SEMINA YA KUBOMOA MADHABAHU YA MAISHA | BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA | 18.09.2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Amina baba mungu Baba akubariki kwa mafundisho mazuri
Asie kujua NAOMBA niwatambulishe wapenzi watazamaji uyu mnaemuangalia anaitwa josephati gwajima..............nampenda anaubili sili ya Mungu........
Amen
Ahsante kwa kutufundisha kubomoa madhabahu, CCM ni madhabahu tunaiobomoa kwa jina la Yesu, iboke sasa, tunaibomoaCCM.
Tangu mwaka wa 2021 namfuatilia sana na sijawai choka naye❤❤
Nakufurahia BABA kwa kawaida mtu achagui baba ila mm nimebaatika kuzaliwa na BABA mweenye akili ya MUNGU na ndivyo tulivyo alivyo BABA ndivyo alivyo mwana mm na BABA tuuuu umoja. Love Dadiy❤👏👏👏👏
Ingawa sipo karibu na wewe kimwili lkn kiroho huwa nashiriki na wewe ktk meza moja ya chakula Cha kiroho.. wewe ni mjezi na mwalimu wagu wa ulimwengu wa Roho..barikiwa Dady
Nabarikiwa sana hata sijui nianzie wapi . Ila ubarikiwe sana baba MUNGU AKULINDE UISHI MIAKA MINGI SANA
I love your teachings man of God it makes a lot of sense in our day to day life.Thank you very much
Amen AMEN Amen na Amen!
Wapendwa katika Bwana naweza kupata no ya Askofu Gwajima
YESU AKUTUNZE
Basi NIZINDUWE
Asante
Nakupenda Baba yangu ni Mkuu kuliko wote nabomoa madhabahu za kueseka Kwa Jina la Yesu
Duuuu!
Amen Baba yangu Mungu aendeleye kukutumiya
Oh my God powerful teachings from kenya
Amen
Mimi ubarikiwa kila saa na neno ambalo Mungu ameweka ndani ya mtumish❤❤❤
AMEN
Asante Mungu kwakubomoa mazabaho yotes ya giza ndani yamaisha yangu ninaanja maagano mema katika mazabaho yakimungu ninakuaminiamungu wangu ndani yayotes Mungu wangu nitendeye nipe mtoto Mungu nakuomba nakulilia navunja mazabaho yotes ya damu ,yauwasherati ndani ya familiaya yangu n'a ndani yamafiliya ya mume wangu navunza yotes isiyo ambatana namazabao Yako nakuomba Mungu nitendeye kamavile ulivyo washamoto waelia ninaamuru moto île iwake ndani yamaisha yangu kwakushambulia kila kitu ambakyo kinafungwa ndani ya kizazi kyangu na ndani yakizazi kwamume wangu ninaombo ivyo kwa jina la yesu christo AMEN
Barikiwa Pastor Gwajima
Daddy BARIKIWA SANA
Mwakahuu tutawankowa kwa Jina la Yesu
❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye hai
Bwana aitimilize Kaz aliyoianzisha ndani yako
Somo nzuri sana, barikiwa
Nakuelewa sana baba
Barikiwa sana baba somo zuri sana
Mungu tuepushiye na mazabahu ya ki mashetani
ameni sana
Utukufu.
Watumishi wa Mungu, kama kuna access ya kupata somo likiwa limegawanywa Part 1&2 naomba nisaidiwe. Ku download masaa 3 na kuwatumia watu kuna changamoto Kidogo
Lakini pia kama kuna app inaweza kudownload video au audio zenye mbs nyingi naomba mnidokeze
Jaribu APP ya VIDMATE kudownload inaweza kufaa.
Nimefanikiwa ku download
Mungu azidi kukutumia baba yangu Dr Joseph unasema sisi tunabarikiwa masomo yako
Amen Amen Amen
Yes
Kama Baba nimepata kwa kweli ninajivunia sana
Amen 🙏
Ameeen huyu ni mtu atokeaye kwa Mungu
guta ipo mtumishi mimi nimeunda,nilijaribu kuunda mpaka helkopter mashart makali sana nadhani ulisikia
Mimi nina omba babá uniyombee, Nina ishi maisha mabaya sana
Lite watu wangefuatilia hata kama wanavyofatilia miziki ya dunia nk😢 shetani anafunga kweli
tunaitajika kutoa sadaka tununue kamera ingine picha aina kwaliti jamani
Ujawai kukosea..............
Du, hii akili sio ya kawaida, yaan najifunza mno
Farao kaka nyumba moja n Mwana wa Esrael
Hii ni shule ngumu baba, mimi baba naona siyo uchawi tu, Bali ni chanjo tunazochanjwa tangu watoto pengine Zina vitu vya kutulaza ili wazungu wamiliki na kutawala
Baba Askofu mwanzo hayo maeneo yalioko na maji usisema majini ni mengi sana nayakikuona uko na nyota yana kukwamilia mwisho unajipata kwa mausiano nayo
Hiyo ni kweli. Tunaangayika mu mainchi ya nje japokuwa africa ni paradison. Mgeni akikuta mwenyenyumba anasinzia. Anayigeuza nyumba yake anamfukuza mwenyenyumba
Kweli kabisa waafrica wengi tumelogwa ndio maana tupo Kama vichaa.
Yenyewe hapo kwa farao nimecheka kweli ati paka anaitwa pharao
Nakufurahia BABA kwa kawaida mtu achagui baba ila mm nimebaatika kuzaliwa na BABA mweenye akili ya MUNGU na ndivyo tulivyo alivyo BABA ndivyo alivyo mwana mm na BABA tuuuu umoja. Love Dadiy❤👏👏👏👏
Amen
Amen bishop plz nitapata wapi kitabu Niko Mombasa bamburi
Du, hii akili sio ya kawaida, yaan najifunza mno
Amen
Amina
Baba Asante Kwa kunifundisha jinsi ya kuomba maombi ya vita
Du, hii akili sio ya kawaida, yaan najifunza mno
Du, hii akili sio ya kawaida, yaan najifunza mno
Du, hii akili sio ya kawaida, yaan najifunza mno
Du, hii akili sio ya kawaida, yaan najifunza mno
Du, hii akili sio ya kawaida, yaan najifunza mno