Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki
Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans
Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa.
Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.
Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana
Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu
Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺
Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie
Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰
Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu
Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤
Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma
Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya
Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko
Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,
Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅
Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️
Asante. Saaaaana. Viongozi. Wetu. Woooote. Na. Za. Kipekee. Apewe. Master. Aziz. Ki. Hongereni. Sana. Wananchi. Kwa. Uvumilivu. Wenu. Makolobwanji. Walianza. Kupanga. Sherehe. Kutuzomea. Sasa. Vwamebaki. Mimacho. Kodo.
Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli
Naipenda yanga
Hongera sana rais wetu hongera azizi ki kutisikia
Semasema semaji letu tunakuelewa 🎉🎉🎉🎉
Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever
💚💛💚💛💚💛yanga mbelee nyuma mwiko
Nilikuwa Nakusubiria kwa hamu msemej mwenye point za uhakika
Hakika Mungu.niwalehema siku zote tunawaombea Mungu.akajibu maombi.yenu
Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛
Wa kwanza Leo💚💚💚
Napenda kusema uongozi kwaujumla mkovizuri timunyingine muige siodhambi😊
yanga daima mbele nyuma mwiko
Yanga🙌🏻🙌🏻
Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
Aho wagaya avae....
@@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,
@@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo
Semaji mwenye cv kubwa
Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅
Hongera kwa raisi
Hongera sana ENG HERS SAIDI
Yanga for life
💛💚💛💚yanga
Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini
Roho imekuuma.....😮😮😮
Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,
Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛
Yanga bingwa
Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri
Naipenda yanga yangu❤
Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali
Yanga mpaka nakufa❤❤
Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛
🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga
Author✌🏿✊🏿❤️
Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan
Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme
Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana
For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏
Nice
Hongera yako president
Kwa aziz ki
Nakubali sana ❤
The first one, today
Wambie hawooo manyonyo fc
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
Ulimsainisha ww au
Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
Yanga hii mwaka huu litakufa jitu
Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤
Safi sana
MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k
Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂
Onger eng hers said na menejiment yote
Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏
💚💛💛💛💚l Love You yanga
Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi
Asalam aleykum wananchi wenzangu
Walaykum s laam
Moyo wangu umetulia sasa
Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉
MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢
HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU
nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha
Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂
mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa
Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛
Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv
Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona
Ushindi muhimu
Huyu jamaa huwa anaongea fact sana
#Yanga ni lidude kubwa sana😂
3 one today😊
Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K
Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa
Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂
Sure😢
Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉
Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚
💚💛💚💛💚💛
Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe
Kivip kolo
Maana hamuna munacho tuzidi labda munatuzidi maumivu😂😂😂
❤❤
Asanteeeeeee
Hongera rais
Allaah Akbar
Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!
Injinia apewe maua yake jamaani,daah Hadi laha❤😂🎉😢😮
Ila Ali kamwe anajua kucheza na akili za hao wanaoHojii😂😂🙌