ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Hawa ndo mashabiki, fact bro
Ahmedy Ally anatudanganya sana..Simba itafute wachezaji .lmemfunga Mtibwa na Tabora unatamba
Mimi ni mpenzi wa Yanga nataka Simba ishike nafasi ya pili Ili nchi yetu iwakilishwe na Simba na Yanga. Azam hawawezi kimataifa
Watafutwe viongozi wenye Nia na Simba waendane na kitu ya Wana Simba
Kombe la Muungano lililobebwa na Simba ni kombe la sherehe ya siku ya Muungano kama kombe la Idd au kombe la Pasaka.
Nikweli Ahmed Ally ni mlopokaji Yani haongei vitu vya kimpira.
Dareslaam . Young african ni kiboko ya piraa dume ukitaka usitake ujijuwa meenyrewe pumbaavu
Azam kumradhi popote mlipo saidie mtani wangu apate nafasi ya pili. Meja hataki unafki kisha sema atakuwepo kwenye sherehe za ubingwa.
Kunahiyu mropokaki hata mashindano . Makubwa aliyaita umiseta kisa yanga kafanya vizuri msemaji gani anabana sauuti . Kama dem
Ahmed ndio tatizo la kwnza kutumiza huyu aondoke anadhani akitulia atapoteza kibarua
Hivi hatanyie mnae hoji watu huwa mnachukuwa watu waelewa au washikaji wenu? Ninamashaka na uelewa wenu mna akili chache mno!
Meja mchukulieni uyoo muhamefi ally hana akili kabisa kaziyake kuitusi na kuizarau tuu
Hakuna ubaya kwenda kwenye sherehe zaubingwa wa utopolo.sababu mangungu na try again nao wanadurahiya piya😅😢
Meja mudacwire amekunja ndita
Daahhh huyu meja mi mwanasport wa maana sanna ijapokuwa ni kolozidad
Huyo msemaji ni komediani tu tena ni chawa tu wa viongozi. Isitoshe ni yanga muwenaye makini huyo mchumia tumbo.
Hawa ndo mashabiki, fact bro
Ahmedy Ally anatudanganya sana..Simba itafute wachezaji .lmemfunga Mtibwa na Tabora unatamba
Mimi ni mpenzi wa Yanga nataka Simba ishike nafasi ya pili Ili nchi yetu iwakilishwe na Simba na Yanga. Azam hawawezi kimataifa
Watafutwe viongozi wenye Nia na Simba waendane na kitu ya Wana Simba
Kombe la Muungano lililobebwa na Simba ni kombe la sherehe ya siku ya Muungano kama kombe la Idd au kombe la Pasaka.
Nikweli Ahmed Ally ni mlopokaji Yani haongei vitu vya kimpira.
Dareslaam . Young african ni kiboko ya piraa dume ukitaka usitake ujijuwa meenyrewe pumbaavu
Azam kumradhi popote mlipo saidie mtani wangu apate nafasi ya pili. Meja hataki unafki kisha sema atakuwepo kwenye sherehe za ubingwa.
Kunahiyu mropokaki hata mashindano . Makubwa aliyaita umiseta kisa yanga kafanya vizuri msemaji gani anabana sauuti . Kama dem
Ahmed ndio tatizo la kwnza kutumiza huyu aondoke anadhani akitulia atapoteza kibarua
Hivi hatanyie mnae hoji watu huwa mnachukuwa watu waelewa au washikaji wenu? Ninamashaka na uelewa wenu mna akili chache mno!
Meja mchukulieni uyoo muhamefi ally hana akili kabisa kaziyake kuitusi na kuizarau tuu
Hakuna ubaya kwenda kwenye sherehe zaubingwa wa utopolo.sababu mangungu na try again nao wanadurahiya piya😅😢
Meja mudacwire amekunja ndita
Daahhh huyu meja mi mwanasport wa maana sanna ijapokuwa ni kolozidad
Huyo msemaji ni komediani tu tena ni chawa tu wa viongozi. Isitoshe ni yanga muwenaye makini huyo mchumia tumbo.