Rais Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua watofautiana kuhusu suala la umoja na uwiano wa nchi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 มิ.ย. 2024
  • Rais William Ruto na Naibu Wake Rigathi Gachagua wametofautiana kuhusu suala zima la umoja na uwiano nchini. Kwenye hafla ya maombi iliyoandaliwa na dhehebu la akorino katika kaunti ya Nakuru, Rais Ruto amesisitiza umuhimu wa kuunganisha taifa kinyume na anavyohimiza naibu wake kuhusu umoja wa eneo lake la mlima kenya. Maryanne Nyambura anaarifu zaidi.

ความคิดเห็น • 109

  • @alexisngumbi6061

    wakae kama hawaelewani na hata wakielewana tutazidi kuumia tu

  • @josphatmwei6769

    Precisely D. P🙏🏼

  • @lithotechnairobi3591

    RiggG is a truthful leader continue to spread Peace , love and Unity.Governor Kahiga Mutahi continue to spread gospel of Peace , love and Unity and most importantly one Man , one vote , one shilling.Govenor dont mince your words shoot straight until they accept that we are kingmakers.

  • @peterwachira5986

    Tutatenga,tutafanya, empty words 😢

  • @VasilyArkhipov44

    Mutahi kahiga and Gachagua Rigathi are truthful men😂💯🔥

  • @weldonkikwai3012

    We need development not unity because we're already united

  • @davieskiplagat5400

    I support Riggy G. Equity over equality, but the government should also push for more projects in marginalized areas to achieve balance

  • @VasilyArkhipov44

    Murkomen ni Cabinet Secretary aache siasa he is a civil servant not a politician

  • @Fitima-ds7kf

    Siasa ya Kenya ni divide and rule lazima kadi ya ukabila itumeke.

  • @erickjuma7643

    Non of those speakers want unity of Kenyans nor wishes to have Kenyans united. They thrive in division

  • @ngurenjoki9796

    Tuko nyuma ya gachagua let mt Kenya talk us a house then after our house is okay we shall unite with our brothers as one kenya, you start with where you stay then go to the rest

  • @user-hq5tq9dj2v

    Yes kata kabisa Kenya moja watuwete❤❤❤

  • @VasilyArkhipov44

    Deputy president tangu aanze kuwa different na Gachagua anaanza kuwa mtu mzuri Ruto spoils is the bad apple that always spoils good apples

  • @bonfacegitonga6743

    This is the emerging disadvantage of the 2010 constitution 😢😢😢

  • @veronicahwambui9027

    Charity n unity begins at HOME

  • @patrickmurunga4820

    Well said murkomen

  • @taartytv8307

    I fuuuully support Rigathi on this

  • @edwardkamau9063

    Watu wawe kitu kimoja Ili muendelee kuwanyonya damu....hii Kenya kwanza can't go far

  • @bensonorimba-ee7ur

    Am happy uhuru saw this thing kitambo

  • @osmanmohamed-msonjey5158

    Murkomen. Be a man of unity. Wewe usiende kwa media. Enda kwa Gachagua na uongee pole pole. Solve ur problem chini ya Maji