Huyu Dada Msomali nafikiri pia yy yuwachunguza kuhusu yaumi ss ashajua ni Hawa cjui ataamua nn na yy ni rafiki wa yaumi alipo ambiwa yaumi amehukumiwa kinyongo alilia
Mbona mtu ahukumiwee leo kesho anyongwee?? Hapo judge amekularushwaaa mtu humalixa hata miaka mbili lkn hii munamuonea wacha tuone kutaendajee atoroshwee ndo wahusikaa wanyookee;;huyo msomali amenoachaa Njia pandaa kabisaaa
🤣🤣🤣😂😂😂nyiee MBN naona team Naomi tunaend kushid👌👌👌bd mmoja Felix 🤭🤭🤭😂😂sant Kwa muendelez 🙏❤️
Jaji kalalushwa kuhukumiwa mapema haya tuone Naomi atashinda tuuu
🙏🙏🙏🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Mipango kazi imekamilika matinya kazi anayo
Thanks kwa muendelezo, matinya tulia ungoje kitanzi
Mambo n fire
Awww! Thanks Smix kwa muendelezo..I'm no.1 thanks again 🙏🏻
Asanteni sana jamani daah kazi nzuri mno
Asante Sana kwa muendelezo
Asate sana simlizi mix fellix mweda Mbalikiwe sana
Chiba... Amata.... Madam S mpango mzima
mshahara wa dhambi ni mauti ,matinya akae kwa kutulia
❤️❤️❤️
Siku zote mshahara wa dhambi hua ni mauti marina subiri kitanzi sasa
Huyu Dada Msomali nafikiri pia yy yuwachunguza kuhusu yaumi ss ashajua ni Hawa cjui ataamua nn na yy ni rafiki wa yaumi alipo ambiwa yaumi amehukumiwa kinyongo alilia
Chonjo sana
Mbona mtu ahukumiwee leo kesho anyongwee?? Hapo judge amekularushwaaa mtu humalixa hata miaka mbili lkn hii munamuonea wacha tuone kutaendajee atoroshwee ndo wahusikaa wanyookee;;huyo msomali amenoachaa Njia pandaa kabisaaa