Rais Suluhu atania wabunge kuhusu ufahamu wa kiswahili
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 พ.ค. 2021
- Rais Suluhu atania wabunge kuhusu ufahamu wa kiswahili
Rais Suluhu asimulia mahusiano ya karibu ya majirani kwa ucheshi
Suluhu:Yumbu hutungwa mimba Kenya na kuzalia Tanzania
Suluhu: Walioandamana nami wamejua vichochoro vya Nairobi
Mashallah nmependa
Wow mama ubarikiwe
Samia nampenda sana
Madam President seems like fun
Rais mrembo duniani Masha Allah
Asante mama yetu naifuraia hutuba nzuri. natabasam ninapo riona bunge Laivu inpendeza sana maombi yetu na dua zetu mama tunakutakia kazi njema na mungu akurinde katika utendaji wa kazi zako zote maana kuongoza maelfu ya watu ni kazi sana .
I love her sooooooo much
Mama suluhu nakupendanga vile umeiga
Ahsante mama samia kwa kutupandishia petroleum na oil
Samia means listener,suluhu means solutions and Hassan means wema..may you always find solutions as your name suggests. Your humility is admirable. Long live mama
H
Ć
V v.
@@obonyoken5297 rice and,shine
Asante mama samia kwatozo kubwa makato ya mpesa
Mashaallah
Kiswahili mufti kweli.
Hatuzungumzi Kiswahili mufti huku. Nadhani mufti wanazungumza huko Mombasa. Sisi tunaongea Kiswahili sanifu (Standard Swahili)
Imeni nice sana
ata Wanyama Pori ni ndugu
Kwani nyumbu wenyewe wanasemaje 😩😩😩
Kiswahili kitukuzwe
Hivi ndivyo tutakavyo, uongozi usio wa kijipiga kifua lakini wa undugu.
We love her 💋❤️❤️
Sikudhani ni mtani hivo
WaZanzibar ni wacheshi na wanapenda UTANI. MUNGU IBARIKI AFRICA. AMIN
Taarifa ya habar reo
❤️🇹🇿🇰🇪❤️
Wanyama Pori wakipata mimba Tanzania wanakwenda kuzalia kenya
Shida ni kwamba mtabaki na ucheshi tu badala ya kuiga yale ya muhimu yaliyo semwa ....🙏
Waambie mimi na penda kiswahili sana
Thanks mama lulu hassan
Suluhu
Hapo nadhani wabunge wengine hawakuelewa kiswahili chote mana walizoweya kuchanganya moja kiswahili maneno kumi English
Stephen Letoo 😆😅🤣✋ ni mgenge ati Shamra shamra sherehe na nderemo .
Hi let prayer together
Sauti
MH.TATIZO LA UMEME NA MAJI ARUSHA OLKOKOLA VILLAGE TUNAOMBA Msaada
Wanabunge wakike Kenya, wamejifunza neno moja ama mbili.
Kuwa wanyenyekevu wakiasilisha viti kwa imani wanainchi wa Kenya wanatajiria. Sio matusi wala maringo. Jumwa wa Malindi ame ona na kusikia.
2nabadika mnazalia Tanzania kabisa😂😂😂 I salute you mamaa HESSH🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyo spika walimtesa kwa kumshauri ku nena namba kwa Kiswahili. Maskini.
Sio wote lakini kama asilimia hamsini ya watu hapa Kenya dio wanabaki kunajisi hi lugha yetu Safi ya Kiswahili ni aibu na kutudhalilisha kama wakenya
Nashangaa kuona watu hawajui Kiswahili na wanaona ni ufahari kutojua hii lugha hapo kwenu!
Kweli kabisa kwaajili miaka zote zilizo pita wakenya walikuwa hawajui maana ya neno rubani na runingha
Asante
Wanyama wapata mimba Kenya wanazalia tz hahahaha
Pastor
"Ghafla bin vu! Iligeuka ikawa shamra shamra kelele na nderemo" 😂
Hahaa nimeipenda hiyo
Suluhu ameleta Suluhisho ya vile Biashara itakavyo fanywa Afrika Mashariki. Pongezi sana.
sio kiswahili tu kenya hata kizungu cha wakenya ni duni mno.. pengine wakenya waonge lugha zao za mama tu
😂😂
Now that's where you go wrong
@@isaiahobiero7433 uyo ndo mwenye chuki zake sasa ..poor mind
🤣🤣🤣wacha ushoga nyie tz hamuwezi ongea ata neno moja la kizungu mfabo harmonize badala ya attitude anasema atutudeee lmaooo
Wawapi wewe eti kenya kizungu vip? Waota wee👈.
Uhh
Msukuma bungeni
Calls
Rais mrembo MashAllah 💜💖, mwenye maneno matamu yaliyozidi Matani🤣🤣
In
.
Usiuze tanzanaiti
Ndio tayari!
No one Like magufuli
Anajaribu kujenga na kurudisua uhusiano mzuri ya hizi nchi mbili ambayo marehemu alisambaratisha.
Ungefanya ziara za ndani hizo pesa ulizotumia ungechangia hata ujenzi wa shule choo madawati madaraja tungekuelewa
Acha unafik
Bwanga
Speaker Lusaka amechoma🤣🤣
🤣🤣🤣 Shida ya kiswahili chetuu Wakenya n kumix sheg'
Her kiswahili doesn't seem Tanzanian she doesn't have problems of R and L as typical Tanzanians.
She is zanzibar her swahili is like mombasa swahili
;
We ha u na akili ya kutosha
Anatania Wabunge wetu. Si aongee Kiingereza tuona nani atachekwa. Ajabu ya nyani kuona kundule...
Ko unafkir hajui english hahahaa jokes on you
@@rajeshzayn3802 anajua? Eeh 😂😂😂
Kwani kingereza ndio lugha yako acha utumwa
@@nuruchikoe1959 hata kiswahili sio lugha yangu. Acha ushenzi
@@marysworld2104 @ NURU CHIKOE sasa hao ndio wakenya full kiburi for nothing, unamuweka sawa yeye anakuita mshenzi!!!
Sasa mabifu ya kipuuzi yaishe ilifika kipindi mpaka wachumba wakikenya wanatubagua aisee hatari sana 🤣
Kumbee
@@abedinegoraphael4774 Ndio ndugu yngu hatari sana
🤣🤣🤣
Vp
Kutoka majengo ya bunge
Kiswahil hicho noma kwakweli dah.