MAMA WEMA Akimtunza Mwanae kwa Uchungu/Ampa Ujumbe Mzito!!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- #MAMAWEMA #VANVICKER #BIRTHDAYYAWEMA
LIVE: Mama WEMA Akimtunza Mwanae kwa Uchungu!!
Usiku wa Septemba 28, ulikuwa ni wa furaha sana kwa Muigizaji nguli Bongo, Wema Sepetu ambaye alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa.
Hafla ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa ameifanya katika ukumbi wa Mlimani City ambapo siku hiyo pia amezindua filamu yake yake 'Day After Death' ambayo ameshirikiana na muigizaji nguli kutoka Nchini Ghana anayeitwa Van Vicker.
bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1 / uwazi1 WEBSITE:
globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Hongera kwa kutimiza miaka therathini, Mungu akuzidishie mingi mingine. Happy birthday.
Mashaallah wema una mama mzuri sana anaktunguliza kwa Allah swali dadaangu nakuombe upate mume mwema akuongoze katika mambo ya kheri upate na watoto wazr Inshaallah.🔜
Katika wote mama Wema umedamshi. Mungu ndio kila kitu. Mengine tutayaacha hapahapa duniani. Hongera
Ooooh! Our Beautiful wema na mama mmependeza sana sio kama yule toloba waliokuwa wakimbabaikia Mungu akujazie Kheri beautiful Wema
This makes me miss my mother.....who is in heaven. ...congratulations wema
Pepo ya dunia ni Mama Mashaallah Wema auozi utabaki kua wema siku zote..Tz Sweetheart❤
MaashaaAllah zawad ya mama nzuri na ujumbe wake safi
kutoka Oman wallah nimefurahi zawadi ya Mama ipo vzr lnshallah kwauwezo wamungu wema atavifanyia kazi
Upo Oman sehem gan mwana
Machozi yame nitoka mama wema alivo Fanya kumzawadia mwanawe....pongezi Sana'a! mama wema na Mungu! Akubarik......ndugu zangu..tuuchukuwe mfano huu..wa mama wema.....Good Mother. I love you so so much
Baraka huanzia kwa Mama
Da wema uwo mswala usiuweke kando tu tumia mswala huo kuuswalia na kumuombea mama dua inshaallah mungu amuweke azid kukuongoza ktkt yaliyo mema
Strong message from mama....Wema take it and use it wisely 🙏🙏🙏🙏
MashaAllah mabrook 2 all mama na mwanae u r the best 1 in Africa
Mama Mungu akuweke jaman Mimi sina mama ila nikiona mama wa mwenzangu na mimi nakua na furaha 😍😍🙏🙏
Dah pole my mungu amuondolee adhabu ya kabri
Acha tu Zainabu,mimi hupatwa na uchungu sana,Mwenyezi Mungu awarehemu wazazi wetu.
Shani Mbaruku Amen🙏
Blessj 2015 Amen😢🙏
Zainabu al tz Al pole sana
Kunakipindi mtu unakuwa umekuwa kweli wema umekuwa hongera tulitegemeya utavaa mavazi ya kukuacha wazi mashalaah ungefunika na kichwa tena ahaa umetisha sanaa hongera
Hongera wema kwa kumheshimu mama mama ndio mwenye baraka zote
Wow mashaAllah mama wema nimeipenda tuu sana👌👌👌
SweetMother Mashaallah Mashaallah Allah Azidi kumueka Mamako lnshaallah
Umehamua kumrudia mungu nin!maana hyo Nguo ya Leo inampa mungu utukufu
Mama hapo umenena maana bila mungu huwezi chochote kile ahimidiwe mungu aliye juu
Wema huo msala sio pambo utumie vzr all de best
Zawadi ya mama nimeielewa,Tuwaheshimu wakina mama jomoni😢😢😢
Lovely
Saaaana mama...Allah akubatoki angu u did good Mashallah
Masha Allah mama wema nimependa hiyo zawad
Umependeza sweetheart wetu❤️💋
Mnakazi kweli masikini basi mie mnaniacha hoi sherehe zenu mnachanganya ushetwani na mungu baada ya hapo mnaenda kusifiana pipe humuhumu utube ifike mahala muogopeni mungu msije mkaona labda tunawaonea gere muogopeni mungu au vipi wailizeni mashehe sherehe zinapaswa kuwaje hatari saana mama zetu.
Hakuna mkamilifu chini ya jua zaidi ya Mwenyezi Mungu
Happy birthday dear Wema 💋 🎊 🎉 umependeza ile mbaya 😘 💕 😍
Mashallah zawadi nzuri kutoka Kwa mama
Zawadi nzuri kutoka Kwa Mama Masha Allah
Wow mama Asante
Mashaallah nimeipenda iyo wema kweli umekuwa
zawadi ya mama ndio imekuwa kubwa Masha Allah ♥😍😘
Mama wema hajaolewa eeeh Samahani kumbe anamtoto wema kila mtu akitaka kujifurahisha anachukuwa na tena kimenoga mashallah
Ukopoa
Dua ya mama hairudi ameen
Maama wema we love you mwaaa....
hadi raha mama ni mama apemaisha maref mama wem
Jamani wema mama anakupenda mpaka naona wivu mie.
kabisa mam umeongea kweli kabisa akuna maisha isokua na mitihani.
Mashallah
love wema
Imependeza sana
hongera
💗💗💗💗
Lovely hongera mama. Wema
Kuolewa ni bahati muda haujafika
Aminaaa mama wema Nani kama mama
Wema anapendana na mamaake ad raha
mama wema hongera sana
Da wema mung amjaaliy mama maana hapan chezey
mashaalhu mm wem🙏💔
Mummy love wow😍😘
Hongera mama Sepenga wangu
Asante dj
Bora arudi kwamungu wema
Hakik
Live long lf wema and ur mom
Hakuna kama mama umempa zawadi nzuri na maneno ya kumbusha mungu
Nice
Ongera madam wem
Hiyo ni hbd tu jensiku ya harusi ndio balaa kabisa kwelinwema ni Tz swwetheart
wanaosemaga Wema matako mchina ,Jamani mbona hata mamake ana mtako tuu,au nae mchina😁😁😁
Binadamu uwa wameumbiwa kusema bt natako ya uko hayoo
Wanafk2 wanyaturu wengi wana matako mihuutu hawana
Mrs dulah au zena kihondo. Wanadamu wanfk na wvutu
woow
Waoooo
amen
Hadi machozi inshaa Allah Wema Sepetu utapata Mme bora?
Jamaniraha
mama amkumbatia mwanae... hadi machozi ya furaha yamenitoka jamani... nakuombea nawe siku moja uje ukumbatiwe na mwanao....nakuombea sana wema naamaanisha ipo siku utanyonyesha....
Moja tu kicwa wazi Bi wema Insha Allah utanyo oka
Amependeza kavaa nguo zimemsitiri ukiwa mtoto wakislam hivi inapendeza
Ongera.wema.umezeheka
Matiti nje kastirika kivipi
Tangu lini stara ya muislam ikawa hivi?
Hakuna kama mama
Nimembuka mama jomon😄😄
Wema hiyo nguo uliyoivaa hujapendeza
acha wivuuuuu😀
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🎂🎂🎂😍😍
Ww ni mama bora ni mfano wa kuigwa, mmependeza xna
Wema ana kiuno kama cha mama yake
kweli
HBD DADA WEMA
Amna km mama
Nasie wetu walishatangulia mbele ya haki amna kikubwa chakuwafanyia zaidi ya kuwatulia dua 😭😭😭
Kweli my
Mama nimependa zawadi yako
Mswalah umepew ufanyie kaz sio uwek kabatin Maisha ya dunian ni mafupi ivyo tukumbuken Safar ya kulud Kwa muumba wetu
Kupatwa kwa mswala na tasbihi..
Omg Mashaallah Mashaallah mama mungu akuzishiye dini yaki yiho Mashaallah
Umenichekesha. Sanaaa
utani na mungu wakuswali hapo hakuna
😢😢😢😢😢😢
jamani ukiwa na pesa u will do anything
Wema sasa uolewe usherekee harusi sio kilasiku birthday tuu
Yan wema umetuangusha mashabiki zako😢 mavazi yako hayashtui khaa I'm speechless
Lailaty Abdallah we ulikua unatka akae uchi et. mbn kapendeza San tena snaaa
Wema atahakivaa haje anapendeza sana
Mlitaka avae uchi
hujachoka kuuona uchi wake miaka yote ilopita sasa ni zamu yako
@@rachelhenry415 kabla ya ku comment make sure unajua unachotaka kuviongea! Unajua maana ya "make a statement"? Au unaropoka tu? Sijasema hajapendezaa Wala sijataka akae uchi ila alitakia aende na theme ya shughuli hapo kavaa kawaida sana! I'm not a hater I'm number one fan of her Sasa Kama imekuuma Mimi kuongea ukweli saga viwembe umeze😃
Umewashinda wote mama hata aliyemogesha na mapesa ww ndo umetenda jambo muhimu kuliko yote
Nc
Hallllloooooooooo
ninachokupendeaga wema unavaaga nguo za heshima
Pongezi ibada ndio kila kitu
mama naye yuko vzr uko nyuma hahaha
Nipe kitenge kimoja basi
🙄🙄🙄sikujua kama huyu dada ni mwislam!!!!! Tangu lini?
Kama vile nimeuelewa mshono wa watoto wamependeza
Angeanza kesho anaache mawivin
Mswala umepatikana na tasbii kwa wema 😁😁😁😁
Mmmmmmh kitenge 1 kwa 1 kwa fundi dress kali 😁😁😁😁
Kumbe wema ni Muslim
Bir
mbona mama wema asema bwana yesu asifiwe kwani yy simuislamu
Alijua kuna wakiristo
Kumbe alikuaga ameenda kwa shetani mkazi nyie waja
Zena kihondo.wewe camera man unazba nn
Wema anapendana na mamaake ad raha