Abdinho mimi nawapongeza wote ila fei toto ni m Brazil kwa kiwango huyu sio fei toto ni feidinho leo namtawaza rasmi kama anavyo nikubali Abdinho nilikuwa captain Mlandege fei mwanangu kuna vyombo kavikumba kwangu
Pamoja na kushinda kwao kuna umuhimu wa kupelekwa Jeshini japo siku 3 wakafundishwe jinsi ya kulipambania taifa maana kuna watu hawaelewi umuhimu wa kukabidhiwa bendera na watimie wote Benchi na ufundi na kamati ya ufundi kama ilivyofanya England kwa timu yao
Wamenigusa moyo wangu Taifa Stars TANZANIA OYEEEE❤❤❤❤Walipofunga 1.wakadhani wametumaliza,Sisi tunakula ugali na sangara na sato na kole kole,Changu. WATATUWEZA???Oyooooo❤
Kocha atafutwe hatuwezi kuwa na kocha huyu tukafikambali , lazima tujitathmini hakuna kocha , kocha hata selection ya kikosi hajui atupishe tutafika mbali
ila kweli watu wengi tunaleta usimba na yanga kiukwel ata me niyanga muda kufunga nilishangilia sn kuliko fey ila nimejifunza tusilete ushabiki hii ni tz yetu
Inabidi tuwapende wachezaji wetu, utakuta ndani ya uwanja tunaleta siasa shabiki kashika bango la kiongozi, baada ya kushika bango lenye picha ya mchezaji
Uko sawa ❤❤❤❤
Abdinho mimi nawapongeza wote ila fei toto ni m Brazil kwa kiwango huyu sio fei toto ni feidinho leo namtawaza rasmi kama anavyo nikubali Abdinho nilikuwa captain Mlandege fei mwanangu kuna vyombo kavikumba kwangu
WeeeeeeeTanzania weeeeee💙💚💛💙🖤💛
Lkn tuseme kwl toto nishida goals ambalo amefunga km utazan anachezea ulaya
Pamoja na kushinda kwao kuna umuhimu wa kupelekwa Jeshini japo siku 3 wakafundishwe jinsi ya kulipambania taifa maana kuna watu hawaelewi umuhimu wa kukabidhiwa bendera na watimie wote Benchi na ufundi na kamati ya ufundi kama ilivyofanya England kwa timu yao
Amina huo ndo ukweli
Wamenigusa moyo wangu Taifa Stars TANZANIA OYEEEE❤❤❤❤Walipofunga 1.wakadhani wametumaliza,Sisi tunakula ugali na sangara na sato na kole kole,Changu. WATATUWEZA???Oyooooo❤
Kwel kbxa
Kweli umesema
Kama kupambania taifa lazima uende jeshini, Asa si tupeleketu wanajeshi moja kwa moja
Uko juu br unafaa kuwa mchambuzi
Safii sana Tanzania juuuu naipenda tanzania
Tz ❤❤❤❤❤❤❤❤
Tunaweza sana
🤝 sana mchome
Mwanangu umesema kweli kabisa
💙💚💛🖤
We jamaaa amia yanga tu
Sema ibariki sio ibaliki
Tanzania oyeeee❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂.
kwa Mara ya 1 mchome umeongea point
Mchome broo unajua boli❤❤❤
Kocha atafutwe hatuwezi kuwa na kocha huyu tukafikambali , lazima tujitathmini hakuna kocha , kocha hata selection ya kikosi hajui atupishe tutafika mbali
Yaani ww umetoka kuzungumzia simba na yanga halafu ww unaludi umoimo
Kwel Mchome me nakuheshm sana
Uyu jamaa anaakili nyingi sana
Anaakili gn huyu ni mwanaume wa dar tuu
feisal amefanya vzr sifa anapewa mudathir ujinga tu kama hamumpendi Feisal semeni
❤
Goli la Fei linanikumbusha alivyowatungua Simba mwanza na Azam walimshawishi baada ya kuwatungua magoli mawili akitokea bench wakaamini wakimchukua wameivuruga Yanga
Wanazinguwa sana hawajitumi kwani hawajuwi kupambania taifa
Hiki ndo kibanda cha tigo pesa alichosema gb64😂
Feitoto ni moto wa kuotea mbali... Utopolo walitaka kumuua kipaji
Mchomeee🎉🎉🎉
Wote waliotuvusha ni watanzania wenzetu tuache ubaguzi wa timu
ila kweli watu wengi tunaleta usimba na yanga kiukwel ata me niyanga muda kufunga nilishangilia sn kuliko fey ila nimejifunza tusilete ushabiki hii ni tz yetu
❤❤❤
Ila huyu mchome sijui tuseme ukweli huyu simwanasimba ni mwana yanga kwakweli aache uongo at fei ksfunga goli zuri mie ananikera Kwa umbra wake
Tunachojua yanga imeshinda
Tanzania oyooooooo
Huu usimba na uyanga ndio unaoharibu mpira wetu watu waache kusifia wachezaji wa timu moja timu zote zinafanya vizuri
Wewe Laninjeje Hujui Mpira Wewe Mshabiki Bendera Unafata Upepo SS Mchome Unamtukana Kwa Nini Ana Kosa Gani Wewe Huna Akili Wewe Si MwanaSpot Wee Mvutugaji
Narudia kocha wa taifa bado Sana
Mmemuona chizi huyooo pumbavu sana
Hivi hii channel ni ya mchome?
Fei ameanza rudisha misumari yake
Inabidi tuwapende wachezaji wetu, utakuta ndani ya uwanja tunaleta siasa shabiki kashika bango la kiongozi, baada ya kushika bango lenye picha ya mchezaji
Umutu
Eti taifa stars kama yanga huna akili
😂😂😂sasa unaumia na nini
Mchome jifunze kusema ukweli na wewe,timu tunaipenda lkn Bado timu haiko vizuri ktk viungo na ushambuliaji Nataka msuva na samata
Hakuna mtu hapo na fey toto je
Acha unafiki ww mwanang
Acha ujings ww
Huyu dogo pira anaujua sana tumpe maua yake.
Labda umelia kwa sababu ulikua umebet
Fei jaman achorewe sanamu Posta
Huyu mkundu aka mchome nakutamani sana siku tukutane nikutombe
Unaongea nn ww ni mwehuuuu
Zanzibar tunabahati Muungano udumu kama si kizazi kutoka Zanzibar mhuu? Tanganyika ingekua kilio
Punga Hilo
fei skamoo nimekuelewa
Tz oyeee😂😂