Ismail Wilondja , Kipa wa Rukinzo FC na timu ya taifa Intamba mu Rugamba.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ต.ค. 2024
- " Namshukuru Mungu kwa sababu Burundi tuna wachezaji wengi. Unapo itwa kwenye team ya taifa kuwakirisha inchi, ni kitu cha heshima. Sisi kama Intamba tuko na wachezaji wenye wana hamu ya kucheza na wenye mapenzi ya timu." Wilondja Ismail, Kipa wa Rukinzo FC na timu ya taifa Intamba mu Rugamba. Msikilizeni
#akezasports #Football #Lesbeautesdecheznous