MZARAMO: ATAPIKA NYONGO BAADA YA USHINDI MNONO | AWAVAA MASHABIKI WA SIMBA"WANAFIKI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ค. 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 39

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 25 วันที่ผ่านมา

    Mzaramo akil imezidiwa na mwili.

  • @FaustineTango
    @FaustineTango 25 วันที่ผ่านมา +1

    Chawa chawa chawa jaman sasahiv tanzania uchawa ni dili

  • @Franccoz
    @Franccoz 25 วันที่ผ่านมา +1

    DR MO ANASEMAA UKWELI, HAWAA NI MACHAWAA WA VIONGOZI, TUTATESEKA SANAA NA HAWA VIONGOZI WANAWAGAWA MASHABIKI

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 24 วันที่ผ่านมา

    Mzaramo nilikua nakukubali sana lakin kwahiki unachokifanya Cha kuwasifia wachezaj kwenye mech ndogo kama hizi unatukosea sana Simba Bado sana hiyo timu co ya kupambania nusu final Clab bingwa hatuna Wachezaji hapo hivi kwakufanya hivo nikuwafunika shuka viongozi Ili wazidi kutulia pesa zetu nakuwaleta Akina jobe, Fred, na wenzake hatulitak hilo lizid kututafuna timu yetu ni yakawaida sana

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 25 วันที่ผ่านมา

    SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤ WAKALI WA TANZANIA TOP 5 IN AFRICA

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 25 วันที่ผ่านมา

    Daaah!!! Hali tete

  • @user-ye5fq1wc3g
    @user-ye5fq1wc3g 25 วันที่ผ่านมา

    Dr
    Mohamedi yuko sahihi

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 25 วันที่ผ่านมา

    Kumbe mnajijua kuwa nyinyi ni wanafiki

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 25 วันที่ผ่านมา

    Ndo maana Simba hawafanyi vzr,wakishinda tu kila mshabiki ni msemaji,mchezaji akifanya vzr tu mechi moja wanampandisha na kumuimba sana kuliko kuisifia timu kwa ujumla.

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hii mbwa ni miongoni mwa mbwa zinazotukwamisha simba kwa kupewa elfu 30, doctor MO yupo sahihi

  • @eliasakhamisi7947
    @eliasakhamisi7947 25 วันที่ผ่านมา +1

    Chawa la viongozi simba leo imecheza pumba hiyo iko wazi hasa kipindi cha kwanza na wewe hilo tambi linakupa pressure.

  • @salminmayla
    @salminmayla 25 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzaramo wa Simba ni kiande botebote

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 25 วันที่ผ่านมา

    Wewe ndio mnafiki namba moja

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA 24 วันที่ผ่านมา

    Mbwa mama yako.....Uchaguzi ndio utamuondoa MANGUNGU.. SIO JAZBA

  • @Is-haqMawata
    @Is-haqMawata 22 วันที่ผ่านมา

    Nilikua shabiki wako mkubwa lkni unanisikitisha sana

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq 25 วันที่ผ่านมา

    Tutakupa usemaji mnafikiwewe

  • @ip_header
    @ip_header 25 วันที่ผ่านมา

    Massssshabiki wa Simba timu ikifungwa wanalalamikia viongoz, wakishinda Simba ya Mgunda..!
    Tatizo hawajui wanahitaji nn ndio maana hakuna mabadiliko kila msimu kwasababu, wababaishaji ni wengi

  • @saidkhamismasai1204
    @saidkhamismasai1204 25 วันที่ผ่านมา

    Toa uchawa hapo

  • @feyxalbarry4595
    @feyxalbarry4595 25 วันที่ผ่านมา

    Waandishi tizama mlivowanafiki sana nyie wakat sisi tumecheza mchana sikuona mkienda kuhoji watu baada ya game ila kwenye mechi y Simba mmejazana na kuhoji washabiki ila hata msapot Simba vipi mwakani tunaenda club bingwa

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 24 วันที่ผ่านมา

    Acha ushenz mzaramo wewe unakula na hao viongoz ndio maana unawakingia kifua

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mashabiki wenzangu simba tusi danganyane timu sio nzuri na tusipo badilika kwa hizi mechi zilizo bakia mutabaki hapo hapo namba 3 timu haina muelekeo mzuri

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 25 วันที่ผ่านมา

      Utaendelea kuongea hivyohivyo

    • @khalidmwakabuta5045
      @khalidmwakabuta5045 23 วันที่ผ่านมา

      Ukweli lazima usemwe kwa kweli nashukuru nduguangu kwa kuwa mkweli tunataka mashabiki wa aina yako, tuko pamoja

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 24 วันที่ผ่านมา

    Pamoja na wewe unataka kua ni mnafic wakwanza

  • @zuberihamisi460
    @zuberihamisi460 25 วันที่ผ่านมา

    Viongozi watoweni msianze msimu na vilio.

  • @YasinSioja
    @YasinSioja 25 วันที่ผ่านมา

    We ni chawa unapingana na ukweli? dk mo yuko sahihi aliongea ukwel simba tunawahitaji kama dk mo wengi jamaa anajua

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 25 วันที่ผ่านมา +1

    Umahiri wa refa ndo umetubeba

    • @neemamshote9577
      @neemamshote9577 25 วันที่ผ่านมา

      We kenge km hujui mpira kaa kimya

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 25 วันที่ผ่านมา

      @@neemamshote9577 kenge ni ww unaefirwa

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 25 วันที่ผ่านมา +1

    FUMUENI UONGOZI UO...MNGETAKA KUSHINDA MNGESHINDA MWANZO SIO SASA LASIVYO MTALIA NA KULIA

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 25 วันที่ผ่านมา

      Karibu Uufumue wewe

    • @user-hi8le2vb7z
      @user-hi8le2vb7z 25 วันที่ผ่านมา

      @@bahatimshali2731 kaa apo apo..subir ubingwa ee

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq 25 วันที่ผ่านมา

    Mnafiki nambamoja wewe namangungu nambamoja

  • @zuberihamisi460
    @zuberihamisi460 25 วันที่ผ่านมา

    Mzaramo acha umama na uchawa mwanaume huwa na msimamo hata wewe ni munafiki

  • @songombingo108
    @songombingo108 25 วันที่ผ่านมา +1

    Upumbavu ni kufurahi kuifunga Geita ambayo inashuka daraja

  • @juniorjoshua2452
    @juniorjoshua2452 25 วันที่ผ่านมา +1

    Ww ni chawa wa viongozi,huna maana kabisa,nyie machawa mnatuharibia timu,mmoja wapo ni ww mnafiki

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 25 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂mpeni timu Mgunda mtajutaaaa

  • @suleilammasanja-fm9ou
    @suleilammasanja-fm9ou 25 วันที่ผ่านมา

    C lazima utume ujumbe katafute pesa ule na fml yako