SABABU ZA MTU (KUHUSUDIWA) SHEIKH OTHMAN MAALIM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

ความคิดเห็น • 26

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 หลายเดือนก่อน +3

    Mashalah.
    .maneno kuntu ayo ostaz...Yan ayo mawaiza yaleo yananigusa Sana..Yan apo kama unanizungumzia mim kabisa ostaz....ama kwali nimejifunza kumbe nishajua jinsi yakudili nao mahasidi...kumbee izo nidalili za wivu wao dhidi yang...nimeelewa Sasa ostaz ...nawala sipati tabu nao tena

  • @user-ck3gw7ok7r
    @user-ck3gw7ok7r 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yah Allah tulindie shekh wetu yaraby ❤

  • @salamaabubakar5978
    @salamaabubakar5978 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu azidi kukupa elimu njema Amin . Nafurahi sana kwa mawaidha yako . Insha’allah Mungu azidi kukudumisha kwa kutuelimishi .

  • @MasaadSaid
    @MasaadSaid หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulillah kwa kunipa moyo mkubwa sana

  • @user-ro9ch4jf2m
    @user-ro9ch4jf2m 2 หลายเดือนก่อน +9

    Wallahi Sheikh ww ni mmoja Kati ya Mashekhe ninaowapenda kwa maneno yako ya busara Allah amekupa kipao cha hali ya juu Namuomba Allah akuzidishie Ameen

    • @ramamwazembe171
      @ramamwazembe171 หลายเดือนก่อน

      😊😊

    • @RahmaRashid-lc6nw
      @RahmaRashid-lc6nw หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa amejawa na wingi wa hikma Allahuma barik

  • @RubeaAli-vi8ww
    @RubeaAli-vi8ww 2 หลายเดือนก่อน +5

    Allah akulipe KHEIR NYINGI napa duniani, kaburini, na akhera pia, amiin

  • @user-ph9ds9dm7w
    @user-ph9ds9dm7w หลายเดือนก่อน +2

    Ni maneno ya busara sana na Hekima nyingi Allah Azid kukuweka ili Tunufaike Zaid 🙏🙏.

  • @user-po7gb6xx1k
    @user-po7gb6xx1k 2 หลายเดือนก่อน

    ماشاء الله تبارك الرحمن❤

  • @NzomukundaHawa
    @NzomukundaHawa 2 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akupe umri mrefu wakuendeleza mafunzo ya dini, tunashkuru sana sheikh wetu

  • @husseinkatana4573
    @husseinkatana4573 2 หลายเดือนก่อน +4

    Allah akuzdishie neema ya afya uzidi kutuelimisha

  • @bwanadiosman1317
    @bwanadiosman1317 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu atujalie kheiyr zaka insha Allah nawe Mungu akujazi kheiyr nyigi insha Allah

  • @IbrahimKalisa
    @IbrahimKalisa หลายเดือนก่อน +1

    Ma shaa Allah

  • @MariamHaroon-pu3lx
    @MariamHaroon-pu3lx หลายเดือนก่อน +1

    Mashaaallah 😢🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww 2 หลายเดือนก่อน +5

    Maneno.mazuri.sana

  • @user-gw1tc8tf5j
    @user-gw1tc8tf5j หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah❤

  • @user-po7gb6xx1k
    @user-po7gb6xx1k 2 หลายเดือนก่อน

    اللهم آمين يارب العالمين

  • @halimaramadhan2000
    @halimaramadhan2000 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jazzakah llahu kheir sheikh Othman

  • @saudaali505
    @saudaali505 2 หลายเดือนก่อน +4

    Allah akuongoze sheikh uzidi kutuelimisha.

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nakupenda sn cheikh wetu kwa akili ya Allah Allah akulipe kheri zisizo kua n'a hesabu duniani n'a akhera

  • @user-rj1my4mj5c
    @user-rj1my4mj5c หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhe

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 หลายเดือนก่อน +2

    Cheikh acha kunichekesha

  • @user-vk7ts9mv2p
    @user-vk7ts9mv2p หลายเดือนก่อน

    Mimi nimefaidika na darsa hii ni muhimu sana MUNGU amjalie kiongozi huyu azidi kuwafumbua macho waislam kwani sana wakati tulionao watu takriban wengi ni mahasidi

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yani Allah alimpa jibu lizuri kua ni mafunzo kwetu kiukweli inaumiza kabisa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 หลายเดือนก่อน +2

    Inachokisema kuntu ostaz...mim nilikuwa nawasapoti watu lakini wakawa wananishambulia na kutoona kama sifanyi kitu...kiukwel ukifikilia icho inaweza ikakuledisha nyuma na usisapoti watu hata kama unapenda kusapoti watu...kikubwa tu kufokas na mambo yako unachofanya japokuwa inaumiza