Davistar, hawa wasimuliaji wanapoteza dira ya kusimulia step by step kwasababu maswali yanakua mengi kabla hata story haijaeleweka, please maswali yawe tu mwisho ya kipindi ama tuweke episode maalum ya maswali mwisho wa story kabisa,
jamani eee tufanye tumsaidie yule dada husna..kwanza yule mtu aliemdalilisha kingono achukuliwe hatua pili..matumizi kwaajili ya maisha yake..jamani watu wenye kujua watu wa ustawi wa jamii..msaidieni yule msichana tafadhali
@@heritier5119 for sure hata shetani mwenyew anapata tabu nahawa maana hawa wakiokoka wanamaanisha kweli tofauti nasisi watu Baki maana wanajua wakicheza mistake moja wanarudi huko na ndio maana wapo makini sana juu ya wokovu wao hawataki kurudi nyuma hata kidgo
Davista sshv unaudhi sana, ungemuacha mtu atoe simulizi yake yote hatua kwa hatua, maswali yote andika ww baada ya stori kuisha ndipo kipindi cha maswali kianze
Shetani kenge Sana.. nishauziwa gari bovu hata sijafika nyumban likaharibika.. baada ya muda ndo naliona lilivyo bovu... Shetani kufa kwa Jina la YESU KRISTO... Shetani kufaaaaaa unguaaaa kufaaaaaa kwa Jina la YESU KRISTO aliye hai
@@davidochieng7055 kweli kabisa Yani imekuwa kali saaana illa kuanzia part 3 wameanza mahojiano sio simulizi tena.... Jee yule bibi aliyempeleka imekuwaje....huko kuzimu miaka aliokaaa imekuwaaaje amekuwa anafanya nini .... Na amepitia vituo gani na matokeo ya hivyo vituo.... Connection na alie muingiza ikawaaje.. Yani kote uko wameruka....aaaaah basi mi nafikiri sirudi kuifuatilia tena ...
huyu jamaa kulingana na story yake yake saiv bado atakuwa huko sema kaingia makubaliano ya kuja kama mchungaji na awe na kanisa lkn kwa lengo la uwakala huohuo wa shetan
hana mpangilio sababu davista ndiye anayelimpoteza njiani kwa kumrundikia maswali, yaani wanaongea wote kwa pamoja. Angekuwa anamuacha aongee mpaka mwisho kwanza
Davster unazngua unamtoa kweny story baba acha aendelee mwenyew,sas we kilakitu unataka umtangulie,haya sas simulia wew sas mwenye uwwelewa mkubwa kumzid😮😮
Bro jamaa nimependa katupa ukweli mwingi ambao wengi walikuwa sijuwi wanatuficha au kutudanganya Yaani kamueleza kiukweli kabisa Lucifer na pia kuzimu ni kumoja tuu . Ila tungependa au ningependa kumuuliza kuwa mji wao huko kuzimu ukoje na mda wa miaka na nusu alikuwa anakula Nini analala wapi anaenda kutembea wapi au Yale mambo anayapata pia ..
sasa hizo kazi ulizo fanya ni zipi??? tunataka kama mzee wa bakora za kimkakati anaeleza nilifanya hivi nikafanya hivi.. au zabron su rayton. sasa huyu anaeleza nn???
Jamaa ana content, lakini sasa usimuliaji umegoma, na sasa kakutana na Davistar, Davistar hamrudishi kwenye mstari, ingawa anajitahidi kumrudisha kwakweli lakini msimuliaji kipaji hanaaa! Tuelewe tu
Davistar, hawa wasimuliaji wanapoteza dira ya kusimulia step by step kwasababu maswali yanakua mengi kabla hata story haijaeleweka, please maswali yawe tu mwisho ya kipindi ama tuweke episode maalum ya maswali mwisho wa story kabisa,
Kabisa Yani story inapotea kabisa haina inakosa ladha
Jamaa anauliza maswali badala ya kusikiliza! Listen first maswali baadaye aiseee anapoteza sana vipemgele vya story
Mobutu, hittler, iddi Amin, madikteta wote wanaishi maisha magumu sana kuzimu
jamani eee tufanye tumsaidie yule dada husna..kwanza yule mtu aliemdalilisha kingono achukuliwe hatua pili..matumizi kwaajili ya maisha yake..jamani watu wenye kujua watu wa ustawi wa jamii..msaidieni yule msichana tafadhali
Baba angu nguvu za giza😅🙌anafurahisha uyu jamaa
Davistaaaa una maswaliiiiiii sana yana kele stor nzimaaa maswaliiiiiii tu
Na je, ni kati ya nchi zote alizo tembea ni nchi gani aliona ni yenye wacha Mungu wa kweli kwa wingi?
Sio mtumishi wangu mungu ana mtumishi ambae alikuwa mchawi uyo ni mtumishi wa lusfa
Tena hawa ndio watumishi wazuri wanamjua shetani ndani nje
@@heritier5119 for sure hata shetani mwenyew anapata tabu nahawa maana hawa wakiokoka wanamaanisha kweli tofauti nasisi watu Baki maana wanajua wakicheza mistake moja wanarudi huko na ndio maana wapo makini sana juu ya wokovu wao hawataki kurudi nyuma hata kidgo
Mungu atupe neema na ujasiri wa kumtumikia nasi tulitangaze jina lake km nyie mnaorusha kipindi hiki
Jamaa anastory nzuri Ila sio muelewa kila ukimwambia aende Kwaatua aelewi anatumalizia bando
Finally davistar you will spice my day with powerful testimony
Davista sshv unaudhi sana, ungemuacha mtu atoe simulizi yake yote hatua kwa hatua, maswali yote andika ww baada ya stori kuisha ndipo kipindi cha maswali kianze
DM tafadhali endelea na hii story. Pastor ana mengi hajasema.
Ukikosa maarifa shetani atakusumbua sana
Shetani kenge Sana.. nishauziwa gari bovu hata sijafika nyumban likaharibika.. baada ya muda ndo naliona lilivyo bovu... Shetani kufa kwa Jina la YESU KRISTO... Shetani kufaaaaaa unguaaaa kufaaaaaa kwa Jina la YESU KRISTO aliye hai
@Davista umeruka saaana rudi palee kwenye waliposhindwa kumpeleka yule walio tumwa kumchukuwa...jee yule bibi, jee hivyo vituo vimekuwaaje .....
stori ni kali ila wameishaiharibu kwa usimuliaji wa kuruka ruka ni kama wanahojiana sio simulizi tena
@@davidochieng7055 kweli kabisa Yani imekuwa kali saaana illa kuanzia part 3 wameanza mahojiano sio simulizi tena.... Jee yule bibi aliyempeleka imekuwaje....huko kuzimu miaka aliokaaa imekuwaaaje amekuwa anafanya nini .... Na amepitia vituo gani na matokeo ya hivyo vituo.... Connection na alie muingiza ikawaaje.. Yani kote uko wameruka....aaaaah basi mi nafikiri sirudi kuifuatilia tena ...
hayo mahojiano yalitakiwa kua mwisho sio mwanzo wa stori Davista ingenoga zaidi ona hatujaskiliza stori mmeenda mbali zaidi
huyu jamaa kulingana na story yake yake saiv bado atakuwa huko sema kaingia makubaliano ya kuja kama mchungaji na awe na kanisa lkn kwa lengo la uwakala huohuo wa shetan
Kusimullia ni kazi sana, huyu jamaa ana story nzuri Sana ila kusimullia Hana mpangilio
hana mpangilio sababu davista ndiye anayelimpoteza njiani kwa kumrundikia maswali, yaani wanaongea wote kwa pamoja.
Angekuwa anamuacha aongee mpaka mwisho kwanza
Davista anamuuliza maswali mpaka jamaa anapotea njia kabisa
Maswali mengi Yana mpoteza
Davster unazngua unamtoa kweny story baba acha aendelee mwenyew,sas we kilakitu unataka umtangulie,haya sas simulia wew sas mwenye uwwelewa mkubwa kumzid😮😮
Hiistori.nimeikubali.sana.bonahainamwendelezo
Anapenda kusema Baba angu kwa kuwa alikaa sana Congo wanapenda neno Papaa
Siku yakufa aijulikani ana ijuwa mungu pekeyake tu
Naomba umhulize kama ashawahi peana dagu Israel and how was it.
Mmh miaka Mia? Umetisha inaonesha unaogopa kufa😁🙌
Bro jamaa nimependa katupa ukweli mwingi ambao wengi walikuwa sijuwi wanatuficha au kutudanganya
Yaani kamueleza kiukweli kabisa Lucifer na pia kuzimu ni kumoja tuu .
Ila tungependa au ningependa kumuuliza kuwa mji wao huko kuzimu ukoje na mda wa miaka na nusu alikuwa anakula Nini analala wapi anaenda kutembea wapi au Yale mambo anayapata pia ..
kuzimu ni sehemu ambayo watu wanaishi na kufanya shughuli zote kama huku duniani, ila lengo lao ni moja tu, kuiharibu dunia
Sasa iko poa asante
Babaangu Yesu amekuokoa
Hela ya shetani tamu, lakini mwisho uchungu
sawa tunapenda mafundisho ya dini ila mko nje ya mada ya mikasa na stori za maisha hapa ni kuhubiri sasa
Mshikaji anamatukio mengi sijui kama atayamaliza mwezi huu
Huyu ndo baba angu😀
Punguza maswali,Kwa kila msimulizi,juu unapoteza mtiririko wa simulizi
Lubumbashi tuna enjoy
EE BABA
Wewe una jisifu na wwe subiri ufe utakiona chamoto
Je Kuna wasanii walio jiunga na mikataba hiyo
Huyu jamaa umuunganieshe na mzee wa mizimu anaetaka kupambana na wachungaji kafufua watu wanne huyu
VIP wachungj umewap upo wangapi
Saut amna
Thanks
Uwe unawah bas
Hixo ndio baba Sasa
Story nzuri lakini Haina mpangilio la nyuma linakuwa mbele na la mbele linakuwa nyuma
Ndio baba
Eee baba angu
Jesus is coming up soon you will see
Pamoja saana mr everything 💪
sasa hizo kazi ulizo fanya ni zipi??? tunataka kama mzee wa bakora za kimkakati anaeleza nilifanya hivi nikafanya hivi.. au zabron su rayton. sasa huyu anaeleza nn???
Jamaa ana content, lakini sasa usimuliaji umegoma, na sasa kakutana na Davistar, Davistar hamrudishi kwenye mstari, ingawa anajitahidi kumrudisha kwakweli lakini msimuliaji kipaji hanaaa! Tuelewe tu
davista hii story ipotezee kwasababu inaonekana sio kweli?? how haelezei kitu alifanya??
😍😍👏👏
😆😆😆 Mia 100 heee
Asante 🇰🇪🇰🇪
There we go again😁
Huyo bado ajaokoka maana bado vitu vingine anafichaficha eeeee zinakua nyingi
yaaani usituulezee ndagu inafaaa hivi wewe matukio yako mtu alikuja ikawa hivi nikafanya hivi..sio unaongelea kitu ambacho hakiwleweki mbona tueleze wewe ulifanyaje??
Kipindi cha maswali uulize
jamaa muongo
Saut amna