Dr Ipyana Nashangazwa interlude/ Holy Spirit demand /live from the altar
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2019
- #HolySpiritdemand #NashangazwaInterlude #DrIpyana
In the process of live recording on song number 5 Holy Spirit insisted to go back to song number 4 on Ibada live cd and when we obeyed these were results - เพลง
Niliwahi kuwa kwenye ibada Kama hii na Boaz danken , sikuwahi kujazwa na roho mtakatifu lakini siku hiyo nilijazwa , broo ipyana na Boaz danken ndio wanaomwimbia mungu katika roho na kweli
Ndizo ibada tunazozitaka sasa kama kanisa. No maigizo, no show time, no fake life. We need JESUS in our lives.....
I am speechless on how God used this man of God in this Worship. To God be The Glory.
I was at home cooking,I just found myself on my knees and praying deeply
True worship, I feel and experience the presence of Holyspirit through watching ...Be blessed much Dr ipyana.
Who else Goes into a deeper realm after listening to these songs? Spirit filled
Im totally in..
Yes this js really the day that GOD him self pours his SPIRIT to his son and daughters
Downloaldes
Mambo
Powerful.. Jamani...
SAA yaja nayo ndiyo sasa waabuduo halisi watamuabudu Baba katika Roho na kweli..
You're blessed Dr Ipyana
Powerful
Nikweli kabisa. JUDITH MBILINYI
Ee Yesu uzidi kuwavuta watu kwako ili wauone uzuri maana ww n mzuri Kristu #uzidi kumpa neema yako dr ipyana🙏
What a powerfull service....the holy spirit was absolutely there.....i pray to God to have session with holy spirit like this.....#@dr_ipyana...my role model............
Ani mi ndo rington yangu nashangazwa na pendo lako kuna Roho mtakatifu mkubwa Mungu Mungu
Nahitaji neema yako tuuu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Maaana sijawahi weza
Sitawahi wezaaaaaaaaaaaa😢😢😢😢ipo nguvu kubwa katika huu wimbo maaana inanipeleka ulimwengu mwingine kabisa Mungu anasema nami
Yes Leo sitoki hapa bila wewe na uso wako uende nami.....😢😢😢😢
K kkkop
Jamani Jamani,Mungu Naiomba Neema Yako..It's Real even Now hapa nilipo.We Give God Glory For the Hearts He has Just given Us.Without Him it's Impossible.
Huu ndio uimbaji ninao utaka, hongera sana . Dr. Ipyana. , Mungu aendeleee kukutumia sana na kukupa moyo wa kushuka mbele zake. Nice
Nashindwa kusema Jambo,moyo wangu unabubujika machozi napo tazama hii ibada, it's all about Jesus, glory be Jesus
Unaona jinsi uwepo ulivyosimama jamani mm napenda ibaya ya kuimba kuliko ibada nyingine yeyote
thanks alot for this song it has helped get back my grip its all about finding this Christ not my needs.... am in tears
Nimehudumiwa sana...Mungu akubariki sana kaka
Deepest form of worship is right here🙌🙌🙌.. God bless you Man of God..
🙌🙌🙌🙌🙌🙌 May God receive his glory, be blessed Dr ipyana kibona, continue to keep the anointing of God, God will put you in your place.
😭😭😭hakika sijawahi weza bila YESU 🙏🙏YESU kwa huruma yako BABA 👏👏👏hii Ndio IBADA halisi hakika Dr Ipyana uzidi kuinuliwa
NIMEKUTANA NA IBADA KAMILI....💪💪💪💪
Nabarikiwa na zaidi ya kubarikiwa kupitia IBADA!God bless Dr.Ipyana
Its amaizing How the Lord is using you sir..Your ministry is like wellsprings of water.
Dr.Ipyana as I was praying ,I saw you in a vision,you were sitted at the highest level of astair,but you looked un happy,you had supported your chin with too hands,TRUST in the LORD
The oil is pressed from the seed, Power is realised through crushing and pressing ,Gold is purified through fire,Stand still man of God,Soon you are coming out ,Let the oil of worship flow ,
Hallelujah 🙌
Wow wow wow what an incredible manifestation of the Holy Spirit. Asamte mtumishi kwa Ibada 🙏🏾🙏🏾🙌🏾 Mungu azidi kuinua na kubariki huduma yako
Nakupenda sana brother, mungu aendelee kukutumia makongoro ni baba yangu,napenda sana kufanya live concert ila kipato kipo chini naamini mda sio mrefu Mungu atanifakusha wewe ndio utakuwa mtu wa kwanza kukupa mwaliko.
This takes me back to "Ibada In The City" in Kilimanjaro few months ago. Be blessed richly man of God. You are a blessing to many
Yes this is how really worship is!!! God be with you forever, coz in worship their is healing & delivery
TUNAMTUKUZA MUNGU KWA HUU UTUKUFU MKUBWA.IBADA ITADUMU NA KUENDELEA KUISHI VIZAZI NA VIZAZI.
In His presence is the most beautiful place I will ever be. God bless you Dr Ipyana.
Lord 🙌without You,without Your Presence am not Going..
Nimekataa kwenda bila wewe🙌🙏🙏🙏
Oooh lord Pokea Ibada hii iwe manukato mbele zako Mfalme
A man of God Dr. Ipyana may the altar of God flow over all of the way that your moving on......and may the presence of God go high and the glories of God come down.......
Let the power of God take control over you forever bro. I love you for your humble. Thanks God for meeting you brother.......my time to Ibada grand is coming too. Ibada its more than a Prayer, Praise, Glories and Worship to our Lord God.
Ibada in the City.....Minister Dickson Eremiah....the time will might tell.
So powerful ipyana Wacha Mungu abariki kazi ambayo unafanya
Still here even now - Sitaki na sitamani kuweza bila wewe, nimeamua kukufuata tuu wewe Yesu 🙌🙌
Nabubujikwa nasikia nguvu ya Bwana ikiwa juu yangu imenifunika
Today as I was worshipping through this song, I was taken into deeper presence of God with endless prayers. Thanks alot Holly Spirit, I have managed to release alot of matters that had been under demonic risk. God bless you Dr.Ipyana.
God bless you Dr Ipyana For this song
All the honour and Glory belongs to you Holy Spirit
Duuuh 🙌🙌🙌Kaka Ipyana ...am speechless God bless you brother
God bless you Man of God for being obedient to the HolySpirit more Grace upon you 'n ur ministry
Two years down the Line and i am very much blessed and touched, and i can feel the Holys Spirit so fresh
This song is so so powerful.... full of anointing of God. God bless you.
This was So Powerful. Holy Spirit moved Mightily. God Bless You Daktari.
Mungu unatisha kama nini 🙌🙌😭😭😭..!!
GOD WORKS IN MYSTERIOUS WAYS...ALL WE NEED TO DO IS TO TOTALLY SURRENDER,OBEY HIM AND FOLLOW HIS WAYS BY PRACTICING THEM WHEREVER WE ARE AT ANY GIVEN TIME.THANK YOU SO MUCH DR.IPYANA AND THE CREW INCLUDING THE CONGREGATION FOR THIS POWERFUL MINISTRATION.YOU ARE BLESSED AND FAVOURED FOREVER AND EVER AMEN.
I love you for free my brother, from kilimanjaro
more than powerfulll....ntafatilia ibada clinic mpaka ikiwezekana Mungu anitumie zaidi yako
Natamani kanisa lirudishe ibada kwa Mungu
Amen amen, nimehudumiwa
Glory Yesu Asante
To God be ALL the Glory and Honor!💥💥💥
It's not live recording, its about true worship now, waoh ibada yenye manukato
Ooohh the Holy Ghost Presence is amazing.. I put this to worship in my house. God bless you MoG
Leo nimejikuta natamani kuusikia tu huu wimbo❤
God bless you and your ministry man of God...
Nabarikiiiiwa mnoooooo mnooo Yesu azidii kuinua huduma hiii Kila Mtu akabarikiwe
Hallelujah 🙌 hallelujah hallelujah 🙌🙏 thank you for the powerful ministration 🙌🙏🙌
To worship you I live
This song 🙏 your blessed sir
Mungu utabaki Kuwa Mungu
Hakuna neno umesema Hutalitekeleza
Nami naomba Baba, Enda Nami katika Maisha Haya
Waooooooh waooooooh yes lord
Mungu azidi kukuinua Dr lpyana
Its Dr ipiyana not lapiyana
Mungu azid kukuinua Dr, Mungu ameweka kitu kikubwa ndani yako
Ibada yenye kumpendeza Bwana🙌
Mungu atukuzwe kwa kipaji na karama ya uimbaji doctor
John 4:23-24
But the hour is coming, and is now here, when the true worshipers will worship the Father in spirit and truth, for the Father is seeking such people to worship him. God is spirit, and those who worship him must worship in spirit and truth.”
😍😭😭😭😭😭😭😭😭😭
This truly is a gift God given to me!
Asante Yesu...Asante roho mtakatifu....
VERY POWERFUL 🙌🏻
Mungu azidi kukubariki brother uzidi kumtumikia yeye🙏🙏🙏
Mungu akubariki Sana mutumish wa mungu kwa kanzi y'ako
Love you GOD for provide men of yours that make us feel you presence on earth . Thank you GOD.
you make cry ,may God blessing your work
powerful🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Wow, deep and powerful.
Much love from Nairobi Kenya 🇰🇪
Mungu akubariki saaaaanaaa....
Dr ipyana you are ze man of God
God bless you ,man of God,nabarikiwa na huduma iliyo ndani yako!
Powerful Powerful
Dr Ipyana Nakupenda ❤
Am here Lord ' Sijawahi weza bila wewe '
Mungu akutunze dr
Nashangazwa na pendo lako..🙌🙌🙌
Cjawah weza, ahaaaaa! Jesus!
God is real..🙌🏿
Powerful!
Poweful ......be blessed brother
Iko nguvu ndani ya Yesu
Dr. Ipyana nothing to say, be blessed!
Uwiiiiii
Hallelujah,powerful Holy Spirit filled worship.God bless you Daktari
Amen
Glory to GOD🙌🙌
Sina neno hakika YESU yupo hai
Sifa Utukufu na heshima nivyako Bwana . hallelujah
I need you Jesus 🙏
Anointed
i blessed ameeen🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Staki kushinda Bila Wewe staki kukosa upendo wako
Glory to God.
merci Docteur,nahitaji neema yako