Iko poa,imetulia ubunifu mwingi ongera sana Chumvi Nyingi.. Mtegemee Mungu milango itafunguka zaidi maana wewe ndio msanii pekee Bongo ambaye kwa Mwaka unatengeneza movie(thamthilia )zaid ya 5 Keep it up..
Kazi nzuri sana chumvi gang , usiseme , kuchelewa kwa kazi kidogo tunawaombea Mungu awafanyie wepesi , tupo na nyie katika vipindi vyote uzuri kazi inajieleza huku usiseme kule simba mweusi ni back to back , siku unawahisha kazi tunafurahi na hata ikichelewa tunapaswa kufurahi kulingana na changamoto mbalimbali ❤🎉
Mabuti usilie wewe ndio ulimuua mamako Kwa sababu ulipewa dawa na bibi ukaenda ukajibia kwa mlango mama akafuka hiyo dawa ndio akafa , kosa linguine unapeleka mamako Kwa bibi amtibu na hawakukuwa wanaelewana hapo unatalajia Nini, iwe fuzo kwako
Kaaah et boss chief godlove😂😂 tz sihami😊
Sema chumv nying mbwembwe zinakua nying mpaka unaharib
Mshaanza kumtangaza chief goodlove kudadeq zenu
MC kanyoa amekua handsome jamani 😘😘😘😍love from KENYA
Kazi nzul sana chumvi nying gang nawakubal san KAZI iendeleee 🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂😂
Janani msapoti acheni kumrejesha nyuma chumvi mkituliya mtaelewa
Cku hz mnapunguza utamu.....sio chumvi gang ile ya mwaka jana...big up
Hii movie atujui adui Nan sterling nani
Aswa ata auweleweki kila mtu usiseme manake nn!!!!
Chumvi siku izi kazi mbovu kwakwel
Kazi nzuri katompa.
Mtoto mdogo hapaswi kukuonesha zalau
ww vicenti macha acha mapepe kazi kalibuni siku tatu ndo unatoa
Iko poa,imetulia ubunifu mwingi ongera sana Chumvi Nyingi..
Mtegemee Mungu milango itafunguka zaidi maana wewe ndio msanii pekee Bongo ambaye kwa Mwaka unatengeneza movie(thamthilia )zaid ya 5
Keep it up..
Kazi nzuri sana chumvi gang , usiseme , kuchelewa kwa kazi kidogo tunawaombea Mungu awafanyie wepesi , tupo na nyie katika vipindi vyote uzuri kazi inajieleza huku usiseme kule simba mweusi ni back to back , siku unawahisha kazi tunafurahi na hata ikichelewa tunapaswa kufurahi kulingana na changamoto mbalimbali ❤🎉
wa kwanz hp ❤❤
Chumvi unachelewesha sana kiongozi
Ukweli hii series sijawah kuielewa hapa tumepigwa Big time
Chendu pia tunampenda imekuwa mbaya
Mwaka huu mmeanza vibaya sana movie ayieleweki kabisa mbona mmepowa sana ??😢😢😢😢😢
Sasa uyoo godlove kafata nini umuu
😂😂😂kila mtu wakwanza mm hapa wangapi😂😂❤❤❤❤❤
Wa 3
Kazi poa Sana 🇨🇩🇨🇩
Chief god love tena😂
Ila bb ake chumvi nying hajawai kubadilsha nguo tangu move ianze😮
Ambao hawajaelewa hii stor gusa like apa😂
Kaa usubiri
@NassirMussa-r6h subira inaniisha
Sio nzur kabsa
🎉
Hi, chumvi nyingi gang
Mabuti bona unaji sahau haraka kaka wakati umeambiwa kabisa mamko hajafa 😢😂
Ila hyo saut ya bufa anatisha jamani na hizo pua zake😂😂
Nice movie 🎥
Mnachelewesha sanaa
Miongoni mwa mchezo mbaya wa chumvi nyingi bc huu hapa nangalia kwa mazowea tu ila hauvuti kabisa
Nikajua mimi tu aise
Hapana kila mmoja na mtazamo wake wengine hatulali bila usiseme
Kabisa yani
Haswaa yni mbovu
Hapana bhana huo mtazamo wako mbona mimi nimeuelewa
Biseti rofa kumuamini mtu baki kuliko maman yake unaliya nimi rofa nyangemba mtoto wamezako kumdanganya kumuuwa maman yake😢
Chief God love Tena 😅😅😅😅
Unabadilisha sana watu unatowa ladhaa
Mabuti usilie wewe ndio ulimuua mamako Kwa sababu ulipewa dawa na bibi ukaenda ukajibia kwa mlango mama akafuka hiyo dawa ndio akafa , kosa linguine unapeleka mamako Kwa bibi amtibu na hawakukuwa wanaelewana hapo unatalajia Nini, iwe fuzo kwako
Wakwanza leo
Chumvi, Maliza Hii Kitu, Tuletee kitu ingine Chap!!!
Rythmes 😂😂😂🔥🔥🇨🇩🇨🇩
et cheafgoodlav😂😂😂
Nilicho gundua vijola vina valiwa kwa sana
Wakwanza
Big up
🎉🎉🎉🎉
Wa 9 leo
❤❤lakini znachelewa jmn
Naombeni like zenu wapendwa wa chunvinyingi
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kaka hii move umebug kak haielewek yaan
Season hata aieleweki 😂😂😂😂
Chimelemele😂😂
Muvi haieleweki kaka
Nivigumu kuielewa ingali mwanzo
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢
nipo apa mapema
usiseme🫡🤛💪
Usiliye nikweli umemuuwa kwamikono yako mwenyewe kwawema gani alikua nae utajuwa hujuwi😢
kwatamaa zake zaela yatumbaku umemuuwa mama yako
Xijamuona batuli jamn
Tunamtaka maina na nyau
Maina iko zake kwenye Dunia uko kwa Esema
chendu na Moses
Naomba like zenu wapendw❤😂
Mpo slow wanangu adi ladha inaishaa
❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤
Naomba like zenu wapendw
Hii move kwel haina chanzo wala haileti maana
Punguzeni lawama series yenywe jina lake USISEME sasa nyiyi mnalalamika ninj??😂😂 Lakini msiseme
Iko slow
Mdada ukigusa comment yangu nakutongoza😂❤
😂
@Leticiaseni umegusa
❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤🎉🎉
❤❤❤
❤❤🎉
Siyo mzuri na bado sijauwerewa😮😮😮😮