#live

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 16

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa ndo mashabiki, fact bro

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 5 หลายเดือนก่อน

    Ahmedy Ally anatudanganya sana..Simba itafute wachezaji .lmemfunga Mtibwa na Tabora unatamba

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni mpenzi wa Yanga nataka Simba ishike nafasi ya pili Ili nchi yetu iwakilishwe na Simba na Yanga. Azam hawawezi kimataifa

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 5 หลายเดือนก่อน

    Watafutwe viongozi wenye Nia na Simba waendane na kitu ya Wana Simba

  • @simonnjovu586
    @simonnjovu586 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kombe la Muungano lililobebwa na Simba ni kombe la sherehe ya siku ya Muungano kama kombe la Idd au kombe la Pasaka.

  • @WinnieMashinga
    @WinnieMashinga 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nikweli Ahmed Ally ni mlopokaji Yani haongei vitu vya kimpira.

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 5 หลายเดือนก่อน

    Dareslaam . Young african ni kiboko ya piraa dume ukitaka usitake ujijuwa meenyrewe pumbaavu

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 5 หลายเดือนก่อน

    Azam kumradhi popote mlipo saidie mtani wangu apate nafasi ya pili. Meja hataki unafki kisha sema atakuwepo kwenye sherehe za ubingwa.

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 5 หลายเดือนก่อน

    Kunahiyu mropokaki hata mashindano . Makubwa aliyaita umiseta kisa yanga kafanya vizuri msemaji gani anabana sauuti . Kama dem

  • @suleimanzimbwe373
    @suleimanzimbwe373 5 หลายเดือนก่อน

    Ahmed ndio tatizo la kwnza kutumiza huyu aondoke anadhani akitulia atapoteza kibarua

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 5 หลายเดือนก่อน

    Hivi hatanyie mnae hoji watu huwa mnachukuwa watu waelewa au washikaji wenu? Ninamashaka na uelewa wenu mna akili chache mno!

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 5 หลายเดือนก่อน

    Meja mchukulieni uyoo muhamefi ally hana akili kabisa kaziyake kuitusi na kuizarau tuu

  • @saimonntani6831
    @saimonntani6831 5 หลายเดือนก่อน

    Hakuna ubaya kwenda kwenye sherehe zaubingwa wa utopolo.sababu mangungu na try again nao wanadurahiya piya😅😢

  • @johnmalisa9373
    @johnmalisa9373 5 หลายเดือนก่อน

    Meja mudacwire amekunja ndita

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 5 หลายเดือนก่อน +1

    Daahhh huyu meja mi mwanasport wa maana sanna ijapokuwa ni kolozidad

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo msemaji ni komediani tu tena ni chawa tu wa viongozi. Isitoshe ni yanga muwenaye makini huyo mchumia tumbo.