Yaani kama unamsikiliza kwa makini yule utagundua muhammad bachu .amemzidi yule alietoa audio yaani anrangi ya chuki ilokoza. Hii ni khatar kama MAWAHABI MNAFUNDISHWA BIDAA ZAID KULIKO DINI YENU hakika mtaendelea kuwa na fahamu ndogo mpaka Allah atake yeye kuwaongoza.Allah atongoze kwe sawasawa. AMIN
Ni NANI WALIWAPA KIBALI CHA KUJITANGAZIA WAO NI WATU WA SUNNA??? MAWAHABI UKIWASIKILIZA WAWEZA KIGUNDUA hata MTUME HAWAMJUI VIZURI AMA HAWAMPI HAKI YAKE YA UTAMBULISHO....ZAID WENGINE MPAKA DHARAU KWA MAONGEZI YAO. MMOJA ALIWAHI KUSEMA MTUME ALIONEKANWA ALIKOJOA KASIMAMA
😭😭, Mim nasema wenda wanaosema wanajiona wako sahihi, na kila anayepinga anajiona yuko sahihi, na wote tuliobaki dunian bado tuna tofauti zetu, lakn si kila cha kuzungumzwa kinafaa kuzunguzwa, Kwasababu utakapozungumza athar zake ni kubwa sana unajenga nin katika jamii ya kiislamu sisi sote ni Laa ila ilallah Muhammad rasuul llah,tutajenga chuki, tutaelekea had kutosaidiana, kutozikana na mengine WAISLAMU TUWE MAKINI SANA, kama mtu ana lake jambo bas afanye kimya asema alhamdulillah kimya kmya.,ila hadharani mnajenga chuki, mnagawa umma, Masiala ya maulid, au mwezi au chochote katika utofauti wetu ni masuala ya mtu binafsi ni sawa na anaefanya makosa mengine je huyu atatengwa la bali ataendelea kuwa muislamu tu hayo mengine ni makosa yake atajua na mola wake. NAOMBA SANA, TUNAHARIBU SIFA YETU WAISLAMU.
Hii ndio sura sahihi za mawahabi Wala siwaiti salafi Kwa sababu hadithi Iko mtume Muhammad Aleihi swalatu Alisikita kuona jeneza la yahudi sembuse muislam mwenzako Ambae mumekhitilifiana Na Hawa mawahabi wa sasa Adabu hawana na somo la Adabu kwao hakuna tulikua Na wanvyoni wakubwa huku kwetu Kenya mola Awarehemu , katika uhai wao walikhtalifiana Kwa maswala Fulani Na Kila mmoja Akawa Na msimamo wake lakini waiheshimiana Na kusomeshana Na kutembeleana Na kuombeana Dua njema unakuta Kila mmoja Anataka kujua kitu Kwa mwenziwe mfano huyo sheikh wa kwanza hajui masail fulani hurudi Kwa mwenziwe Amfundishe Na kupiga goti Na kusoma Hilo somo halafu inafika🎉 zamu Ya yule mwengine pia Ana piga goti Na kusoma yaani wakisomeshana Wala hakuna mmoja wao Atamuita mwenziwe majina yaso mridhisha mwenziwe Ama hawa sasa Adabu hawana
Weweee. Mtu mmoja tena salfi kutamk tamko baya ndio mtukane Ansar wote? Hao mawahabi unaowachukia vitabu vyao vote ni kufuata Quraan na Sunna. Tatizo lako nini sasa. Sometimes vitabu vyao acheni kupotoshwa na bakwata
@@Fatma-up9qs Sio mtu moja usitubebe ufala. Alisema wazi kuwa hiyo ndio mahaj ya salafy, ndio msiamamo wenu. Hata Bachu kaongzea hilo sisipokuwa kwa hekima lakini anaishia hapo hapo..... usitubebe ufala
Mtihani walimu wetu hawa.Waislamu tumefikishwa hapa tuwe tunaombeana tufe ili tufurahi hata kama mwenzako kasaidia sana kuufundisha Uislamu sababu tu mnatafautiana ktk baadhi ya mas-ala machache na yale ya msingi hamtafautiani.Kwa namna hii Uislamu utaonekana ni dini ya mizozo,kusutana,kukejeliana na hata kuombeana vifo ili watu wafurahi.Tumuombe Allah atunusuru.
Kwa mujibu ya maelezo yko shkh kumbe yuko sahihi alie furahia mukadai analingania baatwil ,subhanallah tumefikia huko waislam kwa hakika qiama hakiko mbali
Kaka muelewe vizuri yafaa kushukuru lakini sio kwa mazingira yale alioshukuru yule ndugu yetu na ndio mana yeye mwenyewe alijiona kakosea akaomba radhi kwa jamii
Ukiweka akili yako huru Bachu Yuko sahihi ila ukiskiliza kwa hisia huwezi muelewa.... Kwani ata akifa sheikh la shia kimoyomoyo watu hatushukuru?...tutashkuru kwasababu juhudi zake kueneza ushia zitakwisha ila tutakua kwasababu roho moja ya umat Muhammad salallahu alayhi wasalam imekufa ktk ushia.... Almuhimu kuombea Rehman Abuu iddi ila alipuyanga sana ktk daawah yake na Allah alimpa ufasaha Sana mashallah....Allah amsamehe, amrehemu pia amiin
Mohamed bachu rudi kwa mungu wewe kwenye mazishi ya baba yako mligombana azikwe wapi mara hapa msikitini sioni ajabu kumsema sheikh wewe jiangalie sana
Kuna shekhe Alisema ni vyema Ahlu sunna kuungana na Answaru sunna.Hadharani bila haya.Sijui leo Atawaambia watu nini Nae ni ghurafi kwa mtazamo wa mawahabi Akifa watu waseme Alhamdulilah
Muislamu wa kweli hasaa basi hawezi kumchukia muislamu mwenzake hata siku mojaa ety kwa kuwa anamtazamo tofauti na wake ! Ila cha kusikitisha hawa masalafi wao tu ndo wanajiona wameongokaa walobakia wote wamepoteaa ndio maana kila majina mabayaa huwapa waislamu wenzao na wao hujiita majina mazurii 😢 mimi nitakuwa shahidi mbele ya Allah s.w kwa munayoyatenda 😢 tokea muzuke nyinyi dini leo inachezewaa vuruguu na chukii na ubaguzi umejaaa baina ya waislamu halafu munajifanya watu wa sunna ! 😂 Je mtu wa sunna kweli anaweza kumchukia muislamu mwenzake ? Je mtu wa sunna kweli anaweza kumbagua muislamu mwenzake ? Je mtu wa sunna kweli anaweza akagombanisha familia za watu ?? Leo yote haya tunayaona na tunayashuhudia jinsi gani hawa masalafi feki walivyowagombanisha waislamu 😢utakuta kwenye nyumba moja watu hawasemeshani kwa kuwa wanamitizamo tofauti 😢😢 nyinyi ni wanaafiq hamuna sunna moja mulizo nazo 😢
Assalam aleykm warhmatulah wabarakatuh tusinde kumkufuru Allah aiseee mashekh wetu tunawapenda sana naheshima kubwa tunawapa kila leo Allah awape subra kila jambo inshallah
WE BACHU UMEONGEA KWELI WALLAHI HATA WE UKIFA NITASEMA ALAHAMDULILAHI KWA MOYO MOYO SIO KWA UBAYA ILI MUNGU ATUEPUSHE NA MILANGO YAKO NA MIJASIMA NA ULOKOLE NA SHARI ZENU
Kweli duniani kuna mashehe na mashehena na kuna waumini na wauminati ALLAH atuhifadhi na hawa masalafi wamezuka kama miaka 30 tu iliopita na imetengenezwa na wazungu
Muhammad Bachu umeuliza suali umeanza kukoroga mambo na wala hueleweki wasema nini tena wewe una chuki kubwa sana katika maneno yako wasema jikhurafi amekufa hakutubiya je wahisabu watu wa twariqa au ma Sufi sote sisi ni wa motoni au vipi maana wewe umemuhujumiya zaidi Sheikhe wetu walakin Allah akuhidi akuondoshe huo ujinga na chuki ulizo nazo
Mimi nilijua muhammad bachu lazima azungumze. Ametegwa na waulizaji kisha akaingia kwenye mtego. Kila mmoja ataulizwa ameutumia vp ujana wake Allah amsameh kila muislam alitamka shahada .na kutangulia mbele ya haqqi. HII NI CHUKI YA WAZI KABISA BAINA YA WAISLAM.
Toka jaahili we, kunawatu wanachuki mbaya dhidi ya watu wa haki kuliko nyinyi masufi,ss tunasema allaah amsamehe abu iddi lakini tumefurahi kuondoka mMoja Kati y watu wa bida_a
Waislamu Chuki zimejaa kati yetu,ni Jambo la kulizuia kwa Namna Yoyote ile. Tabasamu Sadaka. Kuingiza Furaha kwa Muislamu Mwenzio ni Bora kuliko kukesha msikitini. Vipi Leo Muislamu aonekane Adui kuliko Wasiokuwa Waislamu. Ufinyu Wa Ilmu unatutesa. Na Kama huna uhakika wa Jambo,ni Bora Kukaa Kimya Kuliko Kuleta Taharuki katika Jamii. Leo anaetaka kuingia Katika Uislamu akakuta Malumbano haya Atauchukuliaje Uislamu? Tutafakari Waislamu.
@@HassanIddy-v1bwewe mjinga kwel hemu niyajia mtu watasauf.mkubwa mmoja tu anaejibizana na bachu bachu snapewa watoto wadogo wa kisuf wacheze cheze nae na hao wanamkojoza
Na wewe huna tafauti na huyo jahili mwenzio. Maana alichokisema yeye na wewe umesema hicho hicho, umetumia njia nyengine tu ili kuwafumba macho wasioelewa lakini umeeleweka
Nilianza kwa kuchukia lakini baada ya kuskiliza kwa makini nimeona yupo sahihi kwa alichokisema...ukiumia akili kwa kuskiliza alichosema siyo kutumia hisia zako
Hyo unaemuongelea humfikii kwa elimu hata theruthi tatizo lenu la kujifunzia dini ukubwani na kuijua juu juu ndy inawapotosha nyny wavaa suruali vinjiwa
Hii darsa nzuri ila kwa upande mwingine kuna masufi hapa kijembe kimewapata na pande zote na yao mengi matusi,,,masufi someni sana na mkubali kufuata Sunnah Allah atawaongoza kwenye haki
@@yuenbiao1777 apana darsa ilikua nzuri sababu mumepewa tahadhari mjue mwishoni mnaweza feli mkidhani mko sawa then mfungiwe nje sababu ya bidaa zenu ogopeni Allah
Hakuna mkamilifu sote tumesoma kwa kupitia mashekh, hatukumuona mtume wa nabii, tabiin wala tabi tabina, anae jua zaid ni Allah cha kuomba ni mwisho mwema
Ni ujinga huo unakusumbua ndo mana utaelewa ukitaka kwa idhn ya Allah Angalia maslah ya dini kwanza ktk kila unaloongea ,, kwani hujui mtume aliwah kataz watu wasiuawe kwasbb watu watasema Muhammad anaua paka watu wake watu wakaogopa kuingia ktk dini?? Japo walifaa wauawe lkn akaangalia maslah ktk dini
Nyinyi mwahaabi una roho mpaya saana na ilimu ndogo nyiye hamna utuliifu na hishma mwahaabi waatu wa fitina mwahaabi una roho mpaya haadi unam farahia kifo cha mashekh na binadamu wanzenu
Hamja elewa bachu kazungumza katika lugha kebehi anaunga mkono alifraha kufa Kwa shekh abuu idi rahamahu lwahhh ..... Ila tukumbuke abuu idi NI Muslim kama wlivo waislam wengin na ikhtilafu haziwi Sabab yakutoeshimiana wengi hajui kuhus ikhtilafu na misimamo huwa tunageuza kua UHASMA kitu ambacho sio swa Kwa dini yetu ata mass Haba Zama za mtume Muhammad s.a.w wali ikhtilfiana na mtume Muhammad s a.w akasawzisha IKHTILFU SIO UPOTOFU NA ILMU NI BAHARI
Huyu mtoto ni ufahamu wake mdogo sana ispokua huu ni mtihani toka zama za masahaba zilikuwepo tafauti ndogondogo huyu mtoto anajiona yeye hakuna alipokosea nihatari kubwa
Elimu hii ndio kwanza inafika ila mtaelewa ikifika muda maneno ya dhahabu Sheikh bachu anaongea kama vile tulivyokua tunaswali viwanjani polisi walitupiga tukaonekana wahuni sasa viwanja vinajaa kila mji watu wameelewa somo na hili bado geni masikioni mwenu ila mtaelewa muda tu mtaelewa mtu anasema nawamuru malaika wamuombee fulani hii ni kufuru kabisa jeuri ya hali ya juu kabisa
HAYA MANENO NI SUMU MBAYA SANA NA NI MAOVU YA KITOSHA KUKUDHURU MWENYEWE DUNIANI NA KESHO AAKHERA YANI UNAROPOKA TU MTOTO MDOGO HUNA ILIMU WALA HIKMA WALA HATA UBINADAMU UMEKOSA HAYA SEMA UTAKALO FANYA UTAKALO LAKINI KUNA UKOMO WA KILA KITU ENDELEA TU NA GHAFLA ZAKO
Hata wewe niwalewale ilatu umetumia njia nyingine, ndiomana unahangaika kujibu, ilatu hujataka mujulikane kwamba umawachukia na waislamu wenzenu kiasihicho, nabado mutazidi kujianika, yani mmeonyesha ilechuki ya kindakindaki mukaiweka hadharani, halafu yule SHEKH mnamchukiasana kwasabu hamumuwezi kwa hoja ndiomana mnashukuru, Yani nisawa na mtu ambae alikuwa amekukaba koo sasa kakuachia unapata kupumua, musijitakase kiasihicho ndugu zangu, wewe unaejiona mwema huenda ukawamuovu mbele ya Allah, na yule unaemuona muovo huenda akawa mwema mbele ya Allah maana sote tunatamka shahàda, tatizolenu nyinyi ni kujiona wasafi,
Allah akusamehe bachu mtume asema usitaje maovu y maiti zenu ww hujijui uko wp
Yaani kama unamsikiliza kwa makini yule utagundua muhammad bachu .amemzidi yule alietoa audio yaani anrangi ya chuki ilokoza. Hii ni khatar kama MAWAHABI MNAFUNDISHWA BIDAA ZAID KULIKO DINI YENU hakika mtaendelea kuwa na fahamu ndogo mpaka Allah atake yeye kuwaongoza.Allah atongoze kwe sawasawa. AMIN
Ww ni Moja kati ya watu wapuuzi ..ivi hata kuoga janaba unajua ww
Ni NANI WALIWAPA KIBALI CHA KUJITANGAZIA WAO NI WATU WA SUNNA???
MAWAHABI UKIWASIKILIZA WAWEZA KIGUNDUA hata MTUME HAWAMJUI VIZURI AMA HAWAMPI HAKI YAKE YA UTAMBULISHO....ZAID WENGINE MPAKA DHARAU KWA MAONGEZI YAO.
MMOJA ALIWAHI KUSEMA MTUME ALIONEKANWA ALIKOJOA KASIMAMA
Unaonaje ukamfundisha?@@DINASSOUR
Huu ni kafiri anaozungumza.
Ina bidii tuwaangalie mawahabi kwa JICHO makini zaidi je wangekuta abuidi amepata ajali asinge msaidia
Hivi mbona kosa na mtu mmoja mnajumuisha watu wote nyie wenyewe mnachuki na ndio maana mnakuza mambo@@Kijazi1132
😭😭,
Mim nasema wenda wanaosema wanajiona wako sahihi, na kila anayepinga anajiona yuko sahihi, na wote tuliobaki dunian bado tuna tofauti zetu, lakn si kila cha kuzungumzwa kinafaa kuzunguzwa,
Kwasababu utakapozungumza athar zake ni kubwa sana unajenga nin katika jamii ya kiislamu sisi sote ni Laa ila ilallah Muhammad rasuul llah,tutajenga chuki, tutaelekea had kutosaidiana, kutozikana na mengine WAISLAMU TUWE MAKINI SANA,
kama mtu ana lake jambo bas afanye kimya asema alhamdulillah kimya kmya.,ila hadharani mnajenga chuki, mnagawa umma,
Masiala ya maulid, au mwezi au chochote katika utofauti wetu ni masuala ya mtu binafsi ni sawa na anaefanya makosa mengine je huyu atatengwa la bali ataendelea kuwa muislamu tu hayo mengine ni makosa yake atajua na mola wake.
NAOMBA SANA, TUNAHARIBU SIFA YETU WAISLAMU.
Allah awabariki wazazi wako Kwa kukuzaa uwepo wako una umuhimu Kwa jamii mashallah.
Hii ndio sura sahihi za mawahabi Wala siwaiti salafi Kwa sababu hadithi Iko mtume Muhammad Aleihi swalatu Alisikita kuona jeneza la yahudi sembuse muislam mwenzako Ambae mumekhitilifiana Na Hawa mawahabi wa sasa Adabu hawana na somo la Adabu kwao hakuna tulikua Na wanvyoni wakubwa huku kwetu Kenya mola Awarehemu , katika uhai wao walikhtalifiana Kwa maswala Fulani Na Kila mmoja Akawa Na msimamo wake lakini waiheshimiana Na kusomeshana Na kutembeleana Na kuombeana Dua njema unakuta Kila mmoja Anataka kujua kitu Kwa mwenziwe mfano huyo sheikh wa kwanza hajui masail fulani hurudi Kwa mwenziwe Amfundishe Na kupiga goti Na kusoma Hilo somo halafu inafika🎉 zamu Ya yule mwengine pia Ana piga goti Na kusoma yaani wakisomeshana Wala hakuna mmoja wao Atamuita mwenziwe majina yaso mridhisha mwenziwe Ama hawa sasa Adabu hawana
@@HemedSerious Aaamiina, Allahummaa aaamin
Hakuna tofauti kati ya alofurahia na alotoa ufafanuzi subhanallah
Subhanallah Allah aniondoshee mapenzi ya kuwapenda mawahabi tena katika moyo wangu hawa wanaroho mbaya sana
Kabisa, c watu hawa
Astakafiru
Weweee. Mtu mmoja tena salfi kutamk tamko baya ndio mtukane Ansar wote? Hao mawahabi unaowachukia vitabu vyao vote ni kufuata Quraan na Sunna. Tatizo lako nini sasa. Sometimes vitabu vyao acheni kupotoshwa na bakwata
@@Fatma-up9qs Sio mtu moja usitubebe ufala. Alisema wazi kuwa hiyo ndio mahaj ya salafy, ndio msiamamo wenu. Hata Bachu kaongzea hilo sisipokuwa kwa hekima lakini anaishia hapo hapo..... usitubebe ufala
@@Fatma-up9qssiomtu moja.kwasababu zile audio walikuwa wanazisambaza katika magroup yao ya.watsap kwshiyo huo .ndo msimomo wa mawahabi
Mawahabi bana eeeh
Mwenyezi Mungu awaongoze
Mtihani walimu wetu hawa.Waislamu tumefikishwa hapa tuwe tunaombeana tufe ili tufurahi hata kama mwenzako kasaidia sana kuufundisha Uislamu sababu tu mnatafautiana ktk baadhi ya mas-ala machache na yale ya msingi hamtafautiani.Kwa namna hii Uislamu utaonekana ni dini ya mizozo,kusutana,kukejeliana na hata kuombeana vifo ili watu wafurahi.Tumuombe Allah atunusuru.
Elimu unayo
Kwa mujibu ya maelezo yko shkh kumbe yuko sahihi alie furahia mukadai analingania baatwil ,subhanallah tumefikia huko waislam kwa hakika qiama hakiko mbali
Kweli nae anaunga mkono haswa.Mtihani walimu wetu hawa.
Kaka muelewe vizuri yafaa kushukuru lakini sio kwa mazingira yale alioshukuru yule ndugu yetu na ndio mana yeye mwenyewe alijiona kakosea akaomba radhi kwa jamii
Mkimzingatia huyu kijana mtagundua kua yeye ni zaidi ya alontukana sheikh Muhammed idd , Subhanallah 😢
Wallah yani huyu ndo kazidi kuongea utumbi
Bachu Yuko sawa,kama mnakataa hilo njooni nyny mkanushe kwa hoja sio maneno matupu
@@HassanIddy-v1bkuhudu hilo kadhihirisha chuki.zake tu hana jipya
@@maryammdoe5801 hakuna sheikh kwa dunia hii kwa ss, wote wapenda ukubwa
Kamtukana nani??
Allah akusamehe mana ni mtihani
Ukiweka akili yako huru Bachu Yuko sahihi ila ukiskiliza kwa hisia huwezi muelewa....
Kwani ata akifa sheikh la shia kimoyomoyo watu hatushukuru?...tutashkuru kwasababu juhudi zake kueneza ushia zitakwisha ila tutakua kwasababu roho moja ya umat Muhammad salallahu alayhi wasalam imekufa ktk ushia....
Almuhimu kuombea Rehman Abuu iddi ila alipuyanga sana ktk daawah yake na Allah alimpa ufasaha Sana mashallah....Allah amsamehe, amrehemu pia amiin
Wapi hadithi inasema muislam mwenzako akifa ufrahie jmn mungu ndio mjuzi wa kila k2 usimhukum m2 wakat ww hujui unapoenda .
Subhanallah astaghfirullah
Mohamed bachu rudi kwa mungu wewe kwenye mazishi ya baba yako mligombana azikwe wapi mara hapa msikitini sioni ajabu kumsema sheikh wewe jiangalie sana
Na Allah subhannahu wa taala atawadondosha mmoja mmoja ili presha za uzushi zipungue
Weee ni mpumbavu
Nyie mtaish milele
لعنة الله علىك 😂
Wazushi kwenye dini sio watu wazuri
@@Nabeel-22mzushi unsmjuwa wewe
Nyie Mtaishi Milele
Nimemuelewa shekh bachu. Kwa kufafanua vzur
Kuna shekhe Alisema ni vyema Ahlu sunna kuungana na Answaru sunna.Hadharani bila haya.Sijui leo Atawaambia watu nini Nae ni ghurafi kwa mtazamo wa mawahabi Akifa watu waseme Alhamdulilah
Mungu amuongoze mtoto wa bachu. Wanagawanya waislamu sasa na kupalilia chuki.
Elimu unayo
@@alishaffi7715 Aaamiiin
Nikweli KABISA ila inaumiza saaaaana.
Muislamu wa kweli hasaa basi hawezi kumchukia muislamu mwenzake hata siku mojaa ety kwa kuwa anamtazamo tofauti na wake ! Ila cha kusikitisha hawa masalafi wao tu ndo wanajiona wameongokaa walobakia wote wamepoteaa ndio maana kila majina mabayaa huwapa waislamu wenzao na wao hujiita majina mazurii 😢 mimi nitakuwa shahidi mbele ya Allah s.w kwa munayoyatenda 😢 tokea muzuke nyinyi dini leo inachezewaa vuruguu na chukii na ubaguzi umejaaa baina ya waislamu halafu munajifanya watu wa sunna ! 😂 Je mtu wa sunna kweli anaweza kumchukia muislamu mwenzake ? Je mtu wa sunna kweli anaweza kumbagua muislamu mwenzake ? Je mtu wa sunna kweli anaweza akagombanisha familia za watu ?? Leo yote haya tunayaona na tunayashuhudia jinsi gani hawa masalafi feki walivyowagombanisha waislamu 😢utakuta kwenye nyumba moja watu hawasemeshani kwa kuwa wanamitizamo tofauti 😢😢 nyinyi ni wanaafiq hamuna sunna moja mulizo nazo 😢
Kbs nipo na ww kbs aliokua mjuzi ni Allah wa ace hizo fitna hazing mpangilio
Shukran Shekh letu Bachu Allah akufanyie wepesi
Assalam aleykm warhmatulah wabarakatuh tusinde kumkufuru Allah aiseee mashekh wetu tunawapenda sana naheshima kubwa tunawapa kila leo Allah awape subra kila jambo inshallah
Dah yaan waislam wanashndwa kujielewakabsa ivikweli nani anauhakika naibadazake anatka ufahamuwake watuote wafahamu hivyo haiwezekn hivyo. Muhimu kujua hiidini niyamumgu nandie mjuzi bachu hiidini siyamamayako Wala babayko hishimu wazeewawenzsko pili ivoukifurahia inakuaje nawewe utakufat ushajijua utakufaje nadini imekutaka anapokufa mwezanko asiseme mabayayake nautaje memayke. Bachu muogope mungu usione xifa
Mhh ninaona hujamsikiliza vizuri
ALLAH ATAJUA VYA KUWAFANYA
Allah amsamehe kwa bidaa na kupinga sunna
Hajapinga suna.Umeongeza wewe
HURAFI
WE BACHU UMEONGEA KWELI WALLAHI HATA WE UKIFA NITASEMA ALAHAMDULILAHI KWA MOYO MOYO SIO KWA UBAYA ILI MUNGU ATUEPUSHE NA MILANGO YAKO NA MIJASIMA NA ULOKOLE NA SHARI ZENU
Unahakika bachu atakufa kabla yako
Kweli wewe nilikhurafi zezeta lenyechuki na watu wa haki
Swali zuri sana@@Salsimpleworkshop
Jazzakallahu kheiran
قال صلى الله عليه وسلم اذكروا محاسن موتاكم الله يرحم الشيخ المجاهد ابوا عيد وأدخله فسيح جنته أمين يارب 🤲 العالمين
@@mrsiridiisiridii5022 صدق رسول الله صلى الله عليه وسلم
Swadakta
Et haja tubia utazan wao ndio wenye dini dah 😢😢hatar sana kujiona Wacha Mungu na wenye elimu kila mtu.
Inasikitisha ALLAH atuongoze
JUHHAALI WAKUBWA HAWA
Umejuaje km hajatubia hv unajua baina yke na Allah wacheni kujitakasa
Mungu nie pushe na fina zaki mawahabi na fikrazao🙏
AMIN
Namiomba ALLAH aniepushe na fitna za masufi na fikra zao za kunipeleka katika moto
@@fauznuhu9981 soma, kwanini wanasema mawahabi?!!mjue shekh abdulwahab soma,,huyo shekh alipinga kujengewa makaburi na ni kitu mtume swalallahu alayh wasalaam alikataza sasa nyie jengeni makaburi na tirez
Yaani dua yako kama kwamba unasema Mungu usinipe muongozo
Sasa badala umuombe ALLAH akuongoze ktk njia ya sawa unampangia Tena pole
Ni haki wasio waislamu watu zidi mbali subunallh
Kweli duniani kuna mashehe na mashehena na kuna waumini na wauminati ALLAH atuhifadhi na hawa masalafi wamezuka kama miaka 30 tu iliopita na imetengenezwa na wazungu
I think people should read the Quran and understand it.There are many challenges facing our Ummah.
Umeongea vizuri. Kunyamaza ni nibora zaidi. Hakika wametuharibia watu wasunna .
Nampenda sana abood rogo namuomba allah ampe shahada panoja nae nawachukia wote wanao mchukia abood rogo
Rahmahullah abood rogo
Subhanallah
Nimekuwelewa mwalim
Allah ndio mjuzi wa Kila jambo
Nimeelewa
inalilah wainailaih lajiun huuni uyahudi zaahili
Muhammad Bachu umeuliza suali umeanza kukoroga mambo na wala hueleweki wasema nini tena wewe una chuki kubwa sana katika maneno yako wasema jikhurafi amekufa hakutubiya je wahisabu watu wa twariqa au ma Sufi sote sisi ni wa motoni au vipi maana wewe umemuhujumiya zaidi Sheikhe wetu walakin Allah akuhidi akuondoshe huo ujinga na chuki ulizo nazo
Namuunga mkono m,bachu
Mimi nilijua muhammad bachu lazima azungumze.
Ametegwa na waulizaji kisha akaingia kwenye mtego. Kila mmoja ataulizwa ameutumia vp ujana wake Allah amsameh kila muislam alitamka shahada .na kutangulia mbele ya haqqi.
HII NI CHUKI YA WAZI KABISA BAINA YA WAISLAM.
Wallahi ndugu yangu umenena vyema kabisa lkn kwa mawahabi ufahamu wao ni 0 kabisaaa wamejaaliwa chuki na hasadi tu
Toka jaahili we,
Toka jaahili we, kunawatu wanachuki mbaya dhidi ya watu wa haki kuliko nyinyi masufi,ss tunasema allaah amsamehe abu iddi lakini tumefurahi kuondoka mMoja Kati y watu wa bida_a
Yan hapa hakuna ilimu mawahabi n shda
Waislamu Chuki zimejaa kati yetu,ni Jambo la kulizuia kwa Namna Yoyote ile.
Tabasamu Sadaka.
Kuingiza Furaha kwa Muislamu Mwenzio ni Bora kuliko kukesha msikitini.
Vipi Leo Muislamu aonekane Adui kuliko Wasiokuwa Waislamu.
Ufinyu Wa Ilmu unatutesa.
Na Kama huna uhakika wa Jambo,ni Bora Kukaa Kimya Kuliko Kuleta Taharuki katika Jamii.
Leo anaetaka kuingia Katika Uislamu akakuta Malumbano haya Atauchukuliaje Uislamu?
Tutafakari Waislamu.
Bachu itabidi usome upya elimuyakondogosana hawa mashekhe wamaulidi katikazile nguzo zadini kunawalioivunja au mnapitiahuko kwanjaazenu bilakumuogopa Allah
Weumesoma kumpita yeye Kielem?
Kwanza na ww ni kwaelimu gn ulokua nayo? acha kujidai
Laiti nyinyi masalafi mtume angekua na tabia kma zakwenu naona huu uislam hata kutambulika kwenye hii dunia usingekuwepo
Kwanza em tutajie hiyo nguzo ya Dini iliyo vunjwa na hao watu wa Maulid
Kisha tuuone ukwel wako ewe mwenye kuzua Uongo
@@MohdJuma-w6lkwel broo mtume alkua anamkamata adui yke na maziwa anampa anywe
Duh hamna kitu humu we Bachu muhuni saana wewe Allah akuhifadhi
Allah amhidhi vipi?Amuongoze.
Angalia usife kwa presha maana m,bachu anawakosesha usingizi jaahili we
@@HassanIddy-v1bwewe mjinga kwel hemu niyajia mtu watasauf.mkubwa mmoja tu anaejibizana na bachu bachu snapewa watoto wadogo wa kisuf wacheze cheze nae na hao wanamkojoza
Inaoneka wewe umetoka mirembe hivikaribuni,maana hiyo kichwa chizi anauwafadhali
Maa Shaa Allahu
Muhammad Bachou ana hikma
Inna lillah waina ilayhi rajiuun.Allah atahukumu
Unacho kiongea hakieleeweki naona wote mko kundi moja mnafurahia wote ila mkumbuke hakuna anaejua mwisho wake unaweza ukaona umeongoka kumbe umepotea
Na wewe huna tafauti na huyo jahili mwenzio. Maana alichokisema yeye na wewe umesema hicho hicho, umetumia njia nyengine tu ili kuwafumba macho wasioelewa lakini umeeleweka
Sahihi
Kengewenge mpo wengi sana
Nyoote mawahabu na masafi munachukiya waislamu wenzenu sana kuliko makafiri
Hii ni ajabui saana mpaka nashangaa!!!
Nikweli kabisa ndio maana wakiongea wanakua najazba
Wanachukia uzushi katika dini..
@@Nabeel-22 uzushi gani mbona kama na wewe ni mjinga
Mjinga atakua wewe@@IsmailJuma-zb5ni uzushi lazima ukemewe
Mungu nijalie na uislam wangu uu sina kundi nampend kila muislam uu uislam wa kina bachu ni mtihan wewe utapaa shkh
Buro unge kaa kimya kama aupo dunian unaongelea pesa ya lambi lambi vip. Kuhusu goal la mama mbo na.ulikuwa..kimyaaa au ulijui goal la mama😊
HAWA WOOTE WANGEKAMATWA NA KUPELEKA MAHAKAMANI KWANI WANAVUNJA AMANI NA AMANI NA UMOJA
Upelekwe wewe usiokuwa na adabu jaahili kweli
Wapeleke wewe
Mahakama yako labda
Wewe bachu akilo zako na ndevu zako zipo Sawa sawa
Kwa hakiki shetani amepata wafuasi wake ndani ya jamii ya Waislamu.
Nilianza kwa kuchukia lakini baada ya kuskiliza kwa makini nimeona yupo sahihi kwa alichokisema...ukiumia akili kwa kuskiliza alichosema siyo kutumia hisia zako
Ilanyinyi mawahabi Mimi binfsi nimtu wamaulidi lakini sijawahi kumuita wowite katika waisilamu kafiri nailikuwa nahuwa nyinyi nindugu zetu ila asaivi Imani yangu nanyinyi Ina Anza kuwa nashaka kitendo chakushukuru muislamu mwenzenu kafa kwakweli Mme nichosha kabis
hakika hivi muhmmad angekaa kimya kipi angekikosa
@@AymanMussa mawahabi huwa ni makafiri hata muasisi wao muhamedi ibun abdulwahabi aliwaua saana masharifu ibilisi yule aliyelaanika yuko motoni
ilikuwa hujawajuwa mawahabi shar zao ila usifikia kuwajufurisha lakin wana fitna sana hawa watu
Nyinyi wote hapo ujinga ndio unawasumbua mkisoma mtalewa ukweli wa maneno ya m,bachu
someni dini ya allah na si kuwa waislamu majina tu
Bachu mwenyewe hana lolote analolijua kuhusu uisilamu wala wanaotoa comment zao
Amekufa akiwa mpotoshaji tunamuombea Allah amsamehe katika upotoshaji aliofanya
hakupotosha mtu alinukuu kitabu taudhihu al,ahkami Cha albasamu ni mmoja katika masheh wa kiwahabi Sasa inamlaumu vipi abuu idi
@@jumafaki2891 namlaumu kwasababu alikua ni mjinga mbobevu na amekufundisha ujinga hadi wewe
ww namfano wako ni vipofu mmekunyw maji ya uwahabi hata muambiwe nn hamkubali waharibifu wakubw
Hyo unaemuongelea humfikii kwa elimu hata theruthi tatizo lenu la kujifunzia dini ukubwani na kuijua juu juu ndy inawapotosha nyny wavaa suruali vinjiwa
Upotoshaji n ule usofungaman n elimu y Din ye2 kiislam n upi aliokupotosha ww ambao haufungaman n dini chuki haikusaiidi 2taulizwa mbele y Allah
Kweli mawahabi wana siri kubwa nyuma yao allah atudhihirishia kwa uadui wao
aaemn ndug yangu mola ata wazalilisha
Ndo tunajua mambo yalio nyuma yapanzia kwama wahabi
Inawezekana wao ni bora zaidi kuliko we ulowapa jina lisilowastahiki, tafuta maana ya (wahabi) utajua vitayako n Allah
Wanaouharibu uislaamu ni nyinyi wazushi mmepewa uyahudi mmeupokea mkadhani ni uislaam masufi nyny😂😂
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiuun
Alaa kumbe mawahabi pia mwatumia takiyya?
Wewe bachu acha unafiki wako na kuudhalilisha uislaam ujue mungu mwenyewe amechukua ahadi ya kuulinda uislaam jiandae na adhabu yake
Mjinga we wewe umejuwaje llaah anamwandalia adhabu?mtu mshenzi utamjua tu
Hii darsa nzuri ila kwa upande mwingine kuna masufi hapa kijembe kimewapata na pande zote na yao mengi matusi,,,masufi someni sana na mkubali kufuata Sunnah Allah atawaongoza kwenye haki
Kwa kufurahia kufa mwislamu
Masufi wafate Sunna ya uwahabi au ya mtume km ni kufata uwahabi hawawezi ila kufata mafunzo ya mtume wanafata
@@hassanWanjiku masufi lazima iwapate mn ni waislam n kigezo Chao mtume nyinyi iyo sunna y kufa anaetamka shahada y lailahaillawah Muhammad rasulullah n ambae 2meona kz yake nzur ktk uislam mkafurahia mtume wenu nani alowafundisha iyo sunna
@@yuenbiao1777 apana darsa ilikua nzuri sababu mumepewa tahadhari mjue mwishoni mnaweza feli mkidhani mko sawa then mfungiwe nje sababu ya bidaa zenu ogopeni Allah
@@FatmaaMussa hata mtu akakuita wahabi bado poa sababu abdulwahab alisomesha Sunnah safi ila masufi hawakupenda baada ya watu kufunguka akili
Mm nilikua nakusikiliza bachu kwahili umekosea bachu sio vizuri hata uyo mtume hakua na maneno kama haya jirekebishe
Ata wanawazuon wameitilafiana kimitazamo leo ushukuru kisa mitusamo na wote ni waislam innalilahi wainnailahirajiun
Kaustiri mwili wako kwanza dada kabla hujayaingilia mambo makubwa kama haya
ALLAH MTUKUFU AKUZIDISHIE SHEIKH MOHD BACHU NA AKULINDE A'MIYN YAA RABBAL A'LAMIYN
@@moralist6100 Amzidishie Kwa maneno yake ya fitna? Au Amzidishie nini?
Wewe ndio fitna lakini hujitambui😢
Allaah amzidishie kheri nyingi
Allah amzidishie elmu na uwezo wa kutuelimisha nimemuelewa alhamdullillah
@@HassanIddy-v1bmafna ni nyinyi yan munafurahiya kufa muislamu si ushenzi n kitugan huo
Sana
Hakuna mkamilifu sote tumesoma kwa kupitia mashekh, hatukumuona mtume wa nabii, tabiin wala tabi tabina, anae jua zaid ni Allah cha kuomba ni mwisho mwema
Yule bwana aliyezungumza vile alikuwa na wanafiki hakutegemea kama ingetoka mitandaoni
Kweli kabisa 😂
Huyu jamaa mtihani katika jamii ni sawa na yule alio furahiya Mmungu amuongoe katika haki
Bachu Nawe umejichanganya
Allah amrehemu shekhe bachu wewe hunahekma kibri kimekujaa allah akusamehe
Hawa mawahabi bora ya mashia wallaah wamezitakasa nafsi zao kuwa wao ni wasafi nauchukia sana uwahabi wallaah
Mtajibizana wenyewe kwa wenyewe mtatutia peponi na motoni mnajiona vijimungu vijidogo 😢
Kwa maelezo ya bachu pia amefurahi kufa ABUU IDD
Maelezo yake yanonesha hivyo Kwa kweli inasikitisha saaaaana
Hata mm nimefurahi,ila nasema allaah amsamehe abu iddi
KIDOGO KIDOGO ALLAH ATAWADHALILISHA MAWAHABI
Masufi kama wakristo
@@KhalfaniFarisy-c3wmawahabi wao kama mayahudi
@@KhalfaniFarisy-c3wmawahabi kama ngurue tu 🐖
Masufi sikama wakristo bali ni ukristo pure,fatilia ibadazao hazina tofauti na ukristo uyahudi,labda sala kidogo inakauwafadhali
@HassanIddy-v1b Sahihi
Naona wengi mnao toa maoni hamja msikiliza Bacho mpaka mwisho
1- MUUMBAJI
2- KIUMBE
( Quraan yaingia wapi hapo..)
---> smhn lkn ndg
QURAAN HAITUIFAHAMU 2
Ila usjal tuko pa1
Nyio wote ni ndg ze2 ktk imani
السلام عليكم
Kweli watu wamedania katikati
Hawa wote matatizo tu, alieuliza swali na Anaejibu, maana ishaeleweka Ameshindwa kujibu, wazi lakini Jibu kufurahi sio Pahala pake...
Mwenzako kaomba msamaha kaona khatari iliokua inamsogelea Sasa wewe jiangalie unayoyasema na wewe ni mwisilamu
Sasa hadithi gani mtumi alifurahi kwa kufa yoyote katika walimwengu imma wanaafiqi au makafiri ili kuthubutisha maneno haya insha'Allah
Huyu shekh Bachu kiukweli yupo na Kibri kikubwa sna, haya maneno yake na huyo mwenye amefurahi hayana tafaut yoyote kwnza yeye ndio amezidisha kabisa
HILI NALO NI ZEZETA TU
HALINA ELIMU WALA AKILI KABISAA
YAANI HUYU NI SAWA NA MBWA ANAYEWAKASHIFU SIMBA TU.
Kwani mpaka ukoment si bora ufunge bakur lako kwako ingekuwa bora 😢
Inasikitisha sana
Ni ujinga huo unakusumbua ndo mana utaelewa ukitaka kwa idhn ya Allah
Angalia maslah ya dini kwanza ktk kila unaloongea ,, kwani hujui mtume aliwah kataz watu wasiuawe kwasbb watu watasema Muhammad anaua paka watu wake watu wakaogopa kuingia ktk dini?? Japo walifaa wauawe lkn akaangalia maslah ktk dini
Wewe ni dalili ya makundi yaliopotea kama umeumia basi jinyonge tuone hasira zako zimekusaidia nn?
Nyinyi mwahaabi una roho mpaya saana na ilimu ndogo nyiye hamna utuliifu na hishma mwahaabi waatu wa fitina mwahaabi una roho mpaya haadi unam farahia kifo cha mashekh na binadamu wanzenu
Fitna wanayo watu wa bida'a
ahsante sana bachu makhurafi kama hawajaelewa sisi tumeelewa
Waislam tunashangaza na kutia aibu sana mashindano na ujuaji wakushindana bila kupeana ilmu ndo tumefika hapa Leo tulipo
السلام عليكم
1- MUUMBAJI
2- KIUMBE
( QURAAN ni kiumbe au muumbaji ..)
Mimi nawapenda wote,
QURAAN hatuifamu waisilamu wengi
Tuko p1 ndg
Ivi nyie ni waislamu gani
@@FahadAbubakari-y3f Kwaivo unafurahia watu kuanzisha ibada za uzushi ambazo MTU wetu sw hakuzifundisha
@@SuolFatni waislamu wanaochukia bid,aa na ushirikina na uganga
We bachu jasiri kweli unadoriki kusema mufti wa Tanzania ni Khurafi
Nikhurafi kwani owongo?!ukhurafi sio tusi bali ni uzushi ktk dini,usishangae soma kwanza
Hamja elewa bachu kazungumza katika lugha kebehi anaunga mkono alifraha kufa Kwa shekh abuu idi rahamahu lwahhh ..... Ila tukumbuke abuu idi NI Muslim kama wlivo waislam wengin na ikhtilafu haziwi Sabab yakutoeshimiana wengi hajui kuhus ikhtilafu na misimamo huwa tunageuza kua UHASMA kitu ambacho sio swa Kwa dini yetu ata mass Haba Zama za mtume Muhammad s.a.w wali ikhtilfiana na mtume Muhammad s a.w akasawzisha IKHTILFU SIO UPOTOFU NA ILMU NI BAHARI
Hata mm namuungamkono bachu,
Huyu mtoto ni ufahamu wake mdogo sana ispokua huu ni mtihani toka zama za masahaba zilikuwepo tafauti ndogondogo huyu mtoto anajiona yeye hakuna alipokosea nihatari kubwa
Wewe unamatatizo ya hasadi,haya ongea wewe mwenye elimu kubwa!!
mi niliwaambia bachu hawez kuuacha huu upumbavu,,hawezi..
Upumbavu wabda'a??
Huna jipya tamta ire Allah aammpe qauli thabiti
Amiin yaarab
Kukuerewa bacho kunaitaji shuresana nakwasababu watu awakuzoea vitabu nasheria walizoea mashehewetu wanasemaje ndio shida sana
Elimu hii ndio kwanza inafika ila mtaelewa ikifika muda maneno ya dhahabu Sheikh bachu anaongea kama vile tulivyokua tunaswali viwanjani polisi walitupiga tukaonekana wahuni sasa viwanja vinajaa kila mji watu wameelewa somo na hili bado geni masikioni mwenu ila mtaelewa muda tu mtaelewa mtu anasema nawamuru malaika wamuombee fulani hii ni kufuru kabisa jeuri ya hali ya juu kabisa
Kweli
nasi tutaje kufru.zenu.au
Kumsema mwana wa chuon ni sawa na kula nyama yenye sumu
Mawahabi wallah kweli leo na wachukia sasa koliko kafiri mana ni li kuwana dhani ninyi ni weslam lakini kumbe mayahudi
Soma tu dini bila mihemko
Yaani makafiri wana afadhali kuliko Masalafi na Mawahabi
Wewe ujinga ndio unakusumbua,haya wafate hao makafiri marafikizako
@@HassanIddy-v1b wajinga ni.nyinyi mufurshiyao vifo vya.waidlam wrzenu
Bachu kafa kaacha balaa duniani, Allah anijaalie kizazi chema.
HAYA MANENO NI SUMU MBAYA SANA NA NI MAOVU YA KITOSHA KUKUDHURU MWENYEWE DUNIANI NA KESHO AAKHERA YANI UNAROPOKA TU MTOTO MDOGO HUNA ILIMU WALA HIKMA WALA HATA UBINADAMU UMEKOSA HAYA SEMA UTAKALO FANYA UTAKALO LAKINI KUNA UKOMO WA KILA KITU ENDELEA TU NA GHAFLA ZAKO
Kijana wa bachu kwa elimu hii yako waitaji upigiwe takbir inne we ni zaidi ya maiti
Hatushangai nyny makhurafi kuwachukia watu wa suna,soma kwanza ndio utajuwa ubaya wa hayo ulioyasema,
Mawahabi nimakafiri watu zindukeni kwani hamuoni mifano mnataka mfano gani zaidi ya huyu kenge nyie.
Wenye akili wameelewa
Hata wewe niwalewale ilatu umetumia njia nyingine, ndiomana unahangaika kujibu, ilatu hujataka mujulikane kwamba umawachukia na waislamu wenzenu kiasihicho, nabado mutazidi kujianika, yani mmeonyesha ilechuki ya kindakindaki mukaiweka hadharani, halafu yule SHEKH mnamchukiasana kwasabu hamumuwezi kwa hoja ndiomana mnashukuru, Yani nisawa na mtu ambae alikuwa amekukaba koo sasa kakuachia unapata kupumua, musijitakase kiasihicho ndugu zangu, wewe unaejiona mwema huenda ukawamuovu mbele ya Allah, na yule unaemuona muovo huenda akawa mwema mbele ya Allah maana sote tunatamka shahàda, tatizolenu nyinyi ni kujiona wasafi,
Bora ungekaa kimya hapo ndo umezidi kuharibu, uwahabi umeletwa kuwafarakanisha waislamu
Hapana, bida'a zimeletwa kuharibu uislam
Masha Allah