WIMBO: NENO JEMA MTUNZI: ANOLD RITTE WAIMBAJI: KWAYA MT. MARIA CONSOLATA - SUA AUDIO: KHAKI MEDIA VIDEO: CHARITY STUDIO ORGANIST: JAMES CHIDWANGA & MAXIMILIAN MASHAMBA @kmcssua instagram & facebook Sokoine University of Agriculture
Hongereni vijana wa SUA bn.....ila sasa sauti ya kwanza kweli wajitahidi kufikia pitch ya wimbo wameimba kwa taabu sana ❤❤❤ all in all it is great step congrats guys
Mwenye Haki atasitawi kama Mtende 😇hakika kama ni nyimbo mmeimba vizur sana,Mmependeza,na ujumbe mzuri, nikiwa mkubwa ntajitahid nijiunge na kwaya Mt.Maria Consolata SUA 🤍❤️😇 Keep up with the good work 👍
Very Goood. Congore nyingi saaana kwa Mtunzi. Ogarnist. Na waimbaji. Mungu ameifrahia kazi yenu. Hakika hatowaacha hivihivi ni lzma atawapatieni chochote anachoona kinawafaa. Big up
Woooooow congratulations 👏🎉
Mmetisha Sana Hongera Manhuncho kwa kukikanyaga staywild
Tuendelee kumleta Mungu katika mazingira yetu 🙏🙏🙏
Erick vs Jack mmetisha kinoma kwenye hako ka part but all in all Wimbo mkali buana kongore kwa mtunzi Mr.Anold🙌🙌
Hunchoooo🔥🔥Anolddddd🔥🔥🔥❤️❤️❤️aiseee hongereni sana
Good work wapendwa ❤️
aiseee that's gudy keep mmeupigaaa mwingi
❣️❣️ Kaz nzur🤝
Kazi nzur, hongereni
😊🎉🎉🎉 much congratulations, akii mmeupiga mwingi kawimbo kanashawishi 😊
Mkazidishiwe!🔥🔥🔥
Mbarikiwe sana❤️🎉🎉🔥🔥
Hongereni sana wanakwaya, the song is so nice in terms of composition, locations (director) plus sauti, keep it up 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kipengere Cha mwenye haki atasitawi Kama mtende kirudiweeeeee mweee 🔥🔥🔥sio kwa utamu huo... Kongole kwenu
@eriki na Jacky wamemaliza kazi 🤩🤩🙌🙌
Bado hamjafika, Mungu azidi kuwatangulia
❤ kmcs hongereni sana kwa utume mwema .❤
Hongereni sana wakuuuu mmeupiga mwingiii❤🎉🎉
Mungu awabariki sanaaa
wimbo mzurii sana ♥️♥️
Hongereni sana mungu awabariki sana muendelee kumtumikia ❤️❤️,, namuona Agnes Nyerere classmate wangu akimwimbia mungu. Nimefurah sana 💞
Much congrat maria consolata family kweli ni neno jemaaaaa
Noma san aise i love the music
Fantastic song.. Big up sanaaaaaa kmcs❤
Hakika ni neno jema
kazi nzur
Yan 🔥🔥🔥🔥🔥 from Kmcs sua
Kazi nzurii sana
❤❤ God overall
Mmetisha sana👌
Hongeren Kwa utume 🎉🎉🎉
Mdogo wangu Debora hongera sana umejitahidi na part yako on that location u looked so good 🎉❤
Good work
Mungu azidi kuwainua Tena
Namwona Kaka yangu damas pale ❤❤ good job
Hongereni sana, Wimbo ni mzuri sana
Wow🔥🔥🔥🔥👏👏👏
Mungu awabariki
Soloist part maua yenu 🎉🎉🎉🎉
Hongereni sana ndugu zangu katika bwana
Mbarikiwe sana na utume wenu uzidi kustawi🎉🎉🎉
be blessed. ujumbe mzuri
Konga nyoyo hongereni kwa kaz nzuri🙏🙏🙏
Hongereni sanaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Hongereni sana vijana wa kikatoliki 🎶
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤🔥🔥🔥🔥 kimewakaaa hongera sana KMCS kazi nzuri
Amen
Mmetishaaaaaaaaaa❤
💖 wimbo umetulia Adi raha jamnii kaz nzuri Na yenye Baraka 💗💗 wimbo ujao nami nitashirikii
🎉 Asante sana
Kazi nzuri sana🫡🫡🫡 Mungu awabariki🙏🙏
Wimbo mzuri,,, vedaaaaaaa😅
Hongeren sana kwaya ya Mt Maria Consolatha SUA
Hongera sana mnaimb vizuri sana 🙏👏👏👏
Wimbo mzuri Sanaa 💕💕umenibariki ..hongereni sana kmcs SUA
Big up, kazi nzuri sana❤
Waooh 👏👏👏 sana jamn mpo vizurii wimbo ni mzurii sana
Jackline ❤❤ pendezaa saan
Lovely
Hongeren kmcs mko gud kwa wimbo mzuri uo
🔥🔥🔥
Soo nyc
Hongera sanaaaaaaaaaaaa🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Good work 🙏🙏KMCS much blessings to you 🙏🙏✊✊
Hongereni sana Mungu said kuwabariki❤❤❤
🎉🎉
Wimbo mzuri Sana hongereni ❤❤ KMCS SUA 🎉
Aunt sylvia from Uganda am proud of you my son Egibert kainamula I love you so much❤❤❤❤❤
Woooh good song 💞💞 hakika kumshukuru ni kuomba Tena aseeei maua mengi sana tupokeee♥️♥️
Hongera kubwa kwaya yetu❤
Hicho kipande cha mwenye haki atasitawi ni balaa niliona clip ya Onesphory sikujua ni yenu you kill it wana-kmcs proud of you❤
Hongereni vijana wa SUA bn.....ila sasa sauti ya kwanza kweli wajitahidi kufikia pitch ya wimbo wameimba kwa taabu sana ❤❤❤ all in all it is great step congrats guys
Mmetisha wanakwaya
Waoooooh so nice🎉🎉
Neno jema🔥🔥🔥
Chukueni 🎉🎉 maua yenu jamani kazi yenu ni njema sana . Mungu awabariki sana muenselee na moyo huo🎉🎉
Waooooh!.... Hongereni sana kmcs family kwa wimbo mzuri na Kazi mzuri sana🙌🙌 Mungu aendelee kuwalinda na kuwatunza👍👍👍
Hongereni sana... hakika mmetoa wimbo Bora sana wenye kuvutia na wenye ujumbe mzito ndani yake❤❤
Hongera sana My familly kmcssua❤️❤️
I see my very own Annie!! 💞
Hongereni sana KMCS ♥️♥️🔥
Hakika mmeimba vizuri pongez nyingi kwenu endelezen kumuimbia Mungu ni kusali mara mbili🎉
Best song
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🙏🙏🙏
Kazi nzuri hongereni Sana , MUNGU awazidiahie Baraka nyingi katika utume wenu, AMEN
Wooow THANKS KMCS 🙏🙏🙏
Much congratulations to Charity for the quality videos now the brand is going up
Hongera kwa mtunzi na kwa kwaya yote. Mungu aibariki kazi yenu
Kazi nzuri saaaana Hakika nimeipenda wapendwa, NENO JEMA KUMSHUKURU MUNGU
Hongereni sana wanakwaya 🎉 EDWIN keep it up kilana wetu 😊
This is the best Christian song I have ever seen blessings❤❤❤❤❤❤ from uganda
Much Appreciate, Wimbo mzuri hongereni KMCS
🔥
Dah Ni wimbo wenye unamtukuza MUNGU kwakweli...KMCS SUA hongereni sana🎉..MUNGU awabariki Sana mwendelee na utume kwa moyo mnyoofu vivyo hivyo
Mwenye Haki atasitawi kama Mtende 😇hakika kama ni nyimbo mmeimba vizur sana,Mmependeza,na ujumbe mzuri, nikiwa mkubwa ntajitahid nijiunge na kwaya Mt.Maria Consolata SUA 🤍❤️😇 Keep up with the good work 👍
Karibu sana na Mungu akubariki
@@samsonmdimi-vf3qd shukran sana Samson ✊🙏
Every time I listen to this song I feel blessed 😍 una ujumbe mzito sana
❤❤
waoooh so nice❤,,,hongereni sana kwa utume....Nawapendaaa
Jacky❤❤ Erick🔥🔥🔥😂
🎉🎉🎉
🙏🔥
🙏🙏🏼
🥰🥰the best song ever
Hongeren sanaaa Mungu awatangulie kila lilojemaa kwenu ❤🎉🎉🙌🙏🙏🙏 5:20 5:21
Nice na naona kijana Samson kwenye ubora hongera sana nyote
Asante sana mkuu
Very Goood. Congore nyingi saaana kwa Mtunzi. Ogarnist. Na waimbaji. Mungu ameifrahia kazi yenu. Hakika hatowaacha hivihivi ni lzma atawapatieni chochote anachoona kinawafaa. Big up
Kmcs Tunakupenda sana Sr Mtepa
Waoo ahsanten, maana nimeitafuta sana Leo nimeipata,Mungu awabariki wote mliofanikisha hii KAZI, Amen 🎉🎉🎉🎉😊🙏
Amina