GB64 UNAONGEA POINT MUHIMU SANA SEMA MATOKEO MAZURI YA YANGA YANAFIFISHA MAWAZO YA AINA HIYO YASISIKILIZWE. IPO SIKU MZEE MAGOMA WATAMKUMBUKA LAKINI YULE YUKO SMART SANA KICHWANI.
Yaani hawa jambo likiwa kwao linaukweli utawaona wanakuja juu kulizimisha na polopaganda za nguvu, hata ofa ya mzinze 1.7 niwaongo niwaongo wachezaji wao wamekuwa.kama samaki ndani ya maji wakitoka hakuna kitu, wanacheza kwa.nguvu ya makafara majini kama mayele
Umeacha kufuatilia team Yako ujue mapungufu yenu kazi kufuatilia team nyingine ndo man hamsajili kazi majungu mkifungwa mara uchawi mara madeni na hamji kuchukua kombe ng'ooo 😂😂😂😂 endeleeni kutufuatilia si tutengeneze hela... 😅 Kwanza siwez kuangalia mpaka mwisho anachoongea sikielewi atuache afanye yake
Unaongea fact sana kaka
GB64 UNAONGEA POINT MUHIMU SANA SEMA MATOKEO MAZURI YA YANGA YANAFIFISHA MAWAZO YA AINA HIYO YASISIKILIZWE. IPO SIKU MZEE MAGOMA WATAMKUMBUKA LAKINI YULE YUKO SMART SANA KICHWANI.
Mbona huyu jamaa yuko sw 1:52 1:59 2:08 2:10 2:16 2:17 2:20 2:36 2:39
Wewe unasumbuliwa na adhabu ya Magufuli, kibano Kikali.
Wewe unajipya gani
Yaani hawa jambo likiwa kwao linaukweli utawaona wanakuja juu kulizimisha na polopaganda za nguvu, hata ofa ya mzinze 1.7 niwaongo niwaongo wachezaji wao wamekuwa.kama samaki ndani ya maji wakitoka hakuna kitu, wanacheza kwa.nguvu ya makafara majini kama mayele
Gb64 yupo sawa Sana anajua sana nyie mnaona ayuko sawa amjui mpra kaeni kimya kabsa utopolo nyie
Hayawahusu kaeni kimya jengeni timu yenu
Sasa huo muda mngeponda mo na WENZAKE wajenge kolo imara
Umeacha kufuatilia team Yako ujue mapungufu yenu kazi kufuatilia team nyingine ndo man hamsajili kazi majungu mkifungwa mara uchawi mara madeni na hamji kuchukua kombe ng'ooo 😂😂😂😂 endeleeni kutufuatilia si tutengeneze hela... 😅
Kwanza siwez kuangalia mpaka mwisho anachoongea sikielewi atuache afanye yake
gb 0
nyie mnaosema nikichaa nyie wote wasenge tu
Yaan huyo toka awekwe ndan akili yake haiko sawa 😂😂😂😂😂
Ongelea tim yako ipatemafanikio sio kila kukicha yanga tuu ...huna jipya broo
utopolo mbumbumbu wote
Yanga bingwa 😂😂
Nikichaa kamata peleka dodoma mirembe huyoo
Bola ya GB kichaa kuliko nyie chama cha mashoga,
Yaani wewe unawashwa nanini nawewe nenda fifa ukadai machawa mlipwe
Unakiri we mbwa nenda uko
Ongelea timu yako achana na yanga bwege ww
Yey anaongea kutkn na mwandxh anavyomuulz kamuuliz wew hay maswl
Pumbaaa tupu , huyo sio GB 64 ni GB 0 😂😂😂