MZARAMO: ATAPIKA NYONGO BAADA YA USHINDI MNONO | AWAVAA MASHABIKI WA SIMBA"WANAFIKI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ค. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136. - กีฬา
Mzaramo akil imezidiwa na mwili.
Chawa chawa chawa jaman sasahiv tanzania uchawa ni dili
DR MO ANASEMAA UKWELI, HAWAA NI MACHAWAA WA VIONGOZI, TUTATESEKA SANAA NA HAWA VIONGOZI WANAWAGAWA MASHABIKI
Mzaramo nilikua nakukubali sana lakin kwahiki unachokifanya Cha kuwasifia wachezaj kwenye mech ndogo kama hizi unatukosea sana Simba Bado sana hiyo timu co ya kupambania nusu final Clab bingwa hatuna Wachezaji hapo hivi kwakufanya hivo nikuwafunika shuka viongozi Ili wazidi kutulia pesa zetu nakuwaleta Akina jobe, Fred, na wenzake hatulitak hilo lizid kututafuna timu yetu ni yakawaida sana
SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤ WAKALI WA TANZANIA TOP 5 IN AFRICA
Daaah!!! Hali tete
Dr
Mohamedi yuko sahihi
Kumbe mnajijua kuwa nyinyi ni wanafiki
Ndo maana Simba hawafanyi vzr,wakishinda tu kila mshabiki ni msemaji,mchezaji akifanya vzr tu mechi moja wanampandisha na kumuimba sana kuliko kuisifia timu kwa ujumla.
Hii mbwa ni miongoni mwa mbwa zinazotukwamisha simba kwa kupewa elfu 30, doctor MO yupo sahihi
Chawa la viongozi simba leo imecheza pumba hiyo iko wazi hasa kipindi cha kwanza na wewe hilo tambi linakupa pressure.
Huyu mzaramo wa Simba ni kiande botebote
Wewe ndio mnafiki namba moja
Mbwa mama yako.....Uchaguzi ndio utamuondoa MANGUNGU.. SIO JAZBA
Nilikua shabiki wako mkubwa lkni unanisikitisha sana
Tutakupa usemaji mnafikiwewe
Massssshabiki wa Simba timu ikifungwa wanalalamikia viongoz, wakishinda Simba ya Mgunda..!
Tatizo hawajui wanahitaji nn ndio maana hakuna mabadiliko kila msimu kwasababu, wababaishaji ni wengi
Toa uchawa hapo
Waandishi tizama mlivowanafiki sana nyie wakat sisi tumecheza mchana sikuona mkienda kuhoji watu baada ya game ila kwenye mechi y Simba mmejazana na kuhoji washabiki ila hata msapot Simba vipi mwakani tunaenda club bingwa
Acha ushenz mzaramo wewe unakula na hao viongoz ndio maana unawakingia kifua
Mashabiki wenzangu simba tusi danganyane timu sio nzuri na tusipo badilika kwa hizi mechi zilizo bakia mutabaki hapo hapo namba 3 timu haina muelekeo mzuri
Utaendelea kuongea hivyohivyo
Ukweli lazima usemwe kwa kweli nashukuru nduguangu kwa kuwa mkweli tunataka mashabiki wa aina yako, tuko pamoja
Pamoja na wewe unataka kua ni mnafic wakwanza
Viongozi watoweni msianze msimu na vilio.
We ni chawa unapingana na ukweli? dk mo yuko sahihi aliongea ukwel simba tunawahitaji kama dk mo wengi jamaa anajua
Umahiri wa refa ndo umetubeba
We kenge km hujui mpira kaa kimya
@@neemamshote9577 kenge ni ww unaefirwa
FUMUENI UONGOZI UO...MNGETAKA KUSHINDA MNGESHINDA MWANZO SIO SASA LASIVYO MTALIA NA KULIA
Karibu Uufumue wewe
@@bahatimshali2731 kaa apo apo..subir ubingwa ee
Mnafiki nambamoja wewe namangungu nambamoja
Mzaramo acha umama na uchawa mwanaume huwa na msimamo hata wewe ni munafiki
Upumbavu ni kufurahi kuifunga Geita ambayo inashuka daraja
Ww ni chawa wa viongozi,huna maana kabisa,nyie machawa mnatuharibia timu,mmoja wapo ni ww mnafiki
😂😂😂😂mpeni timu Mgunda mtajutaaaa
Swadakta Bro
C lazima utume ujumbe katafute pesa ule na fml yako