FIMBO YA AJABU: INATIBU MAGONJWA, INAFICHUA SIRI, WANAUME 5 HAWAWEZI KUIZUIA, ANAYEMILIKI ASIMULIA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2020
- FIMBO YA AJABU: INATIBU MAGONJWA, INAFICHUA SIRI, WANAUME 5 HAWAWEZI KUIZUIA, ANAYEMILIKI ASIMULIA..
MAAJABU! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia 'FIMBO' ya Ajabu inayomilikiwa na kijana, Nurdin Muhidin Dongo (19), yenye uwezo wa kufanya mambo makubwa ya kushangaza ikiwemo kutibu maradhi mbalimbali, kufichua siri za mtu, lakini nguvu iliyonayo ni kubwa kiasi kwamba wanaume wanne walioshiba hawawezi kuizuia...
Akizungumza na Global TV, Kijana Nurdin, amesimulia jinsi alivyoipata Fimbo hiyo akiwa na umri wa miaka tisa....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mashaa allah tabarakallah
Mashallah
Jamani hii fimbo Wasaidie wangojwa wa maradhi makubwa jamani kama kasa walipoza mungu uwenda hataleta kheri yake
Allah akubariki na azidi kukupa nuru zaidi
Nakupenda sana ww kaka mana unahofu ya alla 🙏🙏🙏🙏
Hiyo fimbo haijaiyona kuwa dunia inateswa na corona
ningependa sheikh amwaagize fimbo kupaa angani, iwainue juu
MAASHA ALLAH
Mashaallah
Takbiiir
MaalnshaAllah
Sawa kabisa mashaallah umesilimu Alhamdulillah lakini hao waliokuwa wakikuotesha hizo ndoto ni majini kwa mujibu wa dalili hizo hivyo sasa haipaswi weye kutumia fimbo hiyo kama eti ni maajabu hakuna cha ajabu apo hayo mambo wanayo fanya hivyo kwenye hiyo fimbo ni majini hao sasa weye ungeachana nayo hayo mambo ya fimbo kama kuona umepewa maajabu hapana kwasababu ukizungumzia miujiza asaivi waislam tumebakisha Quran tu na mpaka atakapo rudi NAbii ISSA A.S ndipo atakuja na miujiza itokayo kwa ALLAH S.W kwaajili ya watakao amini unaposema neno maajabu yatokanayo na ALLAH S.W basi hata shirki bila ya ALLAH S.W haiwezi kufanyika lakini yeye ALLAH S.W ametukataza hata tusiwe karibu nayo wazo langu madamu umeshaingia kuwa muislamu yatosha quran na sunna za mtume Muhammad S.A.W kuwa tiba na dawa katika desturi ya kawaida na si fimbo kwani kipungua nini kwenye hadi uwe una iamrisha na kuiuliza fimbo shida badala ya kumuuliza ALLAH S.W KWA kumuomba kipi kilichozidi kwenye hiyo fimbo achana na hiyo fimbo soma quran na kufuata hadithi na sunna za mtume Muhammad S.A.W ipasavyo yatosha Alhamdulillah.
Ndugu ww huna elimu wala hekima ww ndio unatakiwa usome soma baba ww dini huijuw kabisa
@@kherysamiry6716 kheri sijakuelewa apo
Tayb nimekuelewa sana yatakikana asimame katika Quran
Subhannallah
Iyamuru hiyo fimbo iwanyanyue juu miguu isiguse chini, hapo ndipo tutaamini hiyo fimbo.
SubhanAllah
Mmoja anaisukuma
Jamani muwe waelewa huu sio unabii nikuonyesha uwepo wa allah
Qurani inatosha kujua ALLAH S.W yupo pamoja na dunia angalia na vilivyo tuzunguka lakini hii bakora swali langu huyu kijana kapewa na majini ama weye unahisi nani walioenda kumuekea...ama nani kampa hapo hata yeye mwenyewe hajui inamaana ni majini hao...kwa mujibu wa kidesturi majini wanaweza kufanya mambo kama hayo...
@@khalidsalmin7682 ingekuwa ni majini isingelewana ma Quran na isingeamrishwa kwa jila la Mwenyenzi Mungu ikafanya
@@shantellemwanakombo3703 kueni makini sana nyie mitume walipewa miujiza na mtume alipewa na miujiza yake kwa maana bakora ulikua ni muujiza wa NABII mussa a.s kutoka kwa ALLAH S.W wapo hata baadhi ya masheikh wengi tu wanatumia majini na wanafanya mambo kuliko hayo swali langu ni moja tu hiyo bakora yeye mwenyewe hajui inapotoka pili mtume Muhammad S.A.W ni wa mwisho na ashakamilisha kila kitu na miujiza aliotuachia mtume Muhammad S.A.W ni quran tu sasa tokea aondoke MTUME MUHAMMAD S.A.W maswahaba wote wasipewe maajabu kama haya na ALLAH S.W aje apewe kijana huyu mbona haingii ata akilini fikirini vizuri jamani majini wana vitimbi kila aina na wanadanganya sana wanaadamu na hayo mambo yashatokea sehemu mbalimbali hivyo hiyo bakora ina utatanishi kwenye mawazo kwasababu haiwezi kujieleza haizungumzi vipi tukifuate kitu kisichoongea wakati quran ipo nijibu sasa...
@@shantellemwanakombo3703 ukimtaja Allah kwa shiriki bila kua na imani sahihi shetani hupenya
Habari kaka
zama hizi za mwisho tutayaona mengi imani zetu zitatikiswa sana na tutayaona mengi sana ya uwongo kikubwa tu tusimame imara na imani zetu tusiteteleke maana tunakoelekea ni pabaya sana ndugu zangu
SUBHANALAH masha Allah
Hiyo fimbo ipeleke china au marekani ukafanye matibabu ya corona
Watching from Uganda
Allah Akbar
MaashaaAllah
Quran inatosha kuonesha kuwa Allah ni moja na wapekee ni uisilamu ni dini ya haki. Usitudanganye na fimbo yako, ukweli wako unaujuwa mwenyewe.
Masharifu ishakuwa old fashion
Imekuja kikombe kwa babu
Fimbo na mengine yapo nisiyoyajuwa
Kuwa uyaone.
Allah tuongoze kunapo hakki.
quran ni muujiza wa Allah kwa mtume muhammad kwhio hakun ten miujiza baada ya mtume kuondok dunuan ila makarama bado yapo kwa waja wema wa Allah kwahio hio fimbo ni makarama kapewa kijana usimhusudu bure mwenzio
Hebu nisaidie mapepo kweli au uonevu tu
Subhanallah!! Allah husamehe madhambi mengi lakini sio Shirki kubwa cha kiwango huko. Ndugu Muislamu usipotoshwe na huyu mshirikina mkubwa!!
sasa si uende mahospitalini ukaponye watu ?tunataka tuone madawa yanaeksipaya kwa kukosa wagonjwa
Mimi bana ninacho taka kupona matatizo yangu, maswal fimb ya uchaw ya mung atajua she dongo. Mbona wakina mwaposa wanajiita manabii na zama za manabii zimeisha lakin wat wanaenda kufata uzima tu mpaka waislamu na makanzu wanaenda. Hvyo muhimu uzima wachawi nimewachoka jmn
Umenchekesha wewe😂🤣
Kwanini usingemwachia mtangazaji aibebe peke yake?
Subhanallah 254
Nataka namba yke tampataje
Jamani hii siyo sahihi hata kidogo nikiwa na maana ya kwa ni ushirikina mtupu ni njia mpia nyengine itatumiwa kupoteza umma
Ukiamin ushirikia hata ukiombewa hutapona ng'o o
B
Km inatibu iyo vimbo mm nna mume wangu anaumwa huu mwaka kadhaa ajapona ashafika kukatiwa viungo alikuwa mzima Sasa Hana mkono namguu taabani Basi km inatibu nisaidiye
ile fimbo haitibi bali anaetibu ni Allah
Muogopeni Allah mtu Kama uyoo habari zake msizieneze jamii ikapotea fimbo ya ajabu ni ya nabii Mussa ambayo imetajwa katika qur ani
Yan mimi nachukia Mungu anisamehe kama nakosea huu ni upotoshaji wa hali ya juu nadhan bakwata watoe tamko kuhusu hiyo fimbo isiwe ni jambo linalowaweka watu biz nakukubali eti ina maajabu wangeichukua tu waitupe waone kama kuna lolote litatokea
Yalaa🙄🙄🙄
As alaikum sheigh ninamzeewangu anasumbuliwa na miguu nahitaji nambazako
Pthooo Mungu sio wakujaribiwa na Mungu haitaji ushaidi ili ajulikane yupo .hell is waiting
ALLAHU AKBAR
Haya ndio utakuta ni yale majini mazuri, yaliyo sikia Koran yakasilimu.
Mashallah kijana nurdni mungu ndo alikuteuwa mwenyewe ili watu wajue una mungu akuna mungu mwingine wakuabudiwa ila Allah
Akuna jina lenye nguvu dinia kama jina la Jehovah Mungu aliye hai waislamum munajidaganya sana uyo mtoto ni mrozi wa mutumikisha akiwa mdogo uyo ushirikina.
@@thelionwomen4970 wewe huna uwezo wakumhukumu mwenye kuhukumu ni Allah
Na nyinyi wandishi wa habari kazi mnayo mbele ya Allah
Subhanallah astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah
Habari; Naomba namba zenu tafadhari Nina shida na shekhe ndugu Dongo
Namba ya sim nurdin
Assalam aleikum sheikhe nurudini naomba namba yako simu we chukuwa kwangu0712557748nipigie niambie mm shekhe nurudini nipate namba yako kusevu na matatizo yangu
Mashallah Allah akuweke .sheikh unatibu ?
Naomb namb shekhe nurdin dongo kwa matibabu
Test ya kwanza ikaanze muhimbiri
Atakaejitibu na hiyo fimbo ajue kuwa kashajiingiza kwenye ushirikina namaanisha utakuwa ushamshirikisha mungu mana anaetibu maradhi ni Allah pekeyake
Staghfrullah.. this is sihr
ikatibu corona hiyo fimbo,siku hizi wasukuma ni mataperi na kiswahili chao cha ushamba
Utapeli wa wazi wazi kabisa
🤣🤣🤣, eti Corona...
Hahahahahah eti watapeli
Nimeangalia video zake nyingi,nimegundua huyo jamaa aliyevaa kanzu nyeupe ameshika fimbo yupo kila video.Means yupo nae na ndiye anaechezesha hiyo Fimbo .Hakuna muujiza wala nn hapo.
Nauyo askali polisi alikua na nani alipo anguka nae angalia vzr
hata mi nmeona hcho ktu hyo jamaa yupo kila video af ye haojiwi ye ndo anaendesha hyo fimbo
😂😂😂we mtangazaji umeniacha hooi mwisho eti ayo ndo ya musa aise nimecheka sana2 daa😁😁ebu naomba namba zake na mm kunaswari nimuurize
Mashallah takbiiir
Allahu Akbar
Kaka Mimi Ni Lea choyo nasumbuliwa na mapepo siku nyingi hebu nisaidie nilikuwa sikujui lakini Leo nimekuona mtandaoni wote Ni wa kwa luhumbika Mimi baba yako mzee choyo
Ushirikina mtupu hata aya aliyotaja haitetei upuzi wake, anaeponya ni MUUMBA tuu japo twatumia madawa kama sababu nisawa na kufanya kazi ila mtowa riski ni MOLA, wachavuzi wa dini laana za ALLAH ziwateremkie.
Allah atuongoze kwenye njia ya haki.Hii zama tutaona mengi tu binadamu kumkosoa Allah
tumche allah allah akuongoe huyo na mimi alafu huyo jamaa ametoka katika ukristo ameingia huku nae anawapoteza watu imani zao ewe Allah tuongoe
Kama inatibu tupatieni namba tuje tusaidike na sie
Aende nayo muhimbili kama vp kma inaponya tutaona co vdeo za kuhojiana youtube.
Msiba huu🍇🍎🍎🍨🍧🍧🍰🍦🍦🍦🍎🍇🍇🍨🍧🍧🍧🍰🍰🍉🍉🍉🍎🍇🍇🍇
Mashaallah huenda ikawa Allah amekutumia kama chombo uje kutusaidia hio ndio imani yangu na muomba Allah akuzidishie kwasaba tumerongwa vya kutosha,time hangaika vyakutosha,na tumelia vya kutosha
mwenye kibaraka shee ndio anapeleka fimbo anakotaka msicheze na dini usitufanye waislam wajinga video zote lazima ashike na yeye hiyo fimbo?
Move,zilizo,tafisiliwa
Ingelikuwa ni wa Cristo mngesema sana niatari kumbe ni wote tunataka maajabu
Subhann Allah mungu akihifadhi kipaji chako,naomba unifanyie dua na mm Nina matatizo,maji na yangu Rehema idd
Huyo alikuwa ni Shetani wa Kijini alikuwa akikutokea ndotoni. " akikujieni mtu faski na neno/jambo lake mchunguzeni mtu huyo" " hawatokuwa radhi Makafiri na Manaswara mpaka mfuate Mila zao". But all in all, East and West Islamu will remaining the Best.
Ndugu ktk imani kasome dini halafu ndiyo uandike na kutoa ushauri, si busara kueleza usichokuwa na elimu nacho. Je Hidhiri alikuwa ni nani?! Mtume, Nabii au muislam wa kawaida?! vipi kuhusu aliyokuwa akiyafanya mpaka Nabii Mussa (A.S) akawa anamuuliza maswali kwa mshangao?! je aliyoyafanya yametokana na masheitwani wa kijini au Mwenyezi Mungu?!, pia kuhusu visomo vya Ruqya vinavyosomwa sasa na baadhi ya watu wa makundi fulani ktk dini, je wapi imethibiti Mtume Muhammad (S.A.W) alisoma Ruqya kwa utaratibu huu na wakati anasoma aya za Qur'an alizipangilia kama hivi zinavyosomwa sasa kwa kunyofoa nyofoa aya?! Zaidi utagundua haya yamewekwa na baadhi ya watu fulani kwenye dini watu ambao wanapingana na watu wengine waliowatangulia ambao nao pia waliweka utaratibu kama huu wa namna ya kuwasomea watu!! Kujua nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi inahitaji elimu. Tusikurupuke, kukosoa dini sio kitu cha mchezo!!
Tunaomba namba zake
Tunaitaji namba zako kaka upo wapi
Kama ni uchawi yy ndo anajua na mungu wake
Honzo mtupu huyo mwenye kanzu anasukuma wengine
Mbona Kuna Pete umevaa?
MASHA ALLAH..!
Naombeni no ya hyu kijana mwnye fimbo n mm ntk kutibiwa
mashallah tunaomba aje na tanga
Inalillahi wainaillahi rajiun kwani hiyo fimbo ni ya mtume musa lol
Hahahaha
Hayo ni mazingaombwe au Magic
Nipe no. Ya huyu kijana mtangazaji
Siamini kabisa
Uko wap
Njee naweza kupat now na yuyo mweny vimb naitaj anitbu
Kwakweli
Ni
Maajabu
Naomba namba ya shekh , natoka Kenya
tupenamba zake kunamtu anaumwa
Sasahivi unapatikana wapi
Hiyo sio fimbo ni majini hayo
Yote hayo mpaka Allah atake utapotea
Inna lilah waina illaihim rajyun jamani waislam dini tunaipeleka wapi mambo mengine tunatia aibu kwa tamaa za kidunia unayoo ongea mengine ni uongo mtupu na ni ushikina tu hiyo fimbo ni fix tu hamna kitu apo ila daawa jitahidi kulingania kalima ya lailaha ila Allah
Tunaomba uje maeneo yacharinze ututibu marazi ukifika nitafute
Dah nusu vifume vidondoke dah fimbo inatabia mbaya iyo
Tuliona kikombe cha babu sasa tunaona fimbo yaani watu tunatunajilingania na mitutume hapo wanajilingania na nabii musa maana tuliasiwa watatokea mitume ya uongo sasa ndio hayaaa jini la mwituni hilo ila nimekuingiza kwa kupitia uislam kwani kuna majini mengine yanajuwa mpaka kusoma Qur an.
Asalaam alaikum twaitaji nambayake shkh kifimbo
Twahitajinambayake shkh kifimbo
Venye corona ilakuja hawa wateule sijui manabii where are yu to safe the world instead of myths
mashaalla walahaula walakuwata illa bilaa.
Uongo mtupu una macho yak vile da inalllah wanaillilah lajiuni allah tuongoz ktk njia ilinyoook ishaalah allah
Asalàm alaykm
Waaleikum salaam warahmatullah wabarakatu
Yani fimbu lazima iguswe njo ina pata ngufu , peke yake ayi fanyi ?
Kuhuso fimbo kuhangaisha watu walo shika kama vile video inavo ashiria nikueli kutokamana na maelezo yake ni nguvu za giza yani majini wana husika hapo fahamuni majini wana mbinu nyingi saana wakikuhitaji ukafanya kazi zaao utakuenda tu
Ni kweli ni uchirikina walimutumia akiwa mdogo saaana utshawi kubwa
Mbona hujaweka namba yako ya cm tutakupata vp
Jini hilo
Ndiyo nnss kudhalilisha vidume
Naomba number yako yacm
Uchawi unaendelea imani iyo ndo maala pake