HARMONIZE hanilishi hanivishi "MWIJAKU" amekuja DIAMOND ananilipa VIZURI mnataka NISIFANYE KAZI?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • #Harmonize
    #Mwijaku
    #DiamondPlatnumz

ความคิดเห็น • 68

  • @abachaochola8073
    @abachaochola8073 2 ปีที่แล้ว +6

    Kipaji cha kuongea ni mtaji wa maisha no matter how people will talk about you as longer you know what u need 🙂 endelea kuwa mnafiki big up

  • @dadazayi4355
    @dadazayi4355 2 ปีที่แล้ว +4

    Nilikuwa najuwa mwijaku ni mtu mzuri kumbe ni mnafiki mkubwa usisemi mungu haumjuwi uko mwizi wafazila

  • @rizikiruwa7116
    @rizikiruwa7116 2 ปีที่แล้ว

    Waaah mwijaku wee mkali

  • @ndayijeanclaude5094
    @ndayijeanclaude5094 2 ปีที่แล้ว +8

    Najua msipo sema Harmonize hamna mtu kufungua hii vidéo, Jeshi influencer

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma3003 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu sio mtu mzur hata

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 2 ปีที่แล้ว +1

    Fanya kazi. Wanadhani umejijenga ili kulipa pumba

  • @deboraezekiel784
    @deboraezekiel784 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaaa yani unaongea ivo kwa mwanaume alikuwa kapauka alikuwa analelewa vzr saiv anapata tenda

  • @shaibnassour7246
    @shaibnassour7246 2 ปีที่แล้ว +2

    Ww mnafiki tuu

  • @ramadhanmsangi4676
    @ramadhanmsangi4676 2 ปีที่แล้ว +1

    Nilicho kipenda ni nyimbo ya iyoooooo ya diamond platnumz simbaaaaa mengine yakwenu

  • @lekumolukumay6832
    @lekumolukumay6832 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku maneno sana

  • @hakizimanadiamant9796
    @hakizimanadiamant9796 2 ปีที่แล้ว +3

    Fanya kazi

  • @Wastara001
    @Wastara001 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaani wamsifia mkeo mbele ya wanaume!!! Hii hatari.

  • @sailoo5722
    @sailoo5722 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbna mnacho and andika tofauti na asemacho mtu,nyinyi wanahabari ndio mnaharibu

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 2 ปีที่แล้ว

      Wasenge sana hawa

  • @hassanmatano3567
    @hassanmatano3567 2 ปีที่แล้ว +2

    Wewe mwijaku unalelewa na pashkuna

  • @kirundumweteni2072
    @kirundumweteni2072 2 ปีที่แล้ว

    Waislam mnadalalia kamari kweli Dunia imeisha Halafu unamlazimisha diamond aoe sasa tofauti yenu Nini. Wakigoma mnafeli wapi na Dini imewakaaa?

  • @robbyawesometv7030
    @robbyawesometv7030 2 ปีที่แล้ว +1

    Noma

    • @mwanaidrashid5226
      @mwanaidrashid5226 2 ปีที่แล้ว

      Mwijaku uso umekushuka kwa umbea

    • @robbyawesometv7030
      @robbyawesometv7030 2 ปีที่แล้ว

      @@mwanaidrashid5226 😂😂😂😂naomba usubscribe kwa channel yngu

  • @yogwesaid7435
    @yogwesaid7435 2 ปีที่แล้ว

    Hofu ya Mungu ipi pale ww, anavaa nusu uchi Kwanza uliniudhi Sana mpuuzi ww

  • @simasima8084
    @simasima8084 2 ปีที่แล้ว

    Mke wako mzuri eeeeh,,,mzur kweli

  • @simasima8084
    @simasima8084 2 ปีที่แล้ว

    Kamlea nuhu,kamlea uchebe 🤭🤭🤣🤣🤣🤣🤣 kamweka dunian hahahahahahahaha uwiiiiiiiiiii mwijaku ongo Sana hili lijamaaaa

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 2 ปีที่แล้ว +2

    Ukiambiwa unatabia ya kimalaya utasemaje?

  • @jisusimalale6288
    @jisusimalale6288 2 ปีที่แล้ว

    😞😞😞😞

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas 2 ปีที่แล้ว +5

    Harmonize ni mkubwa kwakweli

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 ปีที่แล้ว

      Mkubwa kuliko nani?

    • @jambomambo6637
      @jambomambo6637 2 ปีที่แล้ว

      Diamondi

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 ปีที่แล้ว

      @@jambomambo6637 Kweli kabisa kamzidi ubonge

  • @simasima8084
    @simasima8084 2 ปีที่แล้ว

    Baba levo kasema kbsa huyu jamaa muongo mnafk Sana huyu kaka bendera fata upepo 🤔🤔🤔🤔

  • @moureendelvin6210
    @moureendelvin6210 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka anasura mbaya hatareeee duuu😆

  • @ashamanjonjo5233
    @ashamanjonjo5233 2 ปีที่แล้ว

    Mpuuzi Sana ww

  • @yasminjaja500
    @yasminjaja500 2 ปีที่แล้ว +1

    Eti amemurea uchebe🤣🤣

  • @abdallahalbakri2561
    @abdallahalbakri2561 2 ปีที่แล้ว

    Mwijabu unasema wewe Muslim chakushangaza Mwenyezi Mungu apendi watu wanafeeq mkubwa sasa wewe utaishi maisha? Jiulize wewe mwenyewe ukika peka yako uzingatiye je ndo yule aliye wataja Mwenyezi Mungu?

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 ปีที่แล้ว

    Ukiuizwa swali jibu kisha acha uulizwe jingine hapo ndipo unapoboa

  • @juliusmlawa4036
    @juliusmlawa4036 2 ปีที่แล้ว

    We mwijak ni mnafiki tena kama ni mwanamke Malaya

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph9729 2 ปีที่แล้ว

    Mr taama sio mwijaku tena, jina la mwijaku imebaki 2021
    /2022 ni Mr taama

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 2 ปีที่แล้ว

      wewe bakia na fikra zako za ujinga za 2021 mwenzako anapiga pesa atawasikiliza nyie wenye bando la 500

  • @boscongowi8342
    @boscongowi8342 2 ปีที่แล้ว

    Muuza maneno

  • @nassarrostom1919
    @nassarrostom1919 2 ปีที่แล้ว

    Wabongo pasua kichwaaa 😀😀😀😀

  • @khalfanmohd7019
    @khalfanmohd7019 2 ปีที่แล้ว

    Amba huyu ni kifaduro kwel yaan anaulizwa hali naon anajielzea kuhus kuj hapo😀😀😀

  • @gizzamwangaza8701
    @gizzamwangaza8701 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwani shilole ajui kuvaa

  • @innocentbugobola2234
    @innocentbugobola2234 2 ปีที่แล้ว +1

    Chawa Sio wa kuamini leo alikuwa anampondea diamond Leo linasifia Wasafi mh Chawa ni Chawa tu...kwan H.baba yy anasemaje!?

  • @abdullaalwikabil3371
    @abdullaalwikabil3371 2 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa mwizi tena hafai halafu mnafiki kesho atakuja kwangu atanambia kuwa diamond barazuli wewe subirini tupo hapo hapo

  • @fishianmbango9170
    @fishianmbango9170 2 ปีที่แล้ว +4

    Mtoto wa kigoma mwenye akili

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 2 ปีที่แล้ว +2

    Sasa una 2 bore

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 2 ปีที่แล้ว

    Hahahaha nilisema hakuna a bye anakataa ulaji

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 2 ปีที่แล้ว

    watanzania wengi ni wanafiki

  • @barakakilly9604
    @barakakilly9604 2 ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa atamwaalibia diamond maneno mengi ya kujipendekeza

  • @richardmugisho5522
    @richardmugisho5522 2 ปีที่แล้ว

    Wewe atuku elewe ata

  • @yasminjaja500
    @yasminjaja500 2 ปีที่แล้ว

    Eti mumewa shirire arikuwa amepauka saizi amenga🤣

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 2 ปีที่แล้ว +1

    😄😄😄😄

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 2 ปีที่แล้ว

    Haya D.C Tumekuelewa.😁😁😂

    • @hawaomary2782
      @hawaomary2782 2 ปีที่แล้ว

      Watu siwapendi hawa wanafiki wakubwa nyie mnatoa ndogo nn Mbona huweleweki ww

    • @aloycekiwia8613
      @aloycekiwia8613 2 ปีที่แล้ว

      @@hawaomary2782 Why are you so bitter.!? You can't be serious.! Hizi ni burudani tu,don't take this too literally.Ooh Lord... Bless your heart.😆😆😆

  • @patrickjohns5304
    @patrickjohns5304 2 ปีที่แล้ว

    Mnafiki wwe haujielewi

  • @mlimbila9942
    @mlimbila9942 2 ปีที่แล้ว +1

    wesenge sana nynyi

  • @charlesmatesorehani5012
    @charlesmatesorehani5012 2 ปีที่แล้ว

    Nyinyi wehu ama?? Uyo Amolapa tumemutengeneza sisi WCB anakitu gani uyo

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 2 ปีที่แล้ว

    Tumefungua Kwa ajili ya harmonize.. kengeeee nyie...

  • @muzneali387
    @muzneali387 2 ปีที่แล้ว +1

    Mpumbavu wewe ndio maana Simba hawakukupa nafasi ndumila kuwili

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukisikia kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa ndio huku