Polisi akamatwa kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi mfanyibiashara mmoja sokoni Marikiti
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Afisa mmoja wa polisi ametiwa nguvuni kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi mfanyibiashara mmoja katika soko la marikiti hapa jijini nairobi. John waweru njuguna mwenye cheo cha konstebo wa kitengo cha polisi wa kulinda reli, alimpiga risasi benedict maingi iseu, mchuuzi wa pilipili, baada ya maingi kudinda kumpa hongo ya shilingi mia nne.
All the police in Kenya should go through sobriety test every day after reporting for duty and have a clearance of no intoxication in their bodies that can impair their duty with the weapons they are carrying. Just a suggestion to the protocol of carrying the guns out of the station ama vipi my fellow Kenyans 😊😊
Hawa polisi wapelekwe haiti wauwawe uko wakirudi kenya watanyoroka hawana utu and legalize marijuana in kenya
Everybody in Kenya is mad including you, be careful who you are arguing with,anaweza toa stress na wewe,
Ni kweli dipression
Serikali ya Kenya ni aibu tu! Hiyo ndio shida yakukusanya watu kwa barabara wasio kua na mafunzo yakujua wajibu wao wala kipi kifanyike masna wanaona wakiajiri watu wenye na ujuzi watatakiwa wawalipe pesa nyingi
Uyu dawa yake pia na yy auliwe coz dawa ma moto ni moto unaezaje kuuwa mtu kisa ni pili pili
Ndìo maaana nikama wote walipataga E unapigaje mtu risasi mtu anauza pilipili surely ..a very uncouth stupid officer
Very sad and painful .only 400shs made the police to shoot him.inhumanity.
Not only that, kwan ilkua deni
Kenyans wako funny....wakaaji
May God help us imagine a police officer charged with our security is the one taking away our lives.
when the president alludes to killing people as one of the only three options he is giving people, what do u expect?
The tone was set, and in fact it is a miracle the murder of innocents has not skyrocketed.
Me I don't trust them at all
Wacha niambiye wenye mulifaulu kuandikua na sirikali siku moja kazi itaisha naulindi kwenyu na masinda kibao🤧
He thought that the free range freedom they were accorded during maandamano exist forever. How many has he killed in the darkness? Kegege.
Ruto turned police officers into murders during Azimio demonstrations. Sahii wako ni kiu cha kuua
Haki itendeke nowdays huezi tembea tao freely utashikwa 4 nothing until utoe hongo kwanza ao maaskari wako njaa they demand as low as 100bob
Haki jameniii Kenya imekua ajee jamani 400 bob tuu
Huyo anafaa awachiliwe aletwe kwetu tumvae mpaka aone heaven na 3D
Sasa bangi yenyewe iko na stimu kisha iwekwe na pilipili 😂
Eacc wanalipwa bure wakenya hamupeleki reports huko amkeni wakenya
Justice for this young man.
inaonyesha wazi huyo polisi hakua sw.. innalillahi wainnaillahi rajioun
Yaani Polisi anaua mtu anajitafutia riziki kwa kumpiga risasi alafu utuambie eti Polisi sio adui ni binadamu hapo hapana wacha huyo Polisi pia auwawe.
Mimi natoaga ushauri hawapolisi wapimwe akili ndipo wakabidhiwe silaha.governiment iachekupeana silaha kimajina inasababisha madhara kwa baadhi ya raia
Hawa watu wapelekwe Haiti akiwa mmoja wao
sasa mia nne ni kitu ya kuua mwenzako surely, huyo askari afungwe hadi siku tarumbeta zitalia
Hii ni tamaa ya mamlaka hau haibu ndiyo inafanya mapolisi kutegemea mauaji akidhani yeye ndiyo wewe
Walinda usalama wako hivyo Nairobi yatisha.
Kwa hivo kiganjo hio ndio training huwa wanafanya?
No words to say, "eti wacha uone vile bunduki hufanya kazi" mia nne!! Unaua mtu???
Huyo alikuwa na stress zake, mara sio wengine kuibia wagonjwa hospitali
Hawa police wote wapelekwe haiti.
we have good policemen and women,but some have accumulated,dirty money and resources,from poor citizens
Ndoo maaada sipendi kuskiza taarifa za habari toka ruto anyakue mamlaka ya urais hakuna siku nime kutana na taarifa ya pongezi kweye inchi ya kenya 🇰🇪 kila mara masikitiko kubomolewa manyuba kuuliwa raia ruto ruto ruto 😢😢😢 mungu ata kulipa 😢😢😢😢
Neno lamungu linaneno mahana yapolisi siyo kuhuwa nikujilita kwa kuhuwa kwakutohuwa nahonko niyanini kwa polisi katika hohoko kwapolisi niwizi kwa wanahiji nanimalaniwa kulita wanahiji nahina hituwa polisi nakwa hupolisi niwisi wahoko mungu hakuje hawe polisi kwetu mungu siyo wahoko kwa mahuwaji
wonder never ends the person bn paid to look after citizens takig their life
😢😢😮😮
Serikali ya mama mboga imesahau usalama wa mama cabbage
Mia nne inafanya mtu akufe.. sai nikunoma sanaa kaa radaa Dec tufike 2024
Highly likely that's cop might have participated in the gruesome murders of azimio protesters
Oh my! 😢😢When one is busy trying to make ends meet then someone turns so inhumane on them. May his soul rest in Eternal peace.
No wonder police officers will always be viewed as enemys to the general Public. Mshenzi huyo.
Kuna deals wamekua nayo si bure
Huyo askari jela maisha au auliwe
Haki police nini mbaya nao
That’s so so sad ! the government should take full responsibility….. 😢😢
Ata nayeye bia wamuue na risasi tu afe
Kama inawezekana huyo askari auliwe ndio watoshane
Hatakuwa na amani siku zake zote
Huyo police atatoka serikali ni ya wauwaji
Yes wako river yala kwenye babako na raila walikuwa wanatombea maiti
kikuyus tamaa ya pesa ,
Pangi 😂😂😂😂😂
Eee i don't whats wrong
If its 🤬 curse this
week its only breaking news Central
My God Help Us😢
Bona raiya tusipewe askari kama huyu tumshije, njuguna akisikwa na yeye masichi yake ifuate😭😭
Please kenya yetu imealipika
Hapa ndio ufisadi umetufikisha.
OTC area wannangaisha watu sana
Polisi mavi
hapo utackia police huyo paka afanyiwe uchunguzi wa akili hapo ndo serikali ya Kenya huwa yanishangaza ambapo marehemu maghufuli alikuwa akisema ukiharibu hapo unaharibikiwa hapo pia
Masee nikubaya na sisi tuliambia wananchi kazi ni kazi,,,heri tungebakia na hatupangwingwi
Angeachia mob...kubabake
Polee .IPOA
Its becoming new normal ...😢
Over 400 bob????Tf is going on
hii ni kenya
Justice for Benedict
Cops never satisfied with salary
Very greedy & self centred cops. He will never have peace
There must have been an exchange
Ig juna shinda kubwa sana kamukunji central pangani parklands c jui nani ataokoa watu kwa hawa wakola
Ndio maana nawaita watu wenye hawana akili
This is bad
Angepewa pilipili gorogoro moja aende auze mshenzi
Mara wamenjiua .mara wameua watu mara mabibi yao so sad..
Konstabo maybe deployed to Haiti to pick on fella his own size.
Woiyi may his soul rest in peace
Nope, may his soul disturb those who took it. may those who shed his blood never know peace.
And he shall walk freely like yesterday
A we safe?
Serekali ya mama mboga😂
Not a laughing matter. This is a bread winner lost
@@brianoichoe47but they were laughing when Azimio supporters were killed during demonstrations
@@HARONNAFTAL648 Police brutality has always been on all regimes. Kenyan police have mental issues honestly
The killer officers are working under instructions of the IG. Very sad
Bad government always eats the people who voted for them. Kikuyus watakipata!
😢😢😢 too sad
😢
The level of human pain is becoming unbearable. So much bloodshed
You're exaggerating
Justice for maingi😢
Why did the deceased offered him 200 shillings for being innocent?
Either way life is worth more than 200 or 500.
200 was for the fear of death ,insult and time wastage
@@euniceombogo5712 Clearly u missed that bit that this 2 individuals knew each other n it was a deal gone sour.
Its painful....
Hata kama ni bhangi hafii kumuua
Waah! 😢😢
Wooiye
Maybe police was mad 😢😢😢
This society is too sick...
😭😭😭😭😭😭my God I plead for your mercies over your people,deliver us from evil and wicked men.
And wicked women
Waaaa😢
Rest in peace
Wajakoha yuko wapi
Thats bad.
Woi😢😢😢
Too bad
Rest ín peace cousin