NGUVU YA KIROHO YA KUFUNGA || PASTOR GEORGE MUKABWA || 30/06/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
-Safari Com : +254 722 578 776 (Jina : George Stephen Mukabwa)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Amina amina glory to God pia mimi nitakua nanyi katika Mfungo wa siku 7 hope siku moja nitakuja kutoa ushuhuda hapa kwa mengi MUNGU atatendaaa
Napokea neema ya kufunga na kuomba katika jina la Yesu kristo 🤲🤲🇰🇪🇸🇦
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen Asante sana Bwana Yesu Kristo wanasareti
Amen. Tuko pamoja kwa mafungo..ili mungu atende mema.Asante mchungaji..nakufwatilia sana kwa ibaada.. kutoka kenya ❤🎉barikiwa mchungaji
Asante mungu, nimepata ufahamu barikiwa pastor
Amina ubarikiwe sana mtumishi masomo yako yameniimarisha sana.
From Kahama Shinyanga
Hallelujah baba, nakusikiliza toka Dar. Mungu akutunze kila kukicha
Amen Asante sana NAMI najiunga na nyinyi Kwa mfungo kutoka kenya
Saut Kuna mahubili yanapita hutujui mtumishi umeongea nn
Mimi nabarikiwa sana na mafundisho yako
Powerfull powerfull powerfull Iam blessed.Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU
Amen amen amen amen amen amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎉🎉
Hii ni siri hata mzazi ama rafiki haezi akakupa lkn mchungaji umetupa barikirikwa sana watching from saudi Arabia
Samahan naomba kujua mfungo unaanza lini,niwepamoja nanyi
Wameanza leo😊
Wameanza leo
Amen Amen Amen
Jamani nimejifunza mengi sana kupitia huyu mchungaji nimebarikiwa sana
Amen,Mungu nipe NEEMA ya kuharakisha majibu yangu katika kufunga
Amen
Amen Amen Amen, 🙏🙏🙏
Naitaji kitabu sana ila nko Kenya nakipata aje tafadhali Whatsapp number please
Amen amen amen 🙏🙏🙏
LUKA 13:8-9
Amen 🙏🙏
Amen
Amina baba
Ameni
Ameni,
Amen,pia nami najiunga na huo mfungo, Mungu anitie nguvu na roho wa Mungu anitangulie na kuniongoza,Mungu ageuze machoji yangu kuwa ushuhuda
Atukuzwe mungu anae jibu maombi yetu. Kama alivyo mjibu Daniel na mimi nitajibiwa
Naona nikigeuka kwa Jina la Yesu nitaeudi na ushuhuda hapa kwa Jina la YESU
Ameen asante mungu kwa kunifikisha mwezi huu wa saba nikiwa mzima zidi kuniongoza pamoja na watoto wangu n familia yangu
nataman kushiriki pia napenda kuwasiliana na pastor Georg lakini hapokei simu
Ahsante Yesu kwa Ibada nzuri🙏
Niko na nyinyi kwa mfungo wa siku sapa God help us
Napokea Kicheko kwa jina la Yesu🙏
Amen nashukuru mungu kwa kunifikisha mahali nimefika
NAKUBALI MTUMISHI MAFUNZO KIBAO👏
Aminaaa baba ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏
Naomba mungu anipee neema za kufunga mchungaji
Majira yangu yamefika baba yakujuwa kumba
Emungu napokeya neema ya kufungu na kuomba
Amina amina
Baba niongoze kusimama na neno la Bwana
Amen Amen mungu ni mwema kila wakati
Pst.mi nilikua na swali, vile mtu anasema atafanya kitu(ambacho ni dhambi) labda atafanya kwa siku iyo tu alafu anasema akishafanya iyo dhambi hatakuja kukifanya tena na ataomba toba kwa icho apo kuna athari zinakuwaje kwa siku iyo akifanya
Dhambi kwa mkristo inatutenganisha na Mungu pia kwa kila jambo tulifanyalo kuna consequences.pia bibilia inatuambia epuka dhambi uishii
Ila ukipenda dhambi ufe...(Ufe kiroho,kiafya,kibiashara kwa kila eneo kwa ur life
Ubarikiwe zaidi kwa neno iyi
Mnaanza lini mfungo huo, nataka niungane na nyie
Kesho
mfungo wa siku ngap mtumishi
@@pastorgeorgemukabwajrcnaitwa lilian kutoka kenya lakini niko Egypt pls nisaidie na namba yako ya whtsup ningependa kuongea na wewe pastor.
Nakushukuru mungu kunilinda naitaji bwana hunilindie ndoa yangu yesu nakupenda sana mungu kwasababu ujawai kushidwa wewe Nakushukuru mungu kunipa mume hanaye jali kuhusu wewe baba yangu nisaidiye mungu nilidiye mume wangu pia unatosha unahenea kwangu AMINA
Barikiwa mchungaji
amina barikiwa sana mtumishi
Amina
Amen Baba
Amina
Thanks Jesus 🙌🙌🙌🙌Ameeeeeen
Amina Mtumishi
Amen Amen sana baba
Ameen
Amen, nitapata vipi kitabu kwasababu niko kenya
What's App number ikipatikana.
Aminaa
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏
Amen amen 🙌
Amen Amen Amen
Amen amen
Amen amen amen
Nabarikiwa sana jaman
Amen
Amen 🙏
Amen 🙏
Ameeen