🔥Ati nilipokuwa nimetupwa mikono iliniokota, ya mpenzi wangu mzuri ilinipiga makofi, ya wapendwa ilinisukuma mbali na ile ya jirani zangu iliniwekea sumu lakini ya Yesu ni mizuri, iliniokoa, ikanifuta mikosi, ikanitakasa, ikaninyanyua👌mikono ya Yesu ni mizuri imejaa uwezo, ina miujiza Naipenda mikono ya Mungu🤲
I think God accepted to bring rose muhando down so as she can come and pick up the growing musicians...she had reached to a point that she was unreachable😻...if rose muhando stops singing I'll stop listening to gospel...😳
Wow am here celebrating with this song for what God has done in my life after 2yrs of suffering here in Dubai bt final God ameanswear my prayer,mikono yake nimizuri sana aki.haijalishi utachukuwa mda gani bt akisema atatenda atatenda tu kuwa na subra,wacha kumuuliza maswali mengi,weka imani mbele yake na uwache atende kwa wakati wake. This song is blessing me more n I blv more blessings are coming to me this yr his going to open great doors in my life. Huu ni mwaka wangu wakupanuliwa 💃💃💃💃💃🗣🗣🗣🗣🤸♂️🤸♂️🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙇♀️🙇♀️🙇♀️
Nakupenda Sana Rose na timu yako, hakika mikono ya esu Ni minzr maana tunapitia kushindwa wanadamu hutusukumia mbali inagharimu Mungu kutuinulia watu watakaotuelewa
Finally it's here, how I looked for this song here yesterday when I saw it on TikTok. Rose Muhando is one of the most consistent gospel artist of our time. Be blessed mum.
Ayayayayayayaaa😅😅😅sisemi k2 mm hapa. Mombasa mikono ya yesu ni mizuri ni mizuri bado naomba kibali cha uchungaji nikikipata tu mpaka nikutafute uje uimbe kwa kanisa ambalo bwana yesu Anaenda kunipea hivi Karibuni Mungu akipenda hujaniangusha Ki imani tangu zama za mteule uwe macho 😅 nakupenda saana na roho yangu yote God bless you all.❤
Whenever Rose muhandos Vocals comes in, everything flows smoothly, i just love Masai music although i am a Kamba. You are going places, this is a good one👌
@@erickmeshac3135 kabisa. Ati nilipokuwa nimetupwa mikono iliniokota, ya mpenzi wangu mzuri ilimipiga makofi, ya wapendwa ilinisukuma mbali na ile ya jirani zangu iliniwekea sumu lakini ya Yesu ni mizuri, iliniokoa, ikanifuta mikosi, ikanitakasa, ikaninyanyua
Hello Aggie, Bibilia inasema katika kitabu cha Yohana 10:30 'Mimi na Baba tu Umoja' hivyo basi hakuna tofauti kati yao. Yohana 14:10 Je, huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba yangu, na Baba yangu yuko ndani yangu? Mambo ninayowaambia siyasemi kwa mamlaka yangu mwenyewe, bali yanatoka kwa Baba yangu ambaye anaishi ndani yangu, na ndiye anayetenda haya yote. 11 Niaminini ninapowaambia ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu na Baba yangu yu ndani yangu. La sivyo, niaminini kwa sababu ya haya mambo ninayotenda. He is a triune God, He just manifested through Jesus Christ in flesh for the sake of dying for our sins and now through the Holy spirit, but whether we praise Jesus Christ or the Holy Spirit, He is one God.
@Rose Muhando unatupaisha sisi Watanzania Kimataifa. Mungu akutunze na kukuinua kipenzi chetu. Tunajivunia Mungu kukuinua na kukutumia. Muinue Lydia Kwani anajitahidi Saba. Cde. Lucas Ole Ng'iria Kiongozi na Pia Muimbaji Wa Album ya Kitujurro
Actually I was in a deep sleep but this song wake me up, i just saying ni mizuri ni mizuri 👏👏👏🙏🙏🙏 Our Almighty God's hand isn't too short to save...glory to God the song vibe is on another level..
Rose muhando mzury anapenda kuungana nawatu mungu awenanyie wote
Amina mtu wa mungu
#rosemuhando nisaidie kusukuma hii injili ya bwana yesu
Wow
@@rosemuhandoofficial5676 p 💋0p0
@@rosemuhandoofficial5676 God bless you mum.yesu mbele Sisi nyuma yake.
Nimizuri❤ Kweli.
Help me share this link man of God👏
@@lydiatikani don't worry dear ni mizuriiiiiii
44444444
4
Kasolo,,,mob love ❤❤
Kwani hamjaona huyu boy anacheza vizuri... congratulations boy
Sidai kabisa
@msanii Abeid mumo 😂😂😂... hallelujah
Ameweza saaana
@@kasah4productions kabisaaaaaa
I see surely
🔥Ati nilipokuwa nimetupwa mikono iliniokota, ya mpenzi wangu mzuri ilinipiga makofi, ya wapendwa ilinisukuma mbali na ile ya jirani zangu iliniwekea sumu lakini ya Yesu ni mizuri, iliniokoa, ikanifuta mikosi, ikanitakasa, ikaninyanyua👌mikono ya Yesu ni mizuri imejaa uwezo, ina miujiza
Naipenda mikono ya Mungu🤲
Yes
Hakikaaaaa
Aamen
Mikono ya yesu hakika ni mizuri
Soon and soon Rose muhando will sing in kimaasai .
Wapi like za maasai love in collaboration with Rose muhando
Vile huu wimbo utaenda woiii😘😘😘😘💕💕💕💕🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰TikTok kujeni tunarudia kurudia mikono ya yesu ni mizuri sana
I think God accepted to bring rose muhando down so as she can come and pick up the growing musicians...she had reached to a point that she was unreachable😻...if rose muhando stops singing I'll stop listening to gospel...😳
Muhando's vibe and vocals are just of another level 💓💓Mikono ya Mungu ndio salama tu
Fanya hii pia TikTok.
Yaaani
I can't get enough with this song
@@dancanbarasa5596 nishafanya
Wow am here celebrating with this song for what God has done in my life after 2yrs of suffering here in Dubai bt final God ameanswear my prayer,mikono yake nimizuri sana aki.haijalishi utachukuwa mda gani bt akisema atatenda atatenda tu kuwa na subra,wacha kumuuliza maswali mengi,weka imani mbele yake na uwache atende kwa wakati wake.
This song is blessing me more n I blv more blessings are coming to me this yr his going to open great doors in my life.
Huu ni mwaka wangu wakupanuliwa 💃💃💃💃💃🗣🗣🗣🗣🤸♂️🤸♂️🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙇♀️🙇♀️🙇♀️
God's hand are good and we are safe on it
Please subscribe and share to many people so as to administer to their lives
Amen 🙏
@@lydiatikani keep the fire burning sister.i cant get enough of this song
It was Nice working on This
May it be a Blessing to everyone listening
Congratulations sis Naserian and our Mam Rose Muhando
Tunaisubiri ile yako na Mummy
Good job 👌👌👌
Kazi nzuri sana, blessings
Whenever Rose muhando comes in I just love it, you're a queen
Ross muhando mungu akubariki 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 kwa kushika mikono wasanii wetu
Rose deserve a distinguish service medal ..the Artist with many collabos💥💥Is no easy feat.Ni neema ya Mungu tu . Naseh , thats the way to Go. 👍👍
Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Mikono ya Yesu Nimizuri Jameni💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Neema izidi kukubeba kwa jina la yesu
Mungu wetu ni mzuri kwa watoto wake nakungana na wewe
Ni kweli
Rose muhando ni moto the hand of the lord has got numerous blessing pongezi naserian
Am so blessed by this song 🙏🙏God is great in everything mikono yake ni mizuri sana
Waapi likes za Simba wa Muziki.
The beats,🥰🥰💯💯💯
Nakupenda Sana Rose na timu yako, hakika mikono ya esu Ni minzr maana tunapitia kushindwa wanadamu hutusukumia mbali inagharimu Mungu kutuinulia watu watakaotuelewa
Finally it's here, how I looked for this song here yesterday when I saw it on TikTok. Rose Muhando is one of the most consistent gospel artist of our time. Be blessed mum.
And her love for God is just on another level. This is what makes me love her ministry each day
Kumbe tuko wengi am happy. May she be blessed na Aishi miaka mingi
True
This is amazing.. Have watched it a million times
Amen God bless her❤
The best combination best ever.
Hapa kila kitu kizuri kuanzia sauti ya watu, gitaa, na mavazi hayo kwakweli ni mizuri sana❤❤❤ upendo mkubwa kutoka Tz
Rozi MUNGU WAMBINGUNI AKUBARIKI nyimbo umeibeba naumeifanyia haki kama yako mmefanya vizuri Sana nyimbo inafariji ajabu❤❤❤
Ayayayayayayaaa😅😅😅sisemi k2 mm hapa. Mombasa mikono ya yesu ni mizuri ni mizuri bado naomba kibali cha uchungaji nikikipata tu mpaka nikutafute uje uimbe kwa kanisa ambalo bwana yesu Anaenda kunipea hivi Karibuni Mungu akipenda hujaniangusha Ki imani tangu zama za mteule uwe macho 😅 nakupenda saana na roho yangu yote God bless you all.❤
Woow. Nimizuri jamani mikono ya Yesu inabariki
Pongezi kwake Rose hakika unajuwa vyema mungu akubariki uzidi kueneza nyimbo za kumtukuza.
If singing excellent is a direct ticket to heaven then Rose Muhando God has ur name in the book of eternal life ❤❤❤
Nice song Lydia
Nawaza siku Mungu akikunyakua Rose,nani ataziba pengo lako
Mama Rose siku zote unabariki moyo wangu Sana ninapo kusikiza kweli mikono ya MUNGU ni mizuri weeeed hapo sawa. Songa mbele mama kuko sawa
If singing excellent,,,a direct ticket to heaven,,,then Rose Muhando God has ur name in the book of eternal life ❤❤❤❤❤
Wow Kwa kweri naipenda hio mikono ya yesu iliyo nitengeneza
Maadui wa Rose wakitaka kuishi waachane na yeye tu manake hawajui kuwa wanapigana na Mungu
I can’t stop listening to this song,the voice and the beats of the instruments,imeenda mahala pake!congratulations,keep praising the living God 🙏🙏
🙏🙏
Wow what a nice song 🔥 hakika mikono ya Mungu ni mizuri 🥳
Ni kweli mikono ya yesu nimizuri❤❤God bless you all
Whenever Rose muhandos Vocals comes in, everything flows smoothly, i just love Masai music although i am a Kamba. You are going places, this is a good one👌
Lydia to another level the grace is sufficient ....
All the way from tiktok,is he victor of Maria ama,a blessing one
Hi Lydia. I love your song. It's a big jam. Mikono ya Yesu kweli ni mizuri🙏
It's a nice song 💕🥰
@@erickmeshac3135 kabisa. Ati nilipokuwa nimetupwa mikono iliniokota, ya mpenzi wangu mzuri ilimipiga makofi, ya wapendwa ilinisukuma mbali na ile ya jirani zangu iliniwekea sumu lakini ya Yesu ni mizuri, iliniokoa, ikanifuta mikosi, ikanitakasa, ikaninyanyua
@@michaelmbui8226 Yani yeye Bora umpe mada nzuri tu,anaifanyia kazi kweli kweli,Hadi inakubalika kwa hakika kabisa
@@erickmeshac3135 yes.
Mpeni maua yake Rose ,mikono ya Yesu kweli ni mizuri
Amen 🙏🙏🙏 kama si mikono ya yesu adui zetu wangefurahia juu yetu lakini ya baba n baraka tele
The melody, rhythm,peace and healing vibes in this song..I love it🥰🥰
Oh hallelujah kwa yesu mikono ya yesu niizuri mnoo
This song ,it's has blessed me ,kweli mikono ya yesu iliniokota nilipotupwa na mikono ya maadui wangu ,najivunia mikono ya yesu nimizuri
Supa ,,,sindai,,,,Ni mizuri ata Mimi naona Kwa upande wangu Ni mizuri ,,,,
Tunafaa kumsifu yesu ama Mungu mwenyewe mimi ni Christian lkn hapo pa kusifu yesu sijawai kubaliana
Hello Aggie, Bibilia inasema katika kitabu cha Yohana 10:30 'Mimi na Baba tu Umoja' hivyo basi hakuna tofauti kati yao. Yohana 14:10 Je, huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba yangu, na Baba yangu yuko ndani yangu? Mambo ninayowaambia siyasemi kwa mamlaka yangu mwenyewe, bali yanatoka kwa Baba yangu ambaye anaishi ndani yangu, na ndiye anayetenda haya yote. 11 Niaminini ninapowaambia ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu na Baba yangu yu ndani yangu. La sivyo, niaminini kwa sababu ya haya mambo ninayotenda. He is a triune God, He just manifested through Jesus Christ in flesh for the sake of dying for our sins and now through the Holy spirit, but whether we praise Jesus Christ or the Holy Spirit, He is one God.
Maa nation meets Tanzania songbird beautiful and hit songs bells out 🇰🇪🇹🇿
Ni mizuri mikono ya Yesu.... The song is 🔥🔥. Am blessed
Nice song🔥nataka mikono ya yesu inishike
@Rose Muhando unatupaisha sisi Watanzania Kimataifa. Mungu akutunze na kukuinua kipenzi chetu. Tunajivunia Mungu kukuinua na kukutumia. Muinue Lydia Kwani anajitahidi Saba. Cde. Lucas Ole Ng'iria Kiongozi na Pia Muimbaji Wa Album ya Kitujurro
Weeeeh huu wimbo ni wakimataifa mikono ya yesu ni muzuri kazi nzuri Rose muhando
This is taking gospel to another level. Ameeen oh Ameen
Big up our daughters and the lagendary Rose Muhando for the good job 👍 God bless you all
Kazi nzuri.
Ongereni sana wetu wa Mungu.
Hakika nimizu.🙏
The chemistry, everything in this song is excellent. I am so happy for you
One of my Best song kweli mikono ya Yesu ni mizuri nikiwa mikononi mwake nko salama
Mizuri ya Yesu💕❤️💃🏼
This song is a blessing, the message is powerful, nothing beats the power of the great hands of God.
Mikono ya Yesu ni mizuri asante sana Watumishi wa Bwana wimbo mzuri sana nimebarikiwa sana ❤
Lydia more grace mummy ! Divine speed 🙏
I'm inlove with your song guys,can't get enough of it🎶🎤 🥰💖keep praising God Rose and Lydia🙏
Rose muhando have got energy 🥰😁👌 I love this song keep it my people 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Anywhere rose is the song becomes a hit much love to rose from diaspora
Nice song nataka mkino ya yesu aki inishike
Rose ni mama ya watu,pongezi sana mum ,una promote wanamuziki wengi
Hiyo song ina ujumbe mzuri sana , hongera Sana nganashe 🙏
Actually I was in a deep sleep but this song wake me up, i just saying ni mizuri ni mizuri 👏👏👏🙏🙏🙏 Our Almighty God's hand isn't too short to save...glory to God the song vibe is on another level..
Cant stop listening to the song indeed the hand of God is God
Be blessed woman of God
Sina mengi Leo ila mungu to awabariki wote director na kasa 4 mko in another level 🔥
Our maa land is still shining Go go Nase...burning fire 🔥🔥🔥
Mikono ya Yesu ni mizuri,ni mizuri kabisa!!🥳🥳🔥🔥🔥Mahali palipo Rose muhando uuiii sisemi kitu 🔥🔥🔥💪
Mikono ya Yesu ni Mizuri Daima...God bless you Naserian and Rose muhando..we love your work ❤️ 💖 💕
Yesu ni mzuri tupo salama mikononi mwake🥺🙏 I'm blessed Yesu azidi kuwatia nguvu🙏🥰🥰
Ni mizuri.....you never disappoint mama Africa. ❤️ love it
Mikono ya yesu ni mizuri imejawa ueza
Amen haki Rose namimi pia uje tufanye kolabo uni boost jameni
Great composition with ROSE MUHANDO 🔥🔥🔥🔥 keep firing Lydia
This is a very melodious hymn...so sweet to the ears healing to the soul, good job
Nzuri Sana Lydia keep it up mungu yupo kukutia nguvu
Mikono yako yesu ni mizuri ❤
Ongeza kasi ya kutunga na kuimba na kutuwekea youtube uko vizuri sana mrumishi Lydia
Nilikataliwa na kila mtu hii duniani but mungu alinishika mungu
I'm blessed through this song 🙏 I can't get used of this gospel .
Mama rose muhando may God bless you mum and your family .Amen
Nilikuwa kwa injili yoo mikono ya yesu vraiment vraiment nimchunganji rose burundi tume barikiwa wa Rose wote wahooo
Woow,,nice song it blessed me, mungu na hawakimuu
Napenda kupiga,kusikiliza wimbo huu mi❤❤❤❤❤
Trully mama rose your songs are of high level,I can't stop listening to this song, keep it up 👍🙏
Your songs are of high level mama rose, keep it up mummy, you are a blessing to us
Mara ya kwanza naupata huu wimbo niliusikia siku mzima kifupi nimeupenda sana ❤❤❤
She always sings from the heart @Rose muhando, powerful messages ❤
This one is super 💕🔥🔥, ROSE MUHANDO the Queen's vocals 🔥🔥🔥
Rose 🌹 u r a blessing to my life keep going mum .May God's favor continue locating you wherever you go
Mama Rose mungu akubariki kwa kazi njema pamoja na mwezako
Hongera dada yangu mtumishi dhahabu safi kupitishwa kwenye tanuru ndio nyumbani bwana yesu akutendee mema
Njoo kimayani engai to singoryo sidai💚❤️💚💚🙏
We love you Rose Muhando from Rwanda
Thank you my friend, urakoze cyane
Great Music Naserian. The song already hitting in Narok.
Ngoma Legit.
Moto saaana 🎉