Askofu Gwajima aweka wazi yatayotokea mwaka 2022 | Ni muhimu kujiandaa mapema
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Asante mtumishi wa mungu afadhali ulizaliwa ila naomba baadae uchukue fom ya urais tukupe kura kwa kishindo 👍👍👍
Kabisa,anastahili.
Simpi kura uyoo,khaaa
Inshalla na Mungu akulinde.... ata kama unatetea nchi yako nko Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ila mafundisho yako inatujaza sana Asante🤲🤲
I appreciate you MUNGU akupake mafuta makubwa mzee wetu na mtetezi wa nchi yetu TANZANIA.
Gwajima Mimi nakukubali sana Mungu Akulinde sana.
Kenya tushauzwa kwa shetani na huyu rais, lakini Mimi na nyumba yangu tutapona kwa jina la Yesu
poleni mungu atawasimamia hakika
Amen endelea kumwamin MUNGU wako
Ameeen
😂😂😂🤣 Nimecheka Sana et mimi na nyumba yangu tutapona 🤝🤝
@@deusrobart8181 ana imani atapona kweli
Wew jamaa ni genius
Mungu Mwenyezi akusimamie Ili taifa letu lipone
Wachache watakubali
Kabisaaa more fire
Kabisa anahakili ya tofauti Sana
Gwaji boy akili mingi Sana huyu jamaaa..aminaaaaaaaa mtumishi wa kweli wewe.i trust in you.
Gwajima a real man of God.ujumbe tumeuelewa na kuupokea watz
Mungu akuongoze Daima Kiongozi wetu
Tunasimama na Bwana Yesu! Tunasimama na baba Askofu Gwajima.
Hallelujah
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Amina magufuri wa pili!!
Ameeeeen Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU
mashaAllah..mahubiri yko ..Mungu akulinde akulinde na uzidi kufungua watu wa mataifa ufaham.
Mungu akupe maisha marefu na afya njema mtumishi.
Mungu akulinde kiongonz wetu we ni mussa
@@petrosombe7315 huyu n yoshua
Mungu tuponye kupitia mtumishi wako
Watching from Kenya praying for my country lazima waachie kenya
Amen. Mungu amwage roho mtakatifu avuruge kweli mm nimekwa Iraq kwa kukataa kudungwa sindano natumai yesu ataingilia ndani nitoke salama
Ngwajima ccm wanakuzingua unda chama chako ugombee urais
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu WA mbinguni akutunze baba
Inshallah M/mungu azidi kukupa Afya njema na maisha marefu Mzalendo wa kweli 🤲🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Jamaani wakituulia na huyu ndio tutakuwa tumeisha kabisa maana sioni viongozi wadini wenye misimamo ya kuwapigania watu wake kama gwaji wengi wamenumuliw masonic huko
Amen pastor Mungu Wako ni Mungu wangu
Huyu ni zalendo
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
wewe ni chombo cha Bwana ambacho uliteuliwa kwa ajili ya kulikomboa Taifa!!!... ubarikiwe sana my Dady!!!....
AMINA Kidume Mungu aendelee kukuongoza
Baba Askofu Gwajima
Nipo pamoja na wewe nina kuombea pambana Baba
This is powerful man of God.
May Almighty God strengthen you in this critical battle.
S I K I L I Z E N I .......
G5 countries ni kina nani? ni Brazil, China, India, Mexico, and South Africa.
China kuli tokea nini? .......hakuna asiyejua
Brazil kuli tokea nini? ...... gamma variant
India kuli tokea nini? ...... delta variant
South Africa kume tokea nini?.....omicron variant
next tutaanza kuambiwa eti kuna variant imetokezea mexico.
ndugu zetuni africa, FUNGUKENI MACHO especially nyinyi wa🇰🇪.
🇹🇿 pls pray for 🇰🇪 my beloved. wana pumbazwa bure. sisi wa🇰🇪 wote huku nje tumekataa HATUDUNGWI.
Amen,Amen tunapenya kwa jina la Yesu,naingia ktk jina la Yesu Kristo kwa ushindi
Mungu akufanye kuwa ukuta wa shaba watashindana nawe bali hawatakushinda kwa Jina la Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai.
Ameeen!! Jasusi la mbinguni this is so powerful. Hallelujah!! Haleluuuujah!! Yesu ni Bwana
Kazi njema Bishop YESU asimame na Wewe Tanzania ipone
Aminaaaaaa bishop GOD bleSS You
Mungu akubariki, mtumishi. Mabaya your hatatupata, na wote tuliyo chanjwa mungu atupinganie na nia mama za shetani, shetani.haweza.kutimiza.mipango.yake
Amen amen amen, farakanisha wasipatane
Askofu Gwajima mwenyezi mungu akulinde kwani hao watu wakuu wa dunia wanajisifu kuwa wanaiwekea Africa matatizo sasa tusipo jiandaa watatuingiza matatizo makubwa ni mashetani watu tena wanajiingiza makanisani tuwe tu nawaangalia ni wajanja sanaaa
Unafaaa sana baba mwenyezi mungu azidi kukupa kibali
Amen 🙏 napokea ubarikiwe mutumishi wa Mungu.
Amina mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yako mazuri
Amina Amina kubwaa
Ameeen mtumishi wa bwana mungu atuzidishieee
Gwajima upo vzr mtumishi wa mungu
Mwenyezi mungu akulinde mh. Josephat Gwajima.
Aminaa Tanzania imeshaokolewa
Mungu atupe neema tupate kushinda
Ameen tutachomoka tuu kwenye Hilo wimbi mtumishi wa kwel tupo pamoja nawe tunayaona hayo tena sana Ila watashindwa tuu Mungu wetu ni mshindi
Ila gwajima nakuelewaga mzee wangu maana unanipaga vitu vizito vizito napenda Sana.
Asanteh umenifundisha jambo jipya,Amen
Naiwe hivyo katika jina safi la Yesu ♥
The upcoming president of tz may out Almighty God keep him until when thunder will open sky for him to present Tz in the new world
Mungu wa mbinguni azidi kukupa ujasiri uinene injiri hii hii inayofikisha makusudi ya Mungu kwa watu wake
Najivunia sana na maneno yako yananitia nguvu nakunipa ujasir
Amina kweli umeongea mtuwa MUNGU
Great man of God. Mteule kweli kweli,mtu wa milki ya Mungu Gwajima. Asante kwa kupambana kwa ajili yetu.
Very georgous wewe Mungu akulinde na sisi watanzania daima. Mtu anajulikana kwa mazungumzo yake km Mungu amekupa upeo wa kugundua hilo
From my deepest heart wewe ni mtu mzuri
Eh Mungu wetu was mbinguni Asante kwa kumtumia mtumish wako Bishop Gwajima abarikiws
Ubarikiwe sana mtumishi gwajima ungekuja hapa marekani kwenye mikutano ya injili uhubirie watu maana hapa walio wengi ni wapagani hawajuwi mungu hasa hawa wa black waliokuja kipindi cha ukoloni njoo baba tunakusubiri kwa hamu kwa mafundisho hayo ya ukombozi wa ki fikra na ki roho
Amen, Amen, Amen, Mungu mbere at atupiganiye, Baba yetu tumarizemwendo, salama💪💪💪🙏🙏🙏
Mungu azidi kukupa afya ya mwili na roho na akulinde na mabaya yote
Ameniiiiii Masihii wa Bwana.Mungu Akuongezee Mafuta shujaa wa Tanzania 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akupe miaka 10000
Tanzania inapenya katikati ya mataifa katika jina la Yesu uuuu
Amen amen dady mungu azidi kukutia nguvu
I pray for you man of God may God give you strength in Jesus name
Amen ubalikiwe sana
Thank You for Your Apostle Bishop Gwanjima may our African leaders seek Your Heavenly Wisdom I pray. Amen.
Kwakweli asonge tu mbele.
Powerful man of God.
Mungu Akubariki Zaidi na akutumie
Na iwe hivyo in Jesus name 🙏🙏🙏
Amen kabisaa huyu mchungaji ako juu
From 🇰🇪mungu Katie nguvu mchungaji jameni karibu kenya jameni
GOD bless you, the only one pastor, who speaks truly about the power of GOD in africa allover the world, no one can stop your fire
Amen amen,mungu akubariki sana na kutie nguvu ya kuwafikia mataifa yote
Thank prophert daniel
Uko sawa man of God tunataka watu kama wewe kenya
Amen baba may God protect you 🙏🙏🙏
Hallelujah, May God be with us. I pray that God to take me to my Country
Akili kubwa God bless Gwajima
Thank Asikofu
Nakusikia Baba Hella niliyokuomba ya Mchango wa Kujenga Nyumba ya Bwana Unaikumbuka by Imanuel from Dar es salaam Gongo la Mboto,Banana,Kitunda,Magole Kwa Mpemba .
Mungu atupenguvu tusiwe na zakuazima Asante sana kwa maneno matamu na mungu wambinguni akubariki na kuku epusha na wabaya wote
Haleluhya mey God blesse you the savant of God
Ameeen mtumish wa MUNGU tutakutegemea
This is Truth.
Amen God bless you 🙏 from Australia 2021 🙌
✊✊✊✊✊
Very special speech! GWAJIMA is as apostrophe!!
Mtumishi unasema kweli, I hope waumini wanakuelewa
Amina jasusi la mbinguni Mungu akuweke mpaka uimalize kazi aliyo kuitia
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe
Naona nikihamia Tz
Tuende 😅😅
Ata mimi
Poleni Sana wamachinga
God loves us👏👏👏👍
Nimeanza kukuelewaaa mzeee MUNGU kimbilio letu
hayo yote uyanenayo, hakika niyakweli mtumishi. Mungu akubariki na kazi ya mikono yako.
Mungu azidi kukusimamia katika kuihubiri iliyo kweli...
The dealer kimsifu YESU KRISTO,JESUS IS COMING RIGHT AWAY!!!!!!
Tabitha ubarikwe mtumishi wa Mungu kwa ufunguo wa nguvu big up.
kama Yanesi na Yambre alivyompinga Musa, ndiyo nyakati za mwisho zurakavyokuwa. Amina mtumishi
Mungu wajua sababu
God bless You
Ameeen Baba nimebarikiwa
+254 Tz mmebariki na jasusi lambinguni. Hukubkwetu tunawateule waliosazwa, wengine wamechanjwa kwakutiwa hofu na serikali. Nashukuru tumesimama imara kwa Yesu
Amina Skola. Mungu awabariki
Kuna lazima huko eti
Kweli huku Baba ndio hivyo Mi nipo nje huku sijachanjwa niliumwa maboss wangu hawakuweza kunipereka Hosptali kwa sababu sijachanjwa hivyo naomba Mungu anisaidie aniepushe na maradhi nimalize mda wangu niludi nikiwa salama
Acha zambi ndo njia ya kuwa salama kabisa magonjwa hayatakukaribia
Mungu wetu tunayemuamini kwa jina la Yesu nakutamkia utarudi salama.
Agiza dawa zetu za Tanzania uwe nazo. Ukiumwa hata mafua unatumia. Mungu ametupa hekima ya kuwa na dawa zetu. Agiza uwe nazo. Hekima ya Mungu itendayo kazi ndani yetu tuna dawa zetu
Mungu akutangulie
Amen amen amen 🙏❤️
Pray the Lord ooh Halleuya