SOKA KIJIWENI | Gharib Mzinga, Ayubu Hinjo wazichambua goli tano walizofungwa Simba

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024
  • Watangazaji waliopewa jukumu la kuisherehesha mechi ya #DerbyYaKariako kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC, Novemba 5, 2023, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo wameichambua mechi hiyo na kuyataja makosa yaliyopelekea matokeo hayo.
    Mtangazaji wa kipindi cha "Kidani Show" kinachoruka UTV, Sauda Hussein, amefunguka kuhusu mumewe ambaye ni shabiki wa Simba.

ความคิดเห็น • 30