Harmonize - Nitaubeba (instrumental)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 17

  • @Salvo_africana_official
    @Salvo_africana_official 2 ปีที่แล้ว

    Kali bro siunitumie beat

  • @qp-da-7
    @qp-da-7 2 ปีที่แล้ว +1

    So nice jax

  • @captain.kid_
    @captain.kid_ 2 ปีที่แล้ว +1

    Hey prod nice one

  • @JAYTUCCIOFFICIAL
    @JAYTUCCIOFFICIAL 3 หลายเดือนก่อน

    Imagine uko jangwani umepotea
    Mchana juani unatembea
    Utokapo ni mbali uendapo ni mbali
    Mara ngamia mbebaji akatokea
    Na kukushusha mzigo uliokuelemea
    Upate afadhali pole na safari
    And that's what you did to me yote tisa ila kumi
    Umeonesha maana ya upendo
    Si kwa maneno bali kwa vitendo
    Umeridhika na nilichonacho
    Vya watu hutoleagi macho
    Siku nikiwa sina twalala
    Oooh baby twalala
    Aaaah baby if I close my eyes mi namuomba Mungu akulinde
    Na akusimamie we ndo pacha wangu mie
    Eti siku hizi vipi mbona sikusikii tena
    Sikusikii ukilia sikusikii ukisema
    Niko busy na boo jamani nimeshasema
    Niko busy na baby na msalaba wake
    Nitaubeba, nitaubeba nitaubeba na ntafika nao kiume
    Nitaubeba (iwe kwenye shida na raha)
    Nitaubеba (ama kwenye shibe na njaa)
    La kwako ndo langu my darling na ntafika nao kiumе
    Imagine hujifahamu umezimia umewekewa damu zinaingia
    Bomba ikafunguka na huwezi hata nyanyuka
    Mara dakitari wa zamu akaingia umepata fahamu unamwangalia
    Machozi yanakuanguka unatamani funguka
    And that's what you did to me yote tisa ila kumi unanifurahisha kwenye tendo
    Au unipe penzi la magendo
    Aaaah baby if I close my eyes mi namuomba Mungu akulinde
    Na akusimamie we ndo pacha wangu mie
    Eti siku hizi vipi mbona sikusikii tena
    Sikusikii ukilia sikusikii ukisema
    Niko busy na boo jamani nimeshasema
    Niko busy na baby na msalaba wake
    Nitaubeba, nitaubeba nitaubeba na ntafika nao kiume
    Nitaubeba (iwe kwenye shida na raha)
    Ntaubeba (ama kwenye shibe na njaa)
    La kwako ndo langu my darling na ntafika nao kiume

  • @NoraidaValdez
    @NoraidaValdez 2 ปีที่แล้ว +1

    Hey Producer, naomba namba yako tufanye kitu. Kazi nzuri sana hii 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @knackmakertz
    @knackmakertz 2 ปีที่แล้ว +1

    Sax gani hio bro

    • @jaxink1757
      @jaxink1757  2 ปีที่แล้ว +1

      Hiyo ni yamaha kwenye kontakt

    • @knackmakertz
      @knackmakertz 2 ปีที่แล้ว

      Aha sawa mim sijatumia yamaha wala nexus

  • @knackmakertz
    @knackmakertz 2 ปีที่แล้ว +1

    Nahio kama malimba nimefaya hio na mm but not nice like your

    • @jaxink1757
      @jaxink1757  2 ปีที่แล้ว +1

      B boy katumia nexus karbia vinanda vyote. Chakua vinanda kwenye nexus mzee wangy

    • @knackmakertz
      @knackmakertz 2 ปีที่แล้ว

      Asante vp kuhusu hio sax

    • @jaxink1757
      @jaxink1757  2 ปีที่แล้ว +1

      @@knackmakertz mbona sax zako znsound vzuri tu

    • @knackmakertz
      @knackmakertz 2 ปีที่แล้ว

      Sio kama zako zako ninzuri kaka

    • @qp-da-7
      @qp-da-7 2 ปีที่แล้ว

      Good sound prod Jax