KING WA MADEM (MY FRIEND) |30|

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • #Bhailam
    ⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
    Subscribe hapa : / @bhailamkhan
    Subscribe to Comedy Plus: www.youtube.co...
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz

ความคิดเห็น • 201

  • @Nojabz
    @Nojabz 7 วันที่ผ่านมา +13

    Safi sn, ila musisahau kuiombeya inchi yangu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tafadhali 😢😢

  • @NasraSaid-p9e
    @NasraSaid-p9e 7 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera recho huna shoo mbovu mdada mwenye roho Yako mbaya apa mjin

  • @NoshadiRajabu-w9o
    @NoshadiRajabu-w9o 8 วันที่ผ่านมา +9

    Daa ! Hii move Kila mda unavyozidi kwenda ndo unazidi kuwa nzuri ilianza kama move isio kuwa na maadili lakini Sasaiv ipo 🔥🔥🔥🔥🙌

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 8 วันที่ผ่านมา +12

    Mwanamke mnafiki kweli kweli hii zambii dada utaibeba engle fanya kazi yako😢huyuu munyongeee tuu

  • @AmbroseMamole
    @AmbroseMamole 8 วันที่ผ่านมา +12

    Wakwanza from Kenya.Kazi njema sana Bailam.

  • @YohanaJumanne-m1o
    @YohanaJumanne-m1o 8 วันที่ผ่านมา +4

    Kazi nzuri Ila unamlizaa Sana Fety afu Fety anakupenda Sana.

  • @KimsitiThedon
    @KimsitiThedon 8 วันที่ผ่านมา +23

    Wakenya mukowapi tuseme kamudomo ❤ like ❤😢

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw 8 วันที่ผ่านมา +9

    Bailamu nawapenda sana pia naomba kufanya kaz na wew

  • @LovenessJamesi
    @LovenessJamesi 8 วันที่ผ่านมา +7

    Kazi nzur sanaaa ❤

  • @Reverend2
    @Reverend2 8 วันที่ผ่านมา +30

    Wakwanza Munipe likes zangu

  • @ramadhanmbwana2603
    @ramadhanmbwana2603 8 วันที่ผ่านมา +7

    Tupe mambo Bhailam🎉🎉

  • @SammyRuthless
    @SammyRuthless 8 วันที่ผ่านมา +8

    Wakwanza Leo from Kenya

  • @abudailamy2577
    @abudailamy2577 7 วันที่ผ่านมา +4

    Hivi huyu Faith na Bailam kwenye really life ni mk na mme au vip cz wanaendana sana aisee

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 8 วันที่ผ่านมา +7

    Wakwanza Leo from Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @BiisheBugao
    @BiisheBugao 8 วันที่ผ่านมา +10

    Hii movie imeanza kunisinya kwa kwelii na uyu swabra...anaua watu bila hatia yoyote

    • @suleislim4519
      @suleislim4519 8 วันที่ผ่านมา +1

      @@BiisheBugao hii "kunisinya ni ya mombasa au tanga?

    • @SylvesterMwinga-ff5iy
      @SylvesterMwinga-ff5iy 8 วันที่ผ่านมา

      @suleislim🤣🤣🤣

    • @arkei4003
      @arkei4003 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@suleislim4519mombasa 😂😂

    • @pitejunior-uc6mx
      @pitejunior-uc6mx 7 วันที่ผ่านมา

      Hakuna anaye uwawa haya maigizo tuu

  • @NtacobanzizaLeatitiazilfa
    @NtacobanzizaLeatitiazilfa 8 วันที่ผ่านมา +12

    Ila sabra siyo kulipiza kisasi ivo ivo nikuuwa watu wasio nahatia kawaida ugepambana nauyo uyo sheh masoudi mana ndio kakuuwia baba yako ila sipati picha siku sheh masoudi Ataziduka itakuwa vita kali jamani❤❤❤❤🎉

    • @MadamAsya2024England
      @MadamAsya2024England 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@NtacobanzizaLeatitiazilfa ndo malipo yanavokuja sio ulivofanya

  • @FannyMugisha
    @FannyMugisha 7 วันที่ผ่านมา +2

    Anaitwa Recho 😂😂😂😂😂😂😂😂mauwa Yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ommyhussein4857
    @ommyhussein4857 8 วันที่ผ่านมา +8

    Wakwanza Leo from saudia

  • @fatumakidoa4006
    @fatumakidoa4006 8 วันที่ผ่านมา +3

    Napenda part ya masudi 😂😂na Sabra wake😂😂

  • @minahsamwel
    @minahsamwel 7 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂duh rechoo we Ni kupuliza tu vimbolaaa😂😂

  • @Shukuru2535
    @Shukuru2535 8 วันที่ผ่านมา +8

    Wale wanao mupenda bwana yesu Kristo Kua bwana n'a mwokozi wamaisha yetu tujuane liké apo chini n'a ubarikiwe

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 8 วันที่ผ่านมา +3

    Ila zuri amemchana ❤❤

  • @JoseMalugu-b3m
    @JoseMalugu-b3m 8 วันที่ผ่านมา +5

    🎉. Niatali

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 8 วันที่ผ่านมา +1

    Etiii mnamukomoa bhaillam wakatii mnajikomoa wenyewee..😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢masod utamalizaa ukoo mzima hadi akili ikukae sawa ikirudi umechelewaaa..... faith ungejua huyoo nyoka mchawi hungemchekea yani usharogwaa tayari

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 8 วันที่ผ่านมา +4

    Daah aise Rachel 😢😢😢

  • @fahruq4486
    @fahruq4486 7 วันที่ผ่านมา +1

    Tuko pamoja sanaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kaz nzuli sna tunawapnda Sana ♥️🌹🇹🇿

  • @Mimah866
    @Mimah866 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ila recho n mnafki nyie😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SevidaEmmanuel
    @SevidaEmmanuel 8 วันที่ผ่านมา +10

    Kumeanza kuchangamka sasa

  • @nyamiziramadhani4232
    @nyamiziramadhani4232 8 วันที่ผ่านมา +2

    sabra mjanja hahah et na yy kaota😂😂

  • @Momo3w_momo3w
    @Momo3w_momo3w 8 วันที่ผ่านมา +9

    Wapili sio mbaya

  • @PatrickSimetikapolemba
    @PatrickSimetikapolemba 8 วันที่ผ่านมา +9

    Kwanza kutoka Congo RDC 🇨🇩🇨🇩

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ndo uzulii😂😂😂😂😂😂

  • @Justin-z1m
    @Justin-z1m 8 วันที่ผ่านมา +1

    Daah namkubali Sana huyu mwamba uzuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @FredrickNdyamkama
    @FredrickNdyamkama 8 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mwanamke wa masudi ni zaid shetani 😀😃😀

  • @Truphena-z8l
    @Truphena-z8l 7 วันที่ผ่านมา +2

    From Kenya kazi nzuri ila Recho😢

  • @HassanChibaa
    @HassanChibaa 8 วันที่ผ่านมา +6

    Oyoooooooo kaka bailam fuli oee

  • @HappyDaudi-ub4hw
    @HappyDaudi-ub4hw 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nilimmiss mzee simba jamani😂 nawapenda sanaaa ❤

  • @Gloriaabarikiwe
    @Gloriaabarikiwe 8 วันที่ผ่านมา +8

    Nice

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 7 วันที่ผ่านมา

    Nice big up sana kazi nzuri bro bhailam mariam Mzee masuod big up sana recho

  • @lindauma982
    @lindauma982 8 วันที่ผ่านมา +19

    Daaah uchawi upo yani Masoud amerogeka kweli😢

    • @nyamiziramadhani4232
      @nyamiziramadhani4232 8 วันที่ผ่านมา +2

      ndo invyokuwaga

    • @AgnesMasoud
      @AgnesMasoud 7 วันที่ผ่านมา +1

      Muacheni babangu ale unono 😂😂

    • @Masoudsultan
      @Masoudsultan 7 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@AgnesMasoud😂😂😂😂

  • @KevinGodstone
    @KevinGodstone 8 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo recho afungwe maisha

  • @webnet5652
    @webnet5652 8 วันที่ผ่านมา +8

    Uyo Sabra simpendi ata Kidogo anakaliya kuuwa watu bila hatiya😢😢😢

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nkajua mjomba kaja kama mtetezi,kumbe dah! Maskin

  • @NajmaMohammedy-u4y
    @NajmaMohammedy-u4y 8 วันที่ผ่านมา +11

    Uyo ndo rechoo dk moja tuu anageuza game na mchezo unachezeka vile vile 😂💃🏼km tulivokubalianaa hatukauk mb ad tujuwe mwsho wa kijogoo na rechoo💃🏼💃🏼💃🏼

    • @SharifuAlbughuli
      @SharifuAlbughuli 8 วันที่ผ่านมา

      Wacha weee eeeh 😂😂😂

    • @AgnesMasoud
      @AgnesMasoud 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@SharifuAlbughuliumalaya tu😂😂😂😂

  • @cyprianwamalwa428
    @cyprianwamalwa428 8 วันที่ผ่านมา +3

    But Fett ni karemboo,nakapenda sana🎉❤❤

  • @emanuelyntamila9141
    @emanuelyntamila9141 8 วันที่ผ่านมา +2

    Naelewaaaa kwambaliiiii😂😂😂 uzuli unajua bwan

  • @jumasualehe8374
    @jumasualehe8374 8 วันที่ผ่านมา +5

    Wakwanza Mimi Léo 🔥🔥🔥

  • @ntahomvukiyeeric6508
    @ntahomvukiyeeric6508 7 วันที่ผ่านมา +1

    Yani uyu sabra muongo sana kiukwel eti nayeye ameota😂😂😂

  • @EmmanuelyNgoini
    @EmmanuelyNgoini 8 วันที่ผ่านมา +1

    Sio shida zetu😂 kazi nzuri🎉

  • @webnet5652
    @webnet5652 8 วันที่ผ่านมา +1

    Utamaliza wa ndug zako unawauwa weye Sheikh masudi😢😢

  • @elsasaidesaideassane
    @elsasaidesaideassane 8 วันที่ผ่านมา +2

    Sabra😂😂😂❤️

  • @DelphineNyaboke-v6i
    @DelphineNyaboke-v6i 7 วันที่ผ่านมา +1

    Uzuri si ukubali unapendwa😂😂😂

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 6 วันที่ผ่านมา

    Eeee mungu wangu mwingi wa rehema msaidie huyu mtu jamani mwamshe ktk usingizi mkali alolala. Sabra ni pepo rusifar. Anauwa watu bila hatia. Mbaya zaidi anamtumia mtu asiekua na kosa. 🙏🙏🙏

  • @MariaTsuma
    @MariaTsuma 8 วันที่ผ่านมา +6

    Wa Kwanza kutoka Kenya 🇰🇪

    • @KimsitiThedon
      @KimsitiThedon 8 วันที่ผ่านมา +1

      @@MariaTsuma aweeee

  • @arid-cr1pf
    @arid-cr1pf 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kijogoo unafaa umuoe feti, ni mrembo sana

  • @SaumuWanje
    @SaumuWanje 7 วันที่ผ่านมา +2

    Sabra unafiki tu umekujaa masudi pole kwa mitihani unayo pitia😢😢

  • @shikuwakanjewanjiku7385
    @shikuwakanjewanjiku7385 8 วันที่ผ่านมา +2

    Namchukia huyu swadira,mbaya xaaana

  • @LuixerDanniel
    @LuixerDanniel 8 วันที่ผ่านมา +2

    Unakubali kuwa mwanamke ana uwezo wa kumfanya mwanaume chochte

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 8 วันที่ผ่านมา +1

    Maskini sheikh masoud uwapitia mateso 😢😭enjoy wewe mnafik mno 😩 💔 bhailam ulichokifanya ni kumdharau mkeo 😢

  • @toz-b
    @toz-b 8 วันที่ผ่านมา +2

    Unatoa muvie kwamda mwafaka ❤❤

  • @WalterKhalitsa-i1g
    @WalterKhalitsa-i1g 8 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤❤Heavenly Father, full of mercy and grace, We lift our hearts in gratitude to You for bringing us into this new year. We pray that it may be a year of blessings, peace, and success. We commit every dream and every plan into Your hands. Amen❤❤❤

  • @erickkipyegon2858
    @erickkipyegon2858 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kijogoo ukomi umalaya labda mungu ashuke,,masudi wewe yako kwisha

  • @hatangafelix5598
    @hatangafelix5598 8 วันที่ผ่านมา +2

    Sabra jini kali sana

  • @marremarre9498
    @marremarre9498 8 วันที่ผ่านมา +4

    Nataka like jamani

  • @JoelWafula-in3xh
    @JoelWafula-in3xh 7 วันที่ผ่านมา +1

    my 🇸🇸nashukuru Kwa sipeet yenyu

  • @SharifuAlbughuli
    @SharifuAlbughuli 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nani kapenda Jina la Hamza kuitwa uzuri 😁😁😁😁😁

  • @AlainTuriwa-t2l
    @AlainTuriwa-t2l 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ndoo uzulii

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ila sabra😂😂

  • @LegenderPaco-officiel
    @LegenderPaco-officiel 7 วันที่ผ่านมา

    King of love ❤ Bahilam

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 8 วันที่ผ่านมา +1

    Masudi unaanza kuboa hii movie unaua tu ndg zako kama zombi hujelewi kwann

  • @fefebitv
    @fefebitv 8 วันที่ผ่านมา +5

    Pamoja

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 8 วันที่ผ่านมา +2

    Rechol wwe ndio umemfanya akauwe alafu wajifanya 😂😂😂😂

    • @AshaSalimin
      @AshaSalimin 7 วันที่ผ่านมา

      Anajitia uchizy

  • @RichbRichb-c9u
    @RichbRichb-c9u 8 วันที่ผ่านมา +1

    W masoud jua limewakia kwako mltafute kidahwa atakusaidia kutoka kwny ilo ghubu la mke

  • @Mary-q5d5c
    @Mary-q5d5c 8 วันที่ผ่านมา +4

    Sabura naomba unisaidie huo uchawi wako kuna watu nataka kuwaua kwa hiyo style

    • @IreneShoma-t8h
      @IreneShoma-t8h 8 วันที่ผ่านมา +2

      Kwakweli kipenzi niupate tu hata nus tu

    • @Mary-q5d5c
      @Mary-q5d5c 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@IreneShoma-t8h hope amesikia

    • @AshaSalimin
      @AshaSalimin 7 วันที่ผ่านมา +2

      @@Mary-q5d5c 🤣🤣🤣 Mmesahau kama ni movei

    • @AshaSalimin
      @AshaSalimin 7 วันที่ผ่านมา +2

      Et uzurii

    • @Mary-q5d5c
      @Mary-q5d5c 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@AshaSalimin achana na mambo ya movie sisi tuko serious 😆😆😆😆

  • @ComedySokomoko
    @ComedySokomoko 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kinachonifurahisha Ni kwamba mnawahi kutupa vitu

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 6 วันที่ผ่านมา

    Enjo mkomeshe sabra. Fanya kazi kama mzimu. Kakaako sio akili zake huyo. Namuonea huruma mm 😂

  • @petrokisitei7398
    @petrokisitei7398 6 วันที่ผ่านมา

    Jaman ndoo uzuri utanivunja mbavu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 8 วันที่ผ่านมา +1

    Boraa umeachwaa akili ikurudi amka ulikowekwa uko

  • @hamismihale3036
    @hamismihale3036 4 วันที่ผ่านมา

    Mashabiki wa khamza tujuwane

  • @RabisiusiBerenado
    @RabisiusiBerenado 8 วันที่ผ่านมา +5

    Episode ya 31 tunaitaka kesho

  • @MagdalenaPaul-h1k
    @MagdalenaPaul-h1k 7 วันที่ผ่านมา

    Hahahaaaa fety bado hujalia mama

  • @AidatAmadi
    @AidatAmadi 8 วันที่ผ่านมา +3

    Sabura unaitika salamu na ayo mapasita kwa kichwa

  • @hassanaliamin1104
    @hassanaliamin1104 7 วันที่ผ่านมา

    Ninachofurahia hawacheleweshi😃

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 8 วันที่ผ่านมา +2

    Shekhe masoud hapo bado

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 7 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 imeisha iyooo😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @chaniboy8209
    @chaniboy8209 7 วันที่ผ่านมา

    Ndo uzuri ndo uzuri 😂😂😂😂😂😂

  • @KevinGodstone
    @KevinGodstone 8 วันที่ผ่านมา +2

    Recho ana masters ya uchawi 😢

  • @AzizaJohn-w4u
    @AzizaJohn-w4u 7 วันที่ผ่านมา

    Masuod umerogeka tu vizuri

  • @Kijavaa_jr
    @Kijavaa_jr 7 วันที่ผ่านมา

    Jamaa anakua bwege wa mapenzi mpaka anakera yaani

  • @EspoirAsenga
    @EspoirAsenga 7 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅 wewe hamza ninomasana

  • @MohamedMwikaro
    @MohamedMwikaro 8 วันที่ผ่านมา +3

    wa kwanza akati mm

  • @JuddyAndrew
    @JuddyAndrew 8 วันที่ผ่านมา +4

    hivi ndivyo inavyo takiwa kutuwahishia kaz

    • @abdullahburu2984
      @abdullahburu2984 8 วันที่ผ่านมา

      BAILAM YUPO VIZUR SANA ANAWAH KUTOA KWA WAKATI TOFAUT NA DUNIA

  • @SkeetoSsaa
    @SkeetoSsaa 8 วันที่ผ่านมา +1

    Bora ufe na ww utamaliz wa2

  • @AbdulhamidKhamis-m4y
    @AbdulhamidKhamis-m4y 8 วันที่ผ่านมา +8

    Mm nmkubali sana uyu mwamba akika siku nyingi hajatuma kaz bc ni siku 2 mm naikubl hii kuliko my daughter anakaa wiki nzima clam ND antuma mzigo

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 8 วันที่ผ่านมา

    Nice movie 🎥❤❤

  • @muhammedyabdil8508
    @muhammedyabdil8508 8 วันที่ผ่านมา

    Saf sana 🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 8 วันที่ผ่านมา +7

    Masoudi nilikua nakupenda lakiniivi wapi utamaliza familiya yako kwa mikono yako mwaenyewe alafu we utafata nyuma sumejifanya cizi mapenzi aca nione mwisho wako Mariyamu wenae unakaribisha nyoka 😂Recho 😂😂nakuceka bure utabaki unaliya namito kitandani

  • @MousaAmos
    @MousaAmos 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu kwanza🙏🙏🙏

  • @richardharuna2118
    @richardharuna2118 7 วันที่ผ่านมา

    Oa bhailamu unatisha kinoma