DENIS MPAGAZE-USIKUBALI KUPITWA/KAMATA LINALOKUHUSU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2021
- #Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 755 450 225
+255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
#danielmgogo,
#pastormgogo,#Mahubiriyadanielmgogo#MchungajiMgogo#DenisMpagaze#AnaniasEdgar#MzeewaKujilipua#Mahubiri#NenolaMungu
Sijui nifanye nini haya masomo nafikiria haya masomo yawe kwenye radio na tv zote za afrika ndiyo kila mtu ayasikie ju ndiyo yanayowaumiza waafrika wote ni ombi langu mm .
Kaka mimi nakuelewasana mungu akulindesana endeleya kutufunda
So interesting kabisaaaa ujumbe nzuri
O melhor filósofo de todos os tempos 😇. Hongera mzee
Upo vizuri brother, hongera sana.
Nakupenda sana we baba mtu vitabo kutokea Brundi 🇧🇮🇧🇮
Asante sana kwa somo
Nashukuru san kak mung azid kukupa baraka tereeee
Asante sana ujumbe mzito ninakufuatilia kila siku asubuhi umenifanya sana kimaarifa
Ongella sana kaka
Voice imejaa imetulia nice nice
Somo zuri sana.254😍
Asante sana kwa mafundisho
Ninakufata sana
Ile tafakuli baada ya habari ibadirishwe ziwekwe simliz hizi
Ongera bro
Ki ukweli kaka umenifumbua macho pale nilipokuwa nimefumbwa ujumbe wako kwa mtu mjinga atahuona wa kazi gani lakin kwa mtu anae jielewa na kujitambua atahuona uthaman wa Hii thimlizi
Nikweli kama kunasiku nimependa maneno yako Leo ni mefurah San kbs yani
Ujumbe mzuri sana,well done ✅
Voce e bom informador
Utumwa wa kidini umeshamiri
Kabisa
Goooooooooooooooooooooood
Kama mtu anakufelisha huku anaona anakufelisha kimaendeleo
Nakuelewa sana na nilichelewa sana kukuelewa nahitaji vitabu je nitavipata vip
Aksanti
U are the best brother....just continue
Safi sana brother angu kwa somo tamu
Asante sana
Ujumbe powa
Fact
Ujumbe mtamu sana.kazi nzuri sana+254
Umenena kaka
👍
Kweli Mungu kaumba watu na vipaji tofaut tofaut
🙏🙏🙏
🖤
Utumwa wa kidini!!!!!!!!!!!!
❤❤🙏🙏