MWANAHARUSI EPISODE 6

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • KARIBU KUTAZAMA SERIES HII TAMU SANA

ความคิดเห็น • 192

  • @classicswahiliimage7496
    @classicswahiliimage7496  8 วันที่ผ่านมา +73

    HAYA WA KWANZA MIMI MWENYEWE LEO 😂😂😂

    • @FaridaMohamedi
      @FaridaMohamedi 7 วันที่ผ่านมา

      Usicheleweshe epsode inayofuata roho hazitulii jaman

    • @VikiElena-q5i
      @VikiElena-q5i 7 วันที่ผ่านมา

      @@classicswahiliimage7496 Asante Sana

    • @dasaa-i6f
      @dasaa-i6f 7 วันที่ผ่านมา

      Mjikaze kutoa jamani😢

    • @UnrulyHope-e9j
      @UnrulyHope-e9j 7 วันที่ผ่านมา

      Mauwa yako🎉🎉🎉🎉❤❤

    • @EmmanuelShaban-jf4hw
      @EmmanuelShaban-jf4hw 6 วันที่ผ่านมา

      Chande nami najua kuigiza nahitaji dira kidogo

  • @hemedychande7956
    @hemedychande7956 8 วันที่ผ่านมา +95

    Wa pili mimi basi

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 7 วันที่ผ่านมา +5

    Kelvin nmelia maskini nkuonea huruma 😢mapenzi yanauma😢make hemed kila filamu huigiza mgonjwa hivi n kweli uhalisia wake ama niugizaji jmni😢 mungu anpe umri 🤲

  • @SniperSamson
    @SniperSamson 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kaz nzuri story nzuri wahusika wanafanya Kaz Vzur. Dakika nzuri kabisa ahsanteni ❤

  • @RubiHiblahimu
    @RubiHiblahimu 7 วันที่ผ่านมา +2

    Good job chande

  • @Mary-u4b2o
    @Mary-u4b2o 8 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi nzuri chande❤❤❤❤

  • @SalhaSaid-z5b
    @SalhaSaid-z5b 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi nzuri ❤❤❤ na ka wimbo kazuri

  • @malyajmpondompondo381
    @malyajmpondompondo381 7 วันที่ผ่านมา

    Hongereni move nzuri sana

  • @NgoloMbonde
    @NgoloMbonde 8 วันที่ผ่านมา +1

    Dakika zinakuwa kidogo na kazi iko vizuri tuongee dakika Kisha inachelewa

  • @NadzuwaAmina
    @NadzuwaAmina 7 วันที่ผ่านมา

    Safi sana kazi nzuri nawapenda nyote chukueni 🎉🎉🎉🎉

  • @deniskalama103
    @deniskalama103 8 วันที่ผ่านมา +12

    Wakwanza kuitazama from kenya

    • @deniskalama103
      @deniskalama103 8 วันที่ผ่านมา

      Ongeengi mi namalizia nasubiri ya 7

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 4 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani mimi wa kwanza leo😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chandemacheleking
    @chandemacheleking 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka kupo vizuri mm nimependa madaktar kutibu kwanza mteja malipo baadae

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 7 วันที่ผ่านมา

    Haya kazi nzuri sana tupe mwendlezo please ❤❤❤

  • @OmarAbuAbu
    @OmarAbuAbu 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapenda pia 😂😂😂
    Movie Nzuri nawatakia heri

  • @ZeldaKimatu
    @ZeldaKimatu 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wadada wa kwenye hii movie mh!!

  • @LilyNashela
    @LilyNashela 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mm Tu wamwesho from Kenya 🇰🇪❤❤❤❤❤

  • @ZeldaKimatu
    @ZeldaKimatu 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tonny na mwenzake mwanikera mnaharibu movie

  • @Wamwakera254
    @Wamwakera254 5 วันที่ผ่านมา

    Kaka mwanarusi ulimleta uku na hisemi hya una xx nimekua wamwisho 😅😅🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @HumbleCelestin
    @HumbleCelestin 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi ha mtu wakuanza Ku toka Congo

  • @HusnaJuma-r8h
    @HusnaJuma-r8h 8 วันที่ผ่านมา +3

    Ivi uyu mama mwanaharusi ni mtoto ake really ukiacha kuigiza maana wanafanana sana

    • @Julietbonareri
      @Julietbonareri 7 วันที่ผ่านมา

      Ata mimi naona ivi wallah

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา

    Ndoa ya mkataba😂,haya twende nalo tujionee

  • @Almas-tf3eb
    @Almas-tf3eb 6 วันที่ผ่านมา

    Kazii nzurii Sana

  • @RizikihamadrashidRashid
    @RizikihamadrashidRashid 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nipo oman🇴🇲🇴🇲🇴🇲 natumai c wa mwisho

  • @BarakaIbrahim-i3v
    @BarakaIbrahim-i3v 7 วันที่ผ่านมา +1

    Tunao ona mbali kelvin na nesi watakuj kupendan🥰🥰

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 4 วันที่ผ่านมา

    Pole sana kaka kelvin 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @abdinasirhussein7480
    @abdinasirhussein7480 8 วันที่ผ่านมา

    mileoniwa 21 nipaeniclaki zangu basi kazi nzuri kaka

  • @sashaamoha
    @sashaamoha 7 วันที่ผ่านมา +8

    Wazazi kam mamake mwanaharus hawatoion pepo😭😭😭 sio poa kabisa kuchagulian wapenz ........nimekasirika sanaaaa😢😢😢

    • @MalkaNinik
      @MalkaNinik 7 วันที่ผ่านมา +1

      Haunishidi mimi nimzaxi ilasiwezi mnyima mwanangu furaha yake maana mimi sikuchangiliwa mume

    • @LoiceLoice-c1b
      @LoiceLoice-c1b 7 วันที่ผ่านมา +1

      Me mwenyew nlichaguliwa mme

    • @sashaamoha
      @sashaamoha 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@LoiceLoice-c1b mi hapan mambo yakua waishi n mtu kambae uko jela🤣🤣

    • @MwanamisiMuna
      @MwanamisiMuna 7 วันที่ผ่านมา +1

      Mm nami hpo ziii😂😂😂😂siezi acha mtu anayenipa faraj n mwenye twaheshimia wanipaaa laana mm😂😂kuwekwa roho juu juu nayatakapi mm

    • @sashaamoha
      @sashaamoha 7 วันที่ผ่านมา +3

      @MwanamisiMuna iyo laaan haiwez shika bila sababu ya maan🤣🤣

  • @OmariHasani-u7v
    @OmariHasani-u7v 6 วันที่ผ่านมา

    KAZI NZURI SANA SANA❤❤❤❤TUNAOMBA NYIMBO MUTUACHIE AUDIO YAKE

  • @LoiceLoice-c1b
    @LoiceLoice-c1b 7 วันที่ผ่านมา +4

    Yan huy mam ke hemed Chand anapenda san kuigiza sehem ya ugonjwa any way uko poa mam hongera

    • @HashimSoud-v2n
      @HashimSoud-v2n 7 วันที่ผ่านมา

      Tatizo afya yke inaendana na kuwa mgonjwa 😅😅😅

    • @mwanavitahassan9399
      @mwanavitahassan9399 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂ila nyie watu amko serious ​@@HashimSoud-v2n

    • @Esherny24
      @Esherny24 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@HashimSoud-v2n😂😂😂😂yan

  • @ZanaaIssaa
    @ZanaaIssaa 8 วันที่ผ่านมา +1

    Pole.kijana.inauma.bola.mtu.umejua.mapema.songa.mbele

  • @JamilaRajabu-g8p
    @JamilaRajabu-g8p 8 วันที่ผ่านมา +2

    Daaaaa nimeumia sana Kwa kitendo Cha mwanaharusiii 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @Mainatongwe
    @Mainatongwe 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mama ake hemedi chande nimempenda bule ana right roho nzur sana 😢😢😢

  • @NajmaBarry04
    @NajmaBarry04 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu mama hemedy anabowa kuharibia mausiano y watu kila movie anaharibu mahusiano nimehuzunika kwa kweli alf mamma mwanaharusi hujafanya saw kabisaa kumchagulia mume mtoto wako kwan wew wakati ukiolew ulichaguliwa acheni mambo ya kizamani imeniuma utadhani n mimi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @Dee_Cre8tor
    @Dee_Cre8tor 4 วันที่ผ่านมา

    ukiachana na @Tonny, huyu jamaa akeh Tonny anajua sana

    • @Dee_Cre8tor
      @Dee_Cre8tor 4 วันที่ผ่านมา

      kuna namna anapoa sana

  • @alexbhasaleghekasekwa1698
    @alexbhasaleghekasekwa1698 7 วันที่ผ่านมา

    Imekaaa njemaaaaa hii at

  • @SingaLight-l2e
    @SingaLight-l2e 6 วันที่ผ่านมา

    kazi nzuri

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 7 วันที่ผ่านมา

    Mahusiano y kihuni noma sanaa 😂😂😂 hapa maokoto ila nimehuzunika sana n Kelvin kupata ajali kwa ajili ya Mwanaharusi😢 Tonny oyeeeeh🎉🎉🎉❤❤❤

  • @BarakaMsemo
    @BarakaMsemo 6 วันที่ผ่านมา

    Jamn napenda kuigiz ila ss wakukuz kipajichngu akuna napenda kuigiz Kam kaka hemed

  • @joelamani7512
    @joelamani7512 7 วันที่ผ่านมา +1

    kwani mko na odi ...humu pia ... anataka kupigwa busu hospitalini😂

  • @IlhamWahab-g8e
    @IlhamWahab-g8e 7 วันที่ผ่านมา

    Kaz nzur 🎉

  • @FattyAli-r9c
    @FattyAli-r9c 7 วันที่ผ่านมา

    hat mm ishnitokezea

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 7 วันที่ผ่านมา

    Kelvin n ww ungeenda kumuonyesha hiyo rafikio mkeo😢😢mm hpo kwa kutafutiwa jimtuu ambalo silielew mwenendo wke ziii mwanipa laana tu mm

  • @JamilaJamila-m2y
    @JamilaJamila-m2y 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaaa kanichekesha sana😅😅😅

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 7 วันที่ผ่านมา

    Mapenzi Oyeeeeeeeeee Hayajawahi Achaa Mtu Salamaa 😢😢 lazima ukipenda uumie Tuu upande Mmoja, kuwe na Shida

  • @JamilaRajabu-g8p
    @JamilaRajabu-g8p 8 วันที่ผ่านมา +1

    Daaaaaa mmenitoa machoz Kwa yule mkaka😢😢😢😢😢 daa mam mwana alusi anazambi😢😢😢😢

  • @AbuuJuma-fw3ik
    @AbuuJuma-fw3ik 8 วันที่ผ่านมา +4

    Me wa 8 naombeni hta like 1 to🎉😊

  • @naomikisaba5785
    @naomikisaba5785 5 วันที่ผ่านมา

    Nes kapendana na mhuni😂😂😂😂

  • @ZainabuYoana
    @ZainabuYoana 6 วันที่ผ่านมา +1

    M wa meisho

  • @fatmaRajabu-u4u
    @fatmaRajabu-u4u 7 วันที่ผ่านมา

    Dah nahis hii ni nzur kuliko melisa

  • @RuqaiyahIssa
    @RuqaiyahIssa 8 วันที่ผ่านมา

    ah sio pwah mda mwengine wazaz tunakosea kumchagulia mtu mum

  • @SleepyBoatLake-mc9xw
    @SleepyBoatLake-mc9xw 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kevin kaniliza 😭😭😭😭kev wangu mim siwez muacha mpaka kiama😢😢

  • @SelinaMatiko-z4v
    @SelinaMatiko-z4v 7 วันที่ผ่านมา

    Mnachekewa jamani mpaka utam unaushaa

  • @OmmyMkali
    @OmmyMkali วันที่ผ่านมา

    Ila sehem hiyo kuigiza kuwa nimgonjwa panampendeza kwe na anajuwa

  • @LizzytzGeorge
    @LizzytzGeorge 7 วันที่ผ่านมา +1

    Watatu mm hap

  • @naomikisaba5785
    @naomikisaba5785 5 วันที่ผ่านมา

    Sema huyo mhuni ndio uhalisia wake kmmk😂😂😂😂😂

    • @Officialmoyo-l1d
      @Officialmoyo-l1d 4 วันที่ผ่านมา

      Penzi la fujo afu mhuni anaomba hela tena kwa lazma😂😂😂

  • @HashimSoud-v2n
    @HashimSoud-v2n 7 วันที่ผ่านมา +1

    Yani hii series inatoka ladha pale mnapo tuonesha tony na jamaa yke tuuh.!.

  • @SingaLight-l2e
    @SingaLight-l2e 6 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥

  • @AysherMzee
    @AysherMzee 5 วันที่ผ่านมา

    Chand we kil move unlazimishwa kuoa mapnz yankutes san

  • @SamuelBahizire-g8e
    @SamuelBahizire-g8e 7 วันที่ผ่านมา

    DRC is my contry

  • @CelinerMtg
    @CelinerMtg 7 วันที่ผ่านมา

    kazi nzuriii❤❤❤

  • @nibitangaalexine2180
    @nibitangaalexine2180 8 วันที่ผ่านมา +4

    hata mimi sijuwi niwangapi😔😊

  • @Kareish254
    @Kareish254 6 วันที่ผ่านมา

    Nice move bt usiwe unachelewa sana

  • @MWANAHALIMAALI
    @MWANAHALIMAALI 6 วันที่ผ่านมา

    Nawapenda nyote kwa kz yenu nzuri🫶

  • @khadijayousuf684
    @khadijayousuf684 7 วันที่ผ่านมา

    Chande kaka naomba like yang😊

  • @AshuraKhalid-m7h
    @AshuraKhalid-m7h 7 วันที่ผ่านมา

    Mbona sa mnacheleweshaga jaman,

  • @RebecaNashon
    @RebecaNashon 7 วันที่ผ่านมา

    Haha mi wa mwisho

  • @MwasheyBlangeti
    @MwasheyBlangeti 7 วันที่ผ่านมา

    Next plz I can’t weit to see epsd 6 ❤❤am in love with hemed chande

    • @SyproseOkumu
      @SyproseOkumu 7 วันที่ผ่านมา

      Episode 7 dear

  • @ivantompoo-c9k
    @ivantompoo-c9k 7 วันที่ผ่านมา

    Kaka hizo nyimbo zuri ila hazitowi

  • @ChachaChantalNiyomwungere
    @ChachaChantalNiyomwungere 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mm kutok 🇧🇮 wa kwanza kucoment please 🙏 likes ata 10 t

  • @naomikisaba5785
    @naomikisaba5785 5 วันที่ผ่านมา

    Nipen namba kev anioe mm nipo tayal😢😢❤❤

    • @AsiaKinega-ge9bv
      @AsiaKinega-ge9bv 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 mwenzio nimetoka kunywa maji sitaki kwenda chooni saizi

  • @RashidMwadzoho
    @RashidMwadzoho 7 วันที่ผ่านมา

    Mamake mwanarusi pepo utaikosa

  • @hamiduselemani
    @hamiduselemani 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nimewai😂😂😂 like zangu

  • @SamouOman
    @SamouOman 7 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzur

  • @to00ofh
    @to00ofh 8 วันที่ผ่านมา +1

    Haya bado ya saba

  • @AhmadiiIdrisa
    @AhmadiiIdrisa 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kaz zuli ila inachelewa san

  • @SingaLight-l2e
    @SingaLight-l2e 6 วันที่ผ่านมา

    motoooo

  • @VictoriaBupila
    @VictoriaBupila 8 วันที่ผ่านมา +1

    Sijachelewa san

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v 7 วันที่ผ่านมา

    Next plz 🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @VikiElena-q5i
    @VikiElena-q5i 8 วันที่ผ่านมา +5

    Chande uta kufa vibaya wewe na kuigiliya mapenzi ya watu kwa Melissa uka igilia kwa mwana naye una igilia wewe tuna kuurumiya sana 😂😂ila tuna kupenda ❤

    • @FaizaKabibi-tb2dj
      @FaizaKabibi-tb2dj 8 วันที่ผ่านมา

      Xx Kwan kosa lake nn jmn

    • @VikiElena-q5i
      @VikiElena-q5i 7 วันที่ผ่านมา

      @FaizaKabibi-tb2dj kosa lake hana lijua mwenyewe chande nawa chumba wawatu 😴

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 7 วันที่ผ่านมา

      Wazazi waoo

    • @VikiElena-q5i
      @VikiElena-q5i 7 วันที่ผ่านมา

      @@jamilashabani8580 mmmmm sokweli

    • @zahrahr4713
      @zahrahr4713 7 วันที่ผ่านมา

      mke wa mtu sumu😂​@@FaizaKabibi-tb2dj

  • @OmmyMkali
    @OmmyMkali วันที่ผ่านมา

    Nimimi wapili jamaani kilasiku nakuwa
    Wapili

  • @Nurat-c3i
    @Nurat-c3i 7 วันที่ผ่านมา

    Inachelewa❤

  • @violetcasity4717
    @violetcasity4717 2 วันที่ผ่านมา

    Lakini wazazi hawafai kuwachagulia wanawao wapenzi wakuolewa nao nivyema wao wachague wenyewe

  • @Liliane243-r1y
    @Liliane243-r1y 7 วันที่ผ่านมา

    mbona sijaona ya tano mimi jamani

  • @RabiaSaid-sh1km
    @RabiaSaid-sh1km 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nani ameona km mm rafiki yake chande atakua n mahusiano na dokta😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 7 วันที่ผ่านมา

      Upo vizuri mwaya,nmeliona hilo

  • @SniperSamson
    @SniperSamson 8 วันที่ผ่านมา +2

    Naam🎉🎉🎉

  • @AishaHamid-u8g
    @AishaHamid-u8g 8 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉 Nice

  • @NiceMajidy
    @NiceMajidy 8 วันที่ผ่านมา +1

    jaman watatu mm

  • @FahmiMohd-g7u
    @FahmiMohd-g7u 3 วันที่ผ่านมา

    Sasa jamn naomba niulize iyi mwanaharusi episode 7 ndo finally au vp

  • @Mainatongwe
    @Mainatongwe 7 วันที่ผ่านมา +1

    Dunia ya saivi kunawatu wapo kama mama mwanaharusi jamani acheni iyo tabia yakutuchagulia mume

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 7 วันที่ผ่านมา

      Wapo sana Mama mwana harusi sawa na mama yangu au mama hemed yaan kumchagulia mtu mke au Mume ukabali ukatae Anataka uolewe au uoe huyo anae mtaka haijalishii unampenda humpendi utajua hujui uolewe au uoe alio chagua Mama yako
      Bado wapo sana tuu

    • @Mainatongwe
      @Mainatongwe 7 วันที่ผ่านมา

      @@jamilashabani8580 😂😂😂nachek Kama mazur ila wana boa sana yani pela san dad

  • @JamilaJamila-m2y
    @JamilaJamila-m2y 7 วันที่ผ่านมา

    Hemed sharuki wa bonjour uyoo

  • @TotoLauswazi-bg8es
    @TotoLauswazi-bg8es 8 วันที่ผ่านมา +1

    Masikini kelvin😢😢

  • @samratsalim-j5p
    @samratsalim-j5p 8 วันที่ผ่านมา

    Wazaz wengin wanaboo

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 7 วันที่ผ่านมา

    Unakumbuka ile Ndoa ya mkataba alio yule Dada alikuwa melisa ila jina jengine akamuachisha na yule baba alikuwa alimuuza mke Wake kisha pesa ya mahar waakaja funga ndoa na chande baadae ya mkataba ila walikuja pendana Kwelii

  • @SaumuWanje
    @SaumuWanje 7 วันที่ผ่านมา

    Pole kelvin 😢😢

  • @MundhirMakame-iw7xw
    @MundhirMakame-iw7xw 7 วันที่ผ่านมา

    Tunjifunza mengi kupitia hizi tamthilia tunpswa kujifunza kupita yte hyaa

  • @HanifaHanifa-yw4pl
    @HanifaHanifa-yw4pl 7 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉

  • @ShamilaAbdullah-w1f
    @ShamilaAbdullah-w1f 8 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤❤

  • @Sawasuleiman
    @Sawasuleiman 7 วันที่ผ่านมา +1

    Like kwa kev anajua 😢😢😢

  • @Ritaritare
    @Ritaritare 8 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢😢😢acha nilie na Kevin mm Mapenzi kitu gani Jamni?