HAKIKA RUBEN|SIKENDO YA USHOGA ILIVYOMTAFUNA MKE WAKE NA WATOTO WAKE..Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- #HakikaRuben #FoxeTv #Mikasa
🔴Pia bonyeza alama ya #Subscribed apo juu ili kupata notification za habari na matukio yote hapa hapa Foxe Tv Tanzania
.
.
.
.
📌Follow page instagram @FoxeTvTanzania
@Alejman Josiah
.
.
.
.
📌Info:📞 0746409426
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
..
..
..
..
..
📌Tag
#HarmonizeFtKajara,paula #HarmonizeNaPaula #VideoZakajara #Kajara #paula #HarmonizeFtAwilolongomba
#HarmonizeAttitude #H.baba #Awilolongomba #VideoYaAttitude #HarmonizeFtAwiloLongomba #HarmonizeNaH.baba #kajala #Kajara #PaulaKajala #VideoImevuja #xxxBongo #xxzTz #Vigodoro #miunofeni #DiamondPlatnumz #WCB #WasafiMedia #FoxeTv #Hakika #Akika #Rubeni
#Jux #Sugua #Harmonize #DiamondPlatnumz #AttitudeVideo #Waah
#Harmonize #Rayvanny #Video #Kwampalange #MaximumTvOnline
#Nabii #mchungaji #MchungajiMashimo #KomandoMashimo #Attitude #TikiTv #VideoYaAttitude #Matako #makalio
#JinamaLaHarmonize #Utamu #Shape #Harmonize #Kajala #PaulaKajala #Vigodolo #Vigodoro #Changudoa #Xxx #Kafumaniwa #Fumanizi #kwampalange #Buza #Oman #Dubai #Kenya #Rwanda #USA #BBC #Zar #Jokate #Wemasepetu #Jimama #Mauno #MbengoTv #MillardAyo
UNAWEZA KUJINGA NA GROUP LETU LA WHATSAPP ILI KUPATA MATUKIO YETU KWA HARAKA ZAIDI..Link hii apa chat.whatsapp.com/CptUDTRfRSo5OimbjoLZ0a
Nisip coment hamnuni
Msosi huu
Luben!
Yaan unashindwa hàta kishwahl chako jaman kah!
Uñshiñdwa kusema ruben,watañgazaji weñgine bwaña! hovyoooo
Huwa na enjoy kumsikiliza hakika
Yuko kwenye familia iliosambaratika Daaah hakika anachekesha kweli😂😂😂😂😂😂😂
Kwanza kamdanganya mtangazaji.., yeye ni boss.., Mkurugenzi anamiliki Shule sema hapendi kuhojiwa hojiwa.., hiyo ya kazi za ndani kadanganya kabisaaa😂😂😂😂..., suala la Sanaa kwake ni kama burudani wala siyo kazi. Wanaomhisi ni shoga mara dishi limeyumba wako wrong.
Big up Hakika Reuben!!!!!
Umeona hee kwanza ni mtafutaji balaa na hawezi kuwa na usenge huo
Kwan ilo swala la kuliwa si alisema yeye so kama kweli au uongo anajua yeye
Mungu nisamehe KwA yote naomba mtoto wAngu.asiwe.ivi
Huyu ni mpangwa mwenzangu sisi wapangwa washamba sana nami pia ni mshamba kwelikwel
Hii Nchi haya mambo yameanzia mbali sana na Tujitahidi kwenye malezi Ili watoto wetu wasije kua kama huyu Hakika Rubeni ni msiba mkubwa sana
Eti hongera kwalipi kwA uzinzi😁
Kiswahili Cha iringa hicho
Hongera Kaka napenda vichekesho vyako
Waaandishi wa habari mtaelewana Nae tu Rubeni simbali Sana
Hakika wewe mwenyewe unashindwa kujizuia hadi unajicheka mwenyewe
Nimecheka yangu yote Yani wewe Rubean Hakika wewe ni komesha kweli
Ndugu mtangazaji jasho lazima limemtoka😂😂😂
Ujue nimecheka eti tuko biz na maisha yetu halafu uje tu uanze kutulea how
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mungu wangu Ruben jamani umenimaliza
Huyu luben anachekesha duh
Napenda huyu jamaa anaposema mm niko single
Anajitunza
Shoga huyo, sio mwanaume rijali
Kweli hakika ufuluge na maswali ya mtangazaji
Hahaaa Safi Sana eti hongera ya uzinzi 🤣🤣
Jaribu kutofautisha R na L. Ruben sio Luben, sio Stoli ni Stori. Tusiaribu kiswahili. Pls…..
😂😂😂😂😂😂😂Ety hongera ya uzinzi
Mbona anarembua sana aibu nyingi Sana
Hakika 😁🤠
Hakina ni mafta ya taa. Huyu ni kiboko ya waandishi wa habar wanafki. Bila kujipanga lazima akutoe jasho la meno
Majibu ya huyuuu jamaa bhana ni comedy saaaaana
huyu nikabila tukufu
Ila mie binafsi nimeyapenda sana majibu yake.
Uko sawa mkuu
Kweli ndoa ni taasisi maalum
Kuna show ulikuwa unahojiwa pale Oyo TV nikikumbuka vizuri sana ulisema uko na mtoto mmoja wa 9yrs na hapa leo umesema uko nao 3 so which is which
Chokooo
Hongera lkwa uzinzi 😀😀😀
Napenda sana unavyojibu
End of the world
Nimecheka miee🤣🤣🤣jamani uyu kaka!🤔🤣
Huyu Kaka anajua kuwadanganya hahahaaa
Yaani kila siku akihojiea anabadili story na zote zinafanana na ukweli, maana alishawahi kusema alikuwa anafanya biashara kati ya kenya na Tanzania ndio maana anaongea kama mkenya sasa leo anasema alikuwa mfanyakazi wa ndani
@@davidcurtis8556huto wahi kumuelewa comedy hata siku moja we kama humpendi jitoe sisi tuna mpenda❤️❤️❤️
kumbe ni shoga kweli dah
Safi sn uckubali kuitwa mijina ya ajabu2.Mijitu insbadilidha majina walopewa na wazazi,halafu jina analojipa haliendani nae kabisaaa?
...nafurahi chap chap😂😂😂😂
Watangazaji kwenye R na L ni mtihan ni Hakika Ruben na vyo hakika lubeni na ni Really na cyo lealy khaaaaa
Akoje jmni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 anachekeshaaa Yani majibu yake..eti mi siko nao wote
Huyu fala akili zake anazifahamu mwenyewe 😂😂😂😂😂😂
Hakika miyeyusho xana 🤣🤣🤣
Huyu jamaaaa nimemkubali😅😅😅😅
Mtangazaji bhana “Hakika Luben”??
Chizii huyuu🤣🤣🤣
Huyo nishoga kwamtazamo Wala haitaji vipimo
Eti Hakika Luben? Please.
Hahah familia iliyosambaratika yaani
Huyu alisema kwenye maxmum tv eti ako na mtoto mmoja leo anasema ako nawatu
Hapa tu akiojiwa anachekesha hahahaha
Nimecheka sana 😅😅😅😅 et na mimi nilikuwa natukana wasaniii😅😅😅
Kaka kwa hiyo huna kabolo,mmmm kwema
Hehehe ayo majibu jaman
Yaani huyu mkaka nampenda atanibasi
Hamna mwanaume hapo
mchicha mwibs😀😀😀
Huyu jamaa simuelewagi kabisa, nikiona clip zake tiktok hua napita zangu
nilijua ni mimi tu
😆😆😆😆😆😆😆✋
Sasa huku mmefuata nini mbona hamjapita na mmecoment
Hongera kwa lipi 😄
😂😂😂😂😂😂😂mjinga kweli uyu hakika
Huyu jamaa majibu yake hayaeleweki yupo kama dishi lililoyumba
IQ yake ni kubwa .... Its hard to understand
Yaani weweee kaka umenichekesha kweli eti unataka ushauri wa mtangazaji kusudi ukawaambie wazazi wenzio km mtangazaji kasema hivi🤣🤣
I wish naeza njua kuongea kama Reuben🤣🤣🤣soo funny
Yaan haeleweki
Daah kaka wew noma ety hahahahaa hii imenichekexha!!!!!??
From Kenya uko fiti
Sio Luben ni *Ruben* Luti au Route. L & R kazi ipo...
muhehee halisi
Kwanza muulize kinasa ni nani?
😂😂😂Wee... Ruben mjinga ww ati waje wakae tuongee nini😅
Hakika unanifurahisha kwa majibu yako
Huyu ni machepele sana
Haaaahaaaaaahaaaaa eti utasababisha nikose madanga.
Matangazaji kiswahili chepesi kama hukijui utapata shiida semaa mm nimesoma mpaka la 3 huyo atakua tim ya wale jamaa zetu .............!!!!
Mvulana wa ndani 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Unachekesha wejamaa
Kuchangamshana😂😂😂😂😂
Jamani hakika🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa kweli mzinguaji , alafu majibu yake sasa anayajua mwenyewe 😄😄😔😄
Siwi nao wote, hicho kiswahili Hakika !! Tutaongea badaye.
My lavu😂😂😂😂 tunavyo kupenda
Anaringa saana anajiona star sana , na tajiri saana
Mmmh hayo yako sasa
Tafuta Hela zako na wewe Ujione
Yaan hayo majibu c mchez
Huyu mtu wa Iringa kabisa huyu.
Umenenaaa
L na R jaman 😓😓😓😓😓😓
Usije ukavaa kanga aibu na ukatingisha ,mmmmh aibu baba.
Hakika nimecheka mm et niongee nao nn
🤣🤣🤣wacha nicheke kweli huyu ni chizi fresh 🤣🤣🤣
Kumbe nikweli
unakikana adi kihehe chako
Rubeni nimmoja wa wale watu wenye akili nyingi
Kweli,huyu kaka kama hayupo sawa, na ukiwa imesambaratika kwa famili,lazima akili isambaratike pia.
Yaan hakika mtangazaji akileta dharau nayeye anamfanyia dharau kwel ni mwana sikolojia
Mnyakukolo huyoooo
Ukimuimbia MUNGU alafu ukaacha lazima uwewuke huyu kawewuka ushauli wangu amludie MUNGU
Kumbe uyu jamaa Nishoga kweli
Aisee umeona eh
Hakika Luben
Ruben miyayusho sana🤣🤣🤣🤣
Chakula kwl
Daaaaa pozi kama zoteee
Et hongera kwa uzinzi😅😅😅😅
Mh: huyu mazingira tu yanajionyesha