Ukweli unauma ila unabaki kuwa ukweli👌👏apo mwanzoni nimekuwa nikuelew na kukupenda wap coze umekuwa ukipinga WCB ila kwa ili la Zuchu kwa kweli umeongeya point tupu na kwa ilo la Ali na Konde ni kweli mtupu. Kweli Dada Carry zuchu kwa ilo la USA wamezinguwa sana kwanza anzia ma Burundi, Rwanda, Congo(uvira, Bukavu) Ouganda, zunguka Africa kwanza kisha wende ma USA coze bado sana kwa Zuchu wetu na ma USA kwa kweli niko pamoja na izo point mmeongeleya👏👏👏
Carry huwa nampenda sana kwanza ni mkweli pia hanaga makorombwezo kama midoli yetu tulivyoizoea mara wanja kope liplistick mawigi yeye aku! Yeye yupo kawaida sana
Kwa kuongea kuhusu mambo ya mwenziwe ndio anaakili? Anamtafuta kiki tuu.....sai kuingia mjini lazima uongelee kuhusu zuchu na Mondi......hivi vile amekaa nimtu anaakili.....ama nikama wewe tuu hapo ndio akili imekufikisha
Anaakili looinamuuma kwasababu yeye kama mwanaume acha loombaya kuna umbea na loombaya yani nyinyi wanawake mnaloombaya sana hampendani kwani kupendana na kuachana si kawaida acha loombaya wewe carry ujulikan kama mwanamke au mwanaume
Diamond ni mwizi wa views na subscribers feki hiyo ndo marketing yake kubwaaa na wasanii wengi kama harmonize marioo washaijuilia ni vile hawana pesa za kuboost views wengi kama mondi, maana diamond kaboost mpaka anawapita kina Burna Boy wizkid
Carry your very right ... zuchu anadanganywa yan am very disappointed.. daimond doesn’t love this girl ... cyo kwa post hizo za mahaba public... kwann asiseme she is my woman .. yan let’s wait and see daimond anamtumia zuchu na mama ake zuchu anaona sawa. Yan save hii interview tutaona mwisho wake
Aki ya mungu huwa nampenda huyu carrymastory walai si anipe nafasi tu niwe nae nimuoe sitomchezea nitafanua Kila kitu chenue atanambia adi kuosha chupi ntafanya tu ntampa mshahara wangu 70ksh Kwa mwezi najua hyo no kama million Moja hivi
Mi nataka kutengeneza chuki na mtu ataongea vibaya carrymastory maana siku zote kwenye interview zake ananitengenezea siku kiukweli😂😂🤣🤣nakupenda sana Mama ♥ love from 🇧🇮to 🇰🇪 ♥
Una wivu carry.....moyo hauna hadhi popote unapenda..tu...na bora ukatwe na bati kama kukosa bahati...muacheni kabahatika hata akiachwa ndo maisha yetu tunapenda na tunaachwa...its lyf
Kwa lulu waliongea sana mwisho wa siku aibu kwao ...kuna muda msipende kumuongelea mtu unajuwa wanaume uwa wanapenda mwanamke mtulivu tusubil siku itafika uje urudie hivi unavyo ongea...acheni wivu zuchu anawakomesha
Me cna pesa CNA anything lakini kama Kuna mtu nikiwa kwenye relationship nae naeza ficha kama cocaine 😂😂ni huyu diamond, waschana Hawa cjui mbona wanapenda kujitangaza 🤣🤣unajificha ukiulizwa unakana
Udaku ya celebrities wa tz na Kenya it's very different like 🤭😅😅😂 so diamond analipa watu wasimseme like this mwikaju guy why is naseeb paying him 😂mwikaju hawezi toboa Kenya angekua broke
Carry namtafuta mama yako, ili aniambie wakati akiwa na uzauzito wa mtoto wake Carry, alikuwa anakula nini, wee mtoto unatumia zaidi Akili nyingi na elimu kidogo. Safi sana
@@estherndolo6237 watu waajabu ,unakuta mtu anakaa akinyanyasa mwanamke mwemzie kisa wivu kwani zuchu si mwanamke tuu kama wanawake wengine ...alafu muangalie huyu mwenyewe anaeongea midomo imeungua kwa sigara na bangi...mungu akubariki na wewe
Ila cary uwa anaongea ukweli , mimi naomba mungu asaidie wasiachane maana inaweza kuwa asara kwa mziki wa zuchu , yani ukipendana na boss ujuwe kazi yako iko hatarini kuisha
Umekosea sanaa. Kwanini unamtamkia mtoto wa mwenzio whyy??? Eti zuchu sio hadhi ya dai. Wewe nani??? Mapenzi n mahusiano mungu ndio anapanga wewwee tuneona maskini aliolewa na tajiri... Vipi weww
ss si kira mtu na wakati wake ujui mapenzi anaweza mtu akawa mzuri au akawa na pesa na akapenda mtu mwengine acha a enjoy mda wake huu akiachwa kawaida tu mbona ata ss mtaani tunaachwa na maisha yanaendelee muacheni mtt wa wawatu
Kwa maono yangu diamond hana hadhi kabisa ya kua na wanawake wazuri na shida unakuja wanawake wanapenda pesa na kwa nasibu ni pesa tu ndio inawapeleka, ila kwa kusema diamond ni handsome hapana yaani ktk hiyo line hayupo.
Skiliza dada nikuambia huyo unaemsema ww ni binaadam km binaadam wengine na kingine huwezi zi jua rehma za allah zipoje .... Bt nikufunze kitu UZURI,SHAPE ZA UTURUKI na vitu zengine nilizokuwa cja mention apa vyote ivyo vinafunikwa na kitu kimoja tu (HULKA NJEMA)
🤣🤣🤣🤣👍 chukuwa boa hiyo 🥃 zuchu anapoteza muda tu , daimondi ni pyai boy Malaya wa kiume zuchu amepakwa upupu angoje kufa tu mama yake ajiandae kumfunga nepi🙈
Interview Kali sana nilikuwa sikupendi carry mastor lakini kuanzia Leo nitakufuatilia, ushauri wangu mjitaidi kubalance stor sio waandishi mnakuwa na timu mnapoteza waskilizaji Leo umegusa Kila engle, makofi kwako...
Finally finally someone is truly saying naked truth I love carrymastory
Umeonaeeee
Nampenda uyu Dada carimastorry na mpenda anasema ujweliiiii saana
Aaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiii yeye kaganikiwa Nini na ukweli wake
Carrymastory is naturally beautiful, African Queen 👑
Ukweli unauma ila unabaki kuwa ukweli👌👏apo mwanzoni nimekuwa nikuelew na kukupenda wap coze umekuwa ukipinga WCB ila kwa ili la Zuchu kwa kweli umeongeya point tupu na kwa ilo la Ali na Konde ni kweli mtupu. Kweli Dada Carry zuchu kwa ilo la USA wamezinguwa sana kwanza anzia ma Burundi, Rwanda, Congo(uvira, Bukavu) Ouganda, zunguka Africa kwanza kisha wende ma USA coze bado sana kwa Zuchu wetu na ma USA kwa kweli niko pamoja na izo point mmeongeleya👏👏👏
Carry huwa nampenda sana kwanza ni mkweli pia hanaga makorombwezo kama midoli yetu tulivyoizoea mara wanja kope liplistick mawigi yeye aku! Yeye yupo kawaida sana
Nawewe ukiwa kawaida itakuwa vizuri zaidi
True yaani huyu msichana anaakili saaa
Mnajuwa anayo yafanya yeye hata unasema ana akili??? Yake mwenyewe hayajuwi itakuwa anajuwa ya watu tuu kuyasema...Mhhhh
Kwa kuongea kuhusu mambo ya mwenziwe ndio anaakili? Anamtafuta kiki tuu.....sai kuingia mjini lazima uongelee kuhusu zuchu na Mondi......hivi vile amekaa nimtu anaakili.....ama nikama wewe tuu hapo ndio akili imekufikisha
Anaakili looinamuuma kwasababu yeye kama mwanaume acha loombaya kuna umbea na loombaya yani nyinyi wanawake mnaloombaya sana hampendani kwani kupendana na kuachana si kawaida acha loombaya wewe carry ujulikan kama mwanamke au mwanaume
Q
Po
Sai mwaka mwengine umefika!!! Ndio zuchu anazidi kupendwa na mondi.... carry inakukata sana.....
She is very wise..I love her ,I'm from Kenya.
Wewe dada ni nzuri sema tu hujui kujipangilia uvaaji na nywele ila ni mzuri sana yani ungejijua hakuna wanaokufikia kibongobongo
Nimekupenda sana , #dadaCARRY IMEONGEA VIZURI.
Carry anaongea vizur sana Tena ukweli myupu
Carry umbea wako umeenda SHULE nakupenda sana ❤
Thanks Ritha nakupenea pia
@@Carrymastory naishi Canada nipe number yako nataka kukuwowa
@@Carrymastory umeogea ukweli dada ,Simba mwenyewe haezi kuoa hilo nalo niukweli mtupu
Madada kama Hawa ni wachache sana big up sana.
True true zuchu in love with mondi but mondi is not in love with zuchu
Love this lady,very intelligent and composed👌👌👌
Huyu mschana husema the hurtful truth,ukweli mchungu watu wasiotaka kuskia,much love from Kenya.
Dada umeongea ukweli. ZUCHU anapoteza muda.
Mhhh kwa diamond Lebo kufa hizo n ndoto tajiri wa music 🎵🎵 Africa masharik!! Lebo kufa c Leo labda diamond asiwepo!!
Diamond ni mwizi wa views na subscribers feki hiyo ndo marketing yake kubwaaa na wasanii wengi kama harmonize marioo washaijuilia ni vile hawana pesa za kuboost views wengi kama mondi, maana diamond kaboost mpaka anawapita kina Burna Boy wizkid
Carry your very right ... zuchu anadanganywa yan am very disappointed.. daimond doesn’t love this girl ... cyo kwa post hizo za mahaba public... kwann asiseme she is my woman .. yan let’s wait and see daimond anamtumia zuchu na mama ake zuchu anaona sawa. Yan save hii interview tutaona mwisho wake
Hivi umekua Khadija kopa.....au unafikiria Khadija hajui kulea
Mamake zuchu sidhani kama Ana furahia haya ilahana la kufanya coz zuchu ni mtu mkubwa hawezi kumcontrol
Ashasema mke wangu.
Sometimes men just want peace and if he can get that from Zuchu then that’s home for him nothing to do with beauty and status
Is she the personal spokesperson for zuchu /diamond, leave zuchu alone
On point carry ..i love you from kenya ..big up
Carry I love you sister
Big Facts 🦓 CARRY 😅
Aki ya mungu huwa nampenda huyu carrymastory walai si anipe nafasi tu niwe nae nimuoe sitomchezea nitafanua Kila kitu chenue atanambia adi kuosha chupi ntafanya tu ntampa mshahara wangu 70ksh Kwa mwezi najua hyo no kama million Moja hivi
😳😳😳😳
😂😂😂😂
🤣🤣🤣
70k ksh ni more than 1million almost 1,4. Tsh. All the best 😂😂😂 umbea wote huu utakoma pekeako 😂😂
@@victoriadaizy5277 😂😂😂hatar sana
Wise lady!! Carrymastori
Mi nataka kutengeneza chuki na mtu ataongea vibaya carrymastory maana siku zote kwenye interview zake ananitengenezea siku kiukweli😂😂🤣🤣nakupenda sana Mama ♥ love from 🇧🇮to 🇰🇪 ♥
Love u
Mimi sasa nampenda mno
@@Carrymastory 🥰
This is true ❤❤❤
you said the truth about diamond platnumz 🎉🎉🎉🎉🇿🇲💤
Carry umenyooka ❤❤❤
Tatizo NYOTA. haujifunzi kwa wemasapetu yule dada aananyota kali sanaa
Una wivu carry.....moyo hauna hadhi popote unapenda..tu...na bora ukatwe na bati kama kukosa bahati...muacheni kabahatika hata akiachwa ndo maisha yetu tunapenda na tunaachwa...its lyf
Ukweli unauma 😂😂
Carry u are killing me 😂😂😂 but above all the truth hurts watu wajisaidie wenyewe
🤛🤛naked truth ooohh ..zuchitta we love you .. Tafakari anayo SEMA carry mastory..
Carry wewe mtoto brain yako yiko barabara bravo
Kwa lulu waliongea sana mwisho wa siku aibu kwao ...kuna muda msipende kumuongelea mtu unajuwa wanaume uwa wanapenda mwanamke mtulivu tusubil siku itafika uje urudie hivi unavyo ongea...acheni wivu zuchu anawakomesha
Kabisa
Mnamfananisha MaJay na Mwakitombile?
Nawewe tunaisev komment yako
*Real Talk especially hapo kwa mambo ya relationships💯%🤣🙌🔥🇰🇪*
Me cna pesa CNA anything lakini kama Kuna mtu nikiwa kwenye relationship nae naeza ficha kama cocaine 😂😂ni huyu diamond, waschana Hawa cjui mbona wanapenda kujitangaza 🤣🤣unajificha ukiulizwa unakana
Udaku ya celebrities wa tz na Kenya it's very different like 🤭😅😅😂 so diamond analipa watu wasimseme like this mwikaju guy why is naseeb paying him 😂mwikaju hawezi toboa Kenya angekua broke
Umeongea point
Ni kweli aisee
Carry namtafuta mama yako, ili aniambie wakati akiwa na uzauzito wa mtoto wake Carry, alikuwa anakula nini, wee mtoto unatumia zaidi Akili nyingi na elimu kidogo. Safi sana
Kweli yani ajaongea uwongo ata kidogo zuchu ndo anajipendekeza kwa daimond,alafu mwana kulitafuta mwana kulipata
Ujue carry anaongea ukweli lkn watanzania hawapendi ukweli hpo watamtolea maneno mabaya sababu tu ukweli.
@@malak-lz6kx ni kweli kabisa
@@malak-lz6kx yupo ndani ya moyo wa diamond? au anajiongelesha tu
Acha alitafute kwani yeye ndio atakuwa mwanamke wa kwanza kuachwa kwenye hii dunia?
@@yustayusuph9101 😄😄
Nakupenda da Carry lakini usongee ukamaliza. Tukumbuke kila mbuyu na shetani wake.
Hahaha kweli huo ni uchambuzi tu kwa Sasa 🤣🤣
My bby sister carry uwe unafanya interview kila week banaaa
Hahaha Sawa ntalifanyia kazi kila yakitokea mambo
Ana umbea ulio tulia 😆😆😆mbea aliekomaa
Wanawake wa kitz wana roho mbaya sana ,zuchu sasa ndio anaolewaaaa tena kwa heshima zote ...mke haina uzuri wala nini sifa za mke huwa tofauti kabisaa
Dadangu Mungu akubariki kwa kunenea wengine mema na baraka
@@estherndolo6237 watu waajabu ,unakuta mtu anakaa akinyanyasa mwanamke mwemzie kisa wivu kwani zuchu si mwanamke tuu kama wanawake wengine ...alafu muangalie huyu mwenyewe anaeongea midomo imeungua kwa sigara na bangi...mungu akubariki na wewe
TANASHA ALIKUWA FIT
Carrymastory dada unakili kubwa xana nimekupenda ccter✌️✌️✌️✌️👍👍👍
I love you so much carry ♥️♥️♥️❤️❤️🌹
Carry ni mali safi I love this lady, is she Single? nimempenda dada huyu sana.
Huyu dada ana akili dah
Ila cary uwa anaongea ukweli , mimi naomba mungu asaidie wasiachane maana inaweza kuwa asara kwa mziki wa zuchu , yani ukipendana na boss ujuwe kazi yako iko hatarini kuisha
Aya ni mahusiano ambayo kla mmoja hana ndoto na mwenzake
Wacha iwe shida Yao ama wewe umekua Khadija kopa???
@@sultansallah8772 achana nao
Umekosea sanaa. Kwanini unamtamkia mtoto wa mwenzio whyy??? Eti zuchu sio hadhi ya dai. Wewe nani??? Mapenzi n mahusiano mungu ndio anapanga wewwee tuneona maskini aliolewa na tajiri... Vipi weww
Sio hadhi yake ndio kwan uongo
ss si kira mtu na wakati wake ujui mapenzi anaweza mtu akawa mzuri au akawa na pesa na akapenda mtu mwengine acha a enjoy mda wake huu akiachwa kawaida tu mbona ata ss mtaani tunaachwa na maisha yanaendelee muacheni mtt wa wawatu
Dawa zikiiisha zuchuuu ataachwa vbayaaaa😏😏
Kweli ali kiba na daimond ni asante kwa kushiriki😃😃tunamuomba konde chonde chonde kaza baba tukuone huko 02 arena
Carry mastory nakupend sana mudogo wangu
Unaupiga mwingi sana., Mwombee mwenzàko mema hili pia wewe upate mafanikio dada.
Love you 😍 much love
Huyo Zuchu anajidhalilisha tu.
Afanye mziki aache mambo ya kutekenyana na huyo Simba..
Leo ndo nimekuona carry mastory n msichana mrembo mno alafu unalijua xn gemu la bongo
Carry mastory upo sawa kabisa..
nakupendaa dada ❤
Hakiri za kiume hizi.carrymastory🔥💪💪🦣🐘💪💪
Mwacheni zuchuu jameni... Ni mdada anangangana. Na Mungu atamfikisha mbali. Kwa sababu yeye anatia bidiii
Uyu dada ni jinga sana , unawivu sana. Utapata aibu. Zuchu ana pesa ana kipaji Pia msomi Pia mzuri…Zari, mobeto tanasha tapeli tu. Zuchu ndo mke 💯 %
safi snaaaa yan umeongea point
Carry leo NIMEKUKUMBUKA NAKUPENDA wemdada
Very true zuchu anatumika
uyu dada anaongeya kweli sana zuchu atapoteza bahati zake mungu asha mutayarishiya bwana wakuishi nae
Kwa maono yangu diamond hana hadhi kabisa ya kua na wanawake wazuri na shida unakuja wanawake wanapenda pesa na kwa nasibu ni pesa tu ndio inawapeleka, ila kwa kusema diamond ni handsome hapana yaani ktk hiyo line hayupo.
Mm naona kinyume chake.... Zuchu ndo hampndi kbsa dimond
, kweliii hjuiii kuangaliaaa, zuchu anampenda Sanaa mwamba
Skiliza dada nikuambia huyo unaemsema ww ni binaadam km binaadam wengine na kingine huwezi zi jua rehma za allah zipoje .... Bt nikufunze kitu UZURI,SHAPE ZA UTURUKI na vitu zengine nilizokuwa cja mention apa vyote ivyo vinafunikwa na kitu kimoja tu (HULKA NJEMA)
#Carrymastory kuna kipindi ulipotea kama corona nilikumiss sana kama wali wa daku. Ila nakupenda dada
Zuchu mzanzibar dada sahau ilo
Kweri carry una ongeya point
Huyo msichana carry anasema ukweli
Carry ana akili anajuwa kujibu maswali
Mungu diamond nimutu waGygiwazamani hakuna asiyejuwa❤😂
Ila nimeamini ukiwa na sura mbaya hata roho yako haiwezi kuwa nzuri huyu dada ana roho mbaya sana
Weee carry ni mbaya 🤔🤔
For the first time,carrymastory you have talked apoint.am behind you
Umeongea vizuri sana hapo kwenye pesa na familia,,ukiwa na pesa huna familia hio nayo ni tatizo
WOW anamsahau Mondy
Tu nakupenda dada
Ni kweli kabisa zuchu hapana
Yaan carry so bright anaongea fact Sanaa big up
Kazi na mapenzi RIP zuuuu
🤣🤣🤣🤣👍 chukuwa boa hiyo 🥃 zuchu anapoteza muda tu , daimondi ni pyai boy Malaya wa kiume zuchu amepakwa upupu angoje kufa tu mama yake ajiandae kumfunga nepi🙈
😂😂😂😂🤣Agtchuu girl
@@ziadasalimu1730 😄😄😄😄😄😄😄😄
Interview Kali sana nilikuwa sikupendi carry mastor lakini kuanzia Leo nitakufuatilia, ushauri wangu mjitaidi kubalance stor sio waandishi mnakuwa na timu mnapoteza waskilizaji Leo umegusa Kila engle, makofi kwako...
Bby carry Nakupenda mpka nalia hapa
Ohoo nakupenda pia
@@Carrymastory Kweli?🙈🙈
Akili kubwa Catherine
DIAMOND PLATNUMZ ANA BILIONI KUMI NA MOJA YA KITANZANIA AMBAPO UKIBADILISHA NA YETU YA KENYA NI MILIONI MIA SITA.
Kwa hiyo? Tumeshajua hela ya Kenya iko juu. Unasemaje sasa! We unazi kaka KAPUKU?
@@jan6703 we nawe
Carry you are so bright
🙏🙏
Ukiangalia vizuri haocarry anaosema wasiokuwa na hazi wengi wao ndio wako kwenye ndoa.usishangae akamuoa nawakaishi.yote inawezekana
Carrymastory nakupenda sn unaongeaga ukweli na ukilisana
Mapenz sio kitu ni utu🤣 fala ww uyu carry mastory atachelewa sana kufanikiwa kwq sababu ya iyo akili yake mbovu
Kweli kabisa Zuchu anafosi mahusiano kwa Dai ila Dai hana mda nae
ani mtu anaongea km anakujua sanaaa kumbe hakujui umbeaaaa tyuuuuu
Wanaume wanapenda vinyonge vinavyowapa furaha, unaweza kuwa na kila kitu na mwanaume akajifeel ana hang hafiti,
Njoo Kenya 🇰🇪 dada
Carry nakupenda Bure lakini huyo kipenzi changu ommy dimpol niache pliz usimchambe
Muacheni zuchu aenjoy maisha!!kwani lazima tupendane mi nikimpenda na ananipa ninachokitaka shida haipo
Shida ipo ivi zuchu nimdogosana mondi sio muowaji atomuowa ndomana watu wanamuoneauluma ataalibu adi mzikiwake
@@tatotato506 mdog wa nn km age now nimkubwa kazaliw 92
@@tatotato506 mdog wa nn km age now nimkubwa kazaliw 92
Hataki hatakusikiliza nyimbo ya harmonize!!!!
Inamaanisha bado anampenda saaaana harmo.
Noma sana
Wakikufukuza Tanzania ukuje Kenya mimi nitakuoa nakupenda sana
Mnapenda kuchunguza ya watu wanaendelea unabaki apo