Baba mi nakuelewa sijawahi kusikia injili Kama hii imenibadilisha maisha yangu I love you wewe ni mtume na nabii wa nyakati za Leo mafuta yako ni ya tofauti na wengine Mungu yuko nawe uishi milele amen
Yesu kristo anakaa ndani yako nimekupenda chief kwa sababu kazi yako inanifanya niwe karibu na Mungu kwa kupitia Yesu kristo. Naomba Mungu azidi kukupa neema na aitunze medali yako baada ya kumaliza hii kazi uipate. ( wale wanaowaongoza wengi katika haki watang'aa kama nyota ) nawe usiache kutufundisha na sisi hatuachi kumsikia Mungu anayekutumia
POWERFUL. Kuna Wakati nasikiliza ili somo najiulizaa ! Since I was born To now ni mara ngapi nimepishana na Malaika Wangu... mara ngapi Nimewakwepaaa kwa kujiona boraaa kabisaaa .. ni mara Ngapi walinisaidia pasipo mimi Kujua na nikaona ni mimi nimefanya!! 🙌🙌🙌 Yaan Jmn Mungu Nisaidie. Sichoki kusikiliza hili somo. Maana Sio Somo Tu Bali Ni ufunuo wa Khali Ya Juu. Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Dah nimecheka sana eti pepo wanao angukaga kanisani ni matahira,mm comedy za mzee hunisahaulisha mengi huganga moyo wangu.Ahsante chief kwamafundisho mazur sana.pepo wengi wanatutesa wamevamia akili zetu na ufahamu wetu.
glory to God yani umenifungua saaana mtumishi nilikuwa nikiomba kila Mara nahisi nikama kuna mtu kwenye nyumba naishia kugemea ahsante mtumishi kwani umenifungua macho
Naogopa hata kukusifia,naomba Mungu aniconnect na nguvu ya utendaji,Kwa sababu Mungu amekutuma basi wapo walioandaliwa kubadilishwa na mafundisho yako,Mimi ni mmoja ambaye mafuta yako yanatenda kazi kwangu najifungamanisha na kuruhusu akili kukubali kiroho
Mariam Benjamin njpo katari doha haleluyaa
Baba mi nakuelewa sijawahi kusikia injili Kama hii imenibadilisha maisha yangu I love you wewe ni mtume na nabii wa nyakati za Leo mafuta yako ni ya tofauti na wengine
Mungu yuko nawe uishi milele amen
Dhuu, Apostle Mtalemwa Ubarikiwe sana kwa Neno Zuri,, Mungu Akuinue zaidi,,
Yesu kristo anakaa ndani yako nimekupenda chief kwa sababu kazi yako inanifanya niwe karibu na Mungu kwa kupitia Yesu kristo. Naomba Mungu azidi kukupa neema na aitunze medali yako baada ya kumaliza hii kazi uipate. ( wale wanaowaongoza wengi katika haki watang'aa kama nyota ) nawe usiache kutufundisha na sisi hatuachi kumsikia Mungu anayekutumia
Tuache kuwaza mabaya tuwe na mawazo ya kimalaika..umegusa kila mahali Apostle.. Kifamilia,kazini,kwa wapendwa wetu...this is powerful...🙏🙏🙏
Ameeen ameeeeen pastor GOD BLESSED🛐🛐🙏🙏🙏🙏🙏
Thank you Chief najifunza sana kwa mafundisho yako. Bless u
Hakika Baba mafundisho yako yananibariki sana ,Mungu azidi kuinua huduma yako
Hallelujah God bless you mjungaji
POWERFUL. Kuna Wakati nasikiliza ili somo najiulizaa ! Since I was born To now ni mara ngapi nimepishana na Malaika Wangu... mara ngapi Nimewakwepaaa kwa kujiona boraaa kabisaaa .. ni mara Ngapi walinisaidia pasipo mimi Kujua na nikaona ni mimi nimefanya!! 🙌🙌🙌 Yaan Jmn Mungu Nisaidie. Sichoki kusikiliza hili somo. Maana Sio Somo Tu Bali Ni ufunuo wa Khali Ya Juu. Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
😂😂😂💯..kabisa ...malaika wapo kwa ajiri yangu mimi wanisaidie Amen..📢📢📢📢
Mungu wa mbiguni akanawewe sikuzote mafundisho yako yananibariki sana
Unanijenga sana kiimani Mungu azidi kukutumia mtumishi tuzidi kupona
Jaman mind yangu imepona thanks Dad❤️❤️🙏🙏
Amin pastor nasikiliza kutoka mbagala kuu
Amen Amen
❤kweli mtumishiiwengi tuko hivyo Hata mimi i tuombee
Mimi mkenya na nimefaidika sana na mahubiri yako mtumishi.Mungu akubariki sana
AMEN
asante mtumishi kunamuda nakwama kiroho ila nikikusikiliza nakua vizuri
Amen and amen
Amen apostle
Amen Apostle, nakuelewa sana Baba.
Asante kwa mafundisho mazr nimefurahi sana
Ooh yes
Kwa somo hili ! Naomba liwafikie wooote waliokoka
Aamen
Amen Chief, somo zuri Sana. Mungu aendelee kukutumia tupate kupona.
amen barikiwa mtumishi wa MUNGU nabarikiwa kwa mafundisho yako thabiti
Your blessed Man of God ..That is the true knowledge of Spirit of God
Very powerful 🙏
Thanks I'm blessed sophy from Kenya
Hii ni komboa komboa
Amen Chief, indeed ur teachings Ni delivarance tosha. Mungu azidi kukutumia mtumishi wa Mungu. I love you Dad Chief.
Thanks Chief Apostle,may God bless you more..
Nakukubar sana
Powerful God bless you Apostle
Dah nimecheka sana eti pepo wanao angukaga kanisani ni matahira,mm comedy za mzee hunisahaulisha mengi huganga moyo wangu.Ahsante chief kwamafundisho mazur sana.pepo wengi wanatutesa wamevamia akili zetu na ufahamu wetu.
Kweli kabisa Apostle nakuwelewaga sana baba
Asante Chief kwa kunifungua akili nimepokea some wisdom through this teaching Mungu akubariki sana
Asante chief Mungu azidi kukubariki na kukuongezea hekima. Umenifungua ufaham sasa nimepata kuelewa
Uuungu!
Injili hii sahihi Sana God bless you karibu CAG majohe
Mungu atusaidie
Asante Apostle
AMEN AND AMEN AND AMEN
Asante kwa kunitoa ujinga wa kishetani.
Ndiyo maana nakupenda,Mungu anirehemu, ubarikiwe sana
Thank you Apostle, najifunza sana kupitia mafundisho yako...God Bless you
Ameen.
Asante Apostle God bless you man of God sema tupone
Asante Sana Aposto
Mungu azidi kukutumia
Amen Ameeeeeen connecting from Switzerland shalom Chief
Bless you dady
Unanibariki Sana mtumishi,Mungu azidi kukuinua
Oooh yeeees
Be blessed chief Mtalemwa
MUNGU nibadilidshe mawazo katika jina la YESU.
nimebarikiwa more ,mm nimekuwa mpya
Asante yesu iko Sikh nifike Kwa apostle yesu tend a kwangu
Amen chief ntabadilika.
Dady hongera na Mungu akujaze maono uzd kutufunulia yatufundishayo
Eeh Mungu wa Major one tusaidie tuwe na roho ya uungu
Chief wa watu!
Nakuelewa sana apostle
Mungu akubariki mtumishi
UUNGU
Chief Mungu akujalie maisha marefu yenye afya njema na mafanikio mafundisho yako yanagonga mioyo kwa kweli Mungu yuko pamoja nawe
glory to God yani umenifungua saaana mtumishi nilikuwa nikiomba kila Mara nahisi nikama kuna mtu kwenye nyumba naishia kugemea ahsante mtumishi kwani umenifungua macho
Amen chief
Hallelujah
Nabarikiwa mpaka nafurika upako..
Ubarikiwe chief
Bwana asifiwe wapendwa
Kufeli mtihani unatangazwa kila mahali.
Thank you Son of Major 1, Chief Apostle Mtalemwa 10G+
Mtalemwa ukosahihi kabisa injili hii haijatiwa maji
kwakweli YESU alivyonitokea na malaika walinishika miguu hadi damilia iliniona muongo
Asante
Safi
Mawazo ya kimalaikamalaika
Nimekuelewa mno
Naogopa hata kukusifia,naomba Mungu aniconnect na nguvu ya utendaji,Kwa sababu Mungu amekutuma basi wapo walioandaliwa kubadilishwa na mafundisho yako,Mimi ni mmoja ambaye mafuta yako yanatenda kazi kwangu najifungamanisha na kuruhusu akili kukubali kiroho
Asee kwa somo hili wewe ni fimbo ya shetani ,MUNGU AKULINDE ZAIDI.
Blssd bro ...ww n zaid y mtumeee ushawahi kuwa mwl? Nn
Amen Apostle
amen
Chief wa
watu!