RC CHALAMILA HALI TETE/KAULI ZAKE ZAMUWEKA PABAYA,RAIS SAMIA AHUSISHWA KUMUWAJIBISHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 171

  • @LITTLEANGELSTODDLERSPLAYLAB
    @LITTLEANGELSTODDLERSPLAYLAB 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kaka omba msamaha,sauti ya watu ni sauti Mungu-Amen

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 7 วันที่ผ่านมา +2

    Chalamila ni sawa ametutusi wanawake wote hana kauli nzur siku zote

  • @bakarisimba1114
    @bakarisimba1114 8 วันที่ผ่านมา +7

    Honestly imeniqusa sana kwakionqz mkubwa kama yy kutoa kauli isiyo na mashiko Wala tija kwa umma,nilifikiri hata anqequswa kwa kumtumia mama yule hata laki Moja papo hapo Ili TU aokoe maisha yake kwanza half baadae akachaqize Hilo suala kwa kutoa elimu kwa kina mama na akina baba Ili kujua wajibu wao na wajibu wa serikali yetu kwenye uanda huo wa afya , amekosea sana honorable chalamila .

  • @GeorgeMuhongole
    @GeorgeMuhongole 8 วันที่ผ่านมา +6

    Mnyalukolo badilika kauri zako si nzuri kwa Jamii usituangushe wahehe wenzio tunakutegemea ebu toka hadharani omba msamaha yaishe kwa hayo matamshi uloshatoa kwa kufanya hivyo hutopungukiwa na chochote zaidi kuimarisha uongozi wako .

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 8 วันที่ผ่านมา +9

    Ikiwa chalamila hatakemewa au kuondokewa kwenye kiti chake basi atakuwa kapewa baraka na chama na wakuu wake ametoa kauli nyingi chafu na kutushia maisha watu mara nyingi

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 8 วันที่ผ่านมา +2

      kinachotia aibu zaidi ni kwa ukimya wa Rais Samia ambae ni mwanamke kusikia unyanyasaji kama huu na kukaa kimya ina maana anakubaliana nae

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa

    • @DanielM.Lemboto
      @DanielM.Lemboto 8 วันที่ผ่านมา +1

      Hapaswi hata kuwa kiongozi Hana tatizo la afya ya akil

    • @bishopkulwajz209
      @bishopkulwajz209 8 วันที่ผ่านมา +1

      Ni aibu kiongozi kukosa lugha ya staha.

    • @shenamtukufu1224
      @shenamtukufu1224 7 วันที่ผ่านมา

      Tuungane kama ivi kukemea maovu kwa nguvu moja.mitandao ina nguvu sana

  • @MusaJuma-y6s
    @MusaJuma-y6s 8 วันที่ผ่านมา +4

    Daa viongozi wetu mnakwama wapi jamani

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 8 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo kiongozi umekosea sana

  • @gililwise
    @gililwise 8 วันที่ผ่านมา +2

    Anajichetua sana huyo mhehe ana hekima ya Mungu

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mshamba sana huyu Chalamila. Ni aibu kuwa na mkuu wa mkoa kama huyu katika jiji letu tukufu la Dar es salaam

  • @FrankAsseriMaeda
    @FrankAsseriMaeda 7 วันที่ผ่านมา +1

    Cha ajabu wananchi waliokuwepo waliendelea kumsikiliza kwa kutokujua sera na haki za uzazi kikanuni na sheria

  • @tumainichirwa1945
    @tumainichirwa1945 7 วันที่ผ่านมา +1

    Umemdhalilisha mwanamke mmoja ni sawa na kutudhalilisha wanawake wote.yeye angezaliwa na visu na mume wa mama yake asingekuwepo hivi Sasa.awajibishwe

  • @petromakange2668
    @petromakange2668 7 วันที่ผ่านมา +1

    Anajifa sana huyo,Bado hatambui kosa lake

  • @obbybenitho5803
    @obbybenitho5803 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ameizoe kazi 😢😢😢

  • @KassanaKalunde
    @KassanaKalunde 8 วันที่ผ่านมา +4

    Amezoea hiyo ndio tabia zake

  • @abdulisike
    @abdulisike 8 วันที่ผ่านมา +2

    Raisi samia badilisha kaz huyo mtuu kaisha kua na kauli mbaya tofaut tofaut kwa wananch tanzania yaaman naaendeleo iko juu yako kauli gani hii mama

    • @YourMoor-px1rd
      @YourMoor-px1rd 8 วันที่ผ่านมา

      INABIDI AACHISHWE AU ABADILISHWE LA SIVYO ATAENDELEA NA UPUMBAVU NA DHARAU ZAKE HANA MAANA KABISAA

  • @hezronbaraka8304
    @hezronbaraka8304 8 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Mkuu wa Mkoa achukuliwe hatua maana imekuwa tabia yake kudhalilisha watu.Rais anajua vizuri zake chafu.Achukue hatua atumbuliwe tu

  • @ChrissJuma-j5h
    @ChrissJuma-j5h 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo chalamila afai hata kua kiongozi kwaza amekaa kwa bahati hpo kwenye hicho kiti

  • @IdrisaAbdiNkupe
    @IdrisaAbdiNkupe 8 วันที่ผ่านมา +2

    Chalamila hatoshi kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa hususan jiji la Dar es salaam! Mama Samia tumia uchungu wa mama kumuwajibisja

    • @isaackchambo2642
      @isaackchambo2642 8 วันที่ผ่านมา

      Sio ukuu wa mkoa tu hafai kwanafasi yyt

    • @IdrisaAbdiNkupe
      @IdrisaAbdiNkupe 8 วันที่ผ่านมา

      @@isaackchambo2642 exactly

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 8 วันที่ผ่านมา +2

    Kweli kabisa inatakiwa aombe msamaha kwa wananchi kauri chafu ariyo itumia

  • @AmosJohhn-f1l
    @AmosJohhn-f1l 8 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu bwana tatizo domo lake amezoea kuropoka sana ,hatuwezi kuwa na viongozi wa aina hii ,awajibishwe,sio lazima awe mkuu wa mkoa ,wanalewa madaraka

  • @SaidSalehe-z3p
    @SaidSalehe-z3p 8 วันที่ผ่านมา +3

    Fukuza tu sio ujanja kujibu mbovu cheo dhamanatu

    • @YourMoor-px1rd
      @YourMoor-px1rd 8 วันที่ผ่านมา

      YAANI AACHIE NGAZI TU HANA MAANA HATA KIDOGO JE HUYO ANGEKUWA MAMA YAKE AU MKE WAKE AU DADA YAKE JE ANGEJIBU UPUMBAVU HUOO? HANA ADABU

  • @amotvtz1302
    @amotvtz1302 8 วันที่ผ่านมา +5

    Huyo hafai hata kuwa mkuu wa mkoa basi ni vile wanabebana

    • @aidankakulu398
      @aidankakulu398 8 วันที่ผ่านมา +1

      Sio mkuu wa mkoa HAFAI KUA HATA MKUU WA FAMILIA

    • @NixonJohnson-r4m
      @NixonJohnson-r4m 8 วันที่ผ่านมา

      Hafai huyu hata siku moja ni mbele wa hivyo kuliko wala mbwa..

  • @Jackson-n2c
    @Jackson-n2c 7 วันที่ผ่านมา

    Siku zote huyo jamaa yuko against na wananchi..... Pia nahisi afya yake ya ubongo haipo 100% sawa

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mdomo ulimponza kichwa...Mh..unasema sana..

  • @ymohammed963
    @ymohammed963 7 วันที่ผ่านมา

    Safi

  • @LuganoMwalwembe
    @LuganoMwalwembe 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ovyo sana cjui mama samia alimludisha hapo tena kufanya nini maana hata kyela alitoa kauli mbovu sana wakati wa mafuliko katika kijiji cha tenende kata ya mwaya wilaya ya kyela akasema hivi ninyi watu wa tenende mmezidiwa akili na kuku sijui alikuwa na maana gani kwa kauli zake kwahiyo amezoea c wanatolewa pia wanaludishwa tena wanajitapa kuwa wapo kwenye cstimu wanamzalilisha rais wetu bila sababu mama toa huyo unawatu wengi sana tena vijana

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 8 วันที่ผ่านมา +2

    Hiii nchi inaitaji maombi makubwa sana,baadhibyaviongozi wetu jmn niwakatili sana,kwamacho yahadharani huwezi kuwajua,ilakwnyuma yapazia NIWATU wakatili sana.Hyu kiongozi amezaliwa NAMWANAMKE ,Uchungu wamana yke ndio Uchungu wamwanamke yyte yule aliebeba mimba miezi Tisa.Hii nchi imekuwa naviongozi wenye ulevi wamadaraka. Nakushiba fedha zawalipa kodi hao hao wanaotukanwa kukejeliwa nakuteswa kwenye baadhi yataasisi zetu.Sijui watanzania tumelogwa na nani jmn.Hii nchi ulipaswa iwe nanidhamu kubwa Sana.Mama Samia wajibisha hwa viongozi wanaotuona sio watu kwenye vytu

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 8 วันที่ผ่านมา +1

    Uongozi wowote hautaki mzaha wala kujiinua, Mungu hapendi kwani unapokua kiongozi ww ni mtetezi wa watu wako, tetea hao watu unaowaongoza na uwe na huruma.

  • @Jackson-n2c
    @Jackson-n2c 7 วันที่ผ่านมา

    Sijui lakini ila serikali haiwezi kumwambia chochote.... Tumirudi zama za kale

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 8 วันที่ผ่านมา +1

    Laana hiyo ya John pompe Joseph kwa kumgeuka

  • @rukiamaftah
    @rukiamaftah 7 วันที่ผ่านมา

    Lakini huyo jamaa ndivyo alivyo si bshati mbaya )

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 8 วันที่ผ่านมา +1

    Aombe msamaha wann afukuzwe tu. Analinga sana chalamila sababu yeye mke wake anatumia kodi zetu .

  • @HappinessMwenda-k7r
    @HappinessMwenda-k7r 8 วันที่ผ่านมา +2

    HAPA TZ MBONA YOTE NI KAWAIDA HAKUNA CHA AJABU HAPO.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 8 วันที่ผ่านมา +2

    Hiyo ni mikwala tu chalamila anamuwakilisha rais wala raIS HAJAWAHI KUMKEMEA sasa nyie imbeni mapambio

    • @HamisMasele-tb7lj
      @HamisMasele-tb7lj 8 วันที่ผ่านมา

      Kwahyo kama anamwakilisha ndo unamwona yuko sawa??
      Au nawe ndo wale,wale waliokunywa uji wa mgonjwa??
      Chalamila syo mzma kiakil kwahizo hoja zake ambazo hazna matiki!!
      Na kaz yake kubwa ni kuropoka,ropoka kama sio kiongoz!!
      Inabidi aombe msamaha otherwise ajiengue mala1.
      Wamama ndo tengemeo la taifa la kesho!!

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 8 วันที่ผ่านมา +1

    Tatizo siyo aina ya viongozi kama Chalamila, tatizo ni ujinga wetu sisi Watanzania. Tuna upole wa kijnga Sana. Ingekuwa Kwa wenzetu huyu asingekua madarakni Hadi.

  • @ObadiahLickson
    @ObadiahLickson 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mnajua hii teuwateuwa ndo tatizo inayo tuumiza hospital ni za umma Hawa wateuzi wanaishi kwa Kodi zetu napendekeza wakuu wa wilaya na mikoa WAWE wanachaguliwa tu hakuna namna

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 7 วันที่ผ่านมา

    Wanawake wneyewe ndo tunajidharirisha. Watetezi wa haki za binadamu muanze na wanawake wenyewe.

  • @GervassNjau
    @GervassNjau 8 วันที่ผ่านมา +2

    Walisema wazazi bure lakin akuna chochote uwongo tu

  • @DavidMgimba-z8o
    @DavidMgimba-z8o 7 วันที่ผ่านมา

    Rais ni mwanamke na ndiye aliyempa hiyo nafasi jama amefurahia kauli hiyo basi tusubiri
    Wanawake nguvu mnayo
    KURA

  • @magrethkimwasile2983
    @magrethkimwasile2983 8 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli anajisahau sana madaraka Huwa yanabadilika hiyo kauli yake awaombe msamaha wanawake wote

  • @YahyaKobelo
    @YahyaKobelo 7 วันที่ผ่านมา

    Tetea tuu. Bure inaisha. Wacha jamii ielezwe ukweli.Trump ameanza kukata mirija .

  • @msomaliwilliam
    @msomaliwilliam 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu chalamila amezoea kutamka maneno ya kachifa Sana. Maana alisema mwanaume unauza uduvi utaolewa. Kwa maana Baba zetu wataolewa. Huyu jamaa Nina hasira nae kinoma

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 4 วันที่ผ่านมา

    Wanalewaa madalakaaa watoto zaooo wanasomaa ulayaaa wakeee zaooo wanaendaaa kuzaaa ulayaaa kwaaa kodiii zetuuu yoteee kufaaa magufuliii bakiniii naaaa uyuuu mamaenuuu mwishooo utafikaaa tuu

  • @shld7508
    @shld7508 8 วันที่ผ่านมา +1

    Chalamila kamdomo mdomo, mfano wa kiongozi asiefikiria kabla ya kufungua domo lake

  • @AliyAmbangile
    @AliyAmbangile 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nafasi uliyo nayo usiitumie kunyanyasa watu bado haujafika ndugu yangu

  • @LusunguWatsonMgeni-gr8zt
    @LusunguWatsonMgeni-gr8zt 8 วันที่ผ่านมา

    Malanyingi anatoa kauli Tata hatujawahi kuona anachukuliwa Sheria yoyote kama wanyo chukuliwa kama wesi wa kuku

  • @tospend
    @tospend 8 วันที่ผ่านมา +1

    Jamaa huwa hajielewi kabisa yani viongozi waa ajabu kiasi hiki

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 8 วันที่ผ่านมา

    Chalamila hafai kuwa kiongozi kiongozi unatakiwa uwe na busara kwa unaowaongoza

  • @frankmichael411
    @frankmichael411 8 วันที่ผ่านมา +1

    Jmn mazuri mengi kufutwa nakosa la sku Moja to!

  • @osi_ministry
    @osi_ministry 8 วันที่ผ่านมา

    Chalamila yupo sawa, huyo mwanamke alikuwa na nia ya kuwadhalilisha wahudumu wa afya kuwa wanamuibia pesa wakati kweli vifaa vilikuwa havipo. Aanze huyo mama kuomba radhi.

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 8 วันที่ผ่านมา

    Mbona hatujasikia Aliye mdhalilisa kiongozi Mkubwa kwamba ni Mwanamke na hawezi kupitia kwenye uongozi Kwa kuwa ni mwanamke

  • @BarakaMsusa-m4s
    @BarakaMsusa-m4s 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa ana kiburi sana ila watu wa ccm ndo walivyo walisha jiona hakuna mtu atakaye wafanya chochote

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 8 วันที่ผ่านมา +1

    Tafteni KAZI za kufanya unganeni na kina mama wengine kwenye maendeleo ya taifa sio kukalia maneno yasiyo na tija mkitaka maneno matamu nendeni kwenye kipindi Cha lovy davi

  • @MatulangaMdemle
    @MatulangaMdemle 8 วันที่ผ่านมา +1

    Tatizo elimu mama tuletee makonda

  • @checknorisalex5187
    @checknorisalex5187 8 วันที่ผ่านมา

    mnajilalamisha ninyi ivi aliemteuwa Kuwa haono afu msijisahau yule ni muwakilishi wa rais kisheria alichoongea yeye ndicho alichokimaanisha rais wenuu ndo maana hawezi kumchikulia hatua Kwa kelele zenu

  • @lovenesdickson1824
    @lovenesdickson1824 8 วันที่ผ่านมา

    Sijawahi kumpenda hata kidogo kwa kauri zake .

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 8 วันที่ผ่านมา

    Haya mashirika trump kule kwake ameyatupilia mbali maana wanakuza sana mambo.chalamila ameishaongea alikua anamaanisha kuwaweka vizuri wananchi jinsi ya kusaidiwa na serikari

  • @LucianSanga
    @LucianSanga 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna Anaye Weza Kuufuga Ulimi Ulimi Hufananishwa na cheche ya Moto ULIMI HUCHONGANISHA NA HUPATANISHA PIA

  • @FilbertLuoga
    @FilbertLuoga 8 วันที่ผ่านมา

    Tatizo chalamila nimropokaji kwenye utendaji zero pale hamna kitu hovyo sana

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 7 วันที่ผ่านมา

    Jifunzeni kwa Makonda

  • @Joseph-l9r2l
    @Joseph-l9r2l 7 วันที่ผ่านมา

    Acheni ushabiki nyie ndo mnaharibu nchi watanzania hatutaki kuambiwa ukweli kipi kakosea kusema ukwel kila mtu anajukum la kulinda afya yake fanya maandilizi vizur juu ya maisha yako na wanaosumbua ni wale walizonazo wakiambiwa kitu wasumbufu chalamila piga spana

  • @AquileraKaria
    @AquileraKaria 8 วันที่ผ่านมา

    Ametutukana vibaya sana ametuvua nguo wanawake tuliomleta duniani tulokesha bila kulala akiumwa ,jamani aombe msamaha.

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 8 วันที่ผ่านมา +1

    Tatizo watu hao wamelewa madaraka na kikubwa kinachowabeba ni uchawa kwamba hata akiboronga anasema atakwenda maeneo mengine akahutubie na kumtukuza mama ili kumjaza sifa kibao akijua hatafanywa kitu

  • @JosephKulwa-rc7en
    @JosephKulwa-rc7en 8 วันที่ผ่านมา +2

    Asa kama kiongozi anaongea vile mnategemea nn hakika nizamu ya kazi ilikua kwa Magufuli saiv mahosipital ya serikal unaweza kufia mapokezi ukiwa na hela bora uende private

  • @JeradiMaulidi
    @JeradiMaulidi 8 วันที่ผ่านมา +1

    Uyoyuposawa mbona tunatokanakilakitu alichokosea kutamka azalan

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 8 วันที่ผ่านมา

    CHALAMILA ANAONGEAGA UKWELI ACHENI SIASA KATIKA AFYA NA AMETOA MIFANO MINGI MIZURI MTU ANAFANYA SHEREHE YA KUZALIWA MTOTO ANASAHAU KUWEKA PESA YA KUJIFINGULIA SIMPENDI CHALAMILA NAMPENDA MANENO YAKE HAMKENI ACHA MAMBONYA KATIBA MAMBO MANGAPI HAMFUATILII JE KAMA VIFAA HAVIPO ACHA UJINGA

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 8 วันที่ผ่านมา

    Yaan huyu alistaili kufukuzwa kabisa kwenye ukuu wa mkoa kwa sababu yy ni kiongozi wa umma na yupo pale kwa ajili ya watu si vinginevyo

  • @abdallahsalim4906
    @abdallahsalim4906 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ila wanawake akiwa mwanaume hamna haya mamb ni chochote kikukute

  • @DAUDWilliam-n4v
    @DAUDWilliam-n4v 8 วันที่ผ่านมา

    Achukuliwe hatua kali za kisheria hata kufukuzwa inauma sana

  • @anicetnhegetela
    @anicetnhegetela 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi huyo bwana alirejeshwa ofisini kwa vigezo gani , maana kila wakati anakashifu wananchi, ana sifa za ziada tusizozifahamu? kwani ccm haina watu wazuri???

  • @GreyMbogela
    @GreyMbogela 7 วันที่ผ่านมา

    Hajaanzia hapo mbeya alitoa kauli tata kwa mabosi kuwa wauze mabas wannue Bajaj kweny mgomo wa mabasi badala yake wakampeleka mwanza sas mwanza,akalime tu maana uongoz hawezi

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 8 วันที่ผ่านมา

    Mbona huduma zinalipiwa zote, hayo ni Mambo ya siasa tu

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyooo Chalamila afukuzwee kazi hafaii kauli yake ni kama hajazaliwa na Mwanamke ...Nashangaa mnoo Rais samia anamlinda hafai kana kwamba ccm haina wanachama wa maana. VIONGOZI WA DINI NCHINI TUNATAKA AOMBE RADHI HARAKA VINGINEVYO !!@???

  • @JeremiahKaliwa-h1w
    @JeremiahKaliwa-h1w 8 วันที่ผ่านมา

    Hana maadili licha ya kuwa na misimamo kunamameno au kauli ambazo ni rafiki ila nilivyomuona anafanya kaz kwa mazoea.

  • @DanielM.Lemboto
    @DanielM.Lemboto 8 วันที่ผ่านมา

    Hata Mimi nilifedheeka sana na kuskitika maana mtu aliyeenda jando na kuzaliwa na mam awezi kusema ilo jambo kwa jamii hasa ukizingatia kulikuwepo hata watoto unamwambia akafanyiwe operation na mume wake ujui kufa kwa mtu mmoja ni pigo kwa taifa yupo MUNGU hawa viongo Kuna sku watajua tu yupo MUNGU. Na watoto wao watakuja teseka sana

  • @HarunakiongoziMohamed
    @HarunakiongoziMohamed 8 วันที่ผ่านมา

    Wananchi wa nchi hii wanamatatizo,sasa hiyo ndiyo ishikiliwe,wafu wa nchi hii ni shida

  • @ibrahimismail8239
    @ibrahimismail8239 8 วันที่ผ่านมา

    Nipo..apa..ilo..litapita..ataambiwa..chochote..wala..viongozi..kuliongelea

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 8 วันที่ผ่านมา

    Wewe dada unaotakiwa ukamatwe uwekwe ndani kwa kuvumisha majungu.

  • @leomika8473
    @leomika8473 8 วันที่ผ่านมา

    Kuna watu wanarewa madaraka wanasaau kuwa walizaliwa

  • @HarunaKonyy
    @HarunaKonyy 8 วันที่ผ่านมา

    Mapombe Tu kama akili haichom unashindwa kutumia hekim nabusara

  • @MerichoPeter
    @MerichoPeter 8 วันที่ผ่านมา

    Hivi Mama yake angekuwa alifanyiwa hivo anavozaliwa kama alivosema angekuwepo

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 8 วันที่ผ่านมา

    Hili taifa linasikitisha sana tuna wasomi wengi sana unaenda kumpa mtu ukuu wa mkoa ambaye Hana akili timamu?

  • @JoyceKisenga-mq8tt
    @JoyceKisenga-mq8tt 8 วันที่ผ่านมา

    Nahisi huyo kazi yake kubwa ni kutoa maneno ya kukatisha tamaa hana utu

  • @IdrisaAbdiNkupe
    @IdrisaAbdiNkupe 8 วันที่ผ่านมา

    Paoul Makonda amepamba ia san wakina mama w Dar imiwo kupata hospital maalum ya wakina mama kule Chanika

  • @abelmakalwe
    @abelmakalwe 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu hapaswi kuwa kiongozi jamani.

  • @joycebayo8106
    @joycebayo8106 8 วันที่ผ่านมา

    Hata mie nimesikitishwa san

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 7 วันที่ผ่านมา

    Tushamchoka uyi naye mlopokaji sana

  • @keisherkeenomargwazzomilli8070
    @keisherkeenomargwazzomilli8070 8 วันที่ผ่านมา

    Watanzania sisi, yaani hotuba imejitosheleza tena ni yakiswahili safi kabisa lakini tunaitafutia trend kwa kuipa kasoro.

  • @IdrisaAbdiNkupe
    @IdrisaAbdiNkupe 8 วันที่ผ่านมา

    Kwa maana mama mjamzito kama hana hela hahudumiwi!?

  • @OLENIMWAKALEBELA
    @OLENIMWAKALEBELA 7 วันที่ผ่านมา

    Uyo akuagi sikuzit wakati yupo mbeya napo alikuwa nakauli chafu ivyo ivyo

  • @RICHARDMADEBE
    @RICHARDMADEBE 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu RC anavuta mabange toene jinga Hilo mbona wasomi wapo wengi tu

  • @Joseph-l9r2l
    @Joseph-l9r2l 7 วันที่ผ่านมา

    Mbona private kila kitu wanatoa leo kituo kikose tu kwa muda uambiwe kanunue uanze malalamiko lakin stareh unatoa acheni mambo ya ajabu nchi hii ni yetu wote watanzania wote tunalojukum la kusaidiana na sio kuiachia serikali

    • @hassanchiwambo687
      @hassanchiwambo687 7 วันที่ผ่านมา

      Na USAID imesitisha madawa ya bure ya ARV, TB na mengine sasa tuendelee kuzoea vya bule hivyohivyo tutamlaumu mpaka raisi Samia. Kikubwa tujipange na matibabu ya gharama.

  • @MahanjiSanga
    @MahanjiSanga 8 วันที่ผ่านมา

    Amejisahau Sana .hekima hana

  • @FarajaThomas-o4i
    @FarajaThomas-o4i 7 วันที่ผ่านมา

    Fukuzeni akina cha msamaha

  • @TimbuloSangoma
    @TimbuloSangoma 8 วันที่ผ่านมา

    Dar mwenzenu gadafi mwanamke akijifungua enzi za uhai wake bule na anapewa pesa haya tanzania vipi

  • @DanielJackobo-re6vl
    @DanielJackobo-re6vl 8 วันที่ผ่านมา

    Hawa viongozi wanamna hii ndiyo wanamwangusga mama samia

  • @zeranchimbi2808
    @zeranchimbi2808 8 วันที่ผ่านมา

    Siasa shikamooo

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu afai kua kiongozi awajajibishwe

  • @geraldabel8784
    @geraldabel8784 8 วันที่ผ่านมา

    boss wake mwenyewe ni mama halafu anadharau wamama

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 วันที่ผ่านมา

    Nikweli siomala yake ya kwanza hilo lininajulikana sana