Rais Suluhu atania wabunge kuhusu ufahamu wa kiswahili

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 พ.ค. 2021
  • Rais Suluhu atania wabunge kuhusu ufahamu wa kiswahili
    Rais Suluhu asimulia mahusiano ya karibu ya majirani kwa ucheshi
    Suluhu:Yumbu hutungwa mimba Kenya na kuzalia Tanzania
    Suluhu: Walioandamana nami wamejua vichochoro vya Nairobi

ความคิดเห็น • 123

  • @bnussrahlimsantah3730
    @bnussrahlimsantah3730 3 ปีที่แล้ว +13

    Mashallah nmependa

  • @lilianngure6555
    @lilianngure6555 3 ปีที่แล้ว +9

    Wow mama ubarikiwe

  • @ndingimwananzeki5776
    @ndingimwananzeki5776 3 ปีที่แล้ว +3

    Samia nampenda sana

  • @davidndungu21
    @davidndungu21 3 ปีที่แล้ว +10

    Madam President seems like fun

  • @peterkagwi9801
    @peterkagwi9801 3 ปีที่แล้ว +3

    Rais mrembo duniani Masha Allah

  • @ambakisyekyando1975
    @ambakisyekyando1975 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante mama yetu naifuraia hutuba nzuri. natabasam ninapo riona bunge Laivu inpendeza sana maombi yetu na dua zetu mama tunakutakia kazi njema na mungu akurinde katika utendaji wa kazi zako zote maana kuongoza maelfu ya watu ni kazi sana .

  • @moiben663
    @moiben663 3 ปีที่แล้ว +6

    I love her sooooooo much

  • @mamahelen4584
    @mamahelen4584 3 ปีที่แล้ว +5

    Mama suluhu nakupendanga vile umeiga

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 3 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante mama samia kwa kutupandishia petroleum na oil

  • @mariamibrahim5467
    @mariamibrahim5467 3 ปีที่แล้ว +3

    Samia means listener,suluhu means solutions and Hassan means wema..may you always find solutions as your name suggests. Your humility is admirable. Long live mama

  • @saidimohamed4357
    @saidimohamed4357 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante mama samia kwatozo kubwa makato ya mpesa

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 3 ปีที่แล้ว +7

    Kiswahili mufti kweli.

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 3 ปีที่แล้ว

      Hatuzungumzi Kiswahili mufti huku. Nadhani mufti wanazungumza huko Mombasa. Sisi tunaongea Kiswahili sanifu (Standard Swahili)

  • @enocknyamongo3502
    @enocknyamongo3502 3 ปีที่แล้ว +1

    Imeni nice sana

  • @truelovepawanza2046
    @truelovepawanza2046 3 ปีที่แล้ว +12

    ata Wanyama Pori ni ndugu

    • @benyrashird1130
      @benyrashird1130 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwani nyumbu wenyewe wanasemaje 😩😩😩

  • @johnchokera3403
    @johnchokera3403 3 ปีที่แล้ว +6

    Kiswahili kitukuzwe

  • @davismate6999
    @davismate6999 3 ปีที่แล้ว +14

    Hivi ndivyo tutakavyo, uongozi usio wa kijipiga kifua lakini wa undugu.

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 3 ปีที่แล้ว +3

    We love her 💋❤️❤️

  • @jamesthuku3509
    @jamesthuku3509 3 ปีที่แล้ว +9

    Sikudhani ni mtani hivo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 ปีที่แล้ว +2

      WaZanzibar ni wacheshi na wanapenda UTANI. MUNGU IBARIKI AFRICA. AMIN

  • @jobumisago4138
    @jobumisago4138 3 ปีที่แล้ว +1

    Taarifa ya habar reo

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 3 ปีที่แล้ว +2

    ❤️🇹🇿🇰🇪❤️

  • @truelovepawanza2046
    @truelovepawanza2046 3 ปีที่แล้ว +3

    Wanyama Pori wakipata mimba Tanzania wanakwenda kuzalia kenya

  • @alverztv6272
    @alverztv6272 3 ปีที่แล้ว +5

    Shida ni kwamba mtabaki na ucheshi tu badala ya kuiga yale ya muhimu yaliyo semwa ....🙏

    • @slimmy.b1520
      @slimmy.b1520 3 ปีที่แล้ว +1

      Waambie mimi na penda kiswahili sana

  • @emmanuelkapelo9777
    @emmanuelkapelo9777 3 ปีที่แล้ว +6

    Thanks mama lulu hassan

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 3 ปีที่แล้ว +2

    Hapo nadhani wabunge wengine hawakuelewa kiswahili chote mana walizoweya kuchanganya moja kiswahili maneno kumi English

  • @josephngugi9893
    @josephngugi9893 3 ปีที่แล้ว +6

    Stephen Letoo 😆😅🤣✋ ni mgenge ati Shamra shamra sherehe na nderemo .

  • @judyncororo6140
    @judyncororo6140 2 ปีที่แล้ว

    Hi let prayer together

  • @husnaraphaery3149
    @husnaraphaery3149 2 ปีที่แล้ว

    Sauti

  • @loishiyelaizer7018
    @loishiyelaizer7018 ปีที่แล้ว

    MH.TATIZO LA UMEME NA MAJI ARUSHA OLKOKOLA VILLAGE TUNAOMBA Msaada

  • @elizabethmuganzi6261
    @elizabethmuganzi6261 3 ปีที่แล้ว +4

    Wanabunge wakike Kenya, wamejifunza neno moja ama mbili.
    Kuwa wanyenyekevu wakiasilisha viti kwa imani wanainchi wa Kenya wanatajiria. Sio matusi wala maringo. Jumwa wa Malindi ame ona na kusikia.

  • @zkylieh204
    @zkylieh204 3 ปีที่แล้ว +6

    2nabadika mnazalia Tanzania kabisa😂😂😂 I salute you mamaa HESSH🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @danwayne786
    @danwayne786 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyo spika walimtesa kwa kumshauri ku nena namba kwa Kiswahili. Maskini.

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 3 ปีที่แล้ว +2

    Sio wote lakini kama asilimia hamsini ya watu hapa Kenya dio wanabaki kunajisi hi lugha yetu Safi ya Kiswahili ni aibu na kutudhalilisha kama wakenya

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 3 ปีที่แล้ว +1

      Nashangaa kuona watu hawajui Kiswahili na wanaona ni ufahari kutojua hii lugha hapo kwenu!

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa kwaajili miaka zote zilizo pita wakenya walikuwa hawajui maana ya neno rubani na runingha

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 ปีที่แล้ว +2

    Wanyama wapata mimba Kenya wanazalia tz hahahaha

  • @ekitelabenson2283
    @ekitelabenson2283 3 ปีที่แล้ว

    Pastor

  • @charlesngatia4447
    @charlesngatia4447 3 ปีที่แล้ว +3

    "Ghafla bin vu! Iligeuka ikawa shamra shamra kelele na nderemo" 😂

  • @njorogefred150
    @njorogefred150 3 ปีที่แล้ว +3

    Suluhu ameleta Suluhisho ya vile Biashara itakavyo fanywa Afrika Mashariki. Pongezi sana.

  • @azamtn
    @azamtn 3 ปีที่แล้ว +7

    sio kiswahili tu kenya hata kizungu cha wakenya ni duni mno.. pengine wakenya waonge lugha zao za mama tu

    • @benyrashird1130
      @benyrashird1130 3 ปีที่แล้ว

      😂😂

    • @isaiahobiero7433
      @isaiahobiero7433 3 ปีที่แล้ว +7

      Now that's where you go wrong

    • @danielmlewa4936
      @danielmlewa4936 3 ปีที่แล้ว +3

      @@isaiahobiero7433 uyo ndo mwenye chuki zake sasa ..poor mind

    • @tolah313
      @tolah313 3 ปีที่แล้ว +5

      🤣🤣🤣wacha ushoga nyie tz hamuwezi ongea ata neno moja la kizungu mfabo harmonize badala ya attitude anasema atutudeee lmaooo

    • @fatmamdigo4701
      @fatmamdigo4701 3 ปีที่แล้ว +2

      Wawapi wewe eti kenya kizungu vip? Waota wee👈.

  • @athumanikitege390
    @athumanikitege390 3 ปีที่แล้ว

    Uhh

  • @matabamgunda2291
    @matabamgunda2291 3 ปีที่แล้ว

    Msukuma bungeni

  • @abrahamkipkemboi4830
    @abrahamkipkemboi4830 3 ปีที่แล้ว

    Calls

  • @noblechild5652
    @noblechild5652 3 ปีที่แล้ว +1

    Rais mrembo MashAllah 💜💖, mwenye maneno matamu yaliyozidi Matani🤣🤣

  • @iddkiteja603
    @iddkiteja603 3 ปีที่แล้ว

    In

  • @awadhalii2200
    @awadhalii2200 2 ปีที่แล้ว

    .

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 ปีที่แล้ว +2

    Usiuze tanzanaiti

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 ปีที่แล้ว +1

    No one Like magufuli

  • @mjrashid7654
    @mjrashid7654 3 ปีที่แล้ว +1

    Anajaribu kujenga na kurudisua uhusiano mzuri ya hizi nchi mbili ambayo marehemu alisambaratisha.

    • @vincentmanyama3808
      @vincentmanyama3808 3 ปีที่แล้ว

      Ungefanya ziara za ndani hizo pesa ulizotumia ungechangia hata ujenzi wa shule choo madawati madaraja tungekuelewa

    • @nuruchikoe1959
      @nuruchikoe1959 3 ปีที่แล้ว

      Acha unafik

  • @oscaisack2670
    @oscaisack2670 3 ปีที่แล้ว

    Bwanga

  • @markusruhl6073
    @markusruhl6073 3 ปีที่แล้ว +2

    Speaker Lusaka amechoma🤣🤣

    • @noblechild5652
      @noblechild5652 3 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣 Shida ya kiswahili chetuu Wakenya n kumix sheg'

  • @gutobenson381
    @gutobenson381 ปีที่แล้ว

    Her kiswahili doesn't seem Tanzanian she doesn't have problems of R and L as typical Tanzanians.

    • @greenandbeach8134
      @greenandbeach8134 2 หลายเดือนก่อน

      She is zanzibar her swahili is like mombasa swahili

  • @gulalashigela4712
    @gulalashigela4712 3 ปีที่แล้ว

    ;

  • @ericngendakumana9046
    @ericngendakumana9046 2 ปีที่แล้ว

    We ha u na akili ya kutosha

  • @marysworld2104
    @marysworld2104 3 ปีที่แล้ว

    Anatania Wabunge wetu. Si aongee Kiingereza tuona nani atachekwa. Ajabu ya nyani kuona kundule...

    • @rajeshzayn3802
      @rajeshzayn3802 3 ปีที่แล้ว

      Ko unafkir hajui english hahahaa jokes on you

    • @marysworld2104
      @marysworld2104 3 ปีที่แล้ว

      @@rajeshzayn3802 anajua? Eeh 😂😂😂

    • @nuruchikoe1959
      @nuruchikoe1959 3 ปีที่แล้ว

      Kwani kingereza ndio lugha yako acha utumwa

    • @marysworld2104
      @marysworld2104 3 ปีที่แล้ว

      @@nuruchikoe1959 hata kiswahili sio lugha yangu. Acha ushenzi

    • @ramadhankondo4643
      @ramadhankondo4643 3 ปีที่แล้ว

      @@marysworld2104 @ NURU CHIKOE sasa hao ndio wakenya full kiburi for nothing, unamuweka sawa yeye anakuita mshenzi!!!

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 ปีที่แล้ว +1

    Sasa mabifu ya kipuuzi yaishe ilifika kipindi mpaka wachumba wakikenya wanatubagua aisee hatari sana 🤣

  • @phoebemukhwana3058
    @phoebemukhwana3058 3 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣

  • @yamunguvsvipshem6532
    @yamunguvsvipshem6532 3 ปีที่แล้ว

    Kutoka majengo ya bunge