Kwa kubaka vitoto (Aisha), kuahidiwa madanguro pepon, kulawit watoto wenu wasio wa ndoa, ubakaj wa Muhammad, uuaji, uongo, porn right? Uislam ni njia ya jehanum, ukibisha njoo tidescus ethic za Muhammad tuone ka anafaa kuwa hata kuwa mfagiz wa Choo cha kanisa, Waislam ndio wanyanyasaj wakubwa kuwahi kutokea, fuatilia ni nan aliyengang'ania watumwa mpka Leo,muhammada anasemaj juu ya watu weusi, akasema weus ni watu wa jehanum, ingawa waarab walichukuwa watumwa weng weus, wameua wote, ila ulaya wapo mpka Leo, ka kafa muislam, means yupo kuzimu mbingu ya allah akifany porn na mikahaba 72,mbingu aisahau
Sasa kichwa changu mpaka kina uma nashindwa kupata jibu yani waka mpenda wenyewe kwa kuwa mkweli alafu waka muhuwa wenyewe wanadam kwa kweli amsomeki mungu wetu wa mbinguni MPE mwanga uko aliko apumuzike kwa amani amina
Hapan✋ inasemekn kuwa waliomua sio national of Muslim ila huyo jamaa aliwasngizia tu national of Muslim tena alisem el hajj Muhammad kahusukia kumua malcom baad ya el hajj Muhammad mwnyw ashakufa
nice// nimeipenda kwa jinci ulivyoisimulia...nimehuzunika jinsi sana ilivyokuwa fupi msana sijazoea kuona hivi makala zako huwa zinachukua dakika22 hadi 28 leo hii sijui DENISI MPANGAZE ambaye ndo muandaaji wa makala hizi amekuwaje
waislam hawabatizi ww . waislamu wanatumia jina la kusilimu. kutokana sote watu weusi dini yetu ya kiislam ukiristo ni dini ya waZungu walitubatiza. nashkuru wazee waliligundua hilo na kuenda njia sahihi mungu aliosema
Shida ndio inafanya mtu aelemee wapi lakini sio kila mtu anapoelemea ni sahihi,ukisema ukristo wa wazungu sema na uislamu wa. Waarabu turudi katika asili yetu ya mababu zetu kuliko kuendelea kuwa mtumwa wa jamii furani pasipo kujitambua
Vi2 va mzungu dunia ya mungu ww unamchukia lakn ukipata homa daw kagundua yy unaenda mkoa wako kwa magar vote kadundua yy mzungu mzungu sio mwezako sisi watu weusi tuna uwezo mdogo wa kufkili na tuna maisha ya kikatili pasipo mzungu mbka Leo sisi watu weusi kuna mataifa ya singeweza kupatan
Abdu Noor kushi ni mjukuu wa nuhu na alikuwa mweusi hii inamaanisha kushi mama ake na babu yake ambae ni nuhu walikuwa weusi maana mzungu hazai mweusi vivyo hivyo ibrahim kama unakubali ni uzao wa nuhu basi ukubali pia alikuwa mweusi yeye na uzao wake wote
Malcolm X my brother from another mother, huyu jamaa alinifunguwa akili na toka nimfaham sijarudi pale nilikuwa yaani maisha ya kutojijuwa tumewekwa nayo sisi waafrika. Mengi zaidi kumhusu visit my chanel.
Cutting edge, Ndugu tambua National of Islam ni jina tu lililotumika kama cover kwa ajili ya kuwakutanisha watu weusi ili kupinga harakati za kibaguzi dhidi ya mtu mweusi barani Amerika hususan nchini Marekani, baada ya waasisi wake kutambua mafundisho ya dini ya kiislam yanapinga ubaguzi na ukandamizaji na pia yanafundisha kupeana haki na usawa kwa binadamu wote bila kubaguana ndipo walipoamua kuasisi kundi hilo wakilifanya kama dini kwa wamarekani weusi tu ambao waliokuwa hawaujui uislamu sahihi huku wakipinga dini za wazungu ambazo walihisi zilitumika kumkandamiza mtu mweusi, waasisi wa National of Islam walitumia baadhi ya mafundisho ya dini ya kiislam wakaongezea na ya kwao huku mafundisho mengine ya Uislam wakiyaacha kama kukataza pombe, kamali, zinaa na kadhalika. National of Islam wala sio waislam kabisa ndiyo maana Malcom X baada ya kuujua Uislam halisi aliachana nao na kuingia ktk Uislam moja kwa moja huku akiendelea na harakati zake za kumkomboa mtu mweusi. Na hata kifo chake National of Islam walitumika kama vibaraka wa watu weupe ili kukamilisha malengo ya waasisi wao kwa kueneza itikadi ambayo sio uislam kwa ajili ya maslahi yao binafsi na pia kuzima harakati za kweli za ukombozi wa mtu mweusi Amerika.
@@rayisadesigns2646 uisilamu ni dini ya kibaguzi hakuna haki ktk uisilamu kitabu cha waisilamu kinawataka waisilamu wasifanye urafiki na wakristo pia waisilamu wao huwaita watu wasio kuwa wa imani hiyo huwaita makafiri acha kumtetea shetani
@@Gcuttter ingekua vizuri zaid ungetaja ni aya au sura gani inasema hayo uliyoyasema kuliko kusema vitu ambavyo unavisikia sikia tu mtaani mm najua ww hujasoma ila umesikia tu sasa ukiwa unaamini kila unachosikia bila ya kufanya utafiti utakua na maisha mabaya sana. historia inasema Malcom X alisilimu kwa kuwa alisoma mafundisho ya kiislam ambayo yalikua yanakemea ubaguzi na ndio maana akaamua kuingia kwenye uislamu,kumbuka kuwa yeye alikua mkiristo lakini kwa kipindi hiko mtu mweusi alikua harusiwi kuingia kanisa la wazungu na ndio maana alivutiwa na uislamu kwa sbb msikitini walikua wanaswali pamoja watu wote weusi na weupe. sasa jiulize kati ya ww na Malcom x nani atakua anaujua vizuri ukiristo
@@mlanzimohamed3766 ebu jaribu kutumia akiri acha kutetea dini ya mauaji.malcom x aliuwawa na waisilamu wenzie.ebu sasa nionyeshe aya kwenye quran inayopinga ubaguzi na mm nita kuonyesha aya inayo hamasisha ubaguzi
Dini ya kweli ipo kwa vitendo na wala sio maneno kama wenywew kwa wenyew unaitana magaid mbk kufka mbl kuitan makafli je sisi tunaotak kufta dini yenu MTA tushawish kwa kipi
Mohamed Othman unaonekana kama uwajuw wazungu vizuli kwani unadhani ukoloni na slavery nikitu jamchezo? Mpaka leo france ingaliki na koloni nchi 20 za Africa afu unaongea nini na mungu wakutuokowa sasa yuko wapi Ama atakuja lini
@@jp1780 namaanisha sio kila mzungu ni mbaya, hata mtu mweusi pia anaweza kushiriki ubaya huo. Uliza rais wa 35 wa marekani JF Kennedy alikuwaje na aliuawa kwa sbb gani huenda ukaelewa namaanisha nn
Hapana sio kweli mwisho amekosea msimuliaji,malcom x ameuwa na makachero wazungu sio waislam wenzake coz alikuwa anatetea watu weusi wazungu ndo walikuwa na uhasama nae ndo maana waligonga cheers baada ya kifo chake
Zahara hasan Wazungu wapo waislam lkn ni kwa asilimia ndogo sana na kwa kipindi hicho alipokuwa anaishi Malcom X kulikuwa na asilimia 0.2 ya wazungu marekani kwa hio 99.8% walikuwa wakristo na waliomuua walikuwa ni watu wanaompinga mtu mweusi najua unawajua
Kaka hebu jaribu kufanya uta fiti kwa kina ni nani walio muua na lengo la kuuliwa kwake kwa nini walitumwa watu weusi wenzake wamuuwe na aliye tumiwa kumua Malcom X alikuwa ana husika na biashara gani mpaka kupewa zima ya kumuuwa mal.
Aliuawa na kundi la kiislamu linalojiita the nation of Islam lililoongozwa na bwana aitwae Elijah Muhammad. Serikali ya America pia ilitaka kumuuwa lakini walituliza wakati walipoona hilo kundi likiwamalizia kazi. Mengi zaidi kumhusu tembelea chanel yangu.
The African American leader Malcolm X and Che Guevera came to Tanganyika and Zanzibar within five months of each other in the end of 1964 and beginning of 1965. Malcolm came to Tanzania first in October of 1964. The country was then known as Tanganyika and Zanzibar. The new name Tanzania was adopted in November, about a month after Malcolm left the country.
Mashaallah Ni neema kubwa kuwa muislam amekufa katika Imani sahihi ya dini ya Mwenyezi mungu.
Kwa kubaka vitoto (Aisha), kuahidiwa madanguro pepon, kulawit watoto wenu wasio wa ndoa, ubakaj wa Muhammad, uuaji, uongo, porn right? Uislam ni njia ya jehanum, ukibisha njoo tidescus ethic za Muhammad tuone ka anafaa kuwa hata kuwa mfagiz wa Choo cha kanisa,
Waislam ndio wanyanyasaj wakubwa kuwahi kutokea, fuatilia ni nan aliyengang'ania watumwa mpka Leo,muhammada anasemaj juu ya watu weusi, akasema weus ni watu wa jehanum, ingawa waarab walichukuwa watumwa weng weus, wameua wote, ila ulaya wapo mpka Leo, ka kafa muislam, means yupo kuzimu mbingu ya allah akifany porn na mikahaba 72,mbingu aisahau
Mxiuuuu
I was waiting for this... Malcolm my brother❤ huyu amefungua akili watu weusi wengi sana... Shujaa wa mda wote kwa watu weusi❤
Karigo Shafuri gud sana
Wapo lkn ni asilimia ndogo sn most of them are Christian
ALLAH AKULAZE MAHALI PEMA PEPONI INSHAALLAH. MASKIN.
First Black American To Visit Makkah💜ALLAH AKBAR 💙
👍👍👍👍, Malcolm x!,nikimsikiaga tu kumbe ndio history yake iko hiv
Kazi nzuriii sanaaa, TUNAOMBA Utleteee VITA YA KWANZA YA DUNIA
Maa Shaa Allah kumbe mzee X kafariki akiwa musical💕💕💕💕💕❤❤
zinatoa mafunzo
Aya ndugu
May his soul rest in peace, The most revolutionary black man ever walk on planet earth.
Simulizi nzuri sana,na pongezi ndugu mtangazaji kwa jinsi unavyoielezea hiyo story.
Yani nipo nanyi bega kwa bega maaan napata vitu vinavyo nisaidia ktk maisha🤝🤝🤝🤝🤝🤝🙌
Allah bless the man of black people this is king hunter
Safi sana, unaweza pia kusimulia historia ya Marcus Garvey, the father of modern panafricanism.
U r good for this naomba historia ya simalia said bare
Mashallah, wallahi hawa wazungu ni watu wabaya sana.
Kazi nzur sauti nzur hongera sana
Sasa kichwa changu mpaka kina uma nashindwa kupata jibu yani waka mpenda wenyewe kwa kuwa mkweli alafu waka muhuwa wenyewe wanadam kwa kweli amsomeki mungu wetu wa mbinguni MPE mwanga uko aliko apumuzike kwa amani amina
Hapan✋ inasemekn kuwa waliomua sio national of Muslim ila huyo jamaa aliwasngizia tu national of Muslim tena alisem el hajj Muhammad kahusukia kumua malcom baad ya el hajj Muhammad mwnyw ashakufa
Hata mm leo cjachelew aloow nakukubali sana ananias
one of the greatest people to walk on earth,the reason many people dont know him is bcoz he was muslim
Allah amrehem ❤️❤️❤️🙏🙏🙏
Ubarikiwe kwa auti yako annanias
nice// nimeipenda kwa jinci ulivyoisimulia...nimehuzunika jinsi sana ilivyokuwa fupi msana sijazoea kuona hivi makala zako huwa zinachukua dakika22 hadi 28 leo hii sijui DENISI MPANGAZE ambaye ndo muandaaji wa makala hizi amekuwaje
Thank you Broh Malcolm x...
Kazi nzuri rusha nyingi kuamsha vijana wa sasa waoga sana
ananias nakukubali sana sauti kal aisee yaan
waislam hawabatizi ww . waislamu wanatumia jina la kusilimu. kutokana sote watu weusi dini yetu ya kiislam ukiristo ni dini ya waZungu walitubatiza. nashkuru wazee waliligundua hilo na kuenda njia sahihi mungu aliosema
adrian van der valk unajielewa kweli ww.?
Shida ndio inafanya mtu aelemee wapi lakini sio kila mtu anapoelemea ni sahihi,ukisema ukristo wa wazungu sema na uislamu wa. Waarabu turudi katika asili yetu ya mababu zetu kuliko kuendelea kuwa mtumwa wa jamii furani pasipo kujitambua
Nimeipenda
r. I. p Al haji almalki
Waislam hatupaswi kusema "r.i.p". Tunasema "innalillahi wainailayhi rajiun"
Vi2 va mzungu dunia ya mungu ww unamchukia lakn ukipata homa daw kagundua yy unaenda mkoa wako kwa magar vote kadundua yy mzungu mzungu sio mwezako sisi watu weusi tuna uwezo mdogo wa kufkili na tuna maisha ya kikatili pasipo mzungu mbka Leo sisi watu weusi kuna mataifa ya singeweza kupatan
We ni kabila gan? Kweli kuna watu watabaki kuwa watumwa wa fikra milele duh pole kijana
Malcolm X was a greater orator than Martin Luther King and any American who ever lived,,,,Inna lillah rajiun 🙏
Yesu na baadhi ya mitume wake walikuwa waafrika
Toa ushahidi
Abdu Noor kushi ni mjukuu wa nuhu na alikuwa mweusi hii inamaanisha kushi mama ake na babu yake ambae ni nuhu walikuwa weusi maana mzungu hazai mweusi vivyo hivyo ibrahim kama unakubali ni uzao wa nuhu basi ukubali pia alikuwa mweusi yeye na uzao wake wote
Abdu Noor kama unapinha toa ushahidi pia kama yesu alikuwa mzungu
Hata musa alioa mwana mke mweusi maana yake alioa mweusi mwenzake
Kama unataka story ya 2Pac❤️ gongs like apa?
Nenda the story book wasafi utapata
Safi Sana but jitahid usikae kimya sana
Good Work
Mungu mkbwa#
Viva Africa
Viva black people
hiv mpagaze na jamal nani bingwa wa historiya mm wote nawakubali sana myie je nani bingwa wa historiya
My man Malcolm
Dini ya Kweli Imani yako
Ndume bwana watoto 7 kwa umri wa 39
Malcolm X my brother from another mother, huyu jamaa alinifunguwa akili na toka nimfaham sijarudi pale nilikuwa yaani maisha ya kutojijuwa tumewekwa nayo sisi waafrika. Mengi zaidi kumhusu visit my chanel.
Same here bro❤
Nimekuerewa
Ngozi nyeupi sio nafs zao mungu ndio anajua arie waumba
Kuna wale mnataka historia za kizungu style up acha kuturudisha utumwani
Wao kwa wao wana uwana nauona ushetani katika dini hii ya allah
Bado ww bwege ww unaujua uislamu au unaropoka tu
Cutting edge,
Ndugu tambua National of Islam ni jina tu lililotumika kama cover kwa ajili ya kuwakutanisha watu weusi ili kupinga harakati za kibaguzi dhidi ya mtu mweusi barani Amerika hususan nchini Marekani, baada ya waasisi wake kutambua mafundisho ya dini ya kiislam yanapinga ubaguzi na ukandamizaji na pia yanafundisha kupeana haki na usawa kwa binadamu wote bila kubaguana ndipo walipoamua kuasisi kundi hilo wakilifanya kama dini kwa wamarekani weusi tu ambao waliokuwa hawaujui uislamu sahihi huku wakipinga dini za wazungu ambazo walihisi zilitumika kumkandamiza mtu mweusi, waasisi wa National of Islam walitumia baadhi ya mafundisho ya dini ya kiislam wakaongezea na ya kwao huku mafundisho mengine ya Uislam wakiyaacha kama kukataza pombe, kamali, zinaa na kadhalika. National of Islam wala sio waislam kabisa ndiyo maana Malcom X baada ya kuujua Uislam halisi aliachana nao na kuingia ktk Uislam moja kwa moja huku akiendelea na harakati zake za kumkomboa mtu mweusi. Na hata kifo chake National of Islam walitumika kama vibaraka wa watu weupe ili kukamilisha malengo ya waasisi wao kwa kueneza itikadi ambayo sio uislam kwa ajili ya maslahi yao binafsi na pia kuzima harakati za kweli za ukombozi wa mtu mweusi Amerika.
@@rayisadesigns2646 uisilamu ni dini ya kibaguzi hakuna haki ktk uisilamu kitabu cha waisilamu kinawataka waisilamu wasifanye urafiki na wakristo pia waisilamu wao huwaita watu wasio kuwa wa imani hiyo huwaita makafiri acha kumtetea shetani
@@Gcuttter ingekua vizuri zaid ungetaja ni aya au sura gani inasema hayo uliyoyasema kuliko kusema vitu ambavyo unavisikia sikia tu mtaani mm najua ww hujasoma ila umesikia tu sasa ukiwa unaamini kila unachosikia bila ya kufanya utafiti utakua na maisha mabaya sana. historia inasema Malcom X alisilimu kwa kuwa alisoma mafundisho ya kiislam ambayo yalikua yanakemea ubaguzi na ndio maana akaamua kuingia kwenye uislamu,kumbuka kuwa yeye alikua mkiristo lakini kwa kipindi hiko mtu mweusi alikua harusiwi kuingia kanisa la wazungu na ndio maana alivutiwa na uislamu kwa sbb msikitini walikua wanaswali pamoja watu wote weusi na weupe. sasa jiulize kati ya ww na Malcom x nani atakua anaujua vizuri ukiristo
@@mlanzimohamed3766 ebu jaribu kutumia akiri acha kutetea dini ya mauaji.malcom x aliuwawa na waisilamu wenzie.ebu sasa nionyeshe aya kwenye quran inayopinga ubaguzi na mm nita kuonyesha aya inayo hamasisha ubaguzi
Innalillah
Malcom hero of all the time
Lini story ya Martin Luther king jr tuna subiri
Good job Blaza nakufatilia sana blaza
Dini ya kweli ipo kwa vitendo na wala sio maneno kama wenywew kwa wenyew unaitana magaid mbk kufka mbl kuitan makafli je sisi tunaotak kufta dini yenu MTA tushawish kwa kipi
kama hutoweza kuamini hakuna atakae kulazimisha just go on
Kiu fupi uko vizuri kwa simulizi
upo vzr bro....
lete mengne meng tusooyajua....
Nilikua nikiisubiri sana hii🤝
Natamani kujua historia ya Abraham lincoln aliyekuwa raisis wa marekan
Hatutaki utumwa wa kizungu,,,,
Heart nsanya 11 WHAT??
@@mosendababumansigiria8621 mweleze sisi hatuhitaji historia ya wazungu, haitusaidii
Malcolm x was more better than MLK junior
Naisubr kwa amu hii boss
Story book kuhuzu ukweli Wa kifo hua mutu akifa hueda wapi
Sana
Ubaguzi kwa watu weusi haukuanza leo toka kitambo
Nlitaka kushangaa hawa watu wasiojulikana nlidhani ni huku tu kumbe imeanzia mbali
Miaka mingi imepita
Wazungu bilaa Allah amlipe huyo kijana alie pambania haki za watu
Ahsnt pia honger sn ananias edgar
Tunaomba story ya chege vara
Mtu noma
Malcol x 🔥🔥
Safi Anania
Kweli watu wazuri huwa hawadumu mda mrefu
🙏🙏🙏
historia ni tamu na pia inafunza mno
Hapa ndipo huwa nawaona wapumbavu watu wanaowashabikia wazungu kuwa ndio watetezi wa waafrika leo
Kaka Ananias tuletee stori ya vita vya kwanzavya dunia
Nce
Watu hawa tungekua nao leyo asingetusumbua mtu waislam hawa ndio watu majabar bawana wanao fata ukweli na wakaufatendea haki
Alafu tunaambiwa sisi eti waarabu magaidi nakataa kata kata waarabu wanauwa wazungu kwa sababu kama hizi
Aliyemuua malcolm ni Nation of Islam kama ulivyosikia nimemaliza
Kutoka ukaya adi Africa akuna watu kama kina malcomx
Naomba historia ya martin luther
Haki haiji kwa kugonga like FB,
kama bado watazama nipe like
Wazungu nawachukia mm sijui walitoka sayari gani
Zuley Vendor Mimi nawachukia zahidi!😡
Usiwachukie wazungu, bali wayahudi ndiyo wanaoleta machafuko yote haya ktk dunia kwa kutekeleza kile alichoahidi shetani kwa mungu
Mohamed Othman unaonekana kama uwajuw wazungu vizuli kwani unadhani ukoloni na slavery nikitu jamchezo? Mpaka leo france ingaliki na koloni nchi 20 za Africa afu unaongea nini na mungu wakutuokowa sasa yuko wapi Ama atakuja lini
@@jp1780 namaanisha sio kila mzungu ni mbaya, hata mtu mweusi pia anaweza kushiriki ubaya huo. Uliza rais wa 35 wa marekani JF Kennedy alikuwaje na aliuawa kwa sbb gani huenda ukaelewa namaanisha nn
.ndio duniani Dhulma
Kwamabaya yote yenye wazungu wamesha tufanyia nakuhendelea kutufanyia watayalipaga tu siku moja😡
Fact
Muislamu kaua Muislamu apo ndo ujue Allah anapokupa nguvu anakutafutia atakae kukuangusha ..... fv€religion
Hapana sio kweli mwisho amekosea msimuliaji,malcom x ameuwa na makachero wazungu sio waislam wenzake coz alikuwa anatetea watu weusi wazungu ndo walikuwa na uhasama nae ndo maana waligonga cheers baada ya kifo chake
@@husseinissa7118
Kwan wazungu hakuna waislamu?
Zahara hasan Wazungu wapo waislam lkn ni kwa asilimia ndogo sana na kwa kipindi hicho alipokuwa anaishi Malcom X kulikuwa na asilimia 0.2 ya wazungu marekani kwa hio 99.8% walikuwa wakristo na waliomuua walikuwa ni watu wanaompinga mtu mweusi najua unawajua
@@husseinissa7118
Hapo nimekuelewa
Kila nafsi itaonja mauti hao wote kazi wanayo mbele ya haki yamli kiama
Nilitaman saaaana kumjua huyuu jamaa maana jna lakee ni maaruf maskioni kwangu kila day
Waliotuuza utumwani ndo walituletea dini ushenzi mtupu mi saivi natambika tu😎😎
Broke Nigga 😂😂😂😂
Huo ndio mpango mzima😂😂😂
@@ayubunyiriza6124 michosho
@@matthewjohn5108 sasa je🙌🙌
😂😂😂😂
ANANIAS EDGAAAAAA
Nilicho gunduwa huyu jamaa alikuwa mwislamu wa ukweli
Naomba haki itendwe
Historia ya John Garang wa South Sudan
Saf sana
Safi
Big up 👊
Good thing no ever longer exists.
Kaka hebu jaribu kufanya uta fiti kwa kina ni nani walio muua na lengo la kuuliwa kwake kwa nini walitumwa watu weusi wenzake wamuuwe na aliye tumiwa kumua Malcom X alikuwa ana husika na biashara gani mpaka kupewa zima ya kumuuwa mal.
Aliuawa na kundi la kiislamu linalojiita the nation of Islam lililoongozwa na bwana aitwae Elijah Muhammad. Serikali ya America pia ilitaka kumuuwa lakini walituliza wakati walipoona hilo kundi likiwamalizia kazi. Mengi zaidi kumhusu tembelea chanel yangu.
g
R.I.P Alhajj
cx%$'" sszz,,$% $%" $$' ##***"'_"\\©©€•••
Cffddxcfcxhjjlkjuhhhhhhuuujjjjjjmnn8ugdjooohhhhjmnh
Ghhyhhhhkjyuujknnbn. .mmnntdglljnjnnnjnvbj
R.l.PAlhajj
msema ukweli ni adui wa mabebari ni shujaaa kwa wanyonge
Taften kuna movie yake n
Tuletee ya Benjamin Franklin
Tanzania 🇹🇿 alikuja mwaka gani ??
Hakuja
The African American leader Malcolm X and Che Guevera came to Tanganyika and Zanzibar within five months of each other in the end of 1964 and beginning of 1965. Malcolm came to Tanzania first in October of 1964. The country was then known as Tanganyika and Zanzibar. The new name Tanzania was adopted in November, about a month after Malcolm left the country.
@@Nakasinge_Mugarula Alitembelea Tanzania first in October of 1964.
Kaka😱
Fupi sana mbona Kaka?
Iko poa kabisa
Lol! Miaka 39 watoto 7?? Kumbe ninatania
Tuwahishie hii!!!!!
Ukijiunga na Kundi la shetani lazima akuuwe,UISLAM ni dini ya Shetani,wakajifanya wanampenda kumbe akiwapa kisogo wanamng'ong'a,mwisho wakamuua
Daniel Elinest una uthibisho gani kama Uislam ni dini ya shetani..Allah akusamehe hujui uongeacho
Allah ni shetani
Hpn fanya uchunguz vzr waliomuua malcom sio waislam huyu mwandish ndy aliekosea kusimulia