart of Juba, south Sudan
Iko nini
Respect to this legend
VBO was my class mate in Accounts at some point. Jamaa roho safi sana.
Wazi Mwaf! I can see you heeded the call, umse ni legend period. Alichafua Nonz mbaya sana kwa Mtoto Mzuri remix
😳
vitu na penda sasa,ukikuja podcast fungua roho,kwani iko nini,nice conversation Bobby mapesa
Bobby Mapesa...this dude had dope punchlines..iko nini
Combination yake na calvo mistari ilkua Kali kwa industry
I was in Diamonds show in Berlin kedo 2020 and he sang all his songs. kama ni lip sync basi ameanza juzi.
If he was dancing, he was lip syncing. All the clips we’ve seen of his are him lip syncing while jumping on stage like a hype man
Love the show. Bobby is a true legend.
one of the baddest to ever do it in the Kenyan music scene.
On Bamboo still releasing albums in 2024 I support Bobby. That would be ill.
Wazi bro sjaanza watch but I'm excited
Legendary
Iko ninii! Used to hate bobby back in my high school dayz but came to understand an artist perception later. Iko niniii 1 luv yo!!
Ulikuwa mbleina izo siku😅
@@mr.i5310 nilikua on some hardcore ish kama Nanoma,Chiwawa, smoggiz, ukooflani 😂😂
Hio stima ilipotea studio ikapotea kejani pia at the same time
It's only right you check out and refresh your Mtoi a.k.a Maganji, playlist hadi kwa TH-cam as the talk proceeds.
Last 4 minutes of part one, ndiyo any other magazine show kwa T.V wangeanza nayo.
nimefeel Bobby hapo akiuliza kama uko sure Diamond anaweza imba life... my answer ni kusema kweli siko sure🤣🤣🤣 almost sure hawezi... but the guy is a giant in what he does... anajua strength yake iko kwa hype na dancing so anapatia wasee just that..
🤣🤣🤣. But si ni life
am an Artist I just want to say napenda hii show sana its detailed vizuri, as a new artist natamani sana to be on the show one day. #kengelemsanii
Saa hii bamboo Ako mahali anahubiri vile take off ni illuminati ......na the 3 horsemen ni Migos......akiuza Ile book yake ya demons in entertainment industry 😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Bobby is the Kenyan Gucci Mane
Ketebul Productions. Jesse Bukindu. Good ol' days
Hubaya yenye madem...mukilemewa muna tuu blame... Juu ya shame... Na hii ni game hatuwezi kuwa same 🔥🔥🙌🙌✨
Bobby sounds so mature!
One of my all time faves !! I'm so happy!
Bushnell nakumbuka nikiambiwa ni kama alipiga Pooler excess. Alikuwa lyricist and a half. RIP
Sometime last year kuna some idiots on twitter who were trying to compare Benzema to Bobby Mapesa, nilichoka tu.
🎶🎶🎶
Si mbaya ..juu benzema aliget inspiration from bobby na hu copy style yake
Even his gospel raps like Kabinti was 🔥🔥
Legend great guest harudi studio 🙌
Mwaf we ndio ulitoa ile ngoma ya 'Mtu Saba' na Nonini? Ilikuwa ngoma funny sana
Leta Huyo pinye tuone kama atamalizaa Io cushion ya kiti akijibu maswali......nitaftie pizzo dizzo
Hii story ya Nonini naeza amini juu it's not the 1st time nimeskia wasee waki complain about him Juacali pia nishaskia akicomplain
😲
Wow this was one the best iko ninis I've watched
Amazing good to see bobby around
Is it possible that the guests could speak to the Mic? Hawako Audible enough.. Ilikuwa same situwehen na Mammito.
Naskia Utam naskia utam, naski utam utam ... Skia Naugyty by Nature Jamboree and be the judge
Bobby Mapesa nakumbuka ngoma ya Tuko Mbele ilishuka nikiwa high school pale The Beat 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 plus Gwara Winji na Stima Zimekam
Ketebul ya Jesseeeeee
Back to this episode after Prezzo's interview. Sasa nimeelewa zoza ni gani 😂😂
Ilikuwa minute gani hiyo?
@@IkoNini kutoka 2:30 it's funny though 😂
Noni has issues with so many people
True, waliingiza story ya kanisa alaf wakaanza kuimba na lafudhi ya Naija maze
toka enzi mwaf nimekuskiza, wodhess nini nini, kwa radio, haujawai angusha gadi, staff mob imekuwa watered down, but leo show imekuwa fiti, 24 min in nikicomment, ju shiet, kuwa na bobby hapo, moto, the respect for the game and authenticity in general ndio need ya show ka saa hii, kuna wengi wanawatch wengine wao, wasee wa hii era, na wanafaa kuskia hii stuff
Bobby Mapesa the baddest kwani Iko nini...
This guy's songs made my days those days 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Bobby Mapesa my G.....
Bobby aliflow sana kwa mtoto mzuri...big up legend
Hahaha Bobby
am sure kuna underground rap ya mwafreeka aki dis naskia utam ya kina bobby somewhere. strange seeing them two on the same seat haha
😂😂😂. Hakuna
Ata vbo akam thru..iko nini